RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KALAMBO
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya, Mtai Wilaya ya Kalambo ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.
Hili jengo limeanza kutumika tangu 2018, hii kuzindua mbona sijaielewa wakuu 🤗