wew kila mtumish wa Mungu ni wa uongo, hujui kumbe, yesu alisema tutafanya makubwa zaid yake kwa jina lake, kwanin usihubir injili na sio kukosoa maana wew sio Mungu wa kukosoa...wote ni watumish wa mungu karama ni tofauti na roho ni mmoja.
Ameeeeeeen tukombolewe tusipotee Na wamejivalia Ngozi ya kondoo ndani Ni umbwa mwitu Yesu Kristo tumiminie roho wako mtakatifu tusipotee tunakuitaji Yesu Kristo unene nasi
Amina 🙏 Mtumishi Pascal cassian mwenyezi Mungu akutangulie na akuzidishie ulizi na imani ya kiroho na kimwili daima litangaze neno lake yeye aliye juu, jina la bwana libarikiwe🙏
Ahsante Mungu kwa ujumbe huu adim hivyo basi jenga uzio wa damu yako kwa mtumishi wako Paschal . kwakua adui anamtazama kwa jicho la chuki. Zidi kumpa maarifa na ujasili na ulinzi wako uwe juu yake daima. AMEN
Tuachie Kuhani Musa wetu acha kuwasema watu hubiri neno la Mungu na kuitangaza injili ya YESU KRISTO mwenye kuhukumu watu ni Mungu pekee, kwa sababu hunamizani ya kupima mema na mabaya ya mtu hata wewe ni binadamu hujakamilika pia unamadhaifu yako, aliyemkamilifu ni Yesu Kristo peke yake, toa kibanzi ndani ya jicho lako ndipo utoe boriti ndani ya jicho la mwenzako hata hivyo kama kweli roho wa Mungu kakuonesha hao kuwa ni manabii wa uongo ni vema ukawafuata na kuwaambia watengeneze na Mungu kabla hasira ya Mungu haijawawakia lakini sio kuja huku public na kuanza kuasema sema tu Biblia inasema utausema ukweli nao ukweli utkuweka huru.
Je wewe nawe unasema ukweli au na wewe ni mwoga kama wengine sio unamsifia tu mwenzio hujui anakumbana na nini kama kweli umelipenda hili nenda ungana nae mpeleke injili ya kweli
@@benjaminchakwe9815 anawahubiri injili feki, injili ambayo haiwafungui watu kutoka kwenye matatizo yao, injili ys kuwaponda watumishi wenzake hyo ni injili feki
Mtumishi wa Mungu unanibariki mnooo.. Mungu azidi kukuinuaa na. Kukutumia sanaaa...Oho... Aksante Yesu Kwa ajili ya Huyu mtumishi wako... imani ya wokovu wang unazid kuimarishwa...👏👏
Pole sana wewe unasoma mahandiko Gani hivi mwalimu waongo unamjua pole atutaki kujua kuhani msa nimuongo tunacho jua tumepona nabado tunahambatana na kuhani msa🔥🔥
AMINA AMINA AMIIII.....NA Mchungaji. Ukweli peke yake ndio utatuweka huru,tuko nyuma yako na Wala usiogope .Tukubali kwa maana Ni Roho Mtakatifu anayetumia kinywa chako Barikiwa Sana.
Amen sema kweli ya Mungu mtumishi hakika Mungu typo pamoja nawe,na aendelee kukupigania ili uendelee kusema ile kweli ya Mungu,Maana kiukweli napenda sana injili ya namna hii,hakika katika hili Mungu anainuliwa juu kabisa na shetani na mawakala wake wote chini.
Barikiwa Mtumishi kwa kunyoosha ukweli maana huu NI wakati wa kuikaza kamba ya ukweli uongo ukae pembeni anguko la kanisa lililotokea mwaka 325 bk kule nikea ndio uongo ukapenya ndani makanisa ambayo hayawezi inukatena,Amen
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa kila dakika ninapokuskiza,napenda mafundishow haya , fearless man of God I have ever seen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪uko loud and clear 🙏
Mungu amuweke wapi sasa huyu badala ya kufundisha anaanza kuongelea mtu Mmoja tu mwanaume mwenzio anakuumiza kichwa acha hayo mambo Evangelist piga Injili kama imekushinda wenzio wameweza huwezi kupiga Injili tafuta kanisa linalokufaa ukahubiriwe au na wewe unataka kufungua kanisa sasa unataka wale wahumini wa kiboko ya mizimwi na wachawi utaweza wale wewe? Watu wakajua huna kifua cha Injili kabisa Ya ngoswe muachie Ngoswe mziki wa kuhani huchezi wewe tulia piga Injili yako achana na watu wanao timiza wito wao acha kelele kama una kiu ya maji bwana nini unaningusha Evangelist huwa anakuwaga ana habari za watu anakuwa na Habari za mbinguni tu sasa wewe hizi za kuhani za nini mchawi nini unaogopa atakulega na anajenga wachawi yule Mwamba acha kabisa
Sema kweli baba, turejeshwe kwa Mungu aliye hai👏👏👏 Natamani kila mtumishi wa kweli apaze sauti kuwanusuru watu wa Mungu dhidi ya hawa manabii na walimu wa uongo
Kweli inatubidi tuwe wakweli katika kristo yesu na siyo kudanganya watu injili ya mafuta imetawala duniani sema kweli mtumishi wa Mungu Paschal mm naungana na wewe
Ama kwa hakika mtumishi wa Mungu Paschal unafanya kazi kubwa Sana ya Mungu, na Mungu atakupigania kwenye hili. Maana hawa wachungaji wengi wanayatafsiri maandiko Kama wapendavyo wao ili Hali biblia Ina kanuni zake za usomaji huku kidogo na huku kidogo (ISAYA 28:13) na Mhubiri 7:27 Na pia Mtume Petro anasema watu wasiyo na elimu ya maandiko, na wasiyo imara huzipotoa nyaraka za "MTUME PAULO" Kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine kwa uvunjifu wao wenyewe (2 PETRO 3:15-16). Hongera mchungaji Paschal
MUNGU akubaliki Sana mtu wa Mungu lakn usimkosoe mtu kwa kosa la siku moja Hapana hata Mungu mwenyewe hapendilkn nilisha sema kuwa ukiwa na Mungu wa kweli ndani yako simama na Mungu tembea na Mungu na mwenye huku n Mungu c mwanadam. na kitu kingne binadam tunafosi tufanane na problem zetu ni KARAMA MUNGU HAJATUPA SAWA tumezidiana Watumishi wa MUNGU na IMANI ZETU tumezidiana py . Hilo mtambue ndugu zangu wana wa MUNGU na Mungu awasaidie Sana. Ila nyakati Kama hizi n zamwisho zingatieni kilicho ndaniyako py kisimkufuru Mungu maana Mungu nae anawatu wake anawo waamini usimhukumu mtu kwa kuteleza kwa siku moja maana mafundisho sawa na maono uonavyo wewe na mwingne tofauti. Basi usimhukumu watu maana wengne mwachie Mungu Mungu akubaliki Sana 🙏🙏🙏🙏 SAUTI YA MUNGU DUNIANI ITALEJESHA MATEKA WALIO TEKWA NA SHETANI IPO NJIANI BABA YANGU WA MBINGUNI ☝️AWABALIKI SANA🙌
Maji yanatumika kwa jina la Yesu Pascal, tumia muda wako kutafuta ukweli kabla ya kuhukumu kwa kudaka neno moja au mawili Kula mkate na divai yaani sakrement au mwili wa Kristo na kutumia maji au mafuta NI yaleyale.
Mungu aku bariki sana eti ukakila musibani una mula marehemu mungu niepushe na awama nabi wa siku zamwisho tena uyu mtumishi nilimu ona you tube nika anza mufatiliya sana mwairi siku mbili kumbe ni tapele mkubwa mtumishi mungu aku bariki kutu saidiya
Amen lazima injili ya Kweli ihubiriwe. Mungu akubariki mtumishi. Usichoke kuongea Ukweli watu hawahelewi kabisa nyakati tulizo nazo shetani amefunga wengi wasijuwe Ukweli
Mtumishi wa mungu ukweli wako unatufanya wapi pakweli na uongo kweli speech zako zimejaa ukweli ndani yake nazinani bariki mno endelea kusema ukweli bila woga by Emanuel safari
Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu. Having therefore these promises, dearly beloved, let us cleanse ourselves from all filthiness of the flesh and spirit, perfecting holiness in the fear of God.
Jiadharini na manabii wa uongo maana wamevaa mavazi ya kondooo yamkini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali., Ahsante Paschal kwa kuwafungua watu macho zidi ya manabii wauongo, kwa maana walio wengi hawapendi kusoma biblia, lakn kwa maubir Aya wengi wataokolewa kutoka gizani.
Mtumishi wa Mungu mwenye hekima ya kiungu halopoki kwann usiwafuate kama unaona wanapotea cyo kuongea kwenye mitandao haitakusaidia coz katka viwango vya kiroho ww na hao manabii ww ni mdogo sana ndyo maana watu kama niny huduma zenu haiendelei sababu mnakuwa na kujiinua na Mungu huwashusha wanaojiinua na kuwapandisha wanaojishusha
Jamani ataifuata wangapi tangu babu na wewe unashangilia upotovu au ni sehemu yao? Mitandao ni everything Mr Steph. Haropoki maana ungejuaje hapo kama angemfuata .KANISA LA HONGERA KWA KUMLA MAREHEMU. Uko wapi umoja wetu watanzania? Tunatenganishwa live jamani.Huku maamuma wakishangilia emeni emeni emeni ..Amkeni watanzania .Kemeeni Roho ya kutekwa iambieni Arusha AOMBEE WATU WAMPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA KUJAZWA na Siyo kujaza watu Mapesa manyumba magari na loliondo atubu kwelikweli, ili Dare salaam ibaki salama Kwa YESU KRISTO na Mwamposa aongoze Sala ya Toba na Siyo Sala ya pokeapokea na dhambi zako hiyo nyumba itakuzika na hilo gari litakufunika maana umepewa furushi la Siri ya kuzimu na kupakatishwa moto wa jehanamu Kwa kuukimbilia mwenyewe umeungua milele.Ajitokeze shujaa ayarejeshe maji aliyopewa ,Yuko wapi JEMEDARI arudishe gari la mafuta.huyo ataitwa mwana wa aliye juu.Maana kuzimu kutamwopa kama Nini? na shetani atamkimbia Kila akanyagapo.Jifunzeni Kwa wakatwa vidole mbona haponi Kwa Nini?mbona mguu hupona ikivunjika Leo kidole tu? Hakika umeungamanishwa kuzimu damu yako Hadi ikaushwe mwilini Kwa kunyonywa na majini maana umeyataka na kuyatafuta mwenyewe.umeuza damu yako mwenyewe na kuyakabidhi maisha yako Kwa mharibifu maana mwivi huja ili aibe na kuchinja .Kimbia haraka usijakufa wahi Kwa aturehemuye atakuponya na Roho ya uhitaji uliokuthiri kiasi Cha kukushikusha mauti Naam mauti ya milele
Binafsi naona hiki ulichokichagua sio sahihi, unashambulia watumishi wenzio bila sababu. Wewe wajibu wako ni kuhubiri Neno la Mungu kama wenzio tufanyavyo na sio kushambulia wenzako.
Ninachojua YESU ni mmoja na niyule wakana naleo hata milele ss kama KUHANI Musa ni muongo ss kwanini aponye watu kwa jina la YESU jamani niacheni na YESU wa Kuhani Musa from 🇰🇪🇸🇦
Kaka hata kama wakubwa watakupinga lakini waumini wa hao wakubwa tunakuunga mkono, endelea kufungua akili na uelewa wa watu wa Mungu. viva pastor/evangelistic Pascal
Kuhani musa ni mutumishi wa kweli na haki uki endeleya ku pambana na kuhani musa naku onya mwenyezi mungu ata ku ondowa duniyani , Musa ni mpakaliwa mafuta wa yesu christo wa Nazareth aliye hai naku onya tena usikuye kufa
Kuhani na Mwl Musa Richard Mwacha ni Mtumishi wa Mungu....huna point ya maana, Mtumishi anamtumikia Mungu wa kweli... inaonyesha kama umetumwa...tafuta kazi nyingine ya kufanya kama umeshindwa kufanya uinjilisti wako...Mungu akusaidie, akufungue fahamu maana haziko sawa...
Wewe utalaaniwa kwa upinga kazi ya Mungu sio wewe uliyewaita kufanya kazi hiyo kaa kimya waache walio itwa na Mungu wafanye kazi kila mtu amepewa kazi yake na Mungu wewe hajaitwa na Mungu ndio maana unatukana watumishi wa Mungu
Unapoitwa ni vizuri kukubali kusoma , wengi wanaona kuingia vyuoni ni shida , tafsiri nyingi zinaleta shida , na kulipotosha kanisa kiukweli inahitajika neema ya Mungu
wew kila mtumish wa Mungu ni wa uongo, hujui kumbe, yesu alisema tutafanya makubwa zaid yake kwa jina lake, kwanin usihubir injili na sio kukosoa maana wew sio Mungu wa kukosoa...wote ni watumish wa mungu karama ni tofauti na roho ni mmoja.
Sema usemavyo hunitoi kwa kuhani musa richard mwacha fanya kazi yako mungu pekee ndy anaju na kwambiaje hunitoiii kwa kuhani labda uniue
Ajakwambia utoke
Lego lake nn kana sio kumtoa!!?
Sauti ya Mungu huja kwa ukali kwa ajiri ya kuikemea dhambi.. Barikiwa sana mtumishi kwa kukemea dhambi
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu Paschal nipo pamoja nawe naitaji injili ya kweli kama hii mm naitwa mchungaji Neno Abeli
Ameeen Ameeeen, barikiwa sana mtumishi wa BWANA,Ev.Pascal Cassian.Keeps preaching the TRUE GOSPEL
😍💜🙏🙏🙏
Pascal may the blood of Jesus protect you!
Waambiwe ukweli wanapotosha watu wengi wa Mungu
Ubarikiwe sana
Ameeeeeeen tukombolewe tusipotee Na wamejivalia Ngozi ya kondoo ndani Ni umbwa mwitu Yesu Kristo tumiminie roho wako mtakatifu tusipotee tunakuitaji Yesu Kristo unene nasi
Shalom mtumishi 🙏Much love from🇰🇪🇰🇪
Amina 🙏 Mtumishi Pascal cassian mwenyezi Mungu akutangulie na akuzidishie ulizi na imani ya kiroho na kimwili daima litangaze neno lake yeye aliye juu, jina la bwana libarikiwe🙏
Ahsante Mungu kwa ujumbe huu adim
hivyo basi jenga uzio wa damu yako kwa mtumishi wako Paschal . kwakua adui anamtazama kwa jicho la chuki. Zidi kumpa maarifa na ujasili na ulinzi wako uwe juu yake daima. AMEN
Amen sana
Mm sitegemei kutoka Kwa kuhani msa Bado tunasonga mbele💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Tuachie Kuhani Musa wetu acha kuwasema watu hubiri neno la Mungu na kuitangaza injili ya YESU KRISTO mwenye kuhukumu watu ni Mungu pekee, kwa sababu hunamizani ya kupima mema na mabaya ya mtu hata wewe ni binadamu hujakamilika pia unamadhaifu yako, aliyemkamilifu ni Yesu Kristo peke yake, toa kibanzi ndani ya jicho lako ndipo utoe boriti ndani ya jicho la mwenzako hata hivyo kama kweli roho wa Mungu kakuonesha hao kuwa ni manabii wa uongo ni vema ukawafuata na kuwaambia watengeneze na Mungu kabla hasira ya Mungu haijawawakia lakini sio kuja huku public na kuanza kuasema sema tu Biblia inasema utausema ukweli nao ukweli utkuweka huru.
Kweli kabisa ndugu nakupenda bure..nakufatilia sana usiogope kusema kweli ata ingawa chungu lakini kuna roho unasaidia...amen amen
Nimeipenda hiyo
Je wewe nawe unasema ukweli au na wewe ni mwoga kama wengine sio unamsifia tu mwenzio hujui anakumbana na nini kama kweli umelipenda hili nenda ungana nae mpeleke injili ya kweli
@@benjaminchakwe9815 anawahubiri injili feki, injili ambayo haiwafungui watu kutoka kwenye matatizo yao, injili ys kuwaponda watumishi wenzake hyo ni injili feki
@@benjaminchakwe9815 we umeungana nae!?
Have you been in his church before?
Mtumishi wa Mungu unanibariki mnooo.. Mungu azidi kukuinuaa na. Kukutumia sanaaa...Oho... Aksante Yesu Kwa ajili ya Huyu mtumishi wako... imani ya wokovu wang unazid kuimarishwa...👏👏
Sina Cha kumshukuru Mungu kwa ajili Yako mchungaji,Mungu akubaliki sana ,ninakufuatilia Kira wakati unanibaliki sana, Mungu azidi kukupigania
Pole sana wewe unasoma mahandiko Gani hivi mwalimu waongo unamjua pole atutaki kujua kuhani msa nimuongo tunacho jua tumepona nabado tunahambatana na kuhani msa🔥🔥
Hahahaaaaa pole
AMINA AMINA AMIIII.....NA Mchungaji. Ukweli peke yake ndio utatuweka huru,tuko nyuma yako na Wala usiogope .Tukubali kwa maana Ni Roho Mtakatifu anayetumia kinywa chako Barikiwa Sana.
Ubarikiwe na Bwana Yesu
Ubarikiwe sanaa baba....wanapotosha sana watu hao watu
Ubarikiwe kwa ujasili Huu maana SI rahisi kuwakosoa Hawa watumishi wauongon, lakini kwa msaada wa Mwenyeezi Mungu utashinda Amen.
Hallelujah Hallelujah Utukuvu kwa bwana yesu Nashukuru sana kwa hio ukweli barikiwa sana
Mungu akutunze nimekupenda kwakweli mwenyemasikio naasikie Balikiwasana mtumish
Ameeen barikiwa mtumishi wamungu Kwa ufunuo waneno la Mungu
Amen sema kweli ya Mungu mtumishi hakika Mungu typo pamoja nawe,na aendelee kukupigania ili uendelee kusema ile kweli ya Mungu,Maana kiukweli napenda sana injili ya namna hii,hakika katika hili Mungu anainuliwa juu kabisa na shetani na mawakala wake wote chini.
Barikiwa Mtumishi kwa kunyoosha ukweli maana huu NI wakati wa kuikaza kamba ya ukweli uongo ukae pembeni anguko la kanisa lililotokea mwaka 325 bk kule nikea ndio uongo ukapenya ndani makanisa ambayo hayawezi inukatena,Amen
Kweli kabisa Najua kusimamia hak ni kutafta kifo lakin wokovu umetufikia sababu ya wengi walio mwaga dam kwajil ya Iman na kusimamia kweli
Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa kila dakika ninapokuskiza,napenda mafundishow haya , fearless man of God I have ever seen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪uko loud and clear 🙏
Amina Mtumishi nimejifunza vitu vikubwa na vya muhimu leo, asante na Mungu akubariki sana🙏
Watumishi wa Mungu naomba sana Roho mtakatifu atusaidie maana tunakoelekea sio ni vema sana kushauriana kwa hekima sio malumbano na kufokeana hivi
Mungu akuweke na azidi kukulinda na maadui wasiopenda ukweli wa mungu
najua una Vita kubwa Sana ila mungu atakusimamia na hakika tunakuombea
Ni kweli kabisa uhuni UMEKUWA mwingi
Mungu amuweke wapi sasa huyu badala ya kufundisha anaanza kuongelea mtu Mmoja tu mwanaume mwenzio anakuumiza kichwa acha hayo mambo Evangelist piga Injili kama imekushinda wenzio wameweza huwezi kupiga Injili tafuta kanisa linalokufaa ukahubiriwe au na wewe unataka kufungua kanisa sasa unataka wale wahumini wa kiboko ya mizimwi na wachawi utaweza wale wewe? Watu wakajua huna kifua cha Injili kabisa Ya ngoswe muachie Ngoswe mziki wa kuhani huchezi wewe tulia piga Injili yako achana na watu wanao timiza wito wao acha kelele kama una kiu ya maji bwana nini unaningusha Evangelist huwa anakuwaga ana habari za watu anakuwa na Habari za mbinguni tu sasa wewe hizi za kuhani za nini mchawi nini unaogopa atakulega na anajenga wachawi yule Mwamba acha kabisa
Ubarkiwe sana Mtumish Wa Mungu usiache kusema kweli Ila uwanja Wa sifa za Yesu tumekumic Mtumish upite siku moja utusalimie jaman
mtumishi mungu akubaliki unatufungua wengi baba
Sema kweli baba, turejeshwe kwa Mungu aliye hai👏👏👏
Natamani kila mtumishi wa kweli apaze sauti kuwanusuru watu wa Mungu dhidi ya hawa manabii na walimu wa uongo
Kweli inatubidi tuwe wakweli katika kristo yesu na siyo kudanganya watu injili ya mafuta imetawala duniani sema kweli mtumishi wa Mungu Paschal mm naungana na wewe
Ama kwa hakika mtumishi wa Mungu Paschal unafanya kazi kubwa Sana ya Mungu, na Mungu atakupigania kwenye hili. Maana hawa wachungaji wengi wanayatafsiri maandiko Kama wapendavyo wao ili Hali biblia Ina kanuni zake za usomaji huku kidogo na huku kidogo (ISAYA 28:13) na Mhubiri 7:27 Na pia Mtume Petro anasema watu wasiyo na elimu ya maandiko, na wasiyo imara huzipotoa nyaraka za "MTUME PAULO" Kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine kwa uvunjifu wao wenyewe (2 PETRO 3:15-16). Hongera mchungaji Paschal
mtumishi unatuponya ubarikiwe mungu azid kukuinua nass tunakuombea
Amen mtumishi wa Mungu Yesu akutiye nguvu.
MUNGU akubaliki Sana mtu wa Mungu lakn usimkosoe mtu kwa kosa la siku moja Hapana hata Mungu mwenyewe hapendilkn nilisha sema kuwa ukiwa na Mungu wa kweli ndani yako simama na Mungu tembea na Mungu na mwenye huku n Mungu c mwanadam. na kitu kingne binadam tunafosi tufanane na problem zetu ni KARAMA MUNGU HAJATUPA SAWA tumezidiana Watumishi wa MUNGU na IMANI ZETU tumezidiana py . Hilo mtambue ndugu zangu wana wa MUNGU na Mungu awasaidie Sana. Ila nyakati Kama hizi n zamwisho zingatieni kilicho ndaniyako py kisimkufuru Mungu maana Mungu nae anawatu wake anawo waamini usimhukumu mtu kwa kuteleza kwa siku moja maana mafundisho sawa na maono uonavyo wewe na mwingne tofauti. Basi usimhukumu watu maana wengne mwachie Mungu Mungu akubaliki Sana 🙏🙏🙏🙏 SAUTI YA MUNGU DUNIANI ITALEJESHA MATEKA WALIO TEKWA NA SHETANI IPO NJIANI BABA YANGU WA MBINGUNI ☝️AWABALIKI SANA🙌
Maji yanatumika kwa jina la Yesu Pascal, tumia muda wako kutafuta ukweli kabla ya kuhukumu kwa kudaka neno moja au mawili
Kula mkate na divai yaani sakrement au mwili wa Kristo na kutumia maji au mafuta NI yaleyale.
Amen..tumekuawavivu wakusoma maandiko ndoyo mana tunaibiwa na watumishi wauongo
Hallelujah hallelujah 🔥🔥 Moto 🎤 volume iko sawa pastar 💪🇰🇪🇰🇪.
Asante sana mtumishi wa Mungu unatuelemisha sana Mungu akubariki zaid
Mungu aku bariki sana eti ukakila musibani una mula marehemu mungu niepushe na awama nabi wa siku zamwisho tena uyu mtumishi nilimu ona you tube nika anza mufatiliya sana mwairi siku mbili kumbe ni tapele mkubwa mtumishi mungu aku bariki kutu saidiya
Tangu nianze kukufatilia nimefunguka Kwa mengi sana, Mungu akupe neema zaidi Kwa njia hii ya kurejesha ukweli makanisani.... Mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏
Mungu akupiganie tuko pamoja
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu unasema kwelii
Mwenyezi Mungu akujalie moyo wa uthubutu wa kueleza yanayostahili kwa wapendwa ktk kutafuta ufalme wa Mungu.
Aminaaaaaa! Waambie wasije wakasema hatukuonywa.
Nakama shetan atataka akuinukie namuomba mungu afe yeye atakae taka kukuuwa.niombi langu milele
Kazi nzuri sana mtumishi ya kuamsha wakristu. @paschalcassian
Amen mtumishi wamungu
Mungu aendee kukupanguvu maana umejitoa kwakweli amina mtumish
Mungu akubariki ktk jina Yesu Roho wa Mungu ktk kristo Yesu awe nawe wakati wote
Amen.turned from saudi Arabia
Be blessed madam...
Amen lazima injili ya Kweli ihubiriwe.
Mungu akubariki mtumishi.
Usichoke kuongea Ukweli watu hawahelewi kabisa nyakati tulizo nazo shetani amefunga wengi wasijuwe Ukweli
Kula nyama msibani. Sikula TU kula nyama
Mtumishi wa mungu ukweli wako unatufanya wapi pakweli na uongo kweli speech zako zimejaa ukweli ndani yake nazinani bariki mno endelea kusema ukweli bila woga by Emanuel safari
Nmefurahi kuona channel yako! Mungu akubariki na kukufunika the Real Man of God🙏
AMINA, BARIKIWA SANA MTUMISHI WA YESU KRISTO: SASA HIVI HIYO ROHO YA MPINGA KRISTO IMEANZA KUKAMATA VIJANA WADOGO. ENDELEA KUTUSAIDIA
N kweli kabsa mtmshi ,wakolosai 2:20-23 mandiko yako wazl Amina ubarkiwe. Sana
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Barikiwa saaana mtumishi. Sema kweri usiogope..aliyekutuma Yuko nawe
Ninajua ujumbe unakuja kwa kutengeneza watu asante kaka maana ninatengenezwa ndani barikiwa sana
Uko sawa kabisa mtumishi,,,wachungaj wengi wanakaa kimya sijui jukum ilo wanamwachia Nani,,,??!
Barikiwe mtumishi wa Bwana, casian, wee kweli umetumwa kukomboa watu na utumwa wa manabii wa uongo.
Amen 🙏 hii ndio njia, kweli na uzina you proceed to pressing teach
Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
Having therefore these promises, dearly beloved, let us cleanse ourselves from all filthiness of the flesh and spirit, perfecting holiness in the fear of God.
Sema mhubiri
🙏🙏🙏
Huu sio wakati wakutangatanga ,, tumshike Sana KRISTO YESU,,, BARIKIWA MTUMISHI PASCAL CASIAN,,
Ameeeeeeeen pastor kwahiyo tusile hata kama tumefiwa khaaaaaaaa kwahiyo tukifiwa tufungee swaumu
Tusile nyama watu wagimu kueleea na huyo anaye kosoa
Jiadharini na manabii wa uongo maana wamevaa mavazi ya kondooo yamkini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali., Ahsante Paschal kwa kuwafungua watu macho zidi ya manabii wauongo, kwa maana walio wengi hawapendi kusoma biblia, lakn kwa maubir Aya wengi wataokolewa kutoka gizani.
Wapo WENGI Sana saizi manabii wa uongo uhuni tu
Amina
Mungu akubariki na akujalie neema maana mitume na manabii walipitia vikwazo usiogope endelea kusema kweli mpaka mwisho
Amen God bless you Rev. Pascal.
Ameen endelea kusema ukueli naye mungu atasimama nawe, niko njini nairobi kenya, mathayo 24:24
Amina Seema baba tupone maana tumefungwa wengii nakuelewa saana
Hakika Mungu hatakuripa thawabu zako ubarikiwe
Mungu akutie nguvu mtumishi Huwa nakukumbuka kwenye maombi yangu nakuombea
Tafuta chakwako kutoka kwa roho mtakatifu mbona unasubiri wenzako wafundishe ndo wewe ukosoe,,upo kusubiri wenzako wapewe na Roho Cha kusema ndo wewe ukosoe kaa magotini upewe Cha kwako acha wivu,,
Sema ukweli waumwe waibike Sana na washindwe IN JESUS MIGHTY NAME
Mtumishi wa Mungu mwenye hekima ya kiungu halopoki kwann usiwafuate kama unaona wanapotea cyo kuongea kwenye mitandao haitakusaidia coz katka viwango vya kiroho ww na hao manabii ww ni mdogo sana ndyo maana watu kama niny huduma zenu haiendelei sababu mnakuwa na kujiinua na Mungu huwashusha wanaojiinua na kuwapandisha wanaojishusha
Hivyo viwango vya kiroho umevipima na roho ipi
Jamani ataifuata wangapi tangu babu na wewe unashangilia upotovu au ni sehemu yao? Mitandao ni everything Mr Steph. Haropoki maana ungejuaje hapo kama angemfuata .KANISA LA HONGERA KWA KUMLA MAREHEMU. Uko wapi umoja wetu watanzania? Tunatenganishwa live jamani.Huku maamuma wakishangilia emeni emeni emeni ..Amkeni watanzania .Kemeeni Roho ya kutekwa iambieni Arusha AOMBEE WATU WAMPOKEE ROHO MTAKATIFU KWA KUJAZWA na Siyo kujaza watu Mapesa manyumba magari na loliondo atubu kwelikweli, ili Dare salaam ibaki salama Kwa YESU KRISTO na Mwamposa aongoze Sala ya Toba na Siyo Sala ya pokeapokea na dhambi zako hiyo nyumba itakuzika na hilo gari litakufunika maana umepewa furushi la Siri ya kuzimu na kupakatishwa moto wa jehanamu Kwa kuukimbilia mwenyewe umeungua milele.Ajitokeze shujaa ayarejeshe maji aliyopewa ,Yuko wapi JEMEDARI arudishe gari la mafuta.huyo ataitwa mwana wa aliye juu.Maana kuzimu kutamwopa kama Nini? na shetani atamkimbia Kila akanyagapo.Jifunzeni Kwa wakatwa vidole mbona haponi Kwa Nini?mbona mguu hupona ikivunjika Leo kidole tu? Hakika umeungamanishwa kuzimu damu yako Hadi ikaushwe mwilini Kwa kunyonywa na majini maana umeyataka na kuyatafuta mwenyewe.umeuza damu yako mwenyewe na kuyakabidhi maisha yako Kwa mharibifu maana mwivi huja ili aibe na kuchinja .Kimbia haraka usijakufa wahi Kwa aturehemuye atakuponya na Roho ya uhitaji uliokuthiri kiasi Cha kukushikusha mauti Naam mauti ya milele
Mtumishi kwakweli apa najengwa iman kubwa katika kiloho ubalikiwe na mungu atakushindia
Achana na kuhani Musa wewe kula nyama Sio kula chakula.
Binafsi naona hiki ulichokichagua sio sahihi, unashambulia watumishi wenzio bila sababu. Wewe wajibu wako ni kuhubiri Neno la Mungu kama wenzio tufanyavyo na sio kushambulia wenzako.
Ongea chakwako kilicho Sahihi 😏😏😏😏
omba neema ya Mungu akuoneshe mahal sahihi pa kusal...n lazma tukumbushwe kua makin tusipotee
Mtumishi wa mungu mchungaji wangu anakutafuta anaeza kukupa aje?
Ubarikiwe sana sana, MUNGU akuinuwe zaidi na zaidi uishinde vita
Mungu ni mwema Asante ubarikiwe San Mungu atusaidie
Ni kweli kabisa watu wanaangamia hawajui NN MAANA ya injili ya YESU
MUNGU amekuchagua na atakurinda hadi utakapomaliza kazi yake. Ubarikiwe saana,
Ni kula nyama na wewe huelewi nini
Amène Amène ubarikiwe sana mutumishi wa bwana
Ninachojua YESU ni mmoja na niyule wakana naleo hata milele ss kama KUHANI Musa ni muongo ss kwanini aponye watu kwa jina la YESU jamani niacheni na YESU wa Kuhani Musa from 🇰🇪🇸🇦
Kaka hata kama wakubwa watakupinga lakini waumini wa hao wakubwa tunakuunga mkono, endelea kufungua akili na uelewa wa watu wa Mungu. viva pastor/evangelistic Pascal
Yes BALIKIWA lazima tuwe injili ya YESU ya kweli
Kuhani musa ni mutumishi wa kweli na haki uki endeleya ku pambana na kuhani musa naku onya mwenyezi mungu ata ku ondowa duniyani , Musa ni mpakaliwa mafuta wa yesu christo wa Nazareth aliye hai naku onya tena usikuye kufa
Mungu atusaidie
Haaa! Kunakitu umekiongea Mungu alisema na Mimi mwaka jana na umenithibitishia leo, jamani Yesu anarudi uwiiii tufanye kazi yake, Asante Yesu
Kitu gani amekisema dada??
Paschal MUNGU atakulinde sana, ata wakipanga mikakati ya kukuuwa awataweza kamwe. Wewe unanijenga imani kubwa sana ata uku kwetu Moza wapo.
Upo sawa mtumishi wa MUNGU alie hai
Asante Yesu Halelula Unaonhea ukweli ukweli tena ukweli mtupu
Eee yesu wa kuhani mussa naomba uyu baba apingwe radi mpaka atakapo tubuzambi zake za kumsema vibaya Masii wako kuhani mussa
Naomba mungu.akulinde maana kwa hili sijui itakuaje mtumishi Wa mungu
Amen Hallelujah ubarikiwe in the name of our Lord Jesus Christ 🙏🙌❤️ You will be protected by God Himself
He will be exposed …fake manipulator
Ameeen mtumishi Mungu akutie Nguvu Katika hili
Kuhan Musa yuko sahihi
Mambo ya msiban nimengi
Hata mie siwezi kula nyama msiban
❤❤barikiwa mtumishi
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Kuhani na Mwl Musa Richard Mwacha ni Mtumishi wa Mungu....huna point ya maana, Mtumishi anamtumikia Mungu wa kweli... inaonyesha kama umetumwa...tafuta kazi nyingine ya kufanya kama umeshindwa kufanya uinjilisti wako...Mungu akusaidie, akufungue fahamu maana haziko sawa...
Wewe utalaaniwa kwa upinga kazi ya Mungu sio wewe uliyewaita kufanya kazi hiyo kaa kimya waache walio itwa na Mungu wafanye kazi kila mtu amepewa kazi yake na Mungu wewe hajaitwa na Mungu ndio maana unatukana watumishi wa Mungu
Amen 🙏🙏🙏kwa ufunuo wa neno la mungu
God Bless you Brother...Preach
Anayepingana na Paschal cassn Mungu amsaidie
Ukimalizana na tanzania pia Kenya uwataje maana wanaudhi sana Roho mtakatifu akuongoze
Unapoitwa ni vizuri kukubali kusoma , wengi wanaona kuingia vyuoni ni shida , tafsiri nyingi zinaleta shida , na kulipotosha kanisa kiukweli inahitajika neema ya Mungu