RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA VIHENGE NA MAGHALA YA KUHIFADHIA NAFAKA, KIJIJI CHA KANONDO-SUMBAWANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Vihenge na Maghala ya Kuhifadhia Nafaka, Kijiji cha Kanondo Manispaa ya Sumbawanga ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.

КОМЕНТАРІ • 5

  • @osamaabdallah2876
    @osamaabdallah2876 2 місяці тому +1

    Umeupiga mwingi sanaa surplus itahifadhiwa kwaajili ya dharura, kuuza nje na pia kuvutia viwanda kujengwa vya unga. Akili kubwa sanaaa

  • @fidelruga3814
    @fidelruga3814 2 місяці тому +2

    Kwanini tuuze mahidi Zambia badala ya kuwauzia unga sisi Tz tuna shida gani

  • @JerryKalindo
    @JerryKalindo 2 місяці тому

    Hii nchi buana🤗

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 2 місяці тому

    Yani watu wanataka mahindi we unapeleka unga,,. Mmmh!; nani mgonjwa apo?

  • @petrondunguru6069
    @petrondunguru6069 2 місяці тому

    Zambia wapelekewe unga sio mahindi. Kwa kuwapelekea unga inamaana mtakuwa mmeongeza ajira kwa vijana wetu wa Tz watakaokuwa wanasaga hapo Sumbawanga. Kama mnawepelekea mahindi inamaana mnawapa ajira zaidi vijana wa Zambia kusaga. Uamuzi fanyeni. Viongozi wetu watumie akili. Wasiwe wajinga hivyo na vijana wetu hawana ajira.