Asante sana Mtumishi wa Mungu. Somo la Leo ni langu. NAMI nimepata fundisho la kuniweka sawa. Katika tatizo langu la matatizo yangu yote na hata magonjwa yangu yote. Yesu atanishindia tu. Sitakuwa kama hivi nilivyo. Kwa kuwa Bwana wetu Yesu aliyashinda haya. NAMI atanishindia tu. Raha iko mbele yangu. Alipo Yesu NAMI nipo. Atanishindia tu. Ee Yesu naomba nisaidiye. Asante Yesu. Amen.
Mungu ni mwema, na hakika ni tegemeo letu Kabla siaona hii video nilisikia msukumo mkubwa wakunihamasisha niweze kufuta nyimbo za dunia yaani bongo forever Sasa baada ya kutazama video hii nikawa nimegundua Kumbe Mungu anaweza kuongea na mtu kwa namna ya tofauti sana Mungu akubarik sana mtumishi AMEN
Ujumbe wa muhimu sana, naona ni neema tu na mimi kusikia, ninakushukuru Mungu wangu,ninaomba uwajalie watu wengi zaidi wasikie na ninaomba umtie nguvu na umlinde
Eti suruali ya kuvaa watu wawili. mutu amevaa suruali ya kuvaa watu wawili? Waaah! Umewagundua kweli. Oh merciful LORD and Savior save me from the corruptions of this world. Help me to know You, show me Thy glory that I may do Your will, I pray Thee. Amen
Aisee Hatari Sana. Mungu atusaidie hivi kuna haya mambo makanisani ...kama hapo Kwa Mwingira aisee watu waamke...Pascal endelea kusema kweli tunakuombea. Watch and Pray!!
Tell them the truth , only God will heal the world ,the one who's in God side, will be the child of God, God bless you Man of God and God will lift you to preach the Gospel to the whole world this is the end time.
Hakika Mungu Yuko pamoja nawe Pascal casian Mungu. Akulinde Zaid maana Kanisa la leo linapindisha ukweli na kujenga misingi ya kidunia na ya kipepo. Ila Mungu ameachilia Nuru iwake juu wako 🔥🔥🔥🔥
Kwakweli kaka neema hii ya MUNGU MKUU isikupungukie kamwe katika WITO na kazi hii AMBAYO kwaajili ya haya uliumbwa. Asante sana ubarikiwe, ninapokea uponyaji juu ya seduction spirit behind songs/ singing in Jesus'name. Amen
Maandiko yameeleza waziwazi kuhusu habari za nyakati za mwisho. Kuhusu ishara namambo yatakayotokea hivyo nasihi kila mmoja awe na maandalizi ya maisha yake kuishi maisha yanayompendeza Mungu. Tujiweke tayari wakati wote maana mambo hayo hayana budi kutokea.
Mutumishi Wa MUNGU ishi myaka mingi papa kwa kweli ume tafsiri kwa uongozi wa roho ya kweli MUNGU akuweke milele mimi naomba MUNGU aweke watumishi wake wa kweli aishi milele bwana MUNGU nisikie n'a Mudogo wangu nakuomba watumishi wako wa kweli wawe n'a maisha marefu ili kizazi hiki tupone wengi amina
Yes devil was a great musician in heaven he is a hero,only those who allowed holy spirit to guide,to be a teacher etc to there souls to understand the secrets of hidden things in the world of spirit,only them can understand what devil is trying to do,he is a thief he steal minds and souls of many,and many youths will perish ,my heart is worring for life of youths may lord hv mercy with us to send a seivour to redeem life's of many pole🙏🙏
Chamoto sana alaf point yao yakujitetea wanakwambia Kwa Yesu kuna vyote, kiukweli makanisa ya nyimbo zanamna hio hunikuta sijisikii amani niwapo ibadani mpaka naondoka
Cassian MUNGU wambinguni akubaliki sana na azidi kukutunza katika maisha yako ya utumishi. nausije uka vunjika moyo hata kwa maneno yoyote yale.kuwa mwaminifu hata kufa YESU ame ahidi kutoa uzima wamilele usiache kuhubiri usiache. Usiache mtumishi.
Mimi huyu kijana diamond huwa anankera Sana. Ana mambo ya kishetani tu. Nyimbo zake ni za kishetani. Asante mchungaji. Aombe Sana na amrudie mungu aliye juu.
Mtumishi wa Mungu Pascal Cassian, Bwana Yesu Kristo asifiwe, hiyo picha ya huyo mtu mwenye mapembe ndiye niliyoiona kwenye ile tv ya mchungaji kwenye ile ndoto niliyoiota kipindi nimeacha kwenda kanisa la efatha
Nyimbo upewa mashairi kuzimu, mfano umbrella ya rihanna alipewa huo wimbo na li pepo liliingia kichwani mwake likampa mashairi. Na umbrella maana yake ni shetani
Ubarikiwe sana mtumishi. Alie na sikio na asikie jinsi Roho wa Bwana Yesu ayambia makanisa.
Mungu atusaidie kweli
🙏🙏🙏🙏
Lait watu wangeskiliza mahubiri haya na kusoma neno la mungu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yaani natamani mda wote niwe nasikiliza Neno la MUNGU tu , YESU niokoe na jehanamu, Mtumishi MUNGU azidi kukutunza
Asante sana Mtumishi wa Mungu. Somo la Leo ni langu. NAMI nimepata fundisho la kuniweka sawa. Katika tatizo langu la matatizo yangu yote na hata magonjwa yangu yote. Yesu atanishindia tu. Sitakuwa kama hivi nilivyo. Kwa kuwa Bwana wetu Yesu aliyashinda haya. NAMI atanishindia tu. Raha iko mbele yangu. Alipo Yesu NAMI nipo. Atanishindia tu. Ee Yesu naomba nisaidiye. Asante Yesu. Amen.
NIMEKUELEWA SANAA BROTHER MUNGU ATUHURUMIE 😭😭😭 NIMEKUPATA SANA KABISAA TUGEUKIE MUNGU WATU WA MUNGU
Mungu ni mwema, na hakika ni tegemeo letu
Kabla siaona hii video nilisikia msukumo mkubwa wakunihamasisha niweze kufuta nyimbo za dunia yaani bongo forever
Sasa baada ya kutazama video hii nikawa nimegundua
Kumbe Mungu anaweza kuongea na mtu kwa namna ya tofauti sana
Mungu akubarik sana mtumishi AMEN
Amen hubarikiwe sana Pascal
Nimefunguka sana mambo haya yasiri sikuyajua mana niliona ni kawaida.
Ahsante mungu uliembinguni umetufundisha na tumeelewa na tumepokea neno lako.
leo kwenye makanisa mengi waimbaji wanakatika viuno km wanenguaji
@@angiringalyimo365 ni kweli kabisa!!!???
Inatisha sana kwa kweli!! Eee Mungu shusha rehema zako kwa Kanisa.
Yesu tukumbuke yesu turehemu Sisi nawatoto wetu,amina
Mtumishi wa mungu ubarikiwe na bwana wetu yesu kiristo kwa jumbe zako nzuri akika nabarikiwa nazo mungu awe pamoja nawe kama yoshua amina
Zingatia harama za huandishi akikisha ukiwa una andika jina Kama Yesu ,Mungu andika kwa erufi kubwa barikiwa mtumishi
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU kweli tupo nyakati za Mwisho tuzidi kuombeana na kuonyana endelea kusema ukweli na MUNGU hatakuacha.Amen
Ujumbe wa muhimu sana, naona ni neema tu na mimi kusikia, ninakushukuru Mungu wangu,ninaomba uwajalie watu wengi zaidi wasikie na ninaomba umtie nguvu na umlinde
Ubarkiwe mtumishi wa Mungu kutufumbua masikio yetu🙏😔🤝🤝
Unatoa neno ila tunafurahi sana kazi ya Mungu iende mbele ameeen
Amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Sipendi kucomment lkn hii Kali 😅😅😅😅 nafurahia KAZI yako mtumshi mungu azidi kukutumia na akutienguvu zaidi uzidi kutuambia ukweli
Ubarikiwe mtushi wa Mungu na asante kwa ujumbe mzuri
Mungu atusaidie atuponye na vizazi vyetu, Asante mtimishi
Asante sana muchungaji,Mungu Atunusuru
Àsante Sana mtumishi wa mungu hizonyimbo za kidunia ziko namashabiki wengi Sana Wana zisikiya na kucheza
Sichoki kukuskiza 🇰🇪🇰🇪.
Mungu nimwema rroho wabwana naomba uzid kutufungua masikio yetu tukasikie kwel yko👏👏
Amen,God bless you brother for this encouraging sermon.
Eti suruali ya kuvaa watu wawili. mutu amevaa suruali ya kuvaa watu wawili? Waaah! Umewagundua kweli. Oh merciful LORD and Savior save me from the corruptions of this world. Help me to know You, show me Thy glory that I may do Your will, I pray Thee. Amen
Unahubiri ukweli mtupu,barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai.
Yesu tuhurumie watoto wako duniani
Mungu atupiganie dhidi ya mawakala hawa. Nawe mtumishi Mungu akulinde huduma iendelee
Aisee Hatari Sana. Mungu atusaidie hivi kuna haya mambo makanisani ...kama hapo Kwa Mwingira aisee watu waamke...Pascal endelea kusema kweli tunakuombea. Watch and Pray!!
Ee Mungu uturehemu hali inatisha sana duniani 😭😭😭😭😭
Munguu Akubarki sana Mtumish Wa Munguu.. Mafundisho Yako Yana nisaidiaa sanaa
Ameni brother unatusaidia sana
Tell them the truth , only God will heal the world ,the one who's in God side, will be the child of God, God bless you Man of God and God will lift you to preach the Gospel to the whole world this is the end time.
I would say, tell us NOT "tell them." The snare is like a creeping slithering snake.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa kuliambia kanisa ukweli
Sema baba mungu tu pamoja nawe
Hakika Mungu Yuko pamoja nawe Pascal casian Mungu. Akulinde Zaid maana Kanisa la leo linapindisha ukweli na kujenga misingi ya kidunia na ya kipepo. Ila Mungu ameachilia Nuru iwake juu wako 🔥🔥🔥🔥
Mimi kweli nakupenda mtumishi Wa babangu Mungu akulinde akuchunge nakukuficha sababu wata kutafuta wakuuwe sababu ukweli usijulikane tena
Kwakweli kaka neema hii ya MUNGU MKUU isikupungukie kamwe katika WITO na kazi hii AMBAYO kwaajili ya haya uliumbwa. Asante sana ubarikiwe, ninapokea uponyaji juu ya seduction spirit behind songs/ singing in Jesus'name. Amen
Yani ndugu Paschal, unayoyasema nibkweli asilimia mia kwa mia. Mungu akubariki sana.
Yani nimekuelewa sawa sawa Asante Yesu Kwa hili somo ameeen
Uthubutu huu ndio uthubutu mwema, nimebarikiwa ❤
Mungu akubariki sana baba na akulinde uzidi kuihubiri injili utukomboe wengi
Amen..ubarikiwe milele na daima mtumishi Wa Mungu🙏🏽
Mungu atusaidie tumjue zaidi.
Nimekuelewa mtumishi
Mungu akubariki Mtumishi ❤
Well done pastor it's true if you don't have god inside you when these songs played you will be in that situation of devil
Maandiko yameeleza waziwazi kuhusu habari za nyakati za mwisho. Kuhusu ishara namambo yatakayotokea hivyo nasihi kila mmoja awe na maandalizi ya maisha yake kuishi maisha yanayompendeza Mungu. Tujiweke tayari wakati wote maana mambo hayo hayana budi kutokea.
Mwanzoni nikawa nasema huyuu jamaa anazungumzia NN kumbe.. Kuna ujumbe mzito ... Angalia mpk mwisho
😭😭😭oooohh God tuokoe sasa,,, maana Mambo Ni magumu bila wewe hatuwezi kabisa
Asante mutumishi kwa kutuonyesha kweli ya mungu kutuokowa na ngadhabu ya jehenamu mungu akulinde uendelee kujuza dunia ukweli wa mungu
Du!asee mungu atufiche bila hivo hatutapenya
Nimekuelewa naMungu akuzidishie maisha marefu.
Sina chakukupa kwa kuokoa Hamillion ya watu nakuombea mungu akupiganie amina.
Ubarikiwe Mutumishi wa mungu
Mutumishi Wa MUNGU ishi myaka mingi papa kwa kweli ume tafsiri kwa uongozi wa roho ya kweli MUNGU akuweke milele mimi naomba MUNGU aweke watumishi wake wa kweli aishi milele bwana MUNGU nisikie n'a Mudogo wangu nakuomba watumishi wako wa kweli wawe n'a maisha marefu ili kizazi hiki tupone wengi amina
Amen, BWANA YESU KRISTO Turehemu. Hakika MACHUKIZO yamezidi mbele za Bwana, ni HURUMA.
Yes devil was a great musician in heaven he is a hero,only those who allowed holy spirit to guide,to be a teacher etc to there souls to understand the secrets of hidden things in the world of spirit,only them can understand what devil is trying to do,he is a thief he steal minds and souls of many,and many youths will perish ,my heart is worring for life of youths may lord hv mercy with us to send a seivour to redeem life's of many pole🙏🙏
Mungu akulinde usiku na mchana .
Yesu utusamehe endelea kutufunulia yaliyo sirini na utufungue katika Jina lako
Nice message ev
Pascal umenichekesha kuigiza yesu anaweza ,ni hatari walokole tubadilike
Cyo walokole tu kanisa limetekwa😭
Kaka Mungu yupo pamoja nasi wapenzi wa Mungu
Amen Amen ubarikiwe sana Pascal hiki ni kipindi cha kumgeukia Mungu
Amen pst wambie ukweli baba mungu anapenda kweli ni joash Niko Kenya napenda sana neno
Chamoto sana alaf point yao yakujitetea wanakwambia Kwa Yesu kuna vyote, kiukweli makanisa ya nyimbo zanamna hio hunikuta sijisikii amani niwapo ibadani mpaka naondoka
Hapo uko sawa ujasema uongo ata tone,Mungu aendelee kukutumia siku zote amina.
Amen nimepewa umarufu
Mwenyezi Mungu tuhurumie
YESU endelea kumlinda mtumishi wako
Cassian MUNGU wambinguni akubaliki sana na azidi kukutunza katika maisha yako ya utumishi. nausije uka vunjika moyo hata kwa maneno yoyote yale.kuwa mwaminifu hata kufa YESU ame ahidi kutoa uzima wamilele usiache kuhubiri usiache. Usiache mtumishi.
Kabisa katu asirudi nyuma Mungu wetu ni mkuu mno hatokuacha
Mungy aturehemu sana maana ni wachungaji wachache wanaosimamia mambo haya yasiwepo makanisani mwao. ila mengi yamekamatwa Mungu turehemu tu.
Mimi huyu kijana diamond huwa anankera Sana. Ana mambo ya kishetani tu. Nyimbo zake ni za kishetani. Asante mchungaji. Aombe Sana na amrudie mungu aliye juu.
Tunaangamia kwa kuwa maarifa yetu yamekoa hapo tubadilikeni AMKENI ndugu zangu wa africa
Kanisa lipo juu ndio maana wachawi hawalali .mtasumbuka sana kanisa lina damu ya Yesu.
Mungu akubariki sana ili uimarishe huduma ya Mwenyezi Mungu na akupe maasha marefu ili wengine wa pate iyi huduma.
Mungu atusaidie na aturehemu
Amen,, MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA CASSIAN NA ASANTE SANA..
That's true Man of God 100%
Amen 🙏
Mungu azid kukuwekea wigo wa Moto ili uzid kuwaokoa watu wake aman
Asante Mtumishi nimejifunza sana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Sasa ndio naelewa maana ya "usihukumu"mtu anaweza kujituma sana dhambini akigeuka anawazidi waongofu original. Mungu tusaidie.
Mungu ni mwema kaka
Nakukubali sana mdogoangu mungu akubaliki
Mungu uturehemu
Pascal ubarikiwe sana, me ngu azidi kukuinua kti kazi yake
I understand you man of God
Tunabarikiwa mtumish wamungu,endeleea kutuelemisha
May Lord have mercy on us😭😳
Amen 🙏 i wish one day i will come to your church, but for all i want to be your member here online Mungu akubariki sana kwa good news
Mungu akubariki
True
mtumishi wa Mungu, Mungu akubaliki sana kwakazi njema
Nakuelewa sana mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa Mungu Pascal Cassian, Bwana Yesu Kristo asifiwe, hiyo picha ya huyo mtu mwenye mapembe ndiye niliyoiona kwenye ile tv ya mchungaji kwenye ile ndoto niliyoiota kipindi nimeacha kwenda kanisa la efatha
YESU bado anatupenda anatuongoza hata ukienda tofauti anakurudisha kwake kutumia watumish wake
Mungu akubariki na aendelee kukutetea
@@neemalucas495 Amen mtumishi wa Mungu
Shetani Angela's na funguo hizo. Sijui ingekuwaje. Si angekuwa anakuja humu duniani.
Mungu aendelee kukutunza na kukulinda Ili neno lake liendelee kuenea duniani kote
Imana ikumpere umugisha 🙏🏾🙏🏾🙌🙌
Asante kwa neno la leo🙏😭
Zidi kuwahibiriya watu wasikiye aliyo nasikiyo na asikiyeninyakati za mwisho zidi kupaza sahuti Kwa watu WA mgehukiye mungu
Amen
Mungu atusaidiye kweli mutumishi wabwana
Amen amen .
Nyimbo upewa mashairi kuzimu, mfano umbrella ya rihanna alipewa huo wimbo na li pepo liliingia kichwani mwake likampa mashairi. Na umbrella maana yake ni shetani
Mtumishi Paschal Cassian yupo sahihi hata Chidi Beenz ameongelea hilo suala