Asante sana kaka Joel kwa masomo haya mimi kipekee nabarikiwa sanapamoja na familia nami nitawasaidia hata jamii inayonizunguka Mungu azidi kukuongezea hekima ya kiMungu na busara zaidi Amina
Haki umezaindia mimi sana nakutazama nikiwa Somalia 🇸🇴 but I will be back to kenya 🇰🇪 kwa wadeni wangu na hope nitajitoa kwa mandeni niko ndani ya ndeni la million mbili kutoka kwa watu wengi sir,hope nitatumia io principle nitoke thanks for letting me know God bless you.
Hongera sana kutokana na somo zuri kama hili limenifanya nibuni namna ya kukutana na watu wote wanaonidai na kupangilia namna ya kuwalipa niwe guru ISalute
Wewe kijana niwa ajabu sana na maneno yako yana muujiza sana ndani yake.jana nimesikiliza hii maneno yako na video zako kazaa baada ya kuwa nimesongwa na mambo mengi kichwani nikawa natafuta kitu gani cha kunipa faraja nikakutana nawe nikasikiriza jinsi ya kuachana na msongo wa mawazo nikakufatiria mpaka hapa kwa madeni nikaamua kufata unacho shauri yaani jana tu uwezi amini nina rafiki yngu alikuwa akinidai ml3 nikamwandikia msg ya msamaha na kumwambia nilivyo kwama na nitarekebisha zuri.uwezi amini kilicho nipata amenitumia msg na kusema usirudishe ilo deni nimekusamehe ndo mchango wangu nami katika msiba mkubwa ulio kupata.machozi yamenitoka km vile nimefiwa tena.ohoo mungu ambariki sana akubariki nawe pia uliye nipa ujasiri uwo nilikuwa nikisikia miujiza kumbe ipo kweli.Nilifiwa na mdogo wangu akiwa anajifungua na kuniachia mtoto nimepitia changamoto nyingi mpaka niliye mwachia duka langu kunifirisi na kuingia ktk madeni lakini kwa maneno yako mwanangu nimesimama na kupata muujiza na ninanguvu mpya kwa masaa tu hakika mungu anakutumia,jana tu ndo nimekuona na kukusikiriza video zako hizi km saba hivi.hakika nimebarikiwa.asante sana.
Ni mwaka mmoja umepita tangia huu ushahuri uwe umetoa, sina la kusema zaidi ya Asante sana na nachukua huu kwangu na ikawe kheri zaidi. Sio siri nipo kwenye madeni na inafikia atua mpaka nawapotea wanaonidai ila nahitaji nijitasmini sasa niweze kujitoa katika huu utumwa maishani mwangu. UBARIKIWE KAKA
Ni kweli Mahusiano mabovu na mume wangu na fedha hasa madeni vinanipa stress kubwa sanaa Sina furaha hata kidogo hata kusema siwezi kukaa na watu kuongea siwezi kabisaa. Naomba msaada wako mtaalam nakaribia kuchanganyikiwa
Jamii nyingi zimeangamia sana ktk haya mambo hasa madeni yamesababisha ha familia kusambaratika Na jamii imewatenga na kuwachukia Sababu ya kutokuelewa au tamaatu Haya masomo yatawasaidia sana wakizingatia
Mr joel kuna aina ngapi za akiba kwan wakat unasisitiza tuweke akiba kuna mtu anatuambia foolish can put money to the bank but mwenye akili ana invest.sasa unainvest halaf inapotelea huko unabakia na zero
Bwana asife mtumishi wa Mungu.ujumbe wako umenigusa sana.kuanzia mwanzo wa mafundisho yako mpaka mwisho yote yamenihusu mm.nadaiwa sana karibia ksh 300000.sina amani sina furaha.ninastress kibao.yani yote yote uliyozungumza yakwangu.nimejifunza nisaidie zaidi nimalizane na deni
Watanzania mko na baraka. Hamna uchoyo wa information Kama Kenya. Kenya watu Wana roho mbaya na hawawezi kukuambia ukweli huu
Amina
Nimefarijika Sana madeni imekua Kama sehem ya maisha yangu na nshidwakutoka imekua Kama utumw
Asante sana kaka Joel kwa masomo haya mimi kipekee nabarikiwa sanapamoja na familia nami nitawasaidia hata jamii inayonizunguka Mungu azidi kukuongezea hekima ya kiMungu na busara zaidi Amina
Hongera Sana Kaka ,umenifanya kujiona mpya ,umenifanya nione bado ninathaman Sana hapa Dunia ,umefanya nijione bado safar ya mafanikio iko mbele yangu
Asante sana mpendwa wa Mungu, Ubarikiwe na Mungu azidi kukuongezea hekuma na moyo wa kuwasaidia watu kutoka kwenye matatizo
Nimependa sana hiki ulichozungumza, god bless u..
Haki umezaindia mimi sana nakutazama nikiwa Somalia 🇸🇴 but I will be back to kenya 🇰🇪 kwa wadeni wangu na hope nitajitoa kwa mandeni niko ndani ya ndeni la million mbili kutoka kwa watu wengi sir,hope nitatumia io principle nitoke thanks for letting me know God bless you.
Thank you Joel naanza kuku elewa mungu akubariki sana kwa kazi mzuri
Asante kwa mafundisho mazuri🙏
Nashukuru sana limekuwa somo zuri sana kwangu umenifungua ktk hilo Sasa nitaanza kuwa Moja ya kijana Bora sana thanks you
Tukizingatia haya yatatusaidia! be blessed guy!
hiyo ni kweli kabisa Mzee Nina hiyo ugonjwa ya madeni na shukuru Kwa kunipa nasaha nzuri.
God bless you Mr... Kwa chakula ya ubongo.
Thanks brother kwa elimu yk hakika wewe ni super life coach
Ubarikiwe kijana kwa mafundisho yako imeniinua sana
Thank kaka Joel nimejifunza mno ubarikiwe See you at the Top 💯
I really appreciate!
Hongera sana kutokana na somo zuri kama hili limenifanya nibuni namna ya kukutana na watu wote wanaonidai na kupangilia namna ya kuwalipa niwe guru ISalute
Nimetoka kabisa kwenye made baada yakukufuatilia mungu akujaalie
Mpaka nje nikuguse mkono wako ili muujiza wangu uje utimie pokea shukrani zangu kwa masomo yako.
Asante brother nilitaka kukopa Milion akati na shida na laki 3 nishagairi staki tena Asante sana ubarikiwe
Powerful message. Asante sana ....!
Nimefurahia sana somo lako lajinsi yakutoka kwenye madeni. Naomba unisaidiye zaidi mawazo zaidi ili niepukane namadeni. Asante.
Nice
Nashukuru kwa darasa lako zuri, Mwenyez Mungu akujalie
Somo zuri sana bro, Big up Mungu akupe moyo wa upendo milele
Thanks a lot be blessed
Mungu akubariki kwa somo nzuri
Mh your a medicine of heart mungu awe nawe
Safii sana nanauka we ndo jembe letu kwa elimu
Ahsanten sana kaka Joel umegusa mioyo ya wengi.
Asante sana Kaka Joel kwama funzo mazuri unanifungua sana
Angess wewe ni mwanangu karibu
WAOOO THNKX FOR WATCH ME COZ IHAVE ALOT OF DEBT
Nimekuelewa sana, asante
Somo zuri sana Kiongozi maana watu tuna madeni kiasi kwamba hadi tumekuwa watumwa wa madeni
Asante Joel kwa shule hii nzuri.
C say a
Hakika nimejifunza kitu muhimu Sana .ubarikiwe Sana.
Safi sanaa mwalimu wangu mtu hatakuelewa wewe kuhusu elimu hiyo hata watoto wake hawata kuja kumuelewa
Dah hakika ni faida kuangalia video zako zinatusaidia sana brooo
Nashukuru sana
Kaka naomba no,Yako please
Wewe kijana niwa ajabu sana na maneno yako yana muujiza sana ndani yake.jana nimesikiliza hii maneno yako na video zako kazaa baada ya kuwa nimesongwa na mambo mengi kichwani nikawa natafuta kitu gani cha kunipa faraja nikakutana nawe nikasikiriza jinsi ya kuachana na msongo wa mawazo nikakufatiria mpaka hapa kwa madeni nikaamua kufata unacho shauri yaani jana tu uwezi amini nina rafiki yngu alikuwa akinidai ml3 nikamwandikia msg ya msamaha na kumwambia nilivyo kwama na nitarekebisha zuri.uwezi amini kilicho nipata amenitumia msg na kusema usirudishe ilo deni nimekusamehe ndo mchango wangu nami katika msiba mkubwa ulio kupata.machozi yamenitoka km vile nimefiwa tena.ohoo mungu ambariki sana akubariki nawe pia uliye nipa ujasiri uwo nilikuwa nikisikia miujiza kumbe ipo kweli.Nilifiwa na mdogo wangu akiwa anajifungua na kuniachia mtoto nimepitia changamoto nyingi mpaka niliye mwachia duka langu kunifirisi na kuingia ktk madeni lakini kwa maneno yako mwanangu nimesimama na kupata muujiza na ninanguvu mpya kwa masaa tu hakika mungu anakutumia,jana tu ndo nimekuona na kukusikiriza video zako hizi km saba hivi.hakika nimebarikiwa.asante sana.
Much appreciated, u'r lifting young generation
Asante sana kaka........... nimepona kimwili na kiroho pia
Thanks so much🙏🙏
Bonge la somo Asante mwalimu
Kaka asante kwa somo zuri kama MTU unamdai nakama umempunguzia deni na kama hatak kulipa umfanyaje
Nimejifunza vitu vingi kupitia wewe kaka Joel mungu aendelee kukuweka hai uzidi kumtumikia.
Nimefrai sna kwan napata kujifunza mambo mengi mnoo Mashallah kaka joel Allah azid kukubariki
Ni mwaka mmoja umepita tangia huu ushahuri uwe umetoa, sina la kusema zaidi ya Asante sana na nachukua huu kwangu na ikawe kheri zaidi. Sio siri nipo kwenye madeni na inafikia atua mpaka nawapotea wanaonidai ila nahitaji nijitasmini sasa niweze kujitoa katika huu utumwa maishani mwangu. UBARIKIWE KAKA
Ni kweli kabisa nimeelimika swala kwani kwa sasa dini linakuwa siku niamua kusitisha kukopa ili nilipe yaliopo
ni nzuri sana mm mwenyewe nina madeni mpaka kichwa kinauma ila naamini ntayashinda
Sio peke ako yan shida
Thanks for your help
Mungu akubaliki sana
🎉🎉🎉
Asante sanaaaa mkuu
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
Thank you Mr Joel.Good advice.
Good advice
Hongera sana kiongozi
Nakuelewa joel asante elimu nzur
@mr joel mungu akubariki sana
Yaan madeni kukwepa nimtihani Sana Joel unanisaidia Sana sana
Kazi nzur bro
Ni kweli Mahusiano mabovu na mume wangu na fedha hasa madeni vinanipa stress kubwa sanaa Sina furaha hata kidogo hata kusema siwezi kukaa na watu kuongea siwezi kabisaa. Naomba msaada wako mtaalam nakaribia kuchanganyikiwa
I appreciate you.
Nikuerewa Asante kwa ushauri Kama huo madeni nimabaya sana
Ahsante Sana Joel
Mungu nisaidie nilipe deni kwa wakati muafaka
Nakukubali broo upo vzr mno
Kaka umeniponya Asante Sana
Jamii nyingi zimeangamia sana ktk haya mambo hasa madeni yamesababisha ha familia kusambaratika
Na jamii imewatenga na kuwachukia
Sababu ya kutokuelewa au tamaatu
Haya masomo yatawasaidia sana wakizingatia
Mtumishi naomba namba yako naona Mungu amekuweka kusudi nipone napitiamagumu nipokwisho namba uokoe rohoyangu
Aisee barikiwa sana ndugu Joel
Kweli Kaka Joel unatusaidia tutoke kwenye hayo majanga ya madeni
Barikiw Sana Kaka
Ni kweli stress zinashusha homornes za uzazi. Mana mumewangu ni mwenye stress saa zote na ndio maana hatuzaii
Sasa mnataka mzae wakati mnamdeni ?
Mungu Azidi kukuzidishia
Daaah? Nmechelewa kukujua ila so mbaya umenifunza vitu vikubwa mno Mungu akuweke
Mr joel kuna aina ngapi za akiba kwan wakat unasisitiza tuweke akiba kuna mtu anatuambia foolish can put money to the bank but mwenye akili ana invest.sasa unainvest halaf inapotelea huko unabakia na zero
2021 Thank you so much ma boy Jah bless you
Kubwa lako suri zana
Asant sana ninaulizia kitabu cha khs madeni kipo
Kipo tuwasiliane 0756-094875
Asante sana
This is the best Joel......ni dawa inayopona mioyo na akili
Ahsante Sana Agness
Asante Kuna kitu nimepata
asante sana kaka nimeponaaaaaaaa🙏🙏🙏
Nilichopata ni zaidi ya PHD asanteeee
Asante mkuu
ahsante kwa somo zuri
Professor Joel Nanauka#####
Mungu niepushe na roho za madeni
Bwana asife mtumishi wa Mungu.ujumbe wako umenigusa sana.kuanzia mwanzo wa mafundisho yako mpaka mwisho yote yamenihusu mm.nadaiwa sana karibia ksh 300000.sina amani sina furaha.ninastress kibao.yani yote yote uliyozungumza yakwangu.nimejifunza nisaidie zaidi nimalizane na deni
thanks
Ulielimisha sana kaka.👏
Somo zuri sana kaka Joel
Kaka naitaji mafunzo naomba namba please
Nice
Iko vizuri
Ubarikiwe kaka
Nimekuelewa Teacher
kweli kabisa
Ubarikiwe sana
Kaka umefanikiwa kuniondoa kwenye madeni
Nikweli
Duuuuuh wewe niufunguo wa mahisha ya vijana wengi sana mwalimu
ubarikiwe sn kaka Joel