We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu hata vizazi vetu vipate shuhuda zako nimebarikiwa saaaan👏👏👏👏👏👏👏
watching from Kenya 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akusimamie, na akutumie kwa kiwango cha juu, kwaajiri unajua kila kitu. Na yesu ni bora kuliko vyote 👏🏽
Mungu akulinde daima,atakaye kukugusa,awe anaigusa mboni ya jicho la Mungu
Uyu mchungaji Katekela amekuwa wa baraka katika maisha ya wengi,acha Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi "bendera chuma mlingoti chuma ".❤️
Ameen
Amen
Mungu ana tupenda sanaa jmn Kila kitu kimewekwa wazi uchaguzi n wetu 🙏🙏
Eee Mungu atusaidie saana. Mch katelkella Mungu akulinde uendelee kutufundisha na kutueleza ukweli. Amina
BWANA YESU APEWE SIFA UNAWEZAJE KUFIKA KWETU MASASI MTWARA?
Mungu ni mwenye nguvu kuzidi wote , Mungu aendeleye kuwa nawewe siku zote .
Mtumishi wa Mungu nakufuatilia Sana na niko pamoja na wewe
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Pesa si kitu mbele ya mwenyezi Mungu, na ni mtego kweli wa shetani
Amina sana mtumishi kwakweli mungu atusaidie sana Maana bila musaada wa mungu hatuwezi
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela na mungu akulinde na atie nguvu kutangaza jina la bwana wetu Yesu kristo!!
Mwenye Masikio na Asikie, Mungu atusaidie
Mungu ni muweza was yote mutumishi mungu akubarik kwa mahubir yako
Mungu akuwezeshe Tena na tena Bwana Yesu akulinde chini ya uvuli wa Damu yake
Amina, Mungu ametupa Neema kuu ya Yesu Kristu
Naposikia mtu anamhubiri Yesu Kristo orijino najisikia vizuri sana
Ameen
Amen na mimi pia
Daaah mungu nihurumie asante kwa mafundisho
Eeee mungu tusaidie kufanya matengenezo na uokuvu wa kweli ,amen ,ndugu Amiel katekeza mwinjilisti ufike mbali ktk huduma hii
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yenye weredi mkubwa .Mungu aendelee kukutunza kimwili na kiroho umtangaze Kristo aliye hai pembe zote za dunia.
Imani yangu imeongezeka kuskiya Yesu amemulinda bifo 54, Mungu ni mwenye uruma pia Yesu Christu ndo mweza yote,ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu
Amen asante Yesu Kristo kwa tufunulia mazito tusiyoyajua asante Bwana Yesu
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Mungu Nisaidie mi na familia yangu kupitia jina la Yesu siku zote za maisha yangu wala usinipungukie maana dunia imejaa dhiki😢😢
Mungu akutie nguvu mungu akubaliki sana
We Yaredi katekela umeokoka kutokana na wengi walioko kigoma waliifungwa kwa giza kuu Mungu akubariki Sana AMEN
Amina mchungaji MUNGU atusaidie
Bwana Yesu azidi kukutunza sana Mtumishi wa MUNGU alie hai
Nabarikiwa mnoooo.... Natamani watu waamin maana Kuna ambao wangependa kuwekwa wazi hao manabii lakini hata wakiwekwa wazi watu hawataamini
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
Semina hii ilinipita namshukuru Mungu naendelea kubarikiwa. Mungu ambariki Mch Katekella
Amen mtumishi mungu akubaliki
Damu ya Yesu Kristo imefanya ini lako kuwa hai zaidi ya asilimia mia kwa jina la Yesu Kristo
Mchungaji Amiel, Mungu akubariki kwa mafundisho.
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
Mwenyez MUNGU akutunze ee Mubarikiwa
Aminaa,nimebarikiwa saana mchungaji,barikiwa saana
Amena Amena Amena MUNGU akubariki sana mtumishi kwamaubiri yakuokowa
Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu
Ni mara ya kwanza kumsikiliza. Mchukaji huyu kweli YESU ANA WATU NIMEPENDA NENO HILI BENDERA CHUMA MLINGOTI CHUMA❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Umekosa mambo mazuri mengi kutokana na mahubiri ya Mchungaji, Ukisikiliza vizuri utajua mambo mengi ya ajabu yaliopo huku Duniani.
Barikiwa sana kk
Ubarikiwe Sana mtumishi katekela
Amen Amen hakika nimebarikiwa naMutumishi waMungu
🎉
Watching from Kenya
Ushuhuda Safi kwa wenye Moyo wa nyama lakn wenye Moyo wa jiwe mmmm
Asante sana mtumishi kwa neno. Afadhali kuokoka sasa,
Mungu azidii kumuweka jmn mchungaji Amieli nafurahia sana huduma yake mungu ambariki sanaa yeye na family yake❤❤
Ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri ndimi vitaely
Amen amen amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Ee mungu tusaidie sis wanadamu
Amina kubwa mchungaji
Yesu nisaidie mimi
Hakika Nguvu ya Mungu ni ya ushindi
Mungu akubariki sana mtumishi, usikae sana uje Mombasa jameni
Muumbà wambingu naichiakuzidishiye kabisa amen
Ameni MUNGU akubariki sana❤❤
Huyu pastor ,natamani afungue kaniza huku tranzoia kitale /Kenya watu wapate hii ukweli ,mungu anue Sana pastor
From kenya
YESU KRISTO NI KILA KITU YESU kRISTO NI VYOTE KATIKA VYOTE INJILI UNAYO HUBILI BWANA YESU KRISTO AKUBALIKI SANA SANA
amen yesu abewasifa 🙏👏
Wow muchungaji Niko Kenya nikuje aje nataka ukobizi nielekese
Hata sijui cha kufanya nikisikiaga ushuhuda kama huu nataman hata ningekufa wakati Mungu anikomboe aniongoze muda wote inatisha sana hii dunia
Weee ujumbe mzito tunahitaji wokovu wa kudumu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
From Zambia
Mungu akubari sana, naomba namba za simu
Kweri hakika huu ushuhuda umenitia moyo sana tudiize kuonmbeanee?
Kweli kabisa ubarikiwe Mutumishi wa MUNGU tusaidiye yesu
BWANA akulinde mtumishi katekela
Hizi ni siku za mwisho mwenye masikio wasikie mwenzetu kakimbia kuzimu wengine wa natamani kwenda hatuelewi?
Amina
Amen
Naendelea kuusikiliza ushuhuda huu mhimu.
Mchungaji katekela amekuwa wa baraka sana
Asante Kwa kunikarisha kanisani kwako, kwanini hautaki kupokea simu yangu?.
Amen!
Ameeeenn
Nakualika kariadudu Nairobi Kenya plz
Utakuja?
Ndioo
Amen 🙏🙏
Kasekwla mchungaji wa kanisa gani? Je naweza pata namba yako hata kukualika kwenye makanisa yetu
Ameeen
Mchungaji Katekela nawezaje kupata simu yako?
Nyie mnaodanganywa na maji na mafuta ya upako poleni
Mungu tusaidi
AMEN
Amen Amen
Nimejua kwamba kumbe shetani anadini kubwa nilitaka kuhamia huko kumbe ningemwabudu Akbar Mungu wa kuzimu
Wafuasi wa hyo dini ukiwaambia wanakutukana
Uyu jamaa anaongea vitu anavovielewa tumzingatie sana
Kweli kabsa
Huyu kaona Movie za kichawi 😂😂
Amen Amen sana
Ameeni
Wacha uwongo 😂😂😂
Amen amen lakini mshugaji kwanini aukemee iyozambi ambaho umeifaamu wewe iyomeshe mbona watu bado wako nazo kwenye vichwa vyoho?
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
❤
Mafundisho nimetuma ubaya tunasahau
Hakuna sauti
Kwenye habari za kuzimu,ametudanganya, kabisa
Inaonyesha unapajua vizuri
Mungu unayehubiri kweli yake ili kunusuru kanisa lake akutumie jeshi la malaika likuzingire na Simba wa kabila la akiwa juu yako
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
imanaishimwe
Mtumishi mimi ninaishi masumbwe unahudumu kabisa gani ili nikuone