Nawasihi sana kueni makini nahuyu Paulo cassian.. Me huwa napenda kumwita Paulo kutokana nakila nikitaka kuita jina lake fasaha najikuta namwita Paulo... Kwann nasema tuwe makini naye? Nihivi huyu mtu mdogo sana kwene ulimwengu wa macho ya mwili yani nikama haonekani hivi.. Au anaweza kuonekana nimtu flan ambaye anatafuta kiki kwakuwasema watu.. Ndugu zangu ngoja niwambie me nawaamsha kutokana na kitu ambacho moyo wangu unaniambia sijui kama ni Mungu au mawazo yangu me sijui! Nikitu kinasema kila leo ndani yangu... Ndugu zangu huyu Cassian nikinywa cha Mungu moja kwa moja nisauti ya Mungu isemayo kwa hasira... inawezekana asieleweke japokua kila anenapo shetani hujaribu kuwapumbaza watu wamdharau nakumpuuza nakumchukulia kawaida tu au mtu anayetafuta wafuasi mtandaoni.. Li nikazi yashetani kuwapumbaza watu hata wale walioamini kweli ya Mungu.. Cassiani nisaut ya Mungu inayotetea watoto wake wasipotee inahitaji ufahamu wa Kristo kumuelewa Cassiani.. Me nawaonya juu yakumdharau mtu huyu leo watu hawapendi kuonywa wanapenda maneno laini laini,,, sasa wakiubiliwa nenola kweli wanaona ni maneno yenye ukakasi sana masikioni kwao... Mungu yupo cazini Cassian cyo mdogo kama wanavomnena Cassiani kapandishwa juu na Jehova nihekima inayopaza sauti... Ole wenu mwene sikio na asikie siku zimeisha tunakaribia nyumbani.. Ole wetu.. Mungu akubariki sana Cassiani.
Mimi binafsi sina tatizo na mahubiri yake! Kila mtu ametumwa na Mungu kwa kazi maalum hivyo kuwasema watumishi wengine na kuwaonya wao wenyewe na wafuasi wao ni utume wa Mungu! Tatizo langu kwa huyu mtumishi ni matangazo anayoruhusu katika vipindi vyake kwa mfano hii clip ilianza na mziki usioshuhudia anayoongea! Kwa uelewa wangu hilo ni tangazo la biashara ambayo wanamlipa mwenye kipindi kama ndivyo kweli ni halali/hekima kutumia matangazo kama hayo katika vipindi vyake??
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai. MUNGU akutie nguvu na akupe ulinzi pande zote maana wamchukiao MUNGU wanakusagia meno. Barikiwa sana mtumishi.
Uko vizuri ndugu yangu fanya kazi ya Mungu Yesu yupo mahali hapo ulipo awezi kukuacha ukiliubiri neno na kukemea uharibifu na upotoshaji wewe ni mshindi songa mbele
Mungu akubariki mtumishi kwa kufunua waabudu shetani kabisa hawa lakini nashangaa maaskofu wanajua watu hawa lakini hawawaambii watu ukweli mpaka mimi mwenyewe natamanii nipate hata chombo cha midia niwaambie hawa wabudu shetani live
mimi binafsi sili chakula msibani wala sioshi mikono yangu msibani nimetazwa kwenye ndoto wala huyo kuhani simjuwi mimi nipo congo tuwe waelewa na tujuwe kwamba kila mtu mungu amemupa ufunuo miomi nilikatazwa kukula chakula msibani wa kunawa mikono msibani siyo uongo ndugu zangu tuele mandiko hata wewe siyo mkweli kila mtu njia zake anaona yuko salama
Yote kwa yote ukiwa ndani ya YESUKRISTO hata utegwe nini vyote vitayeyuka mbele zako msidanganyike wapendwa Yesu ndiye kiboko ya mambo yote ukiwa naye haiwezekani nguvu yoyote ya giza ikakufuatilia au kukuweza Ushahuri wangu hebu watu wa Mungu tuweni makini sana na injiri za na mna hii kuwa makini mno injiri isiyo muinua Yesu haiwezi kukuokoa maana yeye ndiye mwamba ulio imara aijarishi uli chakula msibani au unawi msibani yote hayo hayawezi kukusaidia na hayana maana chenye maana ni kumchukua YESUKRISTO wala sio kingine mimi nakwambia Yesu ndio mwamba usio tikisika wewe kula tu utakuwa salama ukiwa na Yesu na shetani naye hatakuogopa mpendwa Hondokeni katika injiri za huongo kuhepuka chakula msibani kama wewe ni mtenda dhambi na bado ujahokoka na kulielewa neno la uzima uwezi pony Mwisho ushahuri kwa watumishi wa Mungu acheni kulipotosha taifa la Mungu damu za watu zitadaiwa mikononi mwenu ni hivi wafundishe watu UKUU WA JINA LA YESU NA NINI YESU AMEKUJA KUFANYA DUNIANI SIO KUWAAMBIA WATU EPUKENI KULA MSIBANI HII HAISAIDII KINACHO SAIDIA NI NGUVU YA JINA LA YESU KUTENDA KAZI NDANI YAKO ,,ASANTENI SANA
Nikweli huyu nambii nimesali sana kwake Mara Leo mtapewa jiwe,mafuta kwenye asikio mnawekewa, mdomoni,kwenye macho , Mara udongo, Mara yakwaza nilipomsikiliza ambae huang anatangaza kanisani akaaza kueleza au kusoma matangazo ya hapo nikasikia nunueni maji ili kuosha kutoa mikosi, ndio nikasema huyu mtumishi nimuongo
Tangaza neno la bwana mtumishi bila kujali watu watasema nin, kikubwa ni kusimama katika kweli ya neno la mungu, roho wa mungu awe pamoja nawe, wapotoshaji wasikurudishe nyuma, simama imara maana yesu alisema tufuate nyayo zake
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu yaani watu wanaingia kingi bila kujijua. Watu Hawa wamekuwa waongo kupita kiasi. Hapo katengeneza maji kama maji yakutakasa kumbe uongo mkubwa. Leo mtu anatakaswa na damu ya Yesu na Roho mtakatifu. Barikiwa sana mtu wa Mungu.
Walio wengi sio hoja, hata wanadangwa ila hawaoni. Alisikia wapi kua ukila msibani umemla marehemu, niende msibani nitoke bila kula, nani alisema? Mbaka nile, tena nishibe. Heri tuwe wachache na tuhubiriwe kweli. Walio wengi na wachache bora wawe wanahubiriwa injili iliyo hai, Mungu yupo pale. Mwinjilist, hata nawe unao watu wengi muno, wengi wao ni silent followers tena uko maarufu machoni pa Mungu hata kuwaliko.
Yani tusipo soma Neno la Mungu nakulielewa tunapelekwa kuzimu bila kujua tunaenda wapi kila asomae afaham nyakati tulizonazo jamani akina IIbrahim Baba wa Imani alipofariki hakukua na chakula kwenye msiba wake nyama ni ng!ombe inakuaje amelwa marehem
NYINYI MNAOSAPOTI HII HOJA, ACHENI UJINGA WOTE LENU MOJA MMEYAPANGA ILI MKOMENT MWANZOMWANZO JUUJUU MVUTIE WATU ILI WAKUBALIANE NAANYI, SASA NAWAULIZA MMEONA AYA AU MAANDISHI YOYOTE KWENYE VITABU VYA DINI YANAYOSEMA HIVYO? AU MNAONGOZWA NA MAWAZO POTOFU YA HUYO MCHUNGAJI? NANI KAWATIA UPOFU????
jamani ! mbona ufalme unapingana?kwanini mnaojiita watumishi wa Mungu mnapingana na huku mnajiita wakristo?jipelelezeni na kama unaona ndugu yako anapita papaya mfuate niweke sawa mnatuchanganya.ufalme haufitiniani.
Kwakweli tunahitaji kuijua kweli na tukiijua kweli tutatambua yule robo atendaye kazi katika Wana wa kuasi hivi wapi ilipoandikwa ukila msibani umemla marehemu eeyesu tusaidie kusimama na kweli yako maana ulisema umeona kondoo ambao wamekuwa kama wamekosa mchungaji yesu!!!yesu Yesu ukowapi?fanyahima tuokoe Yesu!!!!yesu tuokoe.
HUYU ALISEMA INAMPASA AMALIZE IBADA MAPEMA, ETI KWAKUWA ANATAKIWA KUTOA RIPOTI KWA yesu KUHUSU KAZI YA SIKU HIYO JUMAPILI ILIVYOKUWA. HUYU MWISHO WAKE UTAKUWA SAWASAWA NA KAZI YAKE
Kwani mungu kakutuma uje ufanye upelelezi kwa watumishi wamungu ndivyo umetumwa bakia hapo hapo na wao wabaki apoapa kwani wewe unaleta vita kwa wana wa mungu kwani wewe ulikua wapi tangu mdogo kama yesu acha siasa wewe
Achini ubaba ishaji shetani unamjua au uliambiwa anarangi gani mweupe mweuzi shida niufamizi acha mungu ashuulike nauofu wao sodoma alimpelekea nani tarifa mpaka akaangamiza akuna kitu napinga kama maneno yakuambiwa au usilo jua au sihasa kwa watumishi acheni kusumbua watu nakuaribu watu tunapambana kiroho na sio kimwili uyu kaka namchukia sana mnafiki mkubwa simpendi ata kumsikia mungu anajua apeleke kikizake mbali awaokoe basa awafae awaambie mungu kanituma nasio uwaribifu kwa mtaa au mtandaoni awatibu watu kwakuwaendea ana ogopa nn kama ni mwanafuzi wa yesu nakatumwa
"Maandiko ndio yatatuambia je huyu ni wa ukweli au wa uongo" Ev. Paschal Kassian. Paschal kassian hajasema kwa shauri lake mwenyewe bali ni maneno ya MUNGU katika Maandiko. Na MUNGU hujifunua kupitia neno lake(Maandiko) hivyo unapaswa kuomba upate nguvu ya kusoma na kutafakari Neno lake ili akufundishe ukweli na sio kumtegemea mtu
Tena shetani wa mashwetani ,huyu,Watumisho wooote wabaya mzur.yeye,tuwe macho na hili Kassiani ,shetani ana mbinu nyingi za kuangusha kanisa,Wanakuja kama.kondoo kumbe mbwa mwitu
Mm napingana na wewe kabisa naona kama wewe ndiyo wa kuzimu kama watu wanatoka kuzimu wanakuja kuokoka yaan nakuomba ndugu yangu jitathimin usije ukaachwa hata Yesu atakaporudi mara ya pili ondoa moyo huu wa farao isije bahari ya shamu ikakumeza
Kama na wewe mungu amekutuma pascal cassian ni sawa ila saidia watu waponye na wewe fungua kanisa hubiri injili tembea na mikoani hubiri sio huku pia unaweza kuamtumishi ila ukapoteza focus ya kulisema neno la mungu mtangaze mtete yesu kwa watu wabatizwe waombeee sio kusema wachungaji achaaa kabisa
Nawasihi sana kueni makini nahuyu Paulo cassian.. Me huwa napenda kumwita Paulo kutokana nakila nikitaka kuita jina lake fasaha najikuta namwita Paulo... Kwann nasema tuwe makini naye? Nihivi huyu mtu mdogo sana kwene ulimwengu wa macho ya mwili yani nikama haonekani hivi.. Au anaweza kuonekana nimtu flan ambaye anatafuta kiki kwakuwasema watu.. Ndugu zangu ngoja niwambie me nawaamsha kutokana na kitu ambacho moyo wangu unaniambia sijui kama ni Mungu au mawazo yangu me sijui! Nikitu kinasema kila leo ndani yangu... Ndugu zangu huyu Cassian nikinywa cha Mungu moja kwa moja nisauti ya Mungu isemayo kwa hasira... inawezekana asieleweke japokua kila anenapo shetani hujaribu kuwapumbaza watu wamdharau nakumpuuza nakumchukulia kawaida tu au mtu anayetafuta wafuasi mtandaoni.. Li nikazi yashetani kuwapumbaza watu hata wale walioamini kweli ya Mungu.. Cassiani nisaut ya Mungu inayotetea watoto wake wasipotee inahitaji ufahamu wa Kristo kumuelewa Cassiani.. Me nawaonya juu yakumdharau mtu huyu leo watu hawapendi kuonywa wanapenda maneno laini laini,,, sasa wakiubiliwa nenola kweli wanaona ni maneno yenye ukakasi sana masikioni kwao... Mungu yupo cazini Cassian cyo mdogo kama wanavomnena Cassiani kapandishwa juu na Jehova nihekima inayopaza sauti... Ole wenu mwene sikio na asikie siku zimeisha tunakaribia nyumbani.. Ole wetu.. Mungu akubariki sana Cassiani.
Tutaifahamu Kweli na Kweli itatuweka huru. Kwa hiyo huku msibani hata wafiwa wasile?? marehemu analiwaje msibani?? Uuuwiiiii... 😢😢
Ubarikiwe kwa mafunuo hayo
Hakika barikiwa sana Kwa kulijua hili,,
Mimi binafsi sina tatizo na mahubiri yake! Kila mtu ametumwa na Mungu kwa kazi maalum hivyo kuwasema watumishi wengine na kuwaonya wao wenyewe na wafuasi wao ni utume wa Mungu! Tatizo langu kwa huyu mtumishi ni matangazo anayoruhusu katika vipindi vyake kwa mfano hii clip ilianza na mziki usioshuhudia anayoongea! Kwa uelewa wangu hilo ni tangazo la biashara ambayo wanamlipa mwenye kipindi kama ndivyo kweli ni halali/hekima kutumia matangazo kama hayo katika vipindi vyake??
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai. MUNGU akutie nguvu na akupe ulinzi pande zote maana wamchukiao MUNGU wanakusagia meno. Barikiwa sana mtumishi.
Uko vizuri ndugu yangu fanya kazi ya Mungu Yesu yupo mahali hapo ulipo awezi kukuacha ukiliubiri neno na kukemea uharibifu na upotoshaji wewe ni mshindi songa mbele
Ongera sana mutumishi pascal damu ya Yesu Christo ni dawa tosha twaliamini hilo bila shaka Yesu unaye mushuhudiya akutiye nguvu nakukuteteya pia
Uu mwalimu wangu wakweli,kwa neno la MUNGU, AMEN,
Mimi nakuelewa sana Mtumishi wa Mungu..... endelea paza sauti nyikani asiyekuelewa atakuja kuelewa alisha poteza mda.
Mutumushi Mungu akurinde sana na apanuwe vipawa ndani yako juu ya kuwawokowa watu wake🎉❤
Mungu akubariki mtumishi kwa kufunua waabudu shetani kabisa hawa lakini nashangaa maaskofu wanajua watu hawa lakini hawawaambii watu ukweli mpaka mimi mwenyewe natamanii nipate hata chombo cha midia niwaambie hawa wabudu shetani live
MUNGU azidi kukubari mtumishi... Mungu amsamehe maana hajui anachokisema
Amen 🙏🙏 mtu wa mungu ubarikiwe sema yote
Umekosa kazi ya kufanya we hubiri ne o la mungu na sio kuponda
Fact
Umesema ukweli mtumishi wa Mungu, P. C, nakubaliana na wewe ktk hilo,kuna Doctrine nyingi zinashangaza sana., Asante kwa ufafanuzi
Usipokuwa na Mungu utapata taabu sana hapa duniani...,.,
Acha mungu atupiganie na atuonyeshe njia ya kweli 😢❤❤
mimi binafsi sili chakula msibani wala sioshi mikono yangu msibani nimetazwa kwenye ndoto wala huyo kuhani simjuwi mimi nipo congo
tuwe waelewa na tujuwe kwamba kila mtu mungu amemupa ufunuo
miomi nilikatazwa kukula chakula msibani wa kunawa mikono msibani siyo uongo ndugu zangu tuele mandiko
hata wewe siyo mkweli kila mtu njia zake anaona yuko salama
Kwa hyo ww ukifiwa hata na mtoto wako watu wasile wa kupika chakula msiban
Yote kwa yote ukiwa ndani ya YESUKRISTO hata utegwe nini vyote vitayeyuka mbele zako msidanganyike wapendwa Yesu ndiye kiboko ya mambo yote ukiwa naye haiwezekani nguvu yoyote ya giza ikakufuatilia au kukuweza
Ushahuri wangu hebu watu wa Mungu tuweni makini sana na injiri za na mna hii kuwa makini mno injiri isiyo muinua Yesu haiwezi kukuokoa maana yeye ndiye mwamba ulio imara aijarishi uli chakula msibani au unawi msibani yote hayo hayawezi kukusaidia na hayana maana chenye maana ni kumchukua YESUKRISTO wala sio kingine mimi nakwambia Yesu ndio mwamba usio tikisika wewe kula tu utakuwa salama ukiwa na Yesu na shetani naye hatakuogopa mpendwa
Hondokeni katika injiri za huongo kuhepuka chakula msibani kama wewe ni mtenda dhambi na bado ujahokoka na kulielewa neno la uzima uwezi pony
Mwisho ushahuri kwa watumishi wa Mungu acheni kulipotosha taifa la Mungu damu za watu zitadaiwa mikononi mwenu ni hivi wafundishe watu UKUU WA JINA LA YESU NA NINI YESU AMEKUJA KUFANYA DUNIANI SIO KUWAAMBIA WATU EPUKENI KULA MSIBANI HII HAISAIDII KINACHO SAIDIA NI NGUVU YA JINA LA YESU KUTENDA KAZI NDANI YAKO ,,ASANTENI SANA
Ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu
Mungu akubariki mtumish kwa kazi njema
Nikweli huyu nambii nimesali sana kwake Mara Leo mtapewa jiwe,mafuta kwenye asikio mnawekewa, mdomoni,kwenye macho , Mara udongo, Mara yakwaza nilipomsikiliza ambae huang anatangaza kanisani akaaza kueleza au kusoma matangazo ya hapo nikasikia nunueni maji ili kuosha kutoa mikosi, ndio nikasema huyu mtumishi nimuongo
Pia inashangaza kwani mtazikaje msipo mshika maiti, msiguse kwani mtazikaje?
Mungu akubariki sana mtumishi
Amen, Yesu alitutakasa kwa damu yake.
Sha kuelewa mtumishi piga kazi uliyoitiwa na yesu
Kuna kitu nilikiona nikawa na swali kichwani mi nasema Asante yesu hukawii kujibu kuhusu huyu kuhani mungu amenijbu
Mtumishi wa Mungu Pascal cassian Mungu akutie nguvu ,Hivi serekalini hakuna watumishi wa Mungu? Mbona tanzania himevamiwa na watumishi wa uongo?
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana tunakuerewa
Huyu anajulikana kabisa sio mtumishi wa Bwana
Amina ubarikiwe na MUNGU AKUTUMIE zaid🎉
Wewe wasemao, unajuwa shida ni kwamba kusanyiko kubwa ndo watu wanajuwa Kuna Mungu hebu muombe roho mtakatifu kwa kufunga na kuomba akupe ukweli,
Amina Amina
Tunatakaswa na Damu ya yesu 🩸🩸🩸🩸Amen 🙏🏻🙏🏻
Ahsante Mtumishi barikiwa sana
Ataleo wanaose mkono🔥🔨🔨🔨🔨
Tangaza neno la bwana mtumishi bila kujali watu watasema nin, kikubwa ni kusimama katika kweli ya neno la mungu, roho wa mungu awe pamoja nawe, wapotoshaji wasikurudishe nyuma, simama imara maana yesu alisema tufuate nyayo zake
Amina mtumishi endelea kutuerewesha wanaoo
Naomben mnisaidie yesu akasema kulen mkate huu kama mwiliwangu kwa ukumbusho akakitwaa kikombe akasema kunjweni damuyangu apo unaelewa nini
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu yaani watu wanaingia kingi bila kujijua. Watu Hawa wamekuwa waongo kupita kiasi. Hapo katengeneza maji kama maji yakutakasa kumbe uongo mkubwa. Leo mtu anatakaswa na damu ya Yesu na Roho mtakatifu. Barikiwa sana mtu wa Mungu.
mungu tuokoe sisi wanao 😭😭😭
mungu akutangurie katika huduma yako paskali awepamoja na wewe amen
Mtumishi pascal mungu akutie moyo maana unayoyasema ni ya kwel
Kweli inabaki kweli,hata wanadamu wapinge kweli,kweli itahubiriwa katika jina la Yesu...roho mutakatifu aendeleye kumuongoza mtumishi wake..niko congo( Rdc) naitwa Bigy.
Kuhani Musa Hana ufahamu
Mtumishi Mkuu ni Yesu Kristo pekee
nakukubali sana mtumishi hendelea kutufungua ufahamu maana tumefungwa
Bado hujasema...... My spiritual dady forever kuhani musa
Pole 😭😭
Mungu azidi kukutumia mtumishi wa bwana
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu. 0:14
Polenakaziyamungu hakikakweli umejitoakufanya❤kaziyamungu huwenamoyohuwohuwo wengihawa pendi kuhamini ninawapa poleyao
Yes
Mmmh
Hapo sasa
Asante baba kwa neno
Ahhhhh
Nmmmmmmh
😂😂😂😂😂😂😂😂
ni kweli kabisa nando yesu alibeba dhambi zetu
Ninakukubal sana mtumishi wa Mungu.
Mungu akubariki, maana watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli
Kwakweli kwanza manabii ni waongo tu kilichobaki ni kujitakasa maana yesu yu karibu kuludi
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI BABA LAO. ❤❤❤
Pole 😭😭
Amina mtumishi
Mungu atupe macho ya rohoni maana sisi ni vipofu
Mtumishi sema watu wajue nini haya yanayosemwa na hao watu na mafundisho yao maana hataukisoma Neno unaona hayapo kabisa
Paskali sema kweli tunawatambua kwa matendo yao
Walio wengi sio hoja, hata wanadangwa ila hawaoni. Alisikia wapi kua ukila msibani umemla marehemu, niende msibani nitoke bila kula, nani alisema? Mbaka nile, tena nishibe. Heri tuwe wachache na tuhubiriwe kweli.
Walio wengi na wachache bora wawe wanahubiriwa injili iliyo hai, Mungu yupo pale.
Mwinjilist, hata nawe unao watu wengi muno, wengi wao ni silent followers tena uko maarufu machoni pa Mungu hata kuwaliko.
Si Kila vya kula ni lazima ule kweli mambo ya rohoni yatambulika Kwa watu wa rohoni na siri za Mungu Zi pamoja na wamchao pole
Yani tusipo soma Neno la Mungu nakulielewa tunapelekwa kuzimu bila kujua tunaenda wapi kila asomae afaham nyakati tulizonazo jamani akina IIbrahim Baba wa Imani alipofariki hakukua na chakula kwenye msiba wake nyama ni ng!ombe inakuaje amelwa marehem
Emeeen
mungu akurehemj
Endeleeeni kumsema vibaya lakini sisi tunaendelea kusali kwake kama kawaidaaaa kuhani musa baba laooooo
Kwaio nawew unakubal ukla msban ni kumkula maiti? Umepotea
We mbaka yesu aludi ndo utajua ukweli ulikua wapi
Ameni mtumishi wamungu
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu.
Ushindweee na uleg ee
Atuonyeshe maandiko yasemayo mtu akila msibani anakuwa najisi, bure kabisa!!!!
NYINYI MNAOSAPOTI HII HOJA, ACHENI UJINGA WOTE LENU MOJA MMEYAPANGA ILI MKOMENT MWANZOMWANZO JUUJUU MVUTIE WATU ILI WAKUBALIANE NAANYI, SASA NAWAULIZA MMEONA AYA AU MAANDISHI YOYOTE KWENYE VITABU VYA DINI YANAYOSEMA HIVYO? AU MNAONGOZWA NA MAWAZO POTOFU YA HUYO MCHUNGAJI? NANI KAWATIA UPOFU????
Hesabu 25;1-9
Mtumishi usimwite mtumishi. Mtumishi wanani wakati anaenda tofauti namandiko
Amen
Christopher Raphael from mbagala,. TIMOTHEO 4:1-5 Basi roho anena waziwazi yakwamba nyakati zamwisho
Yaani hao wanaochombeza sijui yes wanakera
We kiĺa mchungaji shetani ulaniwe kenge we
Usilaani usiye mjua tumeamriwa kuonya ukweli unauma
jamani ! mbona ufalme unapingana?kwanini mnaojiita watumishi wa Mungu mnapingana na huku mnajiita wakristo?jipelelezeni na kama unaona ndugu yako anapita papaya mfuate niweke sawa mnatuchanganya.ufalme haufitiniani.
Yes mgonjwa haponi bila dawa dawa Yao ni kuelezwa ukweli ili wapone na kama chungu wateme
Kwakweli tunahitaji kuijua kweli na tukiijua kweli tutatambua yule robo atendaye kazi katika Wana wa kuasi hivi wapi ilipoandikwa ukila msibani umemla marehemu eeyesu tusaidie kusimama na kweli yako maana ulisema umeona kondoo ambao wamekuwa kama wamekosa mchungaji yesu!!!yesu Yesu ukowapi?fanyahima tuokoe Yesu!!!!yesu tuokoe.
Uongo tuu yani hyo nae awaonyeshe palipoandikwa ukila msibani unamla marehem
Achani aseme
Sio kweli ukiona hivo na wewe ni mchawi
Kuwa heshima acha kumponda mtumishi wewe kibaraka wa shetani
Wanaokutukana zidi kuwaombea maana hawajui walitendalo, adui yetu shetani ndiye aliye ziba ufaham wao wa kutoyachunguza maandiko
HUYU ALISEMA INAMPASA AMALIZE IBADA MAPEMA, ETI KWAKUWA ANATAKIWA KUTOA RIPOTI KWA yesu KUHUSU KAZI YA SIKU HIYO JUMAPILI ILIVYOKUWA.
HUYU MWISHO WAKE UTAKUWA SAWASAWA NA KAZI YAKE
Kwani mungu kakutuma uje ufanye upelelezi kwa watumishi wamungu ndivyo umetumwa bakia hapo hapo na wao wabaki apoapa kwani wewe unaleta vita kwa wana wa mungu kwani wewe ulikua wapi tangu mdogo kama yesu acha siasa wewe
MUNGU akurehemu kwani hujui kwamba Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
Amerdakavishe hivi huoni kuwa Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
Kamtuma aje akemee na kuonya watumishi wa uongo
Achini ubaba ishaji shetani unamjua au uliambiwa anarangi gani mweupe mweuzi shida niufamizi acha mungu ashuulike nauofu wao sodoma alimpelekea nani tarifa mpaka akaangamiza akuna kitu napinga kama maneno yakuambiwa au usilo jua au sihasa kwa watumishi acheni kusumbua watu nakuaribu watu tunapambana kiroho na sio kimwili uyu kaka namchukia sana mnafiki mkubwa simpendi ata kumsikia mungu anajua apeleke kikizake mbali awaokoe basa awafae awaambie mungu kanituma nasio uwaribifu kwa mtaa au mtandaoni awatibu watu kwakuwaendea ana ogopa nn kama ni mwanafuzi wa yesu nakatumwa
Yeye ni wakweli
Mwenye sikio naasikie asiye sikia apotelee mbali sikio lakufa halisikiidawa kula dawa hiyo uliye na sikio lakufa pita pemben
Ni kwel San mtumixh unayoyasem tupo nyakati za mwish
Tafuteni pesa kwa karama zenu siyo mpate pesa kwa kuwasema vibaya watumishi wa MUNGU Nidhambi kubwa sana mnafanya
Kuhani Mussa Richard mwacha nimpakwa mafuta Toka mbinguni.
Beatricekagali yaelekea nawewe ummoja was huyo Musa huyajui maandiko Soma BIBLIA UFUNGULIWE akili na macho pia
"Maandiko ndio yatatuambia je huyu ni wa ukweli au wa uongo" Ev. Paschal Kassian.
Paschal kassian hajasema kwa shauri lake mwenyewe bali ni maneno ya MUNGU katika Maandiko. Na MUNGU hujifunua kupitia neno lake(Maandiko) hivyo unapaswa kuomba upate nguvu ya kusoma na kutafakari Neno lake ili akufundishe ukweli na sio kumtegemea mtu
Pole sanaaaaaaa nakuhurumia Kwa usiyo yajua
Iyo imeandikwa wapi sasa unapotea
Samaki mkubwa anamla mdogo
Kaka ungeendelea na huduma yako acha kumuita mtu wakara wa shetani
Mbona Mimi namuona anachokisema ni kweli? Acha aseme maana hapa hakuna kukaa kimya. Lazima watu waamushwe
Ukweli mtupu 🙏
Tena shetani wa mashwetani ,huyu,Watumisho wooote wabaya mzur.yeye,tuwe macho na hili Kassiani ,shetani ana mbinu nyingi za kuangusha kanisa,Wanakuja kama.kondoo kumbe mbwa mwitu
Mbona huyu mtu anapiga makelele kwenye kichaka?
Mm napingana na wewe kabisa naona kama wewe ndiyo wa kuzimu kama watu wanatoka kuzimu wanakuja kuokoka yaan nakuomba ndugu yangu jitathimin usije ukaachwa hata Yesu atakaporudi mara ya pili ondoa moyo huu wa farao isije bahari ya shamu ikakumeza
Hakuna bahar ya Sham wala nini kikubwa kutengeneza mahusiano yetu na mungu achana na hao manabii maana
Ukitaka kujua chakula Cha msibani kina maana kwanini mtu akifa kifo Cha kutetanisha Huwa chakula hakipikwi na arobaini haifanywi?
We sio mchungaji Wala chochote unatafuta Kiki kwa Watumishi wa Mungu.
Pole
Wewe ibilisi hata unavyo onekana tu
Huyu kuhani ni mpotoshaji mkubwa. Ana maana kama atafiwa hatakula chakula,? Pascal uko sahihi. Huyu jamaa ni wakala wa shetani.
Sasa kama ni mama yangu njo amefariki ni sile awa manabii wa muchongo
Hakika
Wee chakula Cha msibani kitamu balaaa nakiwazaga mno na lile kabich na tumaharage we tutamu balaa
Kama na wewe mungu amekutuma pascal cassian ni sawa ila saidia watu waponye na wewe fungua kanisa hubiri injili tembea na mikoani hubiri sio huku pia unaweza kuamtumishi ila ukapoteza focus ya kulisema neno la mungu mtangaze mtete yesu kwa watu wabatizwe waombeee sio kusema wachungaji achaaa kabisa
Mtumishi mi nnashida na mawasilino yako nipo mbeya
Wivuuuuuuu,kajinyongeeeeee,unataka waumini wake utamuweza?acha wivu,waumini wake wanamwelewa,
Mnamuelewa kwakuwa ameshawateka ufahamu wenu kwa NGUVU za giza hivyo nyote mnatumbukizwa kuzimu
Wewe ndo mpinga kristo mwenyewe Huna utumishi wowote tapeli tu
Mbona mnamtetea kama ni mtumishi wa Mungu kweli basi Mungu atampambania wajinga ndio waliwawo
Mpinga Kristo ni yule asiye kiri Yesu Kristo ni Bwana soma maandiko upate maarifa
Nyie mnaempinga kasian ukweli unawauma na mtaenda motoni kama kondoo machinjon
Nirichoona nikwamba manabii wengi nawachungaji wame ipita biblia waowapojuu kuliko nenoramungu