Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 сер 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 226

  • @scholasticamarandu4762
    @scholasticamarandu4762 4 місяці тому +2

    Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu
    Amina

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 4 дні тому

    Awali ya yote Mungu atukuzwe kwa uwepo wako, nabarikiwa Sana kwa mafundisho yako. One's again thanks sir

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 3 роки тому +17

    likes za joel jaman

    • @calsonrobson4172
      @calsonrobson4172 3 роки тому +1

      Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 роки тому +13

    Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana

  • @judithnyawanda1934
    @judithnyawanda1934 10 місяців тому +3

    Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.

  • @ebrojohn9406
    @ebrojohn9406 9 місяців тому +2

    Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏

  • @mrlusindetzb8399
    @mrlusindetzb8399 3 роки тому +14

    Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%

  • @MariamSanga-bj8mb
    @MariamSanga-bj8mb 23 дні тому

    Najifunza vingi kupitia wewe Mungu wa mbinguni azidi kukutunza kwa ajiri yetu umekuwa baraka sana

  • @jigoruka
    @jigoruka 8 днів тому +1

    naamini kaka respect

  • @CharamKabul
    @CharamKabul Місяць тому

    God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 27 днів тому

    Amen kaka.. Joel mungu azidi kukubariki

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda Місяць тому +1

    May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi

  • @jamesimakasi9712
    @jamesimakasi9712 3 роки тому +3

    Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu

  • @alutonyoni2520
    @alutonyoni2520 2 роки тому +2

    Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana

  • @meeknessmaziku2156
    @meeknessmaziku2156 Рік тому +1

    Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!!
    Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...

  • @bisimwabezo7862
    @bisimwabezo7862 2 роки тому +1

    Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi

  • @mkamamfungo3200
    @mkamamfungo3200 2 роки тому +2

    Kaka nashukuru kwa mafundisho yako ,yamenisaidia sana kutoka hatua moja kwenda ya nyingine kimafanikio sifa na utukufu apewe Mungu wa mbinguni

  • @joshuapeter312
    @joshuapeter312 3 роки тому +3

    Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 5 місяців тому +1

    Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha...
    Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo

  • @michaelgeorge8454
    @michaelgeorge8454 3 роки тому +3

    Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday

  • @mwakalukwafredy3720
    @mwakalukwafredy3720 2 роки тому +1

    Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa ,
    Umebadili maisha yangu sana

  • @liliansindiyo1214
    @liliansindiyo1214 4 місяці тому +1

    Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana

  • @irenesilas2614
    @irenesilas2614 10 місяців тому +1

    May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏

  • @mwamvitamyombo4466
    @mwamvitamyombo4466 Рік тому

    Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 2 роки тому +1

    Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha

  • @rogathmassawe7480
    @rogathmassawe7480 3 роки тому +3

    Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana

  • @everose276
    @everose276 4 місяці тому

    Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 3 роки тому +4

    Mafundisho yako yananisaidia sana katika maisha yangu ya kila siku.

  • @witnessemily1391
    @witnessemily1391 3 роки тому +2

    Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema

    • @maryeliya1300
      @maryeliya1300 3 роки тому

      We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu

  • @FrancisKahabwa
    @FrancisKahabwa 13 днів тому

    Kweri mtumishi nimependa mafundisho yako

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 3 роки тому +2

    NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mercyk6665
    @mercyk6665 2 роки тому +11

    What a blessed tongue of this man ,may GOD bless you abundantly and give you long life to continue making us prosper

    • @aureliachiwanga5956
      @aureliachiwanga5956 2 роки тому

      Jamani mtumishi nateseka nakipaji cha kumwimbia mungu lakini selew nianzie wapi milango yote imefungwa

  • @everinakahigi-mj9yk
    @everinakahigi-mj9yk Рік тому

    Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe

  • @user-pk2ub6wl4s
    @user-pk2ub6wl4s 5 місяців тому

    thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed

    • @user-pk2ub6wl4s
      @user-pk2ub6wl4s 5 місяців тому

      thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration

  • @tumainisemakuba3520
    @tumainisemakuba3520 2 роки тому

    Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu

  • @shukurumbwana2295
    @shukurumbwana2295 Рік тому

    Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.

  • @jameskarogo3094
    @jameskarogo3094 3 роки тому +1

    Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks

  • @eneamwaruanda2064
    @eneamwaruanda2064 2 роки тому

    Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani

  • @devothasanga9897
    @devothasanga9897 2 роки тому +4

    Very powerful speech! It is very live.

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 8 місяців тому

    Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina

  • @tatu3tatu549
    @tatu3tatu549 2 роки тому +1

    Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 2 роки тому +2

    Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 Рік тому

    Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA
    Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana
    Nitafurahi sanaa

  • @priscapascal9177
    @priscapascal9177 Рік тому

    Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y 2 місяці тому

    Amina kaka unasema kweli kabisa

  • @mariaslaa921
    @mariaslaa921 Місяць тому

    Mungu akubariki kaka

  • @Greatamir
    @Greatamir Рік тому

    Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..

  • @robertfransis1680
    @robertfransis1680 11 місяців тому

    Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.

  • @NelsonYohane-kh8qy
    @NelsonYohane-kh8qy Місяць тому

    Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana

  • @danielsumaye362
    @danielsumaye362 Рік тому

    Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.

  • @wisdomcharles7749
    @wisdomcharles7749 2 роки тому +1

    MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee

    • @beatricekasambula1657
      @beatricekasambula1657 2 роки тому

      Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi

  • @GeorgeBajuta-ro4ez
    @GeorgeBajuta-ro4ez 10 місяців тому

    ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu

  • @mericktamba7981
    @mericktamba7981 2 роки тому

    Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥

  • @jacklinemashenene5976
    @jacklinemashenene5976 Рік тому

    Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana

  • @princemajinge2206
    @princemajinge2206 2 роки тому +5

    Nafurahia sana speech zako bro zinaleta + impact kwangu

    • @selinamashuka6267
      @selinamashuka6267 2 роки тому

      Kweli kaka joeli umetufungua kiufaham Kwa mambo mengi

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 Місяць тому

    Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi

  • @sarahbaby6764
    @sarahbaby6764 2 роки тому

    Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai

  • @macdonaldmushira8723
    @macdonaldmushira8723 2 роки тому +5

    I'm proud of you man of God and our mentor.

  • @kizajacqueline8583
    @kizajacqueline8583 Рік тому +1

    Amen mtume wa mungu na akubariki

  • @hendryprosper9950
    @hendryprosper9950 3 роки тому +1

    Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina

  • @user-ho6zq4cz6c
    @user-ho6zq4cz6c 7 місяців тому +1

    Nakuewa saana Joel

  • @felistermorungu7976
    @felistermorungu7976 2 роки тому +2

    Powerful I'm blessed

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta Рік тому

    Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 2 роки тому

    Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza

  • @petermponzi411
    @petermponzi411 2 роки тому +2

    I’m blessed with your brilliant speech

  • @jolumatv7211
    @jolumatv7211 Рік тому

    Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya

  • @mcengineer7711
    @mcengineer7711 Рік тому +2

    Be blessed coach

  • @danymboje7314
    @danymboje7314 3 роки тому +4

    God Bless Joel Nanauka, God Bless Tanzania!!

  • @thrivehappy9610
    @thrivehappy9610 2 роки тому

    Thank you so much! Yani hili somo nikama a special for me!
    Oh! My God! Mungu akubariki!

  • @happydaniel7788
    @happydaniel7788 2 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur

  • @Mwinamila-3
    @Mwinamila-3 7 місяців тому

    Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako

  • @christopherjoshua278
    @christopherjoshua278 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana
    Binafsi nakuelewa sana

  • @Esther-kz1es
    @Esther-kz1es 3 місяці тому

    Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa

  • @nikoletaugi3247
    @nikoletaugi3247 3 місяці тому

    Asante sana kaka barikiwa sana

  • @rehabokaya2232
    @rehabokaya2232 3 роки тому

    Niseme nini mungu akubariki kwa maarifa hayo umenipa siku ya leo this will help me thank you mr Joel

  • @anjelafrancis6353
    @anjelafrancis6353 Рік тому

    Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏

  • @abeljohnmpanda7717
    @abeljohnmpanda7717 2 роки тому +4

    Powerful speech 🔥🔥

  • @user-nt6uv5wr8p
    @user-nt6uv5wr8p 7 місяців тому

    Asanteh sana kaka , ubarikiwe

  • @maxmilajoseph1897
    @maxmilajoseph1897 Рік тому

    Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu

  • @FredyIma
    @FredyIma 10 місяців тому

    Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏

  • @deomushi7341
    @deomushi7341 2 роки тому

    Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 2 місяці тому

    Asante brother

  • @isayamganule1741
    @isayamganule1741 2 роки тому +1

    Excellent

  • @elionoraherman6790
    @elionoraherman6790 2 роки тому

    Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Рік тому

    Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @barisasaji8669
    @barisasaji8669 2 роки тому

    Asante Sana pastor Nanauka Kwa speech zako zenye uhai ndani yake hakika unatuadilisha Sana maishani mwetu 🙏🙏🙏🙏

  • @Joyceandjoele
    @Joyceandjoele 7 місяців тому

    Asante sana nashukuru

  • @revombenmwakwenda6006
    @revombenmwakwenda6006 Рік тому

    Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri

  • @laurentpetro3878
    @laurentpetro3878 Рік тому

    Mungu akuongoze ntazidi kukufatilia najifunza meng sana kupitia mafundisho yako

  • @aliyukagambo
    @aliyukagambo Рік тому

    Kwema boss kaka Joel nanauka

  • @shefujosee617
    @shefujosee617 Рік тому

    Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 роки тому

    Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..

  • @injilitv3104
    @injilitv3104 3 роки тому +3

    Asante sana

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 10 місяців тому

    Dah noma sana

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula2482 2 роки тому

    Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 2 роки тому

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako .Mungu akutunze kaka

  • @josephlukumaya4223
    @josephlukumaya4223 Рік тому

    Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 Рік тому

    Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this

    • @gregoryfelcian3932
      @gregoryfelcian3932 Рік тому

      Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Рік тому

    Amen

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Рік тому +1

    Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏