Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 270

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 3 роки тому +22

    “Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 роки тому +19

    Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀

  • @user-bz4vb8jy5y
    @user-bz4vb8jy5y Рік тому +13

    My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother

  • @letsgobacktoafricafoundati1322
    @letsgobacktoafricafoundati1322 3 роки тому +15

    Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽

  • @rimepeter789
    @rimepeter789 3 роки тому +11

    AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏

  • @joycezacharia7598
    @joycezacharia7598 3 роки тому +4

    Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA

    • @veronicabiaka4730
      @veronicabiaka4730 3 роки тому

      Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka

  • @castorysosoma8540
    @castorysosoma8540 3 роки тому +7

    Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia...
    Mungu akubariki sana kaka Joel...

    • @mkiryamadebe7678
      @mkiryamadebe7678 3 роки тому

      Good massage

    • @kennytwinzi9032
      @kennytwinzi9032 3 роки тому

      Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍

  • @anesansibert2968
    @anesansibert2968 3 роки тому +5

    Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu

  • @januaryrashid8844
    @januaryrashid8844 Місяць тому +1

    Barikiwa saana kaka Joel
    I regret why nilichelewa kuanza kukufuatilia vision,time and priorities

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o 2 місяці тому +1

    Mungu ni mwema ❤

  • @upendowerema2247
    @upendowerema2247 3 роки тому +5

    Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear

    • @isaacktweve630
      @isaacktweve630 3 роки тому

      Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.

  • @user-gg9xo8lf8w
    @user-gg9xo8lf8w 7 місяців тому +1

    Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up

  • @mmbatizaji8075
    @mmbatizaji8075 3 роки тому +5

    Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa

  • @OmaryShaban-tp9hd
    @OmaryShaban-tp9hd 3 місяці тому +1

    Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....

  • @happynessmasere236
    @happynessmasere236 3 роки тому +3

    Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Рік тому +2

    Asante baba kwa somo lako

  • @leahmzulu1505
    @leahmzulu1505 3 роки тому +5

    Only "VISION" Ahsante sanaaaa

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 3 роки тому +8

    Great talk, great learning bro

  • @albertmwajega6266
    @albertmwajega6266 Рік тому +1

    Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.

  • @seefshamis5498
    @seefshamis5498 3 роки тому +2

    Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti

  • @markojohnwalinguzo4225
    @markojohnwalinguzo4225 3 роки тому +3

    Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka

  • @kenyantotoz4244
    @kenyantotoz4244 3 роки тому +2

    MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 3 роки тому +12

    Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze

  • @aniki7232
    @aniki7232 2 місяці тому

    Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.

  • @aminakiyungi94
    @aminakiyungi94 2 роки тому +1

    Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana

  • @breshnyanjwa3102
    @breshnyanjwa3102 3 роки тому +3

    Praise be to God, may God add u more strength to do this

  • @applesherman8217
    @applesherman8217 3 роки тому +6

    Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%

  • @chieffofofoodinternational4102
    @chieffofofoodinternational4102 7 місяців тому

    nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana

  • @agnesssilvan3954
    @agnesssilvan3954 3 роки тому +2

    Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE.
    Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.

  • @JescaFesto
    @JescaFesto 4 місяці тому

    Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia

  • @sungwandongo9445
    @sungwandongo9445 3 роки тому +2

    God bless you!

  • @magaramakindika5647
    @magaramakindika5647 3 роки тому +1

    Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo

  • @martinmhema4312
    @martinmhema4312 3 роки тому +1

    My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 2 роки тому +1

    Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 3 роки тому

    Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @isaacktweve630
    @isaacktweve630 3 роки тому +3

    Man of God,Keep it up.

  • @elijahanthony7667
    @elijahanthony7667 3 роки тому

    Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏

  • @naomienos7933
    @naomienos7933 2 роки тому +1

    Mungu akubariki sana

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 3 роки тому +1

    Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 роки тому +1

    Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏

  • @MwanzalimaLeonard
    @MwanzalimaLeonard 2 місяці тому

    Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!

  • @eugenejobmwale5719
    @eugenejobmwale5719 Рік тому +1

    This is a great and unique voice that is very very much needed in our times. God bless you sir for you are a voice of grace and hope.

  • @EMMANUELWILLIAM-vj2yw
    @EMMANUELWILLIAM-vj2yw 10 місяців тому

    Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech 3 роки тому +1

    Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics

  • @MariamChidaga-cf4rg
    @MariamChidaga-cf4rg Рік тому +1

    MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu

  • @gilbertnduwayo5436
    @gilbertnduwayo5436 10 місяців тому

    Ubarikiwe kaka Nanauka Joel
    I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!

  • @user-gf9er5zi6i
    @user-gf9er5zi6i 5 місяців тому

    Hakika!
    Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 3 роки тому +3

    Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye UA-cam nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏

  • @wababyamungu2646
    @wababyamungu2646 2 роки тому

    Tunashukuru saaana kwakuona namashahuri unayo tupa,Mungu akuongezeye Siku zakuhishi m'pendwa professa.🙏🙏🙏

  • @carrencatherine2018
    @carrencatherine2018 3 роки тому +1

    Asante Mungu kwa ajili ya Joel.

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 3 роки тому +5

    Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 роки тому

    Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 роки тому +1

    Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki

  • @masomoyakarne5122
    @masomoyakarne5122 2 місяці тому

    Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi

  • @ndulutheodorick4322
    @ndulutheodorick4322 3 роки тому

    Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia?
    Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu?
    Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA.
    Asante kwa kazi zote ufanyazo.

  • @williamjumbe1988
    @williamjumbe1988 3 місяці тому

    Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu,
    Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,

  • @Mama-A
    @Mama-A 10 місяців тому

    This speaker is on another level...Kenyans who are here he's the Benjamin zulu of Tanzania

  • @user-on7od9dy3u
    @user-on7od9dy3u 10 місяців тому

    ❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia

  • @mwanaishabadi7568
    @mwanaishabadi7568 9 місяців тому

    I like what ever u highlight known u for 2 days only

  • @erickmdimu3587
    @erickmdimu3587 3 роки тому +1

    Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )

  • @user-jc6jl9tg1p
    @user-jc6jl9tg1p 3 місяці тому

    Amina baba balikiwa

  • @michaelmasanja5168
    @michaelmasanja5168 3 роки тому +2

    Thank you bro

  • @user-tp5mz9bi1u
    @user-tp5mz9bi1u 8 місяців тому

    God bless you

  • @user-tm9um3pv2m
    @user-tm9um3pv2m Рік тому +1

    Naitwa Richard Gilbert mpagaze Nina dreams ya kuwa muombaje mzuli wakubadisha watu na kuwa najili nuzuli naitaji ushauli.

  • @gamatv3221
    @gamatv3221 7 місяців тому

    Asante sana

  • @samwelmahimbo3694
    @samwelmahimbo3694 3 роки тому +1

    amen much blessing

  • @user-ni3nw6mt8y
    @user-ni3nw6mt8y 6 місяців тому

    Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤

  • @waziriissa7018
    @waziriissa7018 3 роки тому

    Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 3 роки тому +7

    In every pain there is a purpose in it...✍️

  • @eselinabibuka9610
    @eselinabibuka9610 2 роки тому

    Yes Pastor. God bless you!

  • @IpyanaGodwin
    @IpyanaGodwin 25 днів тому

    Thanks

  • @froridaanthony3278
    @froridaanthony3278 3 роки тому +1

    Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya

  • @kevinalfredythebrainyprobl8925
    @kevinalfredythebrainyprobl8925 9 місяців тому

    Vision gives priorities and direction yeah really

  • @friminadonath5040
    @friminadonath5040 5 місяців тому

    Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea

  • @juakalimkono7235
    @juakalimkono7235 2 роки тому

    Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.

  • @gwamakamwasamwaba7898
    @gwamakamwasamwaba7898 3 роки тому +2

    May God bless you bro, I always appreciate all you bring to us!

  • @aminaomali8578
    @aminaomali8578 Рік тому

    Asante

  • @paulmasingisha3045
    @paulmasingisha3045 3 роки тому

    Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha

  • @Rehema815
    @Rehema815 2 місяці тому

    Badala ya kulia kwa maumivu ulio pitia Lia kwa ajil ya hatima Mungu alokuandikia poweeeeful @joelnanauka

  • @jacklinevenant1129
    @jacklinevenant1129 8 місяців тому +1

    🙌🏾🙌🏾

  • @leonike-kj6hf
    @leonike-kj6hf Рік тому

    Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 роки тому +4

    Nimejifunza Kuchuja taharifa!!

  • @vumiliajulias6625
    @vumiliajulias6625 Рік тому

    Amina

  • @kivuquality242
    @kivuquality242 3 роки тому +1

    Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn

  • @sesiliakisuba5272
    @sesiliakisuba5272 3 роки тому

    Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana

  • @user-rp6xl1kx9d
    @user-rp6xl1kx9d 6 місяців тому

    Very big up

  • @naomienos7933
    @naomienos7933 2 роки тому

    Naamin kuwa mungu atanisaidia kufikia mahali ya kuwa na uhuru wa kifedha (financial freedom is my dream)

  • @shabanimasoud7277
    @shabanimasoud7277 7 місяців тому

    Mungu abariki kazi ya mikono yako bro

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 Рік тому

    Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏

  • @shabanihassan6626
    @shabanihassan6626 3 роки тому

    Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 Рік тому

    Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana

  • @saimonmagembe1101
    @saimonmagembe1101 2 роки тому +1

    Asante saaan

  • @dickystudios
    @dickystudios 11 місяців тому

    Exactly Broh

  • @patrickmathias3673
    @patrickmathias3673 3 роки тому +1

    Kaka ubarikiwe sana umeniamsha toka usingizin

  • @christinahjustine4170
    @christinahjustine4170 3 роки тому +1

    Mungu akubariki sn , umenifanya kuwa m2 mwingine kabisa

  • @somacompyutakwakiswahili9053
    @somacompyutakwakiswahili9053 3 роки тому +3

    INSPIRE's me more sir Joel

  • @SadickZahoro
    @SadickZahoro 8 місяців тому

    Mashalah

  • @kulwagachu7435
    @kulwagachu7435 3 роки тому +1

    Great speech bro..Keep it up

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 роки тому

    Amina umeamsha ndoto yangu mungu akubariki sana