CASSIN ACHUKIZWA NA WAIMBAJI WANA TANGAZA USHOGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лис 2023
  • #0766998994 #call0688199370 #call0688199370 #0688199370 #

КОМЕНТАРІ • 114

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 8 місяців тому +37

    Eeh ysu tuhurumieeee!!!! Tumekosa sana!! Mmhhh! Tusamehe waimbaji, katika wingi wa ghadhabu yako kumbuka rehema

    • @phaniceariviza4399
      @phaniceariviza4399 8 місяців тому +8

      Ni kweli mama tunahitaji rehema ila lazima tuchukue hatua za kutubu na kuiacha dhambi

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  8 місяців тому +15

      BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA

    • @paschalcassianoriginal9411
      @paschalcassianoriginal9411  8 місяців тому +10

      BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA

    • @esterpeter8556
      @esterpeter8556 8 місяців тому +5

      Mama nawewe sikuizi kuvaa kwako mmmmmh!

    • @simonmdune9066
      @simonmdune9066 8 місяців тому +1

      ​@@esterpeter8556😂😂WWE unatabu aky

  • @furahag3098
    @furahag3098 8 місяців тому +11

    Kweli kabisa mtumishi tunakubaliana na wewe mmi ni mkenya umefanya vizuri eka wazi Amen mungu akulinde azidi kukupa ufunuo huo god bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @lydiahnabwire128
      @lydiahnabwire128 8 місяців тому

      Aki bahati na willy paul wamezidi kuaribu kizazi hawa watu wawili wangefanya vijana waokoke but😢😢😢😢😢

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 8 місяців тому +3

    Mungu akubariki sana mtumishi kweli mtupu hii ni sodoma na gomora ee BWANA YESU tusaidie na utuokoe

  • @gahungubertin1214
    @gahungubertin1214 8 місяців тому +4

    Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli

  • @phaniceariviza4399
    @phaniceariviza4399 8 місяців тому +6

    Wachungaji wengi kenya wako biashara

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 8 місяців тому +10

    Tumbua...mtumishi hawa ni wasanii si watumishi...kemea kabisaaa...kutoka kenya 🇰🇪 tunasema ubarikiwe!

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 8 місяців тому +2

    Arambwe, Mungu Mkuu amhurumie, pastor mimi ni mtumishi Mungu Mkuu anasema Kenya 🇰🇪 itaanguka kwa janga

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 8 місяців тому +4

    Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka.
    Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao.
    Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo5713 8 місяців тому +8

    Kaka cassian, biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao hao ni maagent wa ibirisi 100%.

  • @benjaminmahega
    @benjaminmahega 8 місяців тому +3

    Mungu tusamehe watoto wako tumekosea sana waimbaji tumesahau nafasi yetu

  • @estermalembwamalembwa1936
    @estermalembwamalembwa1936 8 місяців тому +1

    Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 8 місяців тому +3

    Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...

  • @sarahkishaluli6087
    @sarahkishaluli6087 8 місяців тому +4

    MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 8 місяців тому +2

    Nena kwa sauti kuu, Mtumishi. Mungu ainuliwe na tabia nzuri. Asante

  • @user-ro1tg1zn2j
    @user-ro1tg1zn2j 8 місяців тому +5

    Ee Mungu turehemu Wana wako tusikengeuke na kuifuata mambo ya dunia hii 😢😢

  • @LameckLameckmjwanga
    @LameckLameckmjwanga 8 місяців тому +2

    Kabisa nidhahilikabisa hakunajambo litakalositilika ambalo halitafunuliwa amina mtumishi

  • @yohanamp-ec7im
    @yohanamp-ec7im 8 місяців тому +1

    Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.

  • @diana56-lorient
    @diana56-lorient 8 місяців тому +2

    Asanti sana mungu, ubarikiwa sana MTUMISHI 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 ❤❤

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 8 місяців тому +2

    MUNGU aturehemu na atuongoze amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪

  • @SarahMauka-ii1gd
    @SarahMauka-ii1gd 8 місяців тому +2

    Mungu wangu

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 8 місяців тому +4

    Sio Bahati tu hata Guardian Angel.

    • @Crabtree1844
      @Crabtree1844 8 місяців тому

      Eti kuna mwingine aitwa 'Guardian Angel?' Ndoto kutoka shetani.

  • @BintiMwambapa-ev6kw
    @BintiMwambapa-ev6kw 8 місяців тому +1

    Bwana YESU azidi kukutunza mtumishi

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 8 місяців тому +3

    Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 8 місяців тому +2

    Huyo ni guardian angel na pia willy Paul

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 8 місяців тому +2

    Sio kenya tu dunia nzima,inafanya matukio ya ajabu sana Mungu turehem

  • @michaeljm-dz7nh
    @michaeljm-dz7nh 8 місяців тому +2

    Ubarikiwe sana Mchungaji 🙏

  • @elizabethnzula6704
    @elizabethnzula6704 8 місяців тому +2

    Kweli kabisa hawaeleweki wanaenda wapi ama wanamtumikia nani

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 8 місяців тому +1

    Mungu atusaidie, pekeyetu hatuwezi,hivyo barikiwa sana baba

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 8 місяців тому +2

    Amen blessed❤

  • @TuaircachimoNantola-po7oo
    @TuaircachimoNantola-po7oo 8 місяців тому

    Asante mungu anisaidie nimalize salama safari ya kwenda kwake, nikiwa Moçambique nayapenda sana mafundisho ya bwana.❤

  • @samisaya9819
    @samisaya9819 8 місяців тому +1

    Amina Mtumishii wa Bwanaa

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 8 місяців тому +6

    Amen amen mtumishi wa MUNGU 🇰🇪

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 8 місяців тому +2

    Hao ni wana wa giza, alama ya Mungu iliwatoka.

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 8 місяців тому

    You are right God bless you so much

  • @judithnakoli
    @judithnakoli 8 місяців тому +1

    Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments7634 8 місяців тому +1

    Yani Mimi nilinyoa nywele zangu jamani nilikuwa mbishi Mungu hataki nisuke nilivyolazimisha hahaha nikisuka nasukwa hovyoo napoteza pesa yangu aah nikaamua kutii na kunyoa nikaacha kupaka mavipodozi malipstik nikaacha Bwana Yesu kanitengeneza nilikuwa siwezi kuacha ahsante Yesu, vipodozi, mavazi ya hovyo na kusuka huendi mbinguni mwanamke.

  • @estherwairimu8760
    @estherwairimu8760 8 місяців тому +2

    Imagine afadhari wache kuwazia na nyimbo injili waazie nanyimbo za dunia because wanalihaibisha kanisa la mungu

    • @rogersjoseph7363
      @rogersjoseph7363 8 місяців тому +1

      Waimbaji wengi wamegeuka na kuwa vibaraka vya kuzimu badilika mala moja yesu anarudi yeye ajaye anakuja wala hatakawia

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm 8 місяців тому +1

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu aturehemu

  • @joramndirangu2263
    @joramndirangu2263 8 місяців тому +3

    No pastor here in Kenya can say that .washirika watakimbia

  • @salesianamlowe1751
    @salesianamlowe1751 8 місяців тому +1

    Mungu atuhulumie

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 8 місяців тому

    Shukrani sana nduguye.

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria Місяць тому

    Waaambie mtumishi,,sisi wakenya tukisema tunaambiwa tuna wivu na mafanikio ya wengingi.🥲💔

  • @ClovisMushagalusa-b7v
    @ClovisMushagalusa-b7v 29 днів тому

    Asante kwamafundisho mungu azindikutiya. nguvu

  • @IsayaBienvenu
    @IsayaBienvenu 8 місяців тому +2

    Good

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 8 місяців тому

    Amen 🙏

  • @johnngana7207
    @johnngana7207 8 місяців тому +1

    Amen

  • @erickrao
    @erickrao 8 місяців тому

    Amen 🙏 man of God 🇰🇪 asante napenda ukweli wako

  • @gracegasper6694
    @gracegasper6694 8 місяців тому

    Amina!

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 8 місяців тому

    Amina sana baba Mungu atuongoze sana

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b 8 місяців тому

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 8 місяців тому

    Ubarikiwe sana paschal.

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh Місяць тому

    Bahati agemuoa mwanamke mucha mungu,ata wa waleo agekuwa ana mtukuza Mungu but akapatana na mpeda rahaha

  • @BoscoMbungu
    @BoscoMbungu 8 місяців тому +1

    Kwakweli unatufunulia mengi, ubarikiwe baba Casiani

  • @cristinarashid1245
    @cristinarashid1245 8 місяців тому

    Ameen

  • @AyubuFumbi
    @AyubuFumbi 8 місяців тому +1

    Kaa jamani sema

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 8 місяців тому

    Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.

  • @selinageogre2881
    @selinageogre2881 8 місяців тому

    Mungu aturehemu sana ubarikiwe
    Mtumishi wa
    Mungu

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 7 місяців тому

    Mungu akubariki tunaendelea kutubu ili Mungu aturehemu

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 8 місяців тому +1

    Mkristo utafugaje nywele kama mwehu kwanini ku act kama mad person wakati uko mzima? Kuna Nguvu chafu inawasukuma wa chane hiyo style.

  • @laickwilinerd5375
    @laickwilinerd5375 8 місяців тому

    Piga kelele usiache pazasautiyako kama tarmbeta uwambie watu wangu kosalao 🙏🙏

  • @margretchipkwemoi8297
    @margretchipkwemoi8297 8 місяців тому

    Asante mtumishi ume gonga ntipo mungu akuinue 😭🖐️

  • @user-dc8xl3ti2d
    @user-dc8xl3ti2d 8 місяців тому

    Huyu Mungu aturehemu sana maana tunasikia lkn ni kama hatusikii au kuona jaman jaman 🙆🙆🙆🙆🤷🤷🤷🤷🤷🤷🙌🙌🙌🙌🙌

  • @bonfaslazaro2289
    @bonfaslazaro2289 8 місяців тому

    Sema Baba tunakuombea

  • @Nani-ww8yg
    @Nani-ww8yg 8 місяців тому +1

    T
    Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 8 місяців тому +3

    Sema kweli maana watu wamechanganyikiwa shetani amewateka watu kwa fedha na kufanya watu wamuasi Mungu,Ee Mungu tusaidie

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx 3 місяці тому

    Tuombeeni sisi, ushonga umejaa nchini Kenya,

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 8 місяців тому

    Eeeh Bwana katika wingi wa gadhabu yako kumbuka rehema

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 8 місяців тому

    Umesema kweli kabisa Kenya waimbaji hamna MUNGU atuokoe

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 8 місяців тому +1

    Diana shes not good wife for bahati

  • @user-rj2sh1hg4f
    @user-rj2sh1hg4f 2 місяці тому

    Mchungaji nimekubaliana na wewe unasema kweli kabisa linet Mimi ni mkenya siezi tetea dhambi

  • @estherwairimu8760
    @estherwairimu8760 8 місяців тому

    Nikweli kabisa amepotoka kabisa

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 6 місяців тому

    Samson,John the baptist wore dreadlocks.
    Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks.
    Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 8 місяців тому

    EeeMungu nisaidie nimalize huu mwendo salama😢🙏🙏🧎🧎

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 6 місяців тому

    Bahati alivalishwa marinda 😅😅

  • @brighterantony8707
    @brighterantony8707 8 місяців тому

    Ee Mungu tunusuru tumekosa tusamehe kumbuka rehema

  • @AlfredMilinga
    @AlfredMilinga 8 місяців тому

    Ubalikiwe.onya kalipia kemea dhambi kabisa

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 8 місяців тому +1

    Wala sisikii gospel ya Kenya maana hakuna

  • @daudilangat6123
    @daudilangat6123 7 місяців тому

    Pastor kale kajamaa kanaitwa bahadi ni kaajendi kaa shetani kaambie ukweli

  • @user-qq8bk8iv7l
    @user-qq8bk8iv7l 3 місяці тому

    Hiyo ni ukweli kabisa

  • @farajafleva
    @farajafleva 8 місяців тому

    Waimbaji wengi wanaodai kuwa kwa yesu hawapo naye tena

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 8 місяців тому

      By the way tusiangalie waimbaji tu though ni role model ila kila mtu atabeba msalaba wake so tujiengalie pia

  • @Dukeswanya-vm7cb
    @Dukeswanya-vm7cb 8 місяців тому +1

    Cassian, ni ukweli mtupu unasema. Kwa mfano humu Kenya kuanzia Disemba watoto watakaozaliwa wataanza kupandikiziwa Micro-chip

    • @lucywilson5875
      @lucywilson5875 8 місяців тому

      Mungu wangu!!!!!!!!!!!

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 8 місяців тому

      It will not happen in Jesus name we demolished every evil plan upon our country

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 8 місяців тому

    Bahati alikuwa amesimama hadi pale Hawa alipopindua maandiko kule Bustani akampa tunda😂my Kenya land sihami😂Ila SIO KENYA TUUU NI DUNIA YOTE

  • @user-cd9dx6sm4j
    @user-cd9dx6sm4j 8 місяців тому

    Amen

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 8 місяців тому

    N ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU 🇰🇪