Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka. Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao. Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.
Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana
Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...
MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.
Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.
Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri
Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.
T Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times
Samson,John the baptist wore dreadlocks. Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks. Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi
Eeh ysu tuhurumieeee!!!! Tumekosa sana!! Mmhhh! Tusamehe waimbaji, katika wingi wa ghadhabu yako kumbuka rehema
Ni kweli mama tunahitaji rehema ila lazima tuchukue hatua za kutubu na kuiacha dhambi
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
Mama nawewe sikuizi kuvaa kwako mmmmmh!
@@esterpeter8556😂😂WWE unatabu aky
Kweli kabisa mtumishi tunakubaliana na wewe mmi ni mkenya umefanya vizuri eka wazi Amen mungu akulinde azidi kukupa ufunuo huo god bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aki bahati na willy paul wamezidi kuaribu kizazi hawa watu wawili wangefanya vijana waokoke but😢😢😢😢😢
Mungu akubariki sana mtumishi kweli mtupu hii ni sodoma na gomora ee BWANA YESU tusaidie na utuokoe
Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli
Wachungaji wengi kenya wako biashara
Tumbua...mtumishi hawa ni wasanii si watumishi...kemea kabisaaa...kutoka kenya 🇰🇪 tunasema ubarikiwe!
Arambwe, Mungu Mkuu amhurumie, pastor mimi ni mtumishi Mungu Mkuu anasema Kenya 🇰🇪 itaanguka kwa janga
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka.
Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao.
Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.
Aaamen amen
Kaka cassian, biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao hao ni maagent wa ibirisi 100%.
Mungu tusamehe watoto wako tumekosea sana waimbaji tumesahau nafasi yetu
Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana
Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...
MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
Amina
❤❤amen
Amina
Nena kwa sauti kuu, Mtumishi. Mungu ainuliwe na tabia nzuri. Asante
Ee Mungu turehemu Wana wako tusikengeuke na kuifuata mambo ya dunia hii 😢😢
Kabisa nidhahilikabisa hakunajambo litakalositilika ambalo halitafunuliwa amina mtumishi
Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.
Asanti sana mungu, ubarikiwa sana MTUMISHI 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 ❤❤
MUNGU aturehemu na atuongoze amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Mungu wangu
Sio Bahati tu hata Guardian Angel.
Eti kuna mwingine aitwa 'Guardian Angel?' Ndoto kutoka shetani.
Bwana YESU azidi kukutunza mtumishi
Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.
Huyo ni guardian angel na pia willy Paul
Sio kenya tu dunia nzima,inafanya matukio ya ajabu sana Mungu turehem
Ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
Kweli kabisa hawaeleweki wanaenda wapi ama wanamtumikia nani
Mungu atusaidie, pekeyetu hatuwezi,hivyo barikiwa sana baba
Amen blessed❤
Asante mungu anisaidie nimalize salama safari ya kwenda kwake, nikiwa Moçambique nayapenda sana mafundisho ya bwana.❤
Amina Mtumishii wa Bwanaa
Amen amen mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Hao ni wana wa giza, alama ya Mungu iliwatoka.
You are right God bless you so much
Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri
Yani Mimi nilinyoa nywele zangu jamani nilikuwa mbishi Mungu hataki nisuke nilivyolazimisha hahaha nikisuka nasukwa hovyoo napoteza pesa yangu aah nikaamua kutii na kunyoa nikaacha kupaka mavipodozi malipstik nikaacha Bwana Yesu kanitengeneza nilikuwa siwezi kuacha ahsante Yesu, vipodozi, mavazi ya hovyo na kusuka huendi mbinguni mwanamke.
àmina 🙏
Imagine afadhari wache kuwazia na nyimbo injili waazie nanyimbo za dunia because wanalihaibisha kanisa la mungu
Waimbaji wengi wamegeuka na kuwa vibaraka vya kuzimu badilika mala moja yesu anarudi yeye ajaye anakuja wala hatakawia
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu aturehemu
No pastor here in Kenya can say that .washirika watakimbia
Mungu atuhulumie
Shukrani sana nduguye.
Waaambie mtumishi,,sisi wakenya tukisema tunaambiwa tuna wivu na mafanikio ya wengingi.🥲💔
Asante kwamafundisho mungu azindikutiya. nguvu
Good
Amen 🙏
Amen
Amen 🙏 man of God 🇰🇪 asante napenda ukweli wako
Amina!
Amina sana baba Mungu atuongoze sana
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏
Ubarikiwe sana paschal.
Bahati agemuoa mwanamke mucha mungu,ata wa waleo agekuwa ana mtukuza Mungu but akapatana na mpeda rahaha
Kwakweli unatufunulia mengi, ubarikiwe baba Casiani
Ameen
Kaa jamani sema
Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.
Mungu aturehemu sana ubarikiwe
Mtumishi wa
Mungu
Mungu akubariki tunaendelea kutubu ili Mungu aturehemu
Mkristo utafugaje nywele kama mwehu kwanini ku act kama mad person wakati uko mzima? Kuna Nguvu chafu inawasukuma wa chane hiyo style.
Piga kelele usiache pazasautiyako kama tarmbeta uwambie watu wangu kosalao 🙏🙏
Asante mtumishi ume gonga ntipo mungu akuinue 😭🖐️
Huyu Mungu aturehemu sana maana tunasikia lkn ni kama hatusikii au kuona jaman jaman 🙆🙆🙆🙆🤷🤷🤷🤷🤷🤷🙌🙌🙌🙌🙌
Sema Baba tunakuombea
T
Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times
Sema kweli maana watu wamechanganyikiwa shetani amewateka watu kwa fedha na kufanya watu wamuasi Mungu,Ee Mungu tusaidie
Tuombeeni sisi, ushonga umejaa nchini Kenya,
Eeeh Bwana katika wingi wa gadhabu yako kumbuka rehema
Umesema kweli kabisa Kenya waimbaji hamna MUNGU atuokoe
Diana shes not good wife for bahati
Mchungaji nimekubaliana na wewe unasema kweli kabisa linet Mimi ni mkenya siezi tetea dhambi
Nikweli kabisa amepotoka kabisa
Samson,John the baptist wore dreadlocks.
Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks.
Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi
EeeMungu nisaidie nimalize huu mwendo salama😢🙏🙏🧎🧎
Bahati alivalishwa marinda 😅😅
Ee Mungu tunusuru tumekosa tusamehe kumbuka rehema
Ubalikiwe.onya kalipia kemea dhambi kabisa
Wala sisikii gospel ya Kenya maana hakuna
Pastor kale kajamaa kanaitwa bahadi ni kaajendi kaa shetani kaambie ukweli
Hiyo ni ukweli kabisa
Waimbaji wengi wanaodai kuwa kwa yesu hawapo naye tena
By the way tusiangalie waimbaji tu though ni role model ila kila mtu atabeba msalaba wake so tujiengalie pia
Cassian, ni ukweli mtupu unasema. Kwa mfano humu Kenya kuanzia Disemba watoto watakaozaliwa wataanza kupandikiziwa Micro-chip
Mungu wangu!!!!!!!!!!!
It will not happen in Jesus name we demolished every evil plan upon our country
Bahati alikuwa amesimama hadi pale Hawa alipopindua maandiko kule Bustani akampa tunda😂my Kenya land sihami😂Ila SIO KENYA TUUU NI DUNIA YOTE
Amen
N ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU 🇰🇪