KILICHO NYUMA YA WASAFI TV CHA FUNULIWA KAFARA WATAZAMAJI EV PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лис 2023
  • *#0766998994 #0788871769 #

КОМЕНТАРІ • 105

  • @omegamchaki6696
    @omegamchaki6696 8 місяців тому +7

    Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...

  • @MeshackDaniely
    @MeshackDaniely Місяць тому

    Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa

  • @user-sf4hf1my3m
    @user-sf4hf1my3m 8 місяців тому +3

    Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata...
    Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho.
    Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 8 місяців тому +8

    Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu...
    Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana...
    Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie.
    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...

    • @gracengairo6214
      @gracengairo6214 8 місяців тому +2

      MUNGU akulinde mtumishi unachukiwa kwaukweli unaotoa Mungu atuponye

  • @Jus378
    @Jus378 8 місяців тому +2

    Ninakuelewa sana Mtumishi.Mungu Anakutumia vyema sana usiwe kama shusho anayejiita mtumishi na kumbe ni kahaba wa diamond

  • @AnneCherotich-gj9eg
    @AnneCherotich-gj9eg 8 місяців тому +1

    Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya.
    Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji.
    Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea

  • @ericbadesire9172
    @ericbadesire9172 7 місяців тому +1

    Mungu akulinde na kukuweka mbali na maadui zako ili mradi neno lienee popote.

  • @NeemaMwita-vb4xd
    @NeemaMwita-vb4xd Місяць тому +1

    Mungu akubaliki sana mtumishi binafsi nimejifunza kitu

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 місяців тому +6

    Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?

  • @user-os1wx8wy8l
    @user-os1wx8wy8l 6 місяців тому +1

    Barikiwa sana mtumishi waambie ukwer

  • @user-sb6pc2cv5j
    @user-sb6pc2cv5j 17 днів тому

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu.

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 8 місяців тому +1

    Ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe kwa mafunzo mazuri amina

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 8 місяців тому +1

    NAMSHUKURU MUNGU ANANIPENDA NA KUNIEPUSHA NA MAMBO MENGI YANAYOONEKANA
    MEMA KUMBE KUNA MTEGO
    NYUMA YAKE❤.

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej 8 місяців тому +3

    Sauti ya mtu aliae nyikani.nakufatilia sana kaka

  • @user-yn5lk7wk1r
    @user-yn5lk7wk1r 8 місяців тому +2

    Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 2 місяці тому +1

    Wewe kweli mtumishi wa mungu.atamane unayo ongea nikweli kabisa mptumishi.upoongea yanaingia.kaa nikwei nauzima

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 8 місяців тому +2

    Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka

  • @erickrao
    @erickrao 8 місяців тому

    Asante sana appreciate you so much without fear wawache zahovio warudi kwa mungu🇰🇪

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l 8 місяців тому +1

    Hakika ww ni mtumishi wa Yesu Bwana aendelee kukulinda na kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu kila siku.

  • @marysarange9187
    @marysarange9187 8 місяців тому

    True mtumishi Mwenyezi Mungu atusaidie katika Jina Kuu La YesuAmina

  • @immahkisuke1564
    @immahkisuke1564 Місяць тому +1

    Barikiwa Sana Pascol

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 8 місяців тому +4

    True

  • @user-xl8cw8ji8f
    @user-xl8cw8ji8f 6 місяців тому

    Mungu azidi kukulinda mtumishi maana somo unalotupa ni watumishi wachache wanaoweza kujitosa na kuongea,🙏

  • @Erishaernest-ik3kk
    @Erishaernest-ik3kk 8 місяців тому

    Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu

  • @gahungubertin1214
    @gahungubertin1214 8 місяців тому +1

    Yaani mutumishi nakuombea tena nakupenda bure,nikiingiya tuu UA-cam, cha kwanza nachotafuta ni mafundisho yako...Mungu akutunze

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 7 місяців тому

    Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.

  • @consolatarogers1142
    @consolatarogers1142 8 місяців тому +1

    Mungu akutunze siku zote

  • @user-ng7tx5hq9p
    @user-ng7tx5hq9p 8 місяців тому

    Ee Mungu katika Kristo Yesu tupiganie Kwa hili. Mlinde na huyu mtumishi wako mwinjilisti Pascal Kasian

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 місяців тому

    Amen ubarikiwe nakupenda sana.

  • @mercykasyoka4007
    @mercykasyoka4007 8 місяців тому +3

    Hamuelewi dunia imepasuka na kuporomoka... yesu yukaribu kufunuliwa jiwekeni tayari
    Ahsante mtumishi kwanza juu ujawah kuwa mwoga kwa neno la mungu

  • @user-dy2mg7qg3t
    @user-dy2mg7qg3t 6 місяців тому

    Amen 🙌🙌 ubarikiwe sanaaa

  • @aloyceJiles
    @aloyceJiles 8 місяців тому

    Mungu akubariki sana sana nima ombi yangu

  • @SelemwambaFrancis
    @SelemwambaFrancis 8 місяців тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 8 місяців тому

    Dunia inazidi kuwa tambara mbovu. Asante kwa uelimisho.

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 3 місяці тому +1

    Kweliii kabisa Mtumishi tunapotea sana jamani tunaangamia vibaya

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 8 місяців тому

    Mtumishi nimerejea tena Kwa mda kiasi nimekua out but am back sema kweli mwenye siko asikue barikiwa nawe pia

  • @anasialauwo4922
    @anasialauwo4922 8 місяців тому

    Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU

  • @jeanlouisangelina4654
    @jeanlouisangelina4654 8 місяців тому

    Nakupata mtumishi Mungu akulinde

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 місяців тому +1

    Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi

  • @saimonkaayanyawacha3836
    @saimonkaayanyawacha3836 8 місяців тому

    Nimekuelewa mungu akubariki

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 7 місяців тому

    Nakukubali mnoo kwa kuwa ulitoka huko unajua kila kitu

  • @belinamwambeleko370
    @belinamwambeleko370 8 місяців тому

    Kweli kabisa .asante mtumishi wa mungu

  • @swai.edentv5273
    @swai.edentv5273 8 місяців тому +2

    Kweli kabisa

  • @user-yn5lk7wk1r
    @user-yn5lk7wk1r 8 місяців тому

    Mtumishi Bwana akupe nguvu zaidi

  • @mpesastatements2265
    @mpesastatements2265 8 місяців тому

    Enda mbele baba tuko pamoja tutashinda Niko kenya nakuelewa sana

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 8 місяців тому

    Ee Mungu naomba nifikishe mwisho mwema ili niuone ufalme wa mbingu nami niimbe pamoja na malaika hao wanne wenye uhai na watakatifu wengine

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v 5 місяців тому

    Sema ukweli baba mungu akutunze

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 13 днів тому

    Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 8 місяців тому +3

    Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 8 місяців тому

    Amina mtumishi

  • @user-oc4pm9fs7z
    @user-oc4pm9fs7z 6 місяців тому

    Thanks sana

  • @BwawaniSecondarySchool
    @BwawaniSecondarySchool 8 місяців тому

    🎉🎉

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 8 місяців тому

    Amen

  • @rafikiyangu34
    @rafikiyangu34 8 місяців тому

    😭😭😭😭😭😭😭happy for what you are doing
    Don’t stop but then we should not hate evil doers

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g 3 місяці тому

    Umenena kweli mtumishi, ni wasafi kidogo wa mavazi wachafu wa nafsi,< nafsi wameuza kwa shetani>

  • @RemmyKazumba
    @RemmyKazumba 22 дні тому

    Aminaumenib 12:24 adirisha

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 8 місяців тому

    Yes sir

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 8 місяців тому +1

    Tatizo watu tumeshikwa ufahamu hatuelewi hatusikii

  • @raymondwatsonvideosclip5177
    @raymondwatsonvideosclip5177 8 місяців тому +2

    jamani hii hatari

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga 2 місяці тому

    Mwenye TV mwenywe aeleweki.kama wakuzim

  • @cristinarashid1245
    @cristinarashid1245 8 місяців тому

    Ameen

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 8 місяців тому

    Ee Mungu utunusuru waja wako.

  • @MariamLulao-im3bf
    @MariamLulao-im3bf 7 місяців тому

    🙏🙏

  • @Elishaponde
    @Elishaponde 8 місяців тому +1

    ameni kk utukufu kwamngu wetu

  • @loveneskasanga4186
    @loveneskasanga4186 7 місяців тому +1

    Acha kifatilia ya watu fata yoko,Yako yamekushinda😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂 kweli alafu huyu jamaaa ni kigeugeu😅😅😅😅

    • @MnanilaMrsmnanila
      @MnanilaMrsmnanila 2 місяці тому +1

      Pole Sana,huyu ni mtumishi wa Mungu ukimfatilia utapona

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 14 днів тому

      karibu nuruni utaelewa MUNGU akusaidie 🙏🙌

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 7 місяців тому

    MUNGU Atusaidie Mtumishi

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 8 місяців тому

    Nikweli baba sema tupone

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx 4 місяці тому

    N kwel kabisa, watu wajue ukwel

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 8 місяців тому

    Mchungaji endelea kupiga vita

  • @DedieuFereza
    @DedieuFereza 3 місяці тому

    Uyo msani ni shetani wa kuzimu BWANA ATUSAIDIYE KWELI

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 8 місяців тому

    Leo 🤝🤝🤝😳

  • @Mteulefrancic10
    @Mteulefrancic10 8 місяців тому

    Twende tuondoke safar ya mbinguni

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 3 місяці тому

    Muda ni mchache mambo ni mengi

  • @damasioadrianosalendi6871
    @damasioadrianosalendi6871 8 місяців тому

    Vipi kuhusu vaimba kwaya ntunsikilize nani?

  • @NathanielJeksta
    @NathanielJeksta Місяць тому

    Kweri kabisa

  • @user-bx5nc8ge6r
    @user-bx5nc8ge6r 8 місяців тому

    Ni hatari kweli 🤔

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 7 місяців тому

    WENGI WAPE! BASATA IPOGO SIYO! HABARI NA UTANGAZI, UTAMADUNI, VIJANA NK , TUOMBEANE MEMA TUFIKE PAZURI MUNGU APATE UTUKUFU WAKE DAIMA! WASAFI NA DINI!

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi1756 8 місяців тому

    Kwan kuangalia TV ni zambi au kuwa na TV n zambi ni eleweshen

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 14 днів тому +1

      sio dhambi inategemea na unacho tazama dada🙏

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 7 місяців тому

    Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 3 місяці тому

    Maskiniii

  • @barakamachard1944
    @barakamachard1944 7 місяців тому +1

    Tufanye kazi jamani umasikini huleta uongo 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому +1

      Kweli 😂😂😂😂😂😂

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 14 днів тому

      ukiwa nuruni utaelewa,,, MUNGU akusaidie

  • @user-uj6zq7rw2s
    @user-uj6zq7rw2s 8 місяців тому

    Mimi niende kanisa gani??

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 8 місяців тому

      Njoo msikitini

    • @MnanilaMrsmnanila
      @MnanilaMrsmnanila 2 місяці тому

      Mtafute Mungu na uende mahali sahihi ambako hawatumii Maji wala mafuta ila jina la Yesu ndilo linalo hubiliwa na kutukuzwa Tu mpendwa wangu

  • @ferdinandmlacha1123
    @ferdinandmlacha1123 8 місяців тому +2

    Wewe mwenyewe fake unaonekana tu

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o 8 місяців тому

    MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI.
    LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU.
    HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE

  • @MeshackDaniely
    @MeshackDaniely Місяць тому

    Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa

  • @LAMECKSHEDRACK
    @LAMECKSHEDRACK Місяць тому

    Kweli kabisa

  • @user-ro2mb5uc1y
    @user-ro2mb5uc1y 8 місяців тому +1

    Hakika MUNGU azidi kukulinda