Huyu JPM hakutoka kwenye sayari tunayoishi sisi ndio maana ana akili za kipekee kabisaa kwenye hili bara letu la Africa ndio maana pia alibanwa sana kwenye ujana wake kwenye mambo ya uongozi yaani inauma sana ameupata uraisi akiwa mtu mzima au kwa kiswahili chepesi uzeeni hivi ingekuwa vipi kama angeupata akiwa 30-35 naadika huku machozi yakinimwagika MUNGU nichukue mimi mapema lakini mlinde huyu JPM ili aishi zaidi ya miyaka 200 nakuomba sana MUNGU
Thanks Raisi wetu... Dhana Ya uhuru ni uwezo Wa kufanya maamuzi ya rasilimali zetu kwa namna unayotaka wewe na bila kushindikizwa na taifa lolote. Africa should delink from the evils of colonialism..
He is energetic all time! Speaking the truth infront of who hate it! Adores him very much! The only remained true son of africa! If i could meet with the organisers i could tell them to get this every year and all africa head of states shall have to attend!
Mzee huyu Magufuli anauwezo wa kuongoza AFRICA nzima yenye nchi zake.sijui alichelewaga wapi,akili yake ni kubwa sana juu ya kutukwamua kiuchumi lakini wengi hawajui na kumuunga mkono
JPM umefanya jambalo kila mtanzania ameduw aa juu ya hekima uliyon ayo kukaa na watendaji ambao hudharauliwa sa na pia hawakujijua kuwa wao nisehemu ya uwaki lishi wa Rais wa nchi hii Mungu akupe Afya njem a na maisha marefu CCM mpya,!!!?TANZANI A mpya!!!!!!!?
Huyu JPM hakutoka kwenye sayari tunayoishi sisi ndio maana ana akili za kipekee kabisaa kwenye hili bara letu la Africa ndio maana pia alibanwa sana kwenye ujana wake kwenye mambo ya uongozi yaani inauma sana ameupata uraisi akiwa mtu mzima au kwa kiswahili chepesi uzeeni hivi ingekuwa vipi kama angeupata akiwa 30-35 naadika huku machozi yakinimwagika MUNGU nichukue mimi mapema lakini mlinde huyu JPM ili aishi zaidi ya miyaka 200 nakuomba sana MUNGU
Kila lakheri Rais wetu tupo nyuma yako waTanzania wazalendo Mungu atakusimamia
Thanks Raisi wetu... Dhana Ya uhuru ni uwezo Wa kufanya maamuzi ya rasilimali zetu kwa namna unayotaka wewe na bila kushindikizwa na taifa lolote.
Africa should delink from the evils of colonialism..
We raisi usiwaeleze mipango yetu mengine yanatumiwa hayo
Wonderful, A true son of Africa.
thats my LIFE PRESIDENT...JPM FOR LIFE PRESIDENCY
Hongera Sana Kiongozi Wangu Mungu akutie nguvu
He is energetic all time!
Speaking the truth infront of who hate it!
Adores him very much!
The only remained true son of africa!
If i could meet with the organisers i could tell them to get this every year and all africa head of states shall have to attend!
Upo sahihi kabisa rais watu!
Baba uishi vyema ili uweze kutimiza ndoto zako katika muda wako wa uraisi
My prezdaaa
Mungu akueke JPm. we proud of you 🇹🇿
Nitafurahisana sikumoja awe raisi wa Afrika
💪💪
Uko sawa mh: jpm
Hongera saana mzee baba wewe do rais wa ukweli
Mungu akupe afya njema na akurinde
on point
Viva maguu
Mzee huyu Magufuli anauwezo wa kuongoza AFRICA nzima yenye nchi zake.sijui alichelewaga wapi,akili yake ni kubwa sana juu ya kutukwamua kiuchumi lakini wengi hawajui na kumuunga mkono
May God bless you JPM
Safiii Tanzania Mbeleee JPM Nambari 1 Miaka 40 anatosha Sana'a Kazi Inaonekana Waziii Kabisaaaaa
Lets heaven bless u!
JPM umefanya jambalo kila mtanzania ameduw aa juu ya hekima uliyon ayo kukaa na watendaji ambao hudharauliwa sa na pia hawakujijua kuwa wao nisehemu ya uwaki lishi wa Rais wa nchi hii Mungu akupe Afya njem a na maisha marefu CCM mpya,!!!?TANZANI A mpya!!!!!!!?
😂😂😂😂😂😇AM sorry.. I. M going to use kiswahili. Over