Mtu wa Mungu Yesu akulinde unapofanya kazi ya kukemea na kukaripia.. Ulichosema kuhusu Paul makonda.. Imebeba ukweli na Mungu aingilie kati maisha ya makonda.. Yesu akayeyushe hiyo sumu.. Na mabaya waliyotenda Mungu akayarudishe kwao.. Ktk jina la Yesu.. Ameeeen.
Dhambi ni aibu ya watu wote bali HAKI huokoa Taifa...! Time will say..! ni heri SISIEMU mungebaki kuwa wezi na walafi wa Mali za uma kuliko kuhujumu maisha ya watenda mema. machozi ya watanzania Kuna siku Mungu atayafanyia kazi..! Kwa jina la YESU Makonda uwe mzima Amina.....!
Naongea kwa kumaanisha in jesus name I destroy the poison from makonda through fire 🔥 of god, nishamalizana sitaludia tena maneno maana sumu ishatoka na makonda anaishi kwa amani
Kwa kweri mtumishi wa Mungu makonda tumuombee sana jamani tutapaje watu kama hawa tusipowaombea jamani bila kujali itikadi zetu makonda anafanya kazi nzuri sana ya jamii mtumishi wa Mungu umenitoa machozi kuhusu maelezo yako tanzania atuna uzarendo kabisa kuhusu watu wazuri wa nchi hii
OOoo kumbe mwalimu wawanasiasa jpm alitolewa hivi hivi sasa maama Samia tusaidie kutafuta watega sumu hao, wao mashetani washindwe may god bless Paul christian makonda poleni sana na Salam kutoka Jinja city Uganda
Mheshimiwa makonda watanzania tupo na wewe .mungu akulinde make wewe ni mtenda haki unawatetea wanyonge. Tunakuombea mungu akupe maisha marefu tuna iman na wewe wanyonge wote wa Taifa la Tanzania hvo ushauri wangu kwako usile vyakula hovyo kula chakula cha mke wako tu.
Eehe Mwenyezi Mungu, tunakuomba Umnusuru kiongozi wetu ambaye wewe Baba ndiye uliyetupatia dhidi ya sumu aliyolishwa na watu wabaya. Mwenyezi Mungu, tuokolewe Makonda dhidi ya sumu aliyolishwa. Tunaomba hilo kwa Jina kubwa kupita yote Bwawa wetu Yesu Kristo. AMEN.
MUNGU Baba, Muumba wa vitu vyote, mwenye uweza wote, unayejua yote, Ninakuomba umponye Paul Makonda ktk Jina la YESU. Kama kazi uliompa kamaliza basi mapenzi yako yatimizwe Amina.
❤❤❤❤ so wa Tanzania tuu wachagulia wengi wenye uwepo wa MUNGU wana Damu wenye sumu ya Kishetani awakubali watu Kama na awa apokee uponyaji katika jina la YESU kristo
Tunaomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu kwa Mh. Paul Makonda. Damu ya Yesu imfunike milele. Kama ni kweli Mwenyezi Mungu atatenda miujiza na kumpa uponyaji wa haraka mtetezi wa Wanyonge wanaodhurumiwa na kunyanyaswa.
BABA ktk jina lipitalo majina yote wew ni Baba Mbinguni na duniani unatawala vyote MUNGU mweny Enxi yote namweka Mtumishi wako Paul Makona mikononi mwako mkono wako mwema iwe juu yake umlinde agiza malaika zako sawawa na neno lako Zaburi 121:1-8 BWANA atakulinda na mabaya yote utakapo na uingiapo Bwana linda nafsi ya Makonda ktk jina la YESU na kwa Damu ya YESU umfunike nimeomba nikiamini MUNGU umefanya sawasaw na mapenzi yako Ameeeeeeeen 🙇🙇🙇🙇🙏🙏
Mungu mponye Makonda na mteteee aliyoyafanya haya chini ya jua mngoe Kwa jina la Yesu damu kama wapo anguko lao liwe kubwa kisibaki kizazi Hadi vizazi vyao Mungu sikia maombi haya amen.
Mungu achoki wala alali afya yake na mawazo yake yako mikononi mwa bwana. Mungu hamuepushe na husda za fisi wenye ngozi za kondoo. He,mungu mpe afyanjema kiongozi wetu Makonda.
Selekari yote nimanyang'au tu. Magufuli walimuua. Ila makonda ataushi kwa jina la YESU Aliye hai. Mungu wetu Muumba wa mbingu amlinde. Amponye naulinzi amuangazie
Nchi yetu Tanzania kama tumefikia kuuwana sisi kwa sisi tena tunauwa viongozi walio na weledi,kinachofuata si amani ni vita....Tanzania hatutokubari, Mumeuwa Magufuli bado Munamfuata Makonda Duh!!
Mungu atamponya tu kwasababu anamakusudi makubwa makubwa kumuweka ili awe msaada kwa watu wake mungu atamjenga na kumtia uponyaji zaidi hata madactari wanaotibu huko mungu baba mwenyezi ukawe kiongozi wao katika huduma wanazompatia mungu baba mwenyezi ukamsimamie nakumwekea ulizi wako Amina🙏🙏
Na Sisi wa congomani Tunamuombeya mtumishi Makonda Mungu afanye jambo kwa ajili ya maadui wake, Mwenyezi Mungu awapatishe haya nawashikwe kwajina la yesu kristo wanazareth Amina.toka Congo uvira
Binadam wanaroho mbaya sana, naumia mpaka basi, naomba Mungu yasijetokea kama ya magufuli jaman, anaekuua nimtu wa karibu yako hata ukiwa unaenda kula nyumban asubh mchana usiku bado watakuwinda tuu, maik pia nihatar sana
Uwiiiii kakangu,kipenzi Cha watanzania kakaangu makonda mungu mnusuru uyu kaka awe hai,mungu mponye uyu kaka,heee mungu nashindwa Mimi naumia najua wewe upo na upo kwajili yetu unatujua tulivyo,unawajua watu wako,Fanya kitu Kwa uyu kaka.
@@LeonardEdward-fb2bn Sawa kabisa na Makonda ni mwongoni mwa waovu amedhulumu haki ya watu ya kuishi anatumia udhaifu wawajinga na masikini kujinufaisha kisiasa
@@erickmsigala138Vp aliowadhulumu nafsi zao unaweza kututajia?? Vp sasahiv utekaji, mauaji kulawiti vp anahusika Mh Makonda?? Au na ww ni mmoja wa waovu acha fitna ndugu tunza kinywa chako
@@AlHamra-k4u wewe ni giza hakuna unacho jua zaidi ya kuwa chawa Kasome ripoti ya haki za binadamu, pia mwuulize anaruhusiwa kuvuka kwenda Marekani mnaye mshabikia huyo ni mazuzu mliye zoea kudanganywa kama kuku wa kuenyeji anaye jikamatisha kwa mtama
😭😭😭MUNGU Amtengeneze upya aludi kakaika haliyake ee Mungu mteetet makonda EeUngu wewe ndio unaetutengeneza ka kutubomoa naomba Mungu amtengeneze binadam hana uweza kwako Emungu na alietengeneza ivyo anyongwe kabisa asizalishe wengine ashindwe kabisa milele Amina🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲💯
Makonda utapona kwa jina la Yesu na urejee kwenye majukumu yako. Hakika watu wabaya watachonwa moto wa Mbinguni, Bwana atende jambo juu ya afya yako. Amen
Umenena vyema sana tatizo lipo kwenye wivu tu....Kuna watu wanatafuta watu bila hata ya sababu mi naamini Kuna mda watu watawafatilia viongozi na wa2 makini bila ya sababu ila waTZ tungeomba tuishi kwa pa1 na kulijenga Taiga letu Big Up sana mtumishi.....Kikubwa tuishi kwa amani kwenye hili Taifa letu..!!?
Mungu akusaidie kukulinda Mtumishi wa Mungu, na ninashukuru kuusema ukweli kuhusu kiongozi shupavu mweshimiwa Makonda tuzidi kuombea Mungu atuepushe na roho ya mauti
Kwa hili kiukweli Makonda niwakuombea. Mungu bana mwenye nguvu na uweza tunakuomba mkumbuke tena makonda,mfufue uhai wake tumuone tena,ee Mungu mwenye rehema nakuomba msimamishe Makonda tumuone watanzania.Nanyenyekea kwako ee Mungu mwema mpe makonda afya njema isiyotikisika.Anafanya mambo mazuri katika nchi yetu ee Mungu usiruhusu adui atunyanganye atunyang'anye Makonda wetu mkuu wa mkoa wa Arusha.Ni mtu mzuri sana katika maisha yetu,Makonda ni mtu muhimu sana katika Taifa letu.Ee Mungu teta na wanao teta na Mkuu wetu wa mkoa Paul Makonda.Asindoke machoni petu Ee Mungu mwenye uweza nakuomba nikiamini utatenda.Aaamen❤
Mtu wa Mungu Yesu akulinde unapofanya kazi ya kukemea na kukaripia.. Ulichosema kuhusu Paul makonda.. Imebeba ukweli na Mungu aingilie kati maisha ya makonda.. Yesu akayeyushe hiyo sumu.. Na mabaya waliyotenda Mungu akayarudishe kwao.. Ktk jina la Yesu.. Ameeeen.
Mungu akubariki sana kwa ujumbe kuhamasisha maombi kwa ajili RC MAKONDA.
Viva Makonda ! Mungu akutetee .Fanya kazi yako kwa mkono Wake.Baba wa mbinguni umbariki nakumsimamia katikamapito yake Amina.❤🎉❤🎉
Luhanga Mpinga, Jerry Slaa, Paul Makonda, nawakubali mno utendaji kazi wao Mungu awalinde vijana hawa
Jiongeze na Jitambue ak 47 katumbuliwa
Dhambi ni aibu ya watu wote bali HAKI huokoa Taifa...! Time will say..! ni heri SISIEMU mungebaki kuwa wezi na walafi wa Mali za uma kuliko kuhujumu maisha ya watenda mema. machozi ya watanzania Kuna siku Mungu atayafanyia kazi..! Kwa jina la YESU Makonda uwe mzima Amina.....!
Naongea kwa kumaanisha in jesus name I destroy the poison from makonda through fire 🔥 of god, nishamalizana sitaludia tena maneno maana sumu ishatoka na makonda anaishi kwa amani
Amen 🙏
Kwa kweri mtumishi wa Mungu makonda tumuombee sana jamani tutapaje watu kama hawa tusipowaombea jamani bila kujali itikadi zetu makonda anafanya kazi nzuri sana ya jamii mtumishi wa Mungu umenitoa machozi kuhusu maelezo yako tanzania atuna uzarendo kabisa kuhusu watu wazuri wa nchi hii
Mungu ampe uzima makonda nampenda sana kiongoz mzuri
Damu ya Yesu imtunze huko aliko. Mungu akumbuke yake mema aliyoyatenda amponye katika Jina la Yesu!!!!
🙏
🙏🏾🙏🏾🙏🏾😭😭
Mungu ampe nguvu mungu waangamize wote walio na roho mbaya tunajua apa duniani tuna pita
🙏🙏
Hawa manabii na mitume n wengine kama hao wakaonueshe muujiza huko kwa mpendwa wetu miujiza mikuu
OOoo kumbe mwalimu wawanasiasa jpm alitolewa hivi hivi sasa maama Samia tusaidie kutafuta watega sumu hao, wao mashetani washindwe may god bless Paul christian makonda poleni sana na Salam kutoka Jinja city Uganda
Mheshimiwa makonda watanzania tupo na wewe .mungu akulinde make wewe ni mtenda haki unawatetea wanyonge. Tunakuombea mungu akupe maisha marefu tuna iman na wewe wanyonge wote wa Taifa la Tanzania hvo ushauri wangu kwako usile vyakula hovyo kula chakula cha mke wako tu.
nikweli kabsa 😢😢🤲🙏
Yesu Kristo ,Kikombe hiki kitu epuka ,Najisikia Vibaya ehee Mungu Baba na kusihi Mungu unikumbuke Baba ,naomba ututunzie PAUL MAKONDA
Hakika Mungu amlinde amuepushe na mauti na adui zake wote Mungu ashughulike nao katika jina la Yesu
Eehe Mwenyezi Mungu, tunakuomba Umnusuru kiongozi wetu ambaye wewe Baba ndiye uliyetupatia dhidi ya sumu aliyolishwa na watu wabaya.
Mwenyezi Mungu, tuokolewe Makonda dhidi ya sumu aliyolishwa.
Tunaomba hilo kwa Jina kubwa kupita yote Bwawa wetu Yesu Kristo.
AMEN.
Mungu amuponye ninamupenda piya kwa sababa ana mwoyo wa kujishusha na kupenda wanyonge❤❤❤
MUNGU Baba, Muumba wa vitu vyote, mwenye uweza wote, unayejua yote, Ninakuomba umponye Paul Makonda ktk Jina la YESU. Kama kazi uliompa kamaliza basi mapenzi yako yatimizwe Amina.
Mungu Wa Mbinguni nakuomba kama uishivyo Paul Makonda Aishi kama ni amepewa sumu dawa yoyote hata maji akipewa apone Kwa jina la Yesu
AMEN 😢 YESU AMPONYE MAPEMA
Amen
Amina
Mungu umponye Makonda. Yesu kamponye baba
Hii dunia ata ukiwa mtu mwema vp wanadamu hatuna shukran...ni bora huishi maisha yako tu ni bora uwonekane na roho mbaya kuliko kuonekana mzuri
Makonda rise up again!!! Hutakufa bali utaishi na kuzitangaza fadhili za Bwana.Amina
Amen!
Amen!🙏🏾
Makonda ponda haraka kwa jina la yesu aliye hai
Amen
amina
❤❤❤❤ so wa Tanzania tuu wachagulia wengi wenye uwepo wa MUNGU wana Damu wenye sumu ya Kishetani awakubali watu Kama na awa
apokee uponyaji katika jina la YESU kristo
Tunamfunika Mh Makonda kwa damu ya Yesu huko aliko Mungu wew unamuona na unajua Mungu zuiya chochote kibaya juu yake🙏🙏🙏🙏🙏Mungu sikia maombi yetu🇹🇿🇹🇿
Makonda ni moja ya viongozi wanaoweza kufanya transformation katika Nchi hii. May God bless him.
katika jina la Yesu, ewe Jeová, namuombea RCmakonda umkomboe katika matizo yalio mkuta.ewe mwenyezi Mungu nisaidie ámen 😢
Tunaomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu kwa Mh. Paul Makonda. Damu ya Yesu imfunike milele. Kama ni kweli Mwenyezi Mungu atatenda miujiza na kumpa uponyaji wa haraka mtetezi wa Wanyonge wanaodhurumiwa na kunyanyaswa.
Aamiyn Yarrabi 😊
Mungu mlinde Makonda, Dar tunakulilia, wanyonge tunakuhitaji, ni chapa ya mzee baba Magu...
Watanzania Mnaleta Aibu kweli kabisa yani Akili zenu hazipo .yani leo Makonda anafanya kazi vizuri mnataka kumuwa apana kweli .yani Watanzania
wewe mwenye akili una cheo gani???,,,Acha wivu na maneno ya vijiwenu😮 Makonda ni kiongozi mzuri ndo maana wanaomchukia ni wengi
BABA ktk jina lipitalo majina yote wew ni Baba Mbinguni na duniani unatawala vyote MUNGU mweny Enxi yote namweka Mtumishi wako Paul Makona mikononi mwako mkono wako mwema iwe juu yake umlinde agiza malaika zako sawawa na neno lako Zaburi 121:1-8 BWANA atakulinda na mabaya yote utakapo na uingiapo Bwana linda nafsi ya Makonda ktk jina la YESU na kwa Damu ya YESU umfunike nimeomba nikiamini MUNGU umefanya sawasaw na mapenzi yako Ameeeeeeeen 🙇🙇🙇🙇🙏🙏
AMINA
Ameen
Amena
Kwani jamani ni kweli makonda kapewa sumu?
Amina
Mungu mponye Makonda na mteteee aliyoyafanya haya chini ya jua mngoe Kwa jina la Yesu damu kama wapo anguko lao liwe kubwa kisibaki kizazi Hadi vizazi vyao Mungu sikia maombi haya amen.
Wivu Tu wao hawfanyi kazi tofauti wanachowaza ni kuiba Tu Mungu na awe pamoja na makonda
Mijizi mikubwa milafi mifisadi
Mungu achoki wala alali afya yake na mawazo yake yako mikononi mwa bwana. Mungu hamuepushe na husda za fisi wenye ngozi za kondoo. He,mungu mpe afyanjema kiongozi wetu Makonda.
in sha allah yarab 🤲🤲
Selekari yote nimanyang'au tu. Magufuli walimuua. Ila makonda ataushi kwa jina la YESU Aliye hai. Mungu wetu Muumba wa mbingu amlinde. Amponye naulinzi amuangazie
Amen
Wakikamatwa wanyogwe wamezoeya kutuonderea watu wetu wazuli
Mtumishi nakupenda sana unasema sahihi viongozi ni wanafki kweli sio uongu Mtumishi sema kweli na Mungu atasimama na ww .
Makonda is a blessing to this generation! Whenever I see him I see Magufuli
❤❤❤ mungu skubariki kwakua mkweli huyu ni magufuli aliyefufuka
Mwenyeezi Mungu Amponye na Kumnusuru RC wetu😢😢🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akubariki sana, kwakweli mambo ambayo makonda anafanya kweli watumishi wa serekali wasimwonee wivu.
Kama kweri makonda kanyweshwa sumu.basi mungu hatanyamaza kwa walio husika.
Asante MTUMISHI waambie vichwa vimejaa ufisadi awataki kusikia ukweri Lakini Mungu yupo
Amen Mtumishi, Tunamtaka Makonda.
Hapa umekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli ( Mungu akulinde mtumishi) Mungu amulinde Christian Makonda ,Mungu mpe afya njema
Makonda atakua kama Mzee wetu MAGUFULI MWAMBA FOREVER 🙏
Makonda anapigwa vita kama Baba Yetu ila Mungu amsimamie amlinde na maadui wote
Nchi yetu Tanzania kama tumefikia kuuwana sisi kwa sisi tena tunauwa viongozi walio na weledi,kinachofuata si amani ni vita....Tanzania hatutokubari, Mumeuwa Magufuli bado Munamfuata Makonda Duh!!
@@estherkibajiro3480 Yaani inaumiza sana Mungu aonekane kwa hili
Jamani watanzania MUNGU amefichua ukweli bado mnahamini baba ni gonjwa la moyo ndo lilimtoa apa duniani ???
Mkuki kwanguruwe lakini kwabinadamu nimchungu
Subuhana Allah makonda wetu mwenyezimngu amuepushe walimwengu wanayoongeya
Mungu atamponya tu kwasababu anamakusudi makubwa makubwa kumuweka ili awe msaada kwa watu wake mungu atamjenga na kumtia uponyaji zaidi hata madactari wanaotibu huko mungu baba mwenyezi ukawe kiongozi wao katika huduma wanazompatia mungu baba mwenyezi ukamsimamie nakumwekea ulizi wako Amina🙏🙏
Huh❤❤❤❤❤kwamoyommoja maombi
Makonda tunakutakia kila laheri mungu aokoe maisha yako ili utimize doto zako nawatanzania kwa ujumla
Na Sisi wa congomani Tunamuombeya mtumishi Makonda Mungu afanye jambo kwa ajili ya maadui wake, Mwenyezi Mungu awapatishe haya nawashikwe kwajina la yesu kristo wanazareth Amina.toka Congo uvira
MUNGU amsaidie appnee inshallah na iyo sumu igeuke kuwa dawa mwilini mwake inshallah
Amina
Amen a
Amen
Amina
Pole sana ndugu yetu, kiongozi wetu Makonda mwenyezi Mungu akufnyie wepesi Upoke
Rc makonda usile kila sehemu , beba lunch box yako toka nyumbani baba.Mwenyezi Mungu akulinde.
ni kweli
Binadam wanaroho mbaya sana, naumia mpaka basi, naomba Mungu yasijetokea kama ya magufuli jaman, anaekuua nimtu wa karibu yako hata ukiwa unaenda kula nyumban asubh mchana usiku bado watakuwinda tuu, maik pia nihatar sana
Tena hata asisheki hands kabisaaa
@@gracemairusya2950 kabisa. ndomana
Samia ana kusanya mikono yake miwili kuashiria SALAAM!
naskia hivi punde kuwa yuko Dubai kwa medical checkup za kawaida. ss sijui kweli au?
Uko sawa Mtu wa Mungu. Binafsi naumia Baba. Mungu atusaidie kumponyaaaaaaaaa Eee Munguuu!!
Tunaomba Mungu ampiganie 😢😢 wallah inauma sana. Halafu serikali inatudanganya eti Mh yupo likizo. Serikali ya Tz mbovu, husda, wivu umetawala 😢
Yan uongo huu sijui utatufikisha wapi😢
Uwiiiii kakangu,kipenzi Cha watanzania kakaangu makonda mungu mnusuru uyu kaka awe hai,mungu mponye uyu kaka,heee mungu nashindwa Mimi naumia najua wewe upo na upo kwajili yetu unatujua tulivyo,unawajua watu wako,Fanya kitu Kwa uyu kaka.
Tuko katika kizazi cha laaana na waovu wanatawala ulimwengu 😢 DUNIANI SIO MAHALI SALAMA😢 MUNGU AMPIGANIE MH.MAKONDA✍️🙏
@@LeonardEdward-fb2bn Sawa kabisa na Makonda ni mwongoni mwa waovu amedhulumu haki ya watu ya kuishi anatumia udhaifu wawajinga na masikini kujinufaisha kisiasa
@@erickmsigala138Vp aliowadhulumu nafsi zao unaweza kututajia?? Vp sasahiv utekaji, mauaji kulawiti vp anahusika Mh Makonda?? Au na ww ni mmoja wa waovu acha fitna ndugu tunza kinywa chako
@eriSHETANI MUKUBWA WW?ckmsigala138
@@AlHamra-k4u wewe ni giza hakuna unacho jua zaidi ya kuwa chawa Kasome ripoti ya haki za binadamu, pia mwuulize anaruhusiwa kuvuka kwenda Marekani mnaye mshabikia huyo ni mazuzu mliye zoea kudanganywa kama kuku wa kuenyeji anaye jikamatisha kwa mtama
@@erickmsigala138
Propaganda za kijinga kweli kweli. Onyesha hata sehemu ndogo tu kua Makonda kahusika.
Mungu ndiye Ali weka makonda penye uongozi katika inchi ya tanzania Mungu amu ponye
Mungu amtete kiongozi wetu makonda.. Mungu naomba uponye popote alipo
Tuna muombea uzima, damu ya Yesu indelee kumfunika, tunampenda sana, tunabatirisha taarifa mbaya kwa jina la Yesu amina
ASANTE SANA BABA CASIAN..MUNGU AKUBARIK NAPENDA VILE MUNGU ANAKUTUMIA PLZZZZ BABA ANAOMBA UZID KUMUOMBEA SANA MAKONDA
Mungu aikumbuke kazi yako Paul wetu
MAKONDA HANA UJANA BALI MAFISADI HAWAMPENDI MTENDA HAKI MUNGU MJALIE MAKONDA
Eeeh mungu wangu mtangulie apone kwa damu ya yesu hatakufa bali ataishi
Makonda, natamka kwa mamlaka ya jina la Yesu hutokufa bali utaishi wewe ni mtumish wa Munga watakufa wao wanaokutafuta kwa jina la Yesu
Yesu gani?
Nyoo hajakuulia ndugu zako sababu yeye asife ni robot amaa😅😅😅
Amen
Hakika ataishi kbs jina la Yesu... Mungu nakuomba mumlinde
"Hakika Kila nafsi itakufa" all of us is just matter of time as per God plan
Mungu aliye juu amlinde paul makonda
Hii nihatar kwa upande wagu nawakubali sana Makonda naJelly Slaa pomoja naMpina Mungu awalinde
Hayo yote ni majembe kwel
😭😭😭MUNGU Amtengeneze upya aludi kakaika haliyake ee Mungu mteetet makonda EeUngu wewe ndio unaetutengeneza ka kutubomoa naomba Mungu amtengeneze binadam hana uweza kwako Emungu na alietengeneza ivyo anyongwe kabisa asizalishe wengine ashindwe kabisa milele Amina🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲💯
Inauma Sana kwann mtu mwema hadumu dunian kwann mungu katupa fumbo gumu kwa wale tuwapendao
Jaman nimeliyaaa mungu atusandie sanaa
Mungu humlinda kila alie wake kwa jina la yesu kristo wa nazaleti mponye kiongozi wetu mtetezi wa wanyonge!!
Makonda ni Hazina kama alivyo kuwa Magufuli 🎉🎉🎉
@@albertinamichael6123 Makonda ni hazina ya wapumbavu wasio jitambua wanaopenda kudanganywa na maigizo
Mpumbavu ni ww na genge lako la waekaji wa sumu@@erickmsigala138
@@erickmsigala138 Wewe aliyekua mwerevu ndio miongoni mwa mafisadi lazima umuone makonda anaigiza na wala sikushangai Kwan Ata Malaika WaPo wanaomchukia Yaan mashetan vp wewe mwanadam
We ni fisadi mkubwa unaetuibia nchi yetu, shenzi kabisa!@@erickmsigala138
@@erickmsigala138ukapime akili yako, ona comments zote na yakwako then jitafakali
Mungu akuponye Mtumishi wa Mungu huko uliko Damu ya Yesu Kirsto Alie hai ikuponye
Kama roho yake imetoka nairudisha kwa njia la yesu nimemaliza Wala sirudii na ninavyojua yupo hai kama mungu wangu haishivyo
Mungu naja mbele zako namleta kiongozi wetu makonda umlinde mtie nguvu mzingire kwa damu yako na katika hili naomba mponye katika jina la Yesu Amen
MUNGU MULINDE MPINA, MPONYE MAKONDA.Amen
Makonda utapona kwa jina la Yesu na urejee kwenye majukumu yako. Hakika watu wabaya watachonwa moto wa Mbinguni, Bwana atende jambo juu ya afya yako. Amen
Mimi ni musalaam lakini nampenda sana makonda mungu amlinde na watu mahasidi Amen ❤❤❤
Amen
Allahuma amin yarab laalamin
Sasa dini inahusiana na nn na kiongosi
Polee kipenz cha watanzania mungu atawafedhehesha wotee wanaopenda kuwauwa watu kama wamejiumba wenyewe watambue watakufa vifo vby cku yao ikifka
Mimi ni muislam namuomba Mungu kwa niyaba ya hawa waliokosa wa kuwasemeya ewe Mola ya rabi mlinde huyu komredi.
Umenena vyema sana tatizo lipo kwenye wivu tu....Kuna watu wanatafuta watu bila hata ya sababu mi naamini Kuna mda watu watawafatilia viongozi na wa2 makini bila ya sababu ila waTZ tungeomba tuishi kwa pa1 na kulijenga Taiga letu Big Up sana mtumishi.....Kikubwa tuishi kwa amani kwenye hili Taifa letu..!!?
Mkimua Mkonda mtakuwa mtenda dhambi kubwa sana.
Mungu akusaidie kukulinda Mtumishi wa Mungu, na ninashukuru kuusema ukweli kuhusu kiongozi shupavu mweshimiwa Makonda tuzidi kuombea Mungu atuepushe na roho ya mauti
YESU ALIKUFA, ALIFUFUKA , YESU YU HAI NA MAKONDA YU HAI KWA JINA LA YESU..
peleka ujinga wa kumfananisha yesu na wezi
Ana ujinga gani au wewe umemwekea cheti chake cha ujinga.
Au ww ndio umemuekea sumu
@@kkhalifairumba2932 mnajuaje nyie kapewa sumu,acheni uzushi yupo likizo... anakula bata
Amina mungu atampigania
Mungu atende miujiza BABA KEGANI uludi katika majukumu Yako AMEN
Daaa inaweza ikawa kweli??
Mbona kutakuwa hakuna kiongozi Tz tena aisee
Inasemekana kweli sema daah roho inaniuma kweli
Mungu msimamie Makonda asife tunamhitaji sana, tumeingia imani kuwa tumempata Magufuli Mungu,Mungu pokea maombi yetu
Mtumishi Pascal Naungana nawe kabisa, Tufunge na kuomba, Makonda awe Salama, sina furaha kabisa 😭
Kabisaaaaa
Mungu aikumbuke ile sadaka yake anayotoa madhabauni kila akienda kanisan mungu ukamponye paul makonda
Makonda nichombo ,anafaa kua rais
Kweli kabisa jamaa anafanya kazi sana. Yuko vizuri
Hakika nasema naaam huyu ni raisi ajaye
Mtumishi wa mungu baasi baba maneno yako yameniliza sana kama kweli kapewa sumu mungu atawaangamiza
Hivi serikali ya samia ina laana gani??
Hivi wameshindwa kusema ukweli juu ya makonda????
Inaauma sana wallah😭😭😭😭😭😭
Tumuombeee sana makonda .Mungu amtetee na kumpa nguvu na afya njema
MUNGU mponye p.mkonda katika jina la YESU na damu ya YESU hesabu 23 /23 na zaburi 16/19 nafunga roho ya mauti juu ya p.makonda
Asante sn kwa kutusemea mkuu inasikitisha sn
Huyu jamaa ana Kibali kutoka kwa Mungu ni kiongozi anaeweza hata kuiongoza Tanzania kwa ujumla
Mavi
Kwanini
Mungu akubariki sana
Makonda yuko wapi serikali
Ee Mungu amponye mtumishi wako Paul Makonda, kwajina la Yesu kristo, Àmina.
Magufuli wapili huyu
Ndo maana wanataka wamuue kama walivyomuua Magu, yaani hii ndo itadhibitisha walimuua
Jamani ikitokea wamemuua"wananchi Wagoner uchaguzi ujao kabisa
Hakika Mungu mwaminifu asikiaye maombi ya watuwake atampona amen❤❤
Tanzania ukiwa unapenda kuisimamia HAKI za watu ,,,,unapigwa VITA , ee Mungu umpe wepesi Mt. Makonda apone ktk jina la Yesu kristo
Mungu akulinde makinda wetu Mungu akupe uzima Amen
Kwa hili kiukweli Makonda niwakuombea. Mungu bana mwenye nguvu na uweza tunakuomba mkumbuke tena makonda,mfufue uhai wake tumuone tena,ee Mungu mwenye rehema nakuomba msimamishe Makonda tumuone watanzania.Nanyenyekea kwako ee Mungu mwema mpe makonda afya njema isiyotikisika.Anafanya mambo mazuri katika nchi yetu ee Mungu usiruhusu adui atunyanganye atunyang'anye Makonda wetu mkuu wa mkoa wa Arusha.Ni mtu mzuri sana katika maisha yetu,Makonda ni mtu muhimu sana katika Taifa letu.Ee Mungu teta na wanao teta na Mkuu wetu wa mkoa Paul Makonda.Asindoke machoni petu Ee Mungu mwenye uweza nakuomba nikiamini utatenda.Aaamen❤
Eeemwenyezi Mungu mulinde Paul C. Makonda uko aliko kwani uongozi wake ni wakipekee na tunatamaani aendelee kutuongaza .Mpe afya njema 💯uko aliko🙏