RAIS DKT. SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA WASICHANA YA MKOA RUKWA NA KUSALIMIANA…
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiweka Jiwe la Msingi Shule Ujenzi wa Shule ya Wasichana Mkoa Rukwa kijiji cha Mtindilo Laela na Kuwasalimia Wanafunzi ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 17 Julai, 2024.
Hongera sana mh Raisi Kwa kazi nzuri unazotutendea na upendo mkubwa kwetu
Shule nzuri sema kitu kimoja hakuna fenci
very nice mama❤
😬😬😬😬