Asant kka Joel, unazidi kunapa nguvu mpya maneno yanayo nitia nguvu nazidi kuwa mpya kila kukicha kabla sijaanza kukufuatilia nilikuwa kajinga kajinga najidharau najiona mm silolote hakika maneno yako yamebadili kilakitu kweny maisha yangu,, nimekuwa mtu mwenye thamani kumbe kama haujajithamini mwenyewe kila mtu atakudharau ukijipenda na kujiamini kilamtu atakuheshim nasema asant tena
Huo uzuri ambao unaouona nikwasababu ya huyo yesu anaemtumikia kwani kuna waislamu wangapi wanaelimu ya dini ya kiislamu na wamekosa hiyo hekima ya mungu ya kusema na watu badala yake ni kukashfu tu dini za watu joel anamtumikia mungu wa kweli ndio maana mafundisho yake yana nguvu
Thanks Brother. Nafanikiwa kwa Uwezo Wa Allah Aliokupa Ndugu Joel Nanauka Kwa Kubadilika Asilimia 70% ya Maisha yangu Kupitia Vitabu vyako Na Video Zako Pia Na Semina zako Mtandaoni. Shukrani Sana Mungu Akubariki.
Asant kka Joel, unazidi kunapa nguvu mpya maneno yanayo nitia nguvu nazidi kuwa mpya kila kukicha kabla sijaanza kukufuatilia nilikuwa kajinga kajinga najidharau najiona mm silolote hakika maneno yako yamebadili kilakitu kweny maisha yangu,, nimekuwa mtu mwenye thamani kumbe kama haujajithamini mwenyewe kila mtu atakudharau ukijipenda na kujiamini kilamtu atakuheshim nasema asant tena
Daaaa!!! Ahsante sana brother barikiwa walahi ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💖💖💖💖💖💖💖💖🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Moja ya elimu ambayo huwezi kuipata darasani👏👏👏
Hongera broo JOELY NANAUKA uko vizur kwa kuona kujali kuinua kizazi kikubwa DUNIANI jina la bwana libarikiwe kaka FOR YOU
Amen, wonderful message I tap on it in Jesus name, glory be to God for this connection. ❤🙏
Naendelea kujifunza vitu vipya kila siku asante sana brother👏👏👏👏🫡🫡🫡
nabarikiwa Sana ninapo kusikiliza BwanA yesu aendelee kukutumia ilinkutimiza kusudi la mungu
Asante sana mtumishi, Mungu alibariki kwa ujumbe mzuri.
Joel upo vizuri sana na unatusaidia ssna, ila natamani sikumoja urudi kwenye dini sahihi ya uislam, utafanikiwa hapa duniani na maisha baada ya hapa.
Unawaza kam me pia Hua nafikiria angekuwa muslim ningefurai san
Joel ni mtumishi wa Mungu sio mtu wa dini hakuna dini iliyo sahihi hata moja kwataarifa yako
@@asyaasya3766 acheni udini, nawaonya ktk jina LA Yesu Kristo!
Hahahaha nashangaa mambo ya dini tena.tuachane na mambo hayo tufikirie juu ya ujumbe siyo dini
Huo uzuri ambao unaouona nikwasababu ya huyo yesu anaemtumikia kwani kuna waislamu wangapi wanaelimu ya dini ya kiislamu na wamekosa hiyo hekima ya mungu ya kusema na watu badala yake ni kukashfu tu dini za watu joel anamtumikia mungu wa kweli ndio maana mafundisho yake yana nguvu
Nimeanza kusikiliza speech zakoo
kwa mda mfupi lakni naona nabadilika kimawazo,mungu akubalikii
Kazi yako ni kubwa Sana BROOO keep motivating us bro
Mungu akubariki sana Joel,unanipa ujasiri wa kupambana mno
Tunakuhitaji huku Kenya. Barikiwa
Kumbe pia ni ninayo nguvu ya Mungu katika kuhubiri barikiwa sana upo kwa kusudi kubwa Tanzania.
Nashukuru kwa kukutana na maneno ya ufanis na ushauri mwingi nilikuwa njia legevu yeshe kusuasua naitwa Mathew Moshi Kulwa
Mungu ni mwema, barikiwa
Mungu akupe maisha marefu kiongozi
I thanks God for ur presence🙏br Joel stay blessed
Umenitia nguvu Sana na Somo hili.Mungu akubariki
You always brighten my day. God bless you
Ubarikiwe sana,you came as solution for my calling
Thanks Brother. Nafanikiwa kwa Uwezo Wa Allah Aliokupa Ndugu Joel Nanauka Kwa Kubadilika Asilimia 70% ya Maisha yangu Kupitia Vitabu vyako Na Video Zako Pia Na Semina zako Mtandaoni. Shukrani Sana Mungu Akubariki.
facts brooh!
Safi kabisa
Ni kweli bro!! Hata mom imenisaidia kazini maana nimejitahidi kujitoa kufundisha hatimaye wamenikubali naha kuniongezea majukumu.
Thank you for the light.... May God Bless you
Excellent man of Almighty GOD, speech was full of quotable lines.
Thanks brother GOD bless you
Mungu. Akulinde
🙏🙏nashukuru sn najifunza mengi kupitia wewe mungu akubarik sn
Merci beaucop frêre.
My brother wangu Ubarikiwe sana mtu wangu wa nguvu 💪💪🎉💐🤝
Ahsante kwa somo zuri sana
Mungu akubariki sana kaka Joel
Mungu akubariki uzidi funuliw
Barikiwa kaka Mungu anajua kusudi la kuniumba I'm so special
Congratulations bro, for sure u are God sent in many lives,,,, more love from kenya
nimefurahia kumuona MR ERICK SHIGONGO,
Be blessed
Wow thank you so much brother God bless your 🙏👌💕💯
Asantee sana Mungu akubariki sana
You are excellent sir.
Kila nikikusikiza naona unavyokuja kuwa zaidi ya Joel osteen nami ni maombi yangu siku moja ufike viwango vya joel osteen
Amen. Barikiwa sana kaka Joel.
Nahitaji mwendelezo maana imeishia point ya 4 na ziko 7
Joel hkn km ww mwenye kunijenga kiakili barikiwa Sana🙏💖
aiseeee joel,joel,joel daaa barikiwa sna aise nimepata nguvu mpya
Mwenyezi Mungu azidi kukupigania kaka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Joel Kuna kitu Cha mungu ndani yako,nakiri, kila siku mungu anakutumia kuwabadilisha watu wengi,nikiwemo mim,mungu akubariki Sana
Barikiwa kaka, ni maneno gani ya motivation ambayo tunatakiwa kiwaambia watoto wetu ili kuwajengea kujiamini?
Nan karudi apa tena October 2024 🔥
So Kaka mungu Akupe Maisha marefu
Barikiwa sana kaka yangu
Just true
Nanauka upo kukamilisha kusudi ninalo liishi
Ahsante
Asante nimebarikiwa
Powerful 💖💖
Tunashukuru kutujulisha umuhimu wa ujio wetu hapa duniani.
Kwa ujumbe wako kaka nabariwa sana hasa apo kwenye kuwa MTU maalum katika jambo fulani
Halelujaa
Am special
God bless u
Ahsante.
I am so special.
powerful message
Mungu akubariki kaka
Thank you my Brother Joel stay blessed 🙏🙏
Mungu akulinde mtumishi umenifariji sana kaktka masomo yako Mungu abariki vizazi vyako ubarikiwe
Ubarikiwe sana
Kaka Joel Muendelezo Wa Somo Hili?God Bless You..Hakika
Am so special
Joel haya masomo yenye mchanganyiko wa injili Yana nguvu sana ongeza mengine Kwa bidii uinuliwe ktk utumishi wako.
Ameen
Napata sasa kuwa na ujasiri kwa kweli Mungu ametupatia kila mmoja wetu kitu cha kipekee ambacho hakiwezi kupatikana kwa MTU mwingine.
Furaha yangu imetimia
Blessed
ASANTE SANA mkuu 🤝🤝
Shukrani
Amina
Très profond
Sante sanaa
Powerful
Mimi Ni mteule,Nina kitu changu Cha tofauti.Mimi Ni wa pekee
Tokanilipo gunduaa kusudi langu nimegunduaa nimepoteza mdanafedha nyingi kufanyamambo yasio kusudi langu asante saña kakufanya nilìjuee kusudilangu
Nakuelewa sana kaka
Nakukubali xana kaka🙏🙏🙏
Duuuu joel kumbe hata kuhubiri unajua.....fungua ministry tuje
KAKA UNANIBARIKI KILA IITWAPO LEO MUNGU AKUBARIKI SANA
Amen
Good
Yes
Barikiwa 🙏🙏💪💪💪
Asante🙏
🙏
Nimeshakujua kumbe ni mcha mingu ubarikiwe kaka
Sawa sawa 🙏
Neema yako haiwezi Kupotea!
Daah sasa naanza badilika naiona neema
Ukweli Mtupuu
So powerful as always
Has Kaka no nne no ushuhuda wangu barikiwa xana
🙏🙏🙏🙏🙌🙌
Sasa naliishi kusudilangu
Rama niwewe
@Joel Nanauka naahidi nikifanikiwa kutimiza ndogo yangu una zawadi yako kutoka kwangu note this date + this comment.✍️
Una faa kuwa mchungaji
Tumikia kusudi lako ili mafanikio yaje!