asante sana semina hii imefanya mabadiliko makubwa sana katika maisha yangu na kwa kuhudhulia semina hii nimeongeza mtandao mkubwa sana wa watu ambao wana kiu ya mafanikio.
Waooh kaka Joel nanauka Nipo hapa naisubiri Kwa ukaribu Zaidi sehemu HII ya pili ya kupangilia malengo 2020 na kuendelea Kazi nzuri Sana Kwa sehemu ya Kwanza Ur really original and unique
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Asante sana kaka Joel umenisaidia kwa kiasi kikubwa kuendeleza kile ambacho nimekiaanzi kikweli nafanya kazi inanilipa vizuri tu lkn siipendi kila nikiamka asubuhi huwa na lalamika juu ya hii kazi lkn mwezi wa 5 mwaka huu nimeamua kuwekeza kwenye kilimo na nimeanza kununua mashamba kwasababu nafanya kazi kwa mkataba nataka panapo majaaliwa bac ndani ya miaka mi 3 niwe nimeachana na hii kazi napenda kilimo na napenda sana biashara ya chakula maana niko vizuri kwenye upishi mamboss zangu wamenisaidia sana kujua nafasi yangu ni ipo mimi ni mpishi mzuri hakuna mtu anakula chakula changu akasema kibaya japo nimeamua kuanza na kilomo kwanza baadae huko mbeleni Inshaallah nitakuja kufanya biashara ya chakula asante sana cjuti kbisa kuwa mwanafunzi wako Mwenyezi Mungu akubariki sana
Huwa nakuelewa sana mwaka juzi mwezi wa nane nilipata ajali mbaya ya gari nkiwa kitandani kwa zaidi ya mwaka mmoja nkajikuta naanza kukufatilia sasa nina zaidi ya mwaka nimepona lkn nimekuwa mtu mpya kabisa na mafanikio ndani ya muda mfupi kuliko zaidi ya miaka 8 kwenye mapambano yangu ya kimaisha.Mungu amekuinua kaka endelea na hii kazi utaokoa wengi.
Kaka Niko katika wakati Tata sana kwa Kila linalo nizunguka, lakini Niko na Mori kutaka timiza malengo yangu niliyokuwa tangu utotoni na sahii hizi naamini kabisa naweza nanataka kutimaza, but still I need motivation . Nimepitia mingi, maisha yangu naweza kuaandika kitabu. Kwa yaliyo nifika na Hadi Sasa lakini nimejitambua na kuona vikwazo vyote vilivokuwa vinanikwaza but now I need positive motivation with sincerety, Kaka Joel naomba usaidizi wako
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Asante sana kaka.ubarikiwe najifunza vitu vizuri sana mimi ni meajiriwa ila kweli sipendi kazi nayo ifanya kabisa ila napenda sana kuwa mkulima yani naimani sana nikaanza kulima anakwenda kuwa mtu mkubwa sana
Nilikuwa na malengo ya kujenga 2019,lkn umeisha sijafanikisha malengo yang!! Sasa naitaji msaada wa mawazo huu mwaka 2020 nifanukishe malengo yang kaka Joel..Please nisaidie nifanikushe maana ninafanya kazi na mshahara ninaolipwa ninauwezo wa kutimiza malengo yang lkn sijafaham nn tatizo linalonikwamisha naitaji msaada mkubwa wa mawazo zaid. Asante kwa somo nzur Mungu akubariki kaka kwa kazi yako ya kutuamsha tuliokuwa usinginzini kila siku🙏🙏
Dah, Joel pokea tu maua yako, mi binafsi akili yangu inaanza kubadilika. Thanks very much broo, naamini mafanikio yapo kwa kila mtu, ni namna tu unavyoji tune, 💪💪
@@joelnanauka mimi kabisa naomba Mungu aniongoze kila mara napaka niandike kitabu lakini nashidwa naomba Mungu sana aniondolea uzaifu ulio ndani yangu kwasababu kila mara na jinsi kuaandika nikiandika siku mbili unakuta na zebeya naacha please God this 2020 I am ready dear Jesus
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
brother joel nanauka wengine tunajifunza kupitia videos kama hizi ila changamoto ni kuwa nyingine sauti zake ziko chini sana ata kama nikiongeza sauti mpaka mwisho, kwa hiyo napata shida sana kusikia kwa kweli ila napenda sana kusikia, kuangalia video zako asante
Joel unanitisha...kikubwa uhai😂😂😂Joke aside... have learnt alot and the implementation of whatever you have advice will put in action as am writing this to you. By the have have you plan to train kids? These presentation are so important to nurture our children as some of us we are lost but with your training we coming back to our senses. Thank you.
@@joelnanauka kaka kuna episod ya usiwe mutumwa hilo jambo ullilozungumuza linanitokea sana hasa pale napofanya kazi nisiyoipenda ila nashindwa kuacha kwani sina hela ya kukuza ndoto yana ifanye nn (ndoto yangu ni kuwa mwansayansi)
Asante sana kaka Joel kwa elimu hii yenye viwango vya juu sana ninaamini sitakuwa kama nilivyo kupitia elimu hii unayoitoa kuanzia sasa,mimi nakitaka kitabu cha timiza malengo yako niko Mwanza nakupataje?
It's better late than never, you motivated me alot this is what I have been serched for 44 yrs. Now am here .......God is good . Naomba kupata namba yako kaka
Kaka nabarikiwa sana na mafunzo yako mno, lakini naomba unisaidie kama utajali uandae somo kuhusu jinsi ya kufanikiwa kutunza fedha kwa ajili ya malengo mbalimbali, Mimi binafsi Nina ugonjwa wa kushindwa kutunza fedha katika malengo niliyojiwekea I believe you'll confirm my request thanks
Kundi langu namba Moja, shukrani, natakkiwa nipambani baadae kitod mattjnda
asante sana semina hii imefanya mabadiliko makubwa sana katika maisha yangu na kwa kuhudhulia semina hii nimeongeza mtandao mkubwa sana wa watu ambao wana kiu ya mafanikio.
Naomba niwe rafiki ako
Waooh kaka Joel nanauka
Nipo hapa naisubiri Kwa ukaribu Zaidi sehemu HII ya pili ya kupangilia malengo 2020 na kuendelea
Kazi nzuri Sana Kwa sehemu ya Kwanza Ur really original and unique
Mussa Jossy safiiiii
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Najifunza na nitaendelea kujifunza kila leo, kwa kuwa wakati ni sasa and one day one time I will be at the top of my achievement . God bless you Mr JN
Sylusy Emmanuel Ng'usu See You At The Top
@@joelnanauka Thanks Coach
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Asante sana... coach Joel... nimejifunza...mengi... kupitia hili somo mungu azidi kukulinda sana..kw... Kila hatua..🙏🙏🙏
Asante sana kaka Joel umenisaidia kwa kiasi kikubwa kuendeleza kile ambacho nimekiaanzi kikweli nafanya kazi inanilipa vizuri tu lkn siipendi kila nikiamka asubuhi huwa na lalamika juu ya hii kazi lkn mwezi wa 5 mwaka huu nimeamua kuwekeza kwenye kilimo na nimeanza kununua mashamba kwasababu nafanya kazi kwa mkataba nataka panapo majaaliwa bac ndani ya miaka mi 3 niwe nimeachana na hii kazi napenda kilimo na napenda sana biashara ya chakula maana niko vizuri kwenye upishi mamboss zangu wamenisaidia sana kujua nafasi yangu ni ipo mimi ni mpishi mzuri hakuna mtu anakula chakula changu akasema kibaya japo nimeamua kuanza na kilomo kwanza baadae huko mbeleni Inshaallah nitakuja kufanya biashara ya chakula asante sana cjuti kbisa kuwa mwanafunzi wako Mwenyezi Mungu akubariki sana
Asante sana kaka. Umenifungua sana ufahamu wangu kupitia somo hili. Zidi kubarikiwa mno wewe na Mke wako watoto Familia kwa ujumla wake.
Huwa nakuelewa sana mwaka juzi mwezi wa nane nilipata ajali mbaya ya gari nkiwa kitandani kwa zaidi ya mwaka mmoja nkajikuta naanza kukufatilia sasa nina zaidi ya mwaka nimepona lkn nimekuwa mtu mpya kabisa na mafanikio ndani ya muda mfupi kuliko zaidi ya miaka 8 kwenye mapambano yangu ya kimaisha.Mungu amekuinua kaka endelea na hii kazi utaokoa wengi.
Fidius Kalekezi naomba nipate mawasiliano yako
Yaani kaka unanijenga sanaaa kiukweli najifunza mengi kutoka kwako na umenibadilisha
Memas Titus nafurahi sana kusikia hivyo
Kazi nzur bro,atuna cha kukulipa ila God will pay you for us coz you are really life coach.
Kabla sijaanza kukusikiliza bro joel nilikua najiona najua kila kitu lakin nmekuja kugundua nilikua sijui kitu
Edward Mrosso Nashukuru kwa kujifunza zaidi.Kujifunza hakuna mwisho
Nakupata vizuri sana brother pia ninaimani wewe ni mmoja wa watu watakayo nifikisha mbali asante sana kwa kujitoa kwako kwa faida ya sisi wengine
Hahaa best kumbe na wewe unamsikiliza Sana huyu jamaa daah Mungu ambariki sana
Kaka Niko katika wakati Tata sana kwa Kila linalo nizunguka, lakini Niko na Mori kutaka timiza malengo yangu niliyokuwa tangu utotoni na sahii hizi naamini kabisa naweza nanataka kutimaza, but still I need motivation . Nimepitia mingi, maisha yangu naweza kuaandika kitabu. Kwa yaliyo nifika na Hadi Sasa lakini nimejitambua na kuona vikwazo vyote vilivokuwa vinanikwaza but now I need positive motivation with sincerety, Kaka Joel naomba usaidizi wako
Wow!! Mwalimu mzuri sana! Mafunzo Yako ni muhimu mpaka tunatamani vidéo isiishe Mungu akubariki sana!
Nimekuelewa sana brother nina imani nitafika mbali kupitia maneno yako, Mungu akujalie.
Sempay Kabaya's son nami naamini utafika mbali pia
@@joelnanauka kaka j naomba namba yako niunge kweny group lako
Da nashukuru saana kwa kunitia moyo hasa kwenye kufanya kitu kwa mwendelezo imekuwa tatizo ktk maisha yangu. MUNGU akubariki saana
Komenti yangu ya 29 yeeeiiii! Brother you are waking up our people, good job
Mengele Ugulumo Thanks Much 🙏🏻🙏🏻
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Mungu akubarki unanifungua kila clip ninayoiangalia
Asante sana kaka.ubarikiwe najifunza vitu vizuri sana mimi ni meajiriwa ila kweli sipendi kazi nayo ifanya kabisa ila napenda sana kuwa mkulima yani naimani sana nikaanza kulima anakwenda kuwa mtu mkubwa sana
Inatia moyo sana. Kusudi la mungu kukuleta duniani umelitimiza!!!!.
Nilikuwa na malengo ya kujenga 2019,lkn umeisha sijafanikisha malengo yang!! Sasa naitaji msaada wa mawazo huu mwaka 2020 nifanukishe malengo yang kaka Joel..Please nisaidie nifanikushe maana ninafanya kazi na mshahara ninaolipwa ninauwezo wa kutimiza malengo yang lkn sijafaham nn tatizo linalonikwamisha naitaji msaada mkubwa wa mawazo zaid. Asante kwa somo nzur Mungu akubariki kaka kwa kazi yako ya kutuamsha tuliokuwa usinginzini kila siku🙏🙏
Najifunza mengi kupitia masomo yako Mungu akuzidishie na kukuongezea miaka , wewe ni Wa faida.
Ninapenda sana kukufuatilia na ninafanikiwa sana kupitia kwako
Mungu akubaribi brother kwa elimu hii unayotupa🙏
Ahsante sana, nimejifunza mengi.
Dah, Joel pokea tu maua yako, mi binafsi akili yangu inaanza kubadilika. Thanks very much broo, naamini mafanikio yapo kwa kila mtu, ni namna tu unavyoji tune, 💪💪
Unanifurahisha sanaa maneno yako matam umenikumbusha mbalii
Mungu akubariki sana. Yani ni zaidi ya chuo.
dah asante sana kaka joel somo zuri
Joel.Mungu akupe maisha marefu tuzidi kujifunza kutoka kwako!!
Ani kaka wewe ni kitabu tosha mungu akubariki sana
Hongera unanisaidia sana, naomba kuonana nawe
Najifunza vitu vingi sana bro Mungu akutie nguvu zaidi
Ubarikiwe sana kaka joel
Kazii nzurii
Mungu mwenyewe akufunike kwa damu ya thamani kuu.
unatisha mzee nakuelewa sana pamoja sana
Somo tosha sana Kama kuelewa nimeelewa
Shalom Kaka Joel Asante Sana kwa masomo yako samahani nawezaje kujiunga na couching system yako jmn
Nahitaji ww uwe accountability partner wangu 2021
I needed this for my 2024 planning
Nimejifuza saana
Very insightful presentation. Thank you my brother
ZACK VIP thanks so much
Aaa d,,D, D
Mungu akubariki sana amekupa kujitabuwa, God let me know why I am in this world👏👏👏🙏
Rhina Gigi Safi sanaaaa
@@joelnanauka mimi kabisa naomba Mungu aniongoze kila mara napaka niandike kitabu lakini nashidwa naomba Mungu sana aniondolea uzaifu ulio ndani yangu kwasababu kila mara na jinsi kuaandika nikiandika siku mbili unakuta na zebeya naacha please God this 2020 I am ready dear Jesus
@@joelnanauka na mimi nitapenda uniunga nisha kwa group please +319 5510353
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA
.
Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA.
.
Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga.
.
Unachotakiwa kufanya:
.
1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org
2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia
3)Chagua jina la Joel Nanauka
4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE.
.
Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment.
.
AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234
.
See You At The Top
.
Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
Nakukubali xana kk nanauka
hamisi mgaya ahsante sanaaa
Nzuri
Nafurahi tena kuwa mwanafunz wako na kujifunza pia.
Kweri kaka
Ahsante mkuu
Barikiwa Sana brother joel
Tunakuchukuru sana
Thanks
Tuta kwenda sawa tu
Ansante sana kaka
Ahsante sana kaka Joel. Your my Torch brother.
Judith Mwambe 🙏🏻🙏🏻 nakutakia mafanikio makubwa Judith
@@joelnanauka Aemen.
Thanks we learn a lot important how to discover purpose...
Ombeni Ngaya karibu sanaa
ubarikiwe kaka Joël
Darasa zuri sana,asante sana bro..
Appreciate
Nakuskiliza hapa najifunza
Nliisubir sana Ngaja tu ntie bando la kitosha
Thank you for this bro
Ahsante sana
Uko vzr bro
Thanks my mentor CEO of ASA
Allah akuzidishie kaka Joel
Safi sana
Barikiwa mno kaka Joel🙏🙏🙏🙏🔥
Hawa Said Ameen
brother joel nanauka wengine tunajifunza kupitia videos kama hizi ila changamoto ni kuwa nyingine sauti zake ziko chini sana ata kama nikiongeza sauti mpaka mwisho, kwa hiyo napata shida sana kusikia kwa kweli ila napenda sana kusikia, kuangalia video zako asante
Nipo kundi number one
M/mungu akuwekee naandika kila hatua..na namuomba Allah anisaidie kutimiza malengo yangu...
Kuna mtu wanapiga kweli kazi naanaficha ela yake lakini anakosa kitu cha kufanya tuna msaidiaje huyu mtu
Joel unanitisha...kikubwa uhai😂😂😂Joke aside... have learnt alot and the implementation of whatever you have advice will put in action as am writing this to you. By the have have you plan to train kids? These presentation are so important to nurture our children as some of us we are lost but with your training we coming back to our senses. Thank you.
2020 kwangu umekuwa wa baraka sana
Asante joel
umekuwa wa kunifunza sana kaka
chriss ally nashukuru snaaa
@@joelnanauka kaka kuna episod ya usiwe mutumwa hilo jambo ullilozungumuza linanitokea sana hasa pale napofanya kazi nisiyoipenda ila nashindwa kuacha kwani sina hela ya kukuza ndoto yana ifanye nn (ndoto yangu ni kuwa mwansayansi)
My all time Mentor JOEL may God bless you my brother you're doing a very good job to help others to be successful on their lives #SeeYouatTheTop 🙏🙏
Njoo Zanzibar tunahitaji huduma hyo
Naomba uniambie skills za public speaker zinazohitajika
Asante sana kaka Joel kwa elimu hii yenye viwango vya juu sana ninaamini sitakuwa kama nilivyo kupitia elimu hii unayoitoa kuanzia sasa,mimi nakitaka kitabu cha timiza malengo yako niko Mwanza nakupataje?
Leo hii kali mr
Ur very creative brooo b blessed
It's better late than never, you motivated me alot this is what I have been serched for 44 yrs. Now am here .......God is good . Naomba kupata namba yako kaka
Thanks my mentor
Thanks my bro
Shule ya thamani sana hii brother!
Mimi namba 2
Off course hakuna maendeleo bila changamoto
Awam Khalid Ni kweli kabisaaa
Safi Sana Kaka
Asante Sana
Kaka nakukubali kinyama
Omari Aman pamoja sanaaa👍🏻👍🏻
Kaka Joel kitabu cha timiza malengo nakipataje
Soma lizur sana MrJoel
Thank you sir
Napemda biashar na naifanya ila inanilioa kidog na nipo omn naosha vombo inanilipa lakin siipendi
Nahitaji kitabu Cha planning nakipataje coach
Kaka Joel Mimi Nina kalama ya ungozi naomba uni funze
Asante Kaka
Nakuelewa Sana bor maana vitu ving Sana nimevipata kwako
Kaka nakufuatilia sana kwenye video na vitabu Ukifanya semina naomba niwepo
Joel vipi hauna group hata la kujifunza uko zaidi
Samahan je hicho kitabu Cha timiza malengo , naweza kukipata kwa software labda Kuna app yoyote yakuweza dowled.
Kaka nabarikiwa sana na mafunzo yako mno, lakini naomba unisaidie kama utajali uandae somo kuhusu jinsi ya kufanikiwa kutunza fedha kwa ajili ya malengo mbalimbali, Mimi binafsi Nina ugonjwa wa kushindwa kutunza fedha katika malengo niliyojiwekea I believe you'll confirm my request thanks
Naomba kujua mahali vitabu vyako vinapo patikana