Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha... Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana Nitafurahi sanaa
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏
Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu
Amina
Awali ya yote Mungu atukuzwe kwa uwepo wako, nabarikiwa Sana kwa mafundisho yako. One's again thanks sir
likes za joel jaman
Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good
Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.
Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏
Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%
Najifunza vingi kupitia wewe Mungu wa mbinguni azidi kukutunza kwa ajiri yetu umekuwa baraka sana
naamini kaka respect
God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka
Amen kaka.. Joel mungu azidi kukubariki
May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi
Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu
Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana
Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!!
Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...
Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi
Kaka nashukuru kwa mafundisho yako ,yamenisaidia sana kutoka hatua moja kwenda ya nyingine kimafanikio sifa na utukufu apewe Mungu wa mbinguni
Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha...
Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday
Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa ,
Umebadili maisha yangu sana
Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana
May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏
Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi
Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha
Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
Mafundisho yako yananisaidia sana katika maisha yangu ya kila siku.
Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema
We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu
Kweri mtumishi nimependa mafundisho yako
NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
What a blessed tongue of this man ,may GOD bless you abundantly and give you long life to continue making us prosper
Jamani mtumishi nateseka nakipaji cha kumwimbia mungu lakini selew nianzie wapi milango yote imefungwa
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration
Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu
Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.
Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks
Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani
Very powerful speech! It is very live.
Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina
Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE
Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA
Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana
Nitafurahi sanaa
Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana
Amina kaka unasema kweli kabisa
Mungu akubariki kaka
Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..
Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.
Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana
Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.
MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee
Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi
ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu
Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥
Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana
Nafurahia sana speech zako bro zinaleta + impact kwangu
Kweli kaka joeli umetufungua kiufaham Kwa mambo mengi
Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
I'm proud of you man of God and our mentor.
Amen mtume wa mungu na akubariki
Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina
Nakuewa saana Joel
Powerful I'm blessed
Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana
Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza
I’m blessed with your brilliant speech
Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya
Be blessed coach
God Bless Joel Nanauka, God Bless Tanzania!!
Thank you so much! Yani hili somo nikama a special for me!
Oh! My God! Mungu akubariki!
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur
Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako
Ubarikiwe sana
Binafsi nakuelewa sana
Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa
Asante sana kaka barikiwa sana
Niseme nini mungu akubariki kwa maarifa hayo umenipa siku ya leo this will help me thank you mr Joel
Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏
Powerful speech 🔥🔥
Asanteh sana kaka , ubarikiwe
Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu
Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏
Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,
Asante brother
Excellent
Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪
Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Asante Sana pastor Nanauka Kwa speech zako zenye uhai ndani yake hakika unatuadilisha Sana maishani mwetu 🙏🙏🙏🙏
Asante sana nashukuru
Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri
Mungu akuongoze ntazidi kukufatilia najifunza meng sana kupitia mafundisho yako
Kwema boss kaka Joel nanauka
Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana
Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..
Asante sana
Dah noma sana
Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝
Nabarikiwa sana na mafundisho yako .Mungu akutunze kaka
Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa
Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this
Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu
Amen
Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏