Jinsi MADHABAHU inavyotenda kazi katika maisha yako || PASTOR GEORGE MUKABWA || 23/06/2024
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Since I started following pastor George 🙌 am blessed everyday 🙏 barikiwa
Laiti ningeyapata mafunzo haya mapema, nisingekua hapa nlipo leo,lakini naamini, kwa mafunzo haya nitapata neema tena. Asante mchungaji, mungu akupee neema zaidi. Amen 🙏
Asante Sana kwa neema hii nimepokea suluhisho la magumu yangu na maswali mengi ya huduma yangu.atukuzwe mungu aliye hai.
Natamani na kwa imani IPO siku nitafika mwanza nimuone pasta George kwa macho.
Ahsante Mungu kwa neema hii ya mafundisho kupitia mtumishi wako .
Natamani watu waliookoka wasikilize masomo ya huyu pastor yanainua sana
Maisha yangu yamebadilika sana tangu nifuate haya Mahubiri,ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU
Mungu nataka madhabahu yako yanene juu ya maisha yangu 🙏🏻👏🏿🙌🔥❤
Amen
Watu wa mwaza mnamtumishi mnaheri mungu abarikiwe abarikiwe namungu amwongeze niwatu chachesana wanamnayake amina
Sanaaaaa
8 months tangu nifuate huu madhabahu na maisha yangu imebadilika.
Me too ,,,just 2mnths God is good🙏🙏🙏🙏
Nice
Amina
Amina
Nashukuru sana kwa mafundisho ya leo yesu kristo akubariki Sana BABA
HATA MIMI HUJIFUNZA SANA KUPIKIA HUYU MTUMISHI WA MUNGU
Kweli mtumishi Mungu akubariki sana sana kwa ajiri ya mafunzo mazuri
Ubarikiwe sana mukabwa binafai nakuelewa sana nabarikiwa na mafundisho yako
Neno hili limenifungua macho asante mtumishi wa Bwana barikiwa
Jifunue Yesu tunakuitajj Yesu katika maishani mwetu Yesu katika jina la Yesu Kristo wanasareti ❤❤❤
Kristo Yesu azidi kukutunza pastor George Mukabwa kwa Maarifa makubwa haya ya Neno la Mungu
Amina nimebarikiwa mno. Nasubiri somo lonalofuata Kwa shauku kubwa
Naomba kutoa Maoni Yangu na Ushauri.
Naomba Mtumishi anapokua anafundisha watu wa IT mtuwekee subtitles za somo kwa kadri anavyotaja point zionekane kwenye screen ili kutusaidi tunaomfuatilia mitandaoni.
Natanguliza unyenyekevu Wangu 🙏
Amina amina
Pastor wewe hubiri kwa uongozi wa Roho Mtakatifu..achana na mapadre wa watu!
Mungu amewapa kibali na uwezo wa kuondoa dhambi kupitia kuungama which is biblical
Yohana 20:21-23
Mtumishi wa Mungu Moses Kulola alikuwa akiwasisitiza sana wachungaji kuacha kukandia Dini ya Mtu..Mungu ana namna yake ya kuwafikia watu wake.
Mungu akusaidie sana unapohubiri usitoke kwenye reli...uongee kwa uongozi wa Roho Mtakatifu
Mtumishi wa Mungu, umenielimisha . Nahisi kubarikiwa Sana. Mungu azidi kukutumia.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, ila mke huo hastahili mazabahuni, amejipaka vya majivuno
Wee pastor nakupenda hata kama we sio wa dhehebu yangu,,,uko na maneno ya uzima
Shalom Shalom 🙏 Nabarikiwa Sana na Mtumishi huyu jamani. Ni Miezi mitatu Sasa tangu nimfahamu na kuanza kumfuatilia. Mungu wa Mbinguni azidi kumuinua
Ameen ubarikiwe sana Pastor hakika Mungu anakutumiaa
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
Amen Amen 🙏
Thank you for your teachings they inspire me a lot and they have made me change spiritually
Ameeeeeeen! Thank you so much pastor George for the powerful message!
God bless you man of God, your messages have been inspiring me..
Thank u so much pasta god bless u
Nafunguliwa sana na huyu mtumish mwezenu
Tumuombee huyu mchungaji mungu amuwekeee
Ahsante sana
Mch Asante kwa masomo yako mazuri sana
Kiukweli wewe nimtumishi watumishi wengi wanahubili miujizatu watu wapatemagali mala nyumba wanashindwa kuhubili ukweli ilimtu afanikiwe anatakiwa ahubiliwe ukweli naaonyeshwe njia yakuyafikia mafanikio anayo hitaji asantesana mtumishi Mungu akutunze
Amina Mungu akubariki kwa somo nzuri sana
Hii kanisha iko wapi
Wiki tatu sasa naona mungu ndani yako barikiwa sana
Amina
Poster ombea makaniza ya hapa kwetu kenya sababu hawasuguliki mfungo sana
Amen baba...umenifunua macho
amina,jina la Bwana libarikiwe
Asante sana postor kwa mafundisho yako ya wokovu.Mungu akujaze Roho Mtakatifu akuongoze ili uzidi kutufundisha mambo ya Mungu
Babaku barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu umenitoa Kwa shimo umenifungua macho Ya Roho nimejua mahali niliangukiya ninaruti Kwa jia ile Ya kwaza barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu nimependa mafundisho Yako yamenitoa uchafu Kwa Roho Yaku
Madhabahu haya yana nguvu ,Arabic hawataki kuskia maombi ya wakristo hakika naishi kwa ajili ya mungu anaetumia mtumishi wa mungu katika mafindisho yake,hakika baba mumgu akipanue zaidi
Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu Glory be to God
Mungu akutunze
Amen
Ameni mung u mwema
Ameeeen
Nimebarikiwa
Mjungaji Mungu aendelee kukupa neema nmebarikiwa asubuhi y leo amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Madhabahu ya kalvary,mahusiano yako binafsi na Mungu wako, madhabahu ya familia, madhabahu ya pamoja kanisa, madhabahu ya kazi ya mikono yako, Market place altar
Amen 🙏
Powerfull ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU
Amen amen ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU Kwa ujumbe my MUNGU amekupa 🙏🙏🙏🙏
Thanks Paster
Amen
Tangu nimeshikilia mahubiri nimebadilika ninaomba zaidi maombi nimeenda sana mahubiri
amen
Amen
Amen
Amen,nahisi kubarikiwa Mungu azidishe hekima yake ndani yako
Nabarikiwa mnoooooo!!!! Mungu niongoze vyema kwenye kumiliki nakutawala
Madhabau ya mangu yakanene mema juu ya maisha yangu pamoja na familia yangu🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤Anen Amen Halleluja ❤❤❤❤❤❤❤❤....asante Great Man of God Pastor George Mkabwa
Ninabarikiwa sana kupitia pastor,mungu akubariki.
Uwa nabarikiwa sana nikisikiliza haya mafunzo ubarikiwe sana baba
Nimebarikiwa sana mtumishi. MUNGU azidi kukubariki.
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante Yesu kwa somo hili la uzima
Bwana nitete kupitia haya madhabao
Alelluyah alelluyah blessed Glory be to God bless
Mungu naomba madhabau yako yanene you yangu
Asante sana Yesu mwokonzi wetu
Asante Mungu naendelea kujifunza
MUNGU akutie nguvu mtumish
I wish siku nije mwanza kukuona
Amen Ubarikiwe sana
Utukufu na sifa imurudie MUNGU
Kwa huyu Poster usipoelew bc ujue uelew wako uk mbali ubarikiw sana poster
Pastor
Amina
Amina🇰🇪🇰🇪
Amina Pst,nimebarikiwa sana
Amina
Amen 🙏 Amen 🙏🙏 jina ra bwana ribarikiwe
So powerful... Amen 🙏🙏
Asante Pastor George. Be bless with plenty.
2 mambo ya Nyakati 15:3-6
Mungu akubariki sana pastor
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki
Amina mtumishi
Mungu akubarik sn
Glory be God almighty,
Mtumishi naomba kujua maana ya madhabahu ni nini
MADHABAHU ni lango katika ulimwengu mwili au ni mahali ambapo ulimwengu wa roho unakutana na ulimwengu wa mwili
Mambo ya walawi 16:33
Kutoka 27:2
Mwanzo 35:3
Mwanzo 35:7
Mathayo 23:18-23
Soma misitari hiyo utaelewa zaidī mpendwa
Amen@@jumamrisho1389
Halleluya
Amina
Mungu tenda mema kwangu
Ubarikiwe pastor