Waaaaa mungu atusaidie sana kwakwel inasikitisha ila mungu atatupigania ubarikiwe sana pastor mungu azidi kukutia nguvu na akuinue viwango vya juu sana
Neema hii ya ushuhuda nasikiaga hara ya ushuhuda wako una ukweli mtupu maana ndivyo ilivyo YESU kristor alisema mbingu na Nchi zitapita lakini NENO la MUNGU halitapita mpaka litimie maana ukweli ni kumupokea YESU KRISTOR ALIYE HII Injili yako naiamini sana na sina mashaka nayo hata kidogo imenyoka kweli kweli una unena ukweli wa Habari Za YESU Aliye hai Ubarikiwe sana
Nakupenda sana kwa mahubiri yako,ila ushauri wangu mnyoo wa kidugu naomba uache ili wakusikiao na kukuona iwape neema kwa maana si hekima ya wanadamu kukataza kunyoa denge kwa watumishi bali ni Mungu mwenyewe walawi 19:27 wa rohoni na waelewe haya.
Ni kitabu gani kina ahadi hizo wapendwa?Qur'an inatoa ahadi za namna hii kuwa watakaokufa wakiwa waisilamu wanaume watapewa wake sabini,na huko watakuta mito ya pombe na mauno ya wanawake yenye futi 40.jamani watu wafunguke macho Allah siyo Mungu ni shetani
Jamani vitabu vya Mungu waandishi wanatumikishwa na mafreemasoni wanaandika tofauti robo mtakatifu atufumbulie mafumbo roman katoliki wanakunywa pombe umewahijiuliza kwann hawataki sadaka pombe ukimuuliza loho mtakatifu nyuma yaromani kuna.nguvu.ya.giza inaitesa
Hao ni Waislam ndio Paradise yao inavyo waahidi kuwapa hao wanawake patakua na mito inayo tiririsha Pombe, huku duniani hawaruhusiwi kunywa ila huko kwenye Pepo yao wanaruhusiwa kunywa mpaka uwe chakali ruksa
Unawatishia watu Mungu si aliapa hataiangamiza dunia lakini brother Lucifer sio shetani lucifer ni kristo Yesu yeye ashindae nitampa Nyota ya asubhi (lucifer ) Bwana Yesu akupe neema ya kumjua kwakweli wewe ni mtu safi sana yani Nimekuondolea dhambi hio katika jina la Yesu kristo
Kuna watumishi kibao wanapingwa na watumishi wenzao kutokana na aina ya huduma, lakini huyu mchungaji kahubiri muda mrefu mbona hakuna mtumishi aliejitokeza kumpinga isipokua mitume na Manabii wauza mafuta na maji ndio wanalalamika kwasababu anawavurugia madili yao ya utapeli.
Mch Mwaipopo ubarikiwe sana na Mungu wa mbinguni pamoja na kamati yako kumleta Mch Katekella asante sana.
Ubarikiwe sana maana wewe ni barua ya mungu tu!!🙏🙏🙏🙏
Amen ubarikiwe sana kwa mafundisho hya hakika Mungu atusadie tujue ukweli
Ubarikiwe sana Mchungaji. Leo umeongea kweli ya Mungu. Waenda Mbinguni tubadilike YESU anarudi kuwachukua wateule.
Amina mtumishi wa MUNGU
Amen barikiwa sana ❤🎉
Amina kubwa baba yangu Mungu wetu akubariki sana na akupe nguvu zakuachilia ukweli wa injili baba.
Mungu akuzishie afya
Ubarikiwe sana
Mungu atusaidie sana
Mtumishi mungu akubariki tena akuongeze mufuta ya loho mtakatifu ni mewapenda sana
Amina sema watu wapone kwa jina la Yesu.
Bwana yesu atusaidie 🙏
Waaaaa mungu atusaidie sana kwakwel inasikitisha ila mungu atatupigania ubarikiwe sana pastor mungu azidi kukutia nguvu na akuinue viwango vya juu sana
Pastor amieli nabalikiwa sana na mafundisho yako natamani sikumoja tuwe wote peponi Kwa bwana wetu yesu klisto
Mungu tupe kiu Cha kushikamana na Wewe kwenye maisha yangu
Ubarikiwe mtumishi neema ya Kristo ikawe juu yako
Amina na ubarikiwe mutumishi,na penda mafundisho yako mungu akulinde
Mtumishi wa Mungu Katekela ubarikiwe sana kwa neno na maombi na penda nipate mwisho mzuri
Mungu alikukomboa kwa hii KAZI kubwa..ya kuufichua ukweli ..Mungu akulinde
Mtumishi ubarikiwe sana. Hakika nabarikiwa sana ninaposikia mafundisho yako. Natamani ufike kwetu Bukoba ili watu wafunguliwe
nimependa mahubiri haya ,hakika Mungu atudaidie kubakia na uharisia wetu .....tuache kuiga mitindo ya kidunia
Amen mutumishi
MUNGU akubariki Sana na akutangulie Kwa kila Jambo amen ubarikiwe Sana
Mungu akubariki katekela
Neema hii ya ushuhuda nasikiaga hara ya ushuhuda wako una ukweli mtupu maana ndivyo ilivyo YESU kristor alisema mbingu na Nchi zitapita lakini NENO la MUNGU halitapita mpaka litimie maana ukweli ni kumupokea YESU KRISTOR ALIYE HII Injili yako naiamini sana na sina mashaka nayo hata kidogo imenyoka kweli kweli una unena ukweli wa Habari Za YESU Aliye hai Ubarikiwe sana
AMEN 🙏🙏🙏
Imana imwongere imigisha.ninkomezi zokunesha
Nikweli kabisa imana imurinde nu mwasi setan😂😂!
Amina
Ameen Ameen
AMEN
Amen
Nakupenda sana kwa mahubiri yako,ila ushauri wangu mnyoo wa kidugu naomba uache ili wakusikiao na kukuona iwape neema kwa maana si hekima ya wanadamu kukataza kunyoa denge kwa watumishi bali ni Mungu mwenyewe walawi 19:27 wa rohoni na waelewe haya.
🙏🙏🙏
Amen amen
Asante
Mch Katekella ubarikiwe maana naendelea kuelewa na kubarikiwa saana na neno na shuhuda nzuri na adimu
Amiina glory
Naomba maombi yako baba
Ameeen sana
Ameni Ndugu Yangu, mpendwa,rafiki yangu, maana yoyote anaeubili inili Ya Toba, ,Toba Kwanza maombezi yanafwata,
Ni kitabu gani kina ahadi hizo wapendwa?Qur'an inatoa ahadi za namna hii kuwa watakaokufa wakiwa waisilamu wanaume watapewa wake sabini,na huko watakuta mito ya pombe na mauno ya wanawake yenye futi 40.jamani watu wafunguke macho Allah siyo Mungu ni shetani
Jamani vitabu vya Mungu waandishi wanatumikishwa na mafreemasoni wanaandika tofauti robo mtakatifu atufumbulie mafumbo roman katoliki wanakunywa pombe umewahijiuliza kwann hawataki sadaka pombe ukimuuliza loho mtakatifu nyuma yaromani kuna.nguvu.ya.giza inaitesa
Kweli kabisa ni shetani
AMEEEEN
Nimesikia Amieli ana kuja Iringa utakuwa lini na ni wapi
Mwenye masikio na asikie,
Hivi hizi ahadi za wanawake 70 tunasikiaga kwa imani gani!
Hao ni Waislam ndio Paradise yao inavyo waahidi kuwapa hao wanawake patakua na mito inayo tiririsha Pombe, huku duniani hawaruhusiwi kunywa ila huko kwenye Pepo yao wanaruhusiwa kunywa mpaka uwe chakali ruksa
Ukweli kabisa turudi upentekoste unaongea wanafikiri muchezo uyo niukweli waKristo tubadilike
Huyu ndiye mchungaji ninayemuelewa
Ndomaana wazungu wana chimba madini yapo ya kira rangi haya unayo shuhudia yana ukweli kabisa
Amen 🎉
Muongo bro
Majini majina yao maisilamu
Hasa kwenye mtoko wa pasaka
😭😭😭😭😭😭😭😭
Si unatuchekesha,hapo kwa kucha ni ukweli hizo kucha watu wanajipandikisha inakaa ya Jezebel,i wonder where the beauty is in such demonic nails🤔
Unawatishia watu Mungu si aliapa hataiangamiza dunia lakini brother
Lucifer sio shetani lucifer ni kristo Yesu yeye ashindae nitampa Nyota ya asubhi (lucifer ) Bwana Yesu akupe neema ya kumjua kwakweli wewe ni mtu safi sana yani Nimekuondolea dhambi hio katika jina la Yesu kristo
HATA MTOTO MDOGO ANAJUA LUCIFER NI NAN, HEBU USITUTIE AIBU SIE
Utakua we ni Mfuasi wa Lucifer kwajinsi ulivyo kinyume na mahubiri ya Mchungaji,
Kuna watumishi kibao wanapingwa na watumishi wenzao kutokana na aina ya huduma, lakini huyu mchungaji kahubiri muda mrefu mbona hakuna mtumishi aliejitokeza kumpinga isipokua mitume na Manabii wauza mafuta na maji ndio wanalalamika kwasababu anawavurugia madili yao ya utapeli.
Hallelujah Hallelujah
VIDEO ZAKO ZINASKLACHI YAANI SIJUI HAUJUI KUWEKA MITAMBO SAWA
Muongo wewe bro
Sikio la kufa halisikii dawa, Kama usiposikia ukaokoka basi wewe Kufa tuu
Kama unajua ni muongo sasa ulikua unasikiliza nini? Tuubilie basi wewe huo ukweli maana wengine hatujui kitu ndio kwanza tunayasikia maneno magumu.
Ubarikiwe sana maana wewe ni barua ya mungu tu!!🙏🙏🙏🙏
Ameen
Amen
Ameen