Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia UA-cam tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
You all probably dont give a shit but does anybody know a tool to log back into an Instagram account? I was stupid lost the account password. I appreciate any tricks you can give me!
KAKA nashukuru sana kwa mafundisho yako maana kupitia hayo nami nazidi kuwa msahada kwa vijana wengine katika jamii yangu, nimependa sana somo hili maana linainua na kufufua akili za vijana na kwa upande wangu limeniamsha tena na kunifanya kuzidi kusimama zaidi " MUNGU akubalike sana " karibu mwana kaka..
Leo Umejibu swali langu ambalo nilikuwa najiuliza huyu ndugu namfuatilia facebook anahekima na ufahamu huu wa mambo ameutoa wapi? Kumbe Mbingu inaishi ndani yako. Mungu akutunze sana
Good job! Kaka naomba siku ikikupendeza utuandalie video inayohusu vitabu gan vizur ambavyo mtu anaeanza kuosoma anaweza kuanza navyo! Tofaut na ulivoandika ww, maana vyako karibia vyote nimesoma
Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba unicheki
Kuna kitu umeongea kimenigusa
A111
Hongera Sana!!!
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
Amen,Songa mbele
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
Stand room
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza
Amen Amen Amen 🙏
I love this person because he is only my rolemodel to my life. Godbless him
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏,
You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
Ameen,Utukufu kwa Mungu
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
Nashukuru Sana🙏
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
Joel your among best motive speakers I have seen
Help me your nomber plz..
Sawaaaaaa pastor
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
Ahsante sana kwa fundisho hili.
Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona.
Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
Nashukulu sanaa mungu aniwezeshe lakini mungu akupe maisha marefu
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
Na ww umefatilia hiki kipind leo km mm hakika tutafanikiwa
I am glad for you man of God
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
Asante
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia UA-cam tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa
Ameen Bariki
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana
Ameen Sifa na itakuwa
Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
Holy Spirit Amen 🙏🏼
Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
Thanks so much
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
Inspiration, aleluyah
Still learning be blessed brother @kenya
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
upo makin sana kaka🎉
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
Blessed Nanauka 🙏
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
Asante San kwa elimu yako father 🙏
Amina mtumishi neno LA Leo linaenda kubadilisha maisha yangu ubarikiwe sana
Nitapata vip hiki kitabu
Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako
Amen ubalikiwe sana
sema nn bro 👊👊👊
Ahsante mwalimu
Thanks Mr Joel
Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
Great brother Joel, I admire you
You all probably dont give a shit but does anybody know a tool to log back into an Instagram account?
I was stupid lost the account password. I appreciate any tricks you can give me!
@Toby Colt instablaster ;)
KAKA nashukuru sana kwa mafundisho yako maana kupitia hayo nami nazidi kuwa msahada kwa vijana wengine katika jamii yangu, nimependa sana somo hili maana linainua na kufufua akili za vijana na kwa upande wangu limeniamsha tena na kunifanya kuzidi kusimama zaidi " MUNGU akubalike sana " karibu mwana kaka..
Ann cn🙏🙏
Leo Umejibu swali langu ambalo nilikuwa najiuliza huyu ndugu namfuatilia facebook anahekima na ufahamu huu wa mambo ameutoa wapi? Kumbe Mbingu inaishi ndani yako. Mungu akutunze sana
Mbingu inaishi ndani yake vipi mkuu siri ni kujifunza na kusoma vitabu na kuamua kuwa tofauti
Umenipa ujasiri Sana na kuuza imani yangu sana
Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili
Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu
Ameen,🙏
Amen god bless you 🙏🙏
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
Oooh God I'm denying all the delays in my life I'm nt a failure
Asante sana ubarikiwe na Mungu
Wow the God of mercy is working
Good job! Kaka naomba siku ikikupendeza utuandalie video inayohusu vitabu gan vizur ambavyo mtu anaeanza kuosoma anaweza kuanza navyo! Tofaut na ulivoandika ww, maana vyako karibia vyote nimesoma
Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo
Nakataa kuwa mtu wa chini ❤
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
Kazi nzuri sana kaka asante
Asante, asante sana Nanauka Mungu akuinue zaidi. Mimi ni mwenye mafanikio makubwa sana.
😂😂😂kwakwel bro umebalik vyote ahsante sana
Powerful speech🙏joelnanauka
Be blessed. Amen🙏🙏
Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏
Shukran kaka. Mm umeniinua kimawazo maàna nais mawazo!!!!
So blessed today to here ths..I needed ths
Word....nabadilisha nnavyojiona
Always I understand what you say we are together I can't comment more but we are together
Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.
Àhsañte Sana kaka JOEL NANAUKA
Greatest speech never seen before 🤝🤲🔥🔥🇹🇿