HILI NDIO LILILOWAFELISHA WENGI KATIKA NDOA ZAO
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
MashaAllah Allah awalipe kheir kubwa dunian na akhera
Mashallah hubbu lhalali inafanya kazi mpka kwa waandaaji wa kipindi inaonesha msumari umegongomelewa kwa umakini na rangi inaendelea kupakwa kwa ustadi.
Mashaallah
Mashaallah ❤❤❤ Allah awazidishie InshaAllah
Manshallh nimeipenda sana my❤❤
Asante 👏
Assalamu alaikum vp hali zenu studio naomba namba yasimu lakwanza yahuyo mama yetu pia naomba hiyo chai yagari kulegalegaa
A alaikum warahmatullah wabarakatu mashallah somo zuri shukran saba kwa ukumbusho Allah akubarik
Mashallah nimefurahi kumuona somo mtoto jungu kuu amerudi mezani kipindi kimenoga 🥳👏
Mashaallh
Somo miwani kama mjeruman kweli😂😂😂😂kusem kwel hki kpind nkipenda kinaamasha ndoa zlizofubaa, ahsante somo❤
Asalam alykum warhmatullh wabarakat naomba number yko dada
Pia naomba namba yasimuu
Mimi naomba hiyo chai yagari kulegalega
Jamani wmama wenzangu kuwa mama unaejitambua ni raha sana hata km mtavurugwa na hasad mumeo atakuganda
Aalaykum mashallah kipindi kizuru,lakini kunawanaume wengine hata ujitahidi kiasi Gani haoni jitihada zako Sasa mwanamuke kama huyo tufanyeje?
Achana nae songa mbele tafuta kazi upate pesa uendeshe maisha mamy
Assalam aleikum me naomba muzungumzie hii mada mume anaependa kumuapiza mkewe kwa mambo tu madogo madogo ya nyumbani
hii mada yafaa waarabu maana kila kitu mtu wa kazi
Wewe huna unalolijua kabisa ,zero brain.kama me wako Hana hela za kukuwekea mfanyakazi usiwe na husda Kwa waraabu kuwawekea wake zao mfanyakazi. Kwa Taarifa yako mwanamke sio jukumu lake lazima akupikie chakula au kukufulia nguo,anaweza kukufanyia hivyo Kwa mahaba tu lakini sio lazima.mwanamke jambo la kwanza anatakiwa kuwa na heshima kuwa na upendo na tendo la ndoa ni wajibu wake Kwa mme wake.mme wake kama anamoenda mke wake atamuwekea mfanyakazi amsaidie kazi za ndani ikiwemo hata kupika pia.
Eti hii mada yafaa Kwa waraabu kila kitu mfanyakazi khaaaa 😮😢.kwahiyo unataka mke wako aangalie watoto afue nguo za watoto akupikie chakula akufulie nguo.halafu na usiku akupatie na tendo la ndoa.acha husda Kwa waraabu wewe kama huwezi kufanyiwa na mme wako ni wewe hiyo
Kweli kabisa tena utamgandaa nabutampambania mumeo wakt wote!!
20:45 🎉🎉🎉❤😂😂😂😅🤣
🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tutanunua kitanda, sio usingizi
Tutanunua nyumba, sio makaazi,
Tutanunua dawa, sio afya
Tutanunua mapambo, sio utulivu.
Nikweli somo mtotot hata mimi mwanagu mmoja yupo hao wako
Somo umenena mashaa Allh.....
Mtu akiamua kubadilika atabadilika na km hajaamua kubadilika habadiliki wewe dada
Uyuu atie jeuri saana na anaringa
😂😅
Hakuna mtu mzur kam huyu sijui ww unaeesem mjeur unakwama wap
Ulimchokoza ukapewa unachostahiki🤣
😂😂@@laylahsalim8873
Wewe mwenywe unaonesha unashindana na mumeo sasa mutasaidiana vipu na wakati mume kashamkataza mkewe asifanye kazi pesa atapata wapi mke? Wewe unajiangalia wewe tu kwasababj uko na kazi na mumeo kakuruhusu kuna wengine hawapewi fursa yakutafuta kaz na wazaz wamekusomesha mpk phd loh
Assalamu alaikum vp hali zenu studio naomba namba yasimu lakwanza yahuyo mama yetu pia naomba hiyo chai yagari kulegalegaa
Mashallah
Pia naomba namba yasimuu