Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 сер 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 61

  • @user-rv3ck4wb7t
    @user-rv3ck4wb7t 20 днів тому +3

    Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.

  • @JenifaIzengo
    @JenifaIzengo 21 день тому +4

    kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.

  • @phinescah7353
    @phinescah7353 26 днів тому +4

    Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema576 2 дні тому

    Hakika Mungu wa mbingu na nchi akufunike kwa Damu ya Yesu kila ukanyagapo na ulalapo na ulapo....
    Mihayo imekuwa ikinitokea wakati ninapoanza kuomba tu na hata nikitaka kusoma neno ghafla najikia kuchoka na napitiwa na usingizi mpk asbh ...
    Asante kwa ufumbuzi huu Vita ni vya Bwana Atanitendea tu

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w 25 днів тому +3

    Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 26 днів тому +5

    Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 22 дні тому +3

    Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 18 днів тому +2

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela

  • @user-hz3rb7vc1x
    @user-hz3rb7vc1x 20 днів тому +2

    Asante sana mtumishi wa Mungu

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc 26 днів тому +5

    Amen

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 24 дні тому +1

    Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 26 днів тому +2

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @GraceMollel-u3l
    @GraceMollel-u3l 21 день тому +1

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 26 днів тому +2

    Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w 26 днів тому +2

    Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 21 день тому +1

    Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @CosterMachangu
    @CosterMachangu 25 днів тому +2

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 22 дні тому +2

    Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 7 днів тому

    Amina nimepokea

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 11 днів тому

    Amen 🙌

  • @RUTHKCHIKIRA
    @RUTHKCHIKIRA 23 дні тому +1

    Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 20 днів тому

      Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 12 днів тому

    Barikiwa

  • @MarakiPatrick
    @MarakiPatrick 26 днів тому +2

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @EmmanuelyMafie
    @EmmanuelyMafie 21 день тому +1

    Be blessed pastor

  • @ShallothMatowo
    @ShallothMatowo 7 днів тому

    Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono

  • @user-qc6ns8fx6q
    @user-qc6ns8fx6q 23 дні тому +1

    Asante Yesu napokea🎉

  • @user-ud1bs8nt3e
    @user-ud1bs8nt3e 26 днів тому +1

    Ubarikiwe pastor

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 21 день тому +1

    Asante Mtumishi

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 26 днів тому +2

    Napokea

  • @ayubumwalongo8267
    @ayubumwalongo8267 26 днів тому +1

    Mbarikiwe sana

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 5 днів тому

    Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 26 днів тому +1

    Mungu tusaidie

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka8936 2 дні тому

    Yani mchungaji vile niona tu haya maubiri miau ikakuta mara hiyo hiyo eee Mungu ninusuru

  • @user-wz6md5bl3s
    @user-wz6md5bl3s 26 днів тому +1

    Ameeeeen

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 5 днів тому

    I mean kow to pray to break it

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner 25 днів тому +2

    Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 25 днів тому +1

    Nimekuelewa baba

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc 26 днів тому +11

    Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi

    • @user-hc4jv8uz5b
      @user-hc4jv8uz5b 25 днів тому +1

      Kweli kbxa hata mm

    • @user-ww7jr4vm5u
      @user-ww7jr4vm5u 25 днів тому +1

      Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉

    • @JacquelineAron
      @JacquelineAron 15 днів тому

      ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@user-ww7jr4vm5u

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 26 днів тому +2

    Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 22 дні тому

      lita 10 unapimaje??

    • @user-os1sr3fy6q
      @user-os1sr3fy6q 10 днів тому

      ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.​@@trophywilson7211

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 7 днів тому

    Naamini nimepokea na nimepona

  • @SaraAbudalla
    @SaraAbudalla 22 дні тому

    Hello ❤❤❤❤❤❤

  • @violetnangila8021
    @violetnangila8021 День тому

    Mimi kweli mtumishi miayo ndio Sana na machozi

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 24 дні тому +2

    Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c 20 днів тому

    Iko wapi Kwa maandiko

  • @DANIELMWAKABUTA
    @DANIELMWAKABUTA 13 днів тому

    Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 22 дні тому

    Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi

  • @Frosita
    @Frosita 26 днів тому

    Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?

  • @NeemaSulle
    @NeemaSulle 22 дні тому

    Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 26 днів тому

    Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?

  • @ChristineDama-wf3sd
    @ChristineDama-wf3sd 26 днів тому +2

    Amen

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q 26 днів тому +3

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 24 дні тому +1

    Amen