My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye UA-cam nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏
Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia? Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu? Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA. Asante kwa kazi zote ufanyazo.
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu, Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Qa
Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽
Amina❤❤❤
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia...
Mungu akubariki sana kaka Joel...
Good massage
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
Barikiwa saana kaka Joel
I regret why nilichelewa kuanza kukufuatilia vision,time and priorities
Mungu ni mwema ❤
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
God blessing us
Asante baba kwa somo lako
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
Great talk, great learning bro
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
Praise be to God, may God add u more strength to do this
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
Thenkyou!
Nabarikwa sana na mafundisho yako
nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE.
Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia
God bless you!
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏
Man of God,Keep it up.
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
Mungu akubariki sana
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!
This is a great and unique voice that is very very much needed in our times. God bless you sir for you are a voice of grace and hope.
Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu
Ubarikiwe kaka Nanauka Joel
I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!
Hakika!
Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤
Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye UA-cam nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏
Tunashukuru saaana kwakuona namashahuri unayo tupa,Mungu akuongezeye Siku zakuhishi m'pendwa professa.🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa ajili ya Joel.
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi
Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia?
Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu?
Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA.
Asante kwa kazi zote ufanyazo.
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu,
Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
This speaker is on another level...Kenyans who are here he's the Benjamin zulu of Tanzania
❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia
I like what ever u highlight known u for 2 days only
Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )
Amina baba balikiwa
Thank you bro
God bless you
Naitwa Richard Gilbert mpagaze Nina dreams ya kuwa muombaje mzuli wakubadisha watu na kuwa najili nuzuli naitaji ushauli.
Asante sana
amen much blessing
Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤
Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar
In every pain there is a purpose in it...✍️
Yes Pastor. God bless you!
Thanks
Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya
Vision gives priorities and direction yeah really
Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea
Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.
May God bless you bro, I always appreciate all you bring to us!
Sante sana
Asante
Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha
Badala ya kulia kwa maumivu ulio pitia Lia kwa ajil ya hatima Mungu alokuandikia poweeeeful @joelnanauka
🙌🏾🙌🏾
Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏
Nimejifunza Kuchuja taharifa!!
Amina
Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn
Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana
Very big up
Naamin kuwa mungu atanisaidia kufikia mahali ya kuwa na uhuru wa kifedha (financial freedom is my dream)
Mungu abariki kazi ya mikono yako bro
Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏
Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu
Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana
Asante saaan
Exactly Broh
Kaka ubarikiwe sana umeniamsha toka usingizin
Mungu akubariki sn , umenifanya kuwa m2 mwingine kabisa
INSPIRE's me more sir Joel
Mashalah
Great speech bro..Keep it up
Amina umeamsha ndoto yangu mungu akubariki sana