Shida ni kuajiri walimu walipata '0' form 4/6 wakati hawajui walichosoma ila wanaenda kufundisha watoto kitu ambacho wenyewe hawajui. Ndio maana tanzania mwanafunzi anamaliza la saba hajui kusoma na kundika na hakuna mtu wa serkali anaona hayo kwamba mwanafunzi ameenda shule miaka 7 hajui kusoma wala kuandika wala kuhesabau hata kwa kiswahili imagine ndiyo mtoto huyo anakuja kuwa machinga wa kesho mitaani.
Hongera sana Chuo cha Ufundi Arusha kwa kazi nzuri
hiyo nisumbwanga sio Arusha
Shida ni kuajiri walimu walipata '0' form 4/6 wakati hawajui walichosoma ila wanaenda kufundisha watoto kitu ambacho wenyewe hawajui. Ndio maana tanzania mwanafunzi anamaliza la saba hajui kusoma na kundika na hakuna mtu wa serkali anaona hayo kwamba mwanafunzi ameenda shule miaka 7 hajui kusoma wala kuandika wala kuhesabau hata kwa kiswahili imagine ndiyo mtoto huyo anakuja kuwa machinga wa kesho mitaani.