ONYO KWA WAKENYA MUOGOPEN HUYU PASTAR NGAN'GA SHETANI ANAMTUMIA EV PASCHAL CASSIN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #call0688199370 #

КОМЕНТАРІ • 183

  • @gracekivuva-nc9lp
    @gracekivuva-nc9lp 10 місяців тому +23

    Barikiwa sana nakubaliana nawe kabsa ju hta akisikia hii habari hile matusi ataachilia utashagaa na anajiita pastor. I surpot you, from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CynthiaAcheza
    @CynthiaAcheza 3 місяці тому +3

    Very true dunia imeisha shetani ametawala ,nikumuweka Mungu mbele hili atuonyeshe njia kamilifu,be blessed 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 10 місяців тому +16

    Wacha nihubiri nawe kwa njia hii ya kidole kwa wakenya wenzangu. Huu ni ukweli. Wakenya tuamke,😢😢😢 tumelala sana.

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 10 місяців тому +6

    Wana heri hao wazishikao amri za Mungu...
    Sikieni mafundisho, mpate hekima, wala msiikatae. Wachungaji wote wa kenya ujumbe ndio huo, Mungu ametumana kwenu... na msikatae.
    Kanisa za Town kenya karibia zote watumishi wanatumiwa na ibilisi....
    Amen Amen 🙏 mtumishi Umepata kibali kwa Bwana....Ni hekima ya Mungu inayokuongoza ni wewe tu mwenye ufahamu wa kweli.
    Zidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote. Ukijua kazi yako si ya bure, haijalishi jinsi kazi yako inyoonekana kuwa ngumu au isiyo na maana kwa wasioamini Mungu, ina maana kwa Mungu. Kwa sababu inamletea utukufu, na kwa sababu hiyo si bure. Mungu azidi kukuinua from glory to another... Mungu ako pamoja

  • @felesianyangasi
    @felesianyangasi 10 місяців тому +4

    🇰🇪 Asante kwa ujumbe huu wa kweli.Wakenya wawe waangalifu.Hapa kina Ng'ang'a ni wengi

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 10 місяців тому +7

    Napenda unavyo ongea ukwel,,naomba mungu akutie nguvu na akupiganie kw kila njia na alinde familia yako

  • @damarisnyaata
    @damarisnyaata 10 місяців тому +3

    Wakenya tumefamiwa jameni
    Mungu tulehemu nikubaya sasa
    Ukweli mtupu
    Be blessed pastor.

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm 10 місяців тому +3

    Anamtusi fala na ng'ombe, Asante sana Pastor Mungu akutie nguvu 🙏🙏🙏

  • @jacklinewahome2416
    @jacklinewahome2416 10 місяців тому +2

    Hongera.. Mtumishi..passical cassian huku Kenya matapeli dio wengi.

  • @erickrao
    @erickrao 10 місяців тому +3

    Very good man of God this is true story kabisa wambie wawache upuzi warudie bwana YESU 🇰🇪😭😭😭

  • @mercynjeri6275
    @mercynjeri6275 10 місяців тому +7

    Paster wajungaji wengi Kenya ni mapepo tupu wambie ukweri usiwabebeleze 🇰🇪🇰🇪

    • @daisyakhini9331
      @daisyakhini9331 10 місяців тому +3

      Saana n wengi, ad tym niliona et Rose mhando amekuja kuombewa nae, hapo ndo nilijua ukweli kumbe Rose na ng'ang'a wanacheza kimoja

    • @KilonzoMutuku-hi6rs
      @KilonzoMutuku-hi6rs 8 місяців тому

      Ww ukona utafiti ngani,??? Fanya utafiti ujue Kenya iko mbele sana

  • @ev_abediespoir490
    @ev_abediespoir490 9 місяців тому +1

    Amen, amen Mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana tena saaaaaaana kwa mafunuo hayo, Mungu azidi kukulinda kwa kazi yako ya Injili kwa kuwaokoa watu

  • @naamangidion
    @naamangidion 10 місяців тому +3

    Mungu akutie nguvu Akulinde , akutunze , Mahubiri yako yanatuponya wengi sana Ubarikiwe Aminaa #@passical cassian

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster 3 місяці тому

    Asante kwaajili ya tahadhali. Mungu akuinue kabsa

  • @Deboraclementgm
    @Deboraclementgm 10 місяців тому +2

    Amen Amen mutumishi Ni kweli anamatusi Sana Uyo pastor

  • @mshaisharon3608
    @mshaisharon3608 9 місяців тому +2

    🇰🇪God I in Jesus name I ask for forgiveness for all defilement in the church and believers, we have sinned as a Nation we humbly ask for your mercy. we are sorry Lord Jesus 😭😭😭

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela7543 10 місяців тому +2

    Hatamtumishi wa Mungu Moses Kulola alisema mtumishi wa Mungu akae mbali na vitu hivi:
    1- uzinzi
    2- kupenda fedha

  • @ElijahAmon-uq6zk
    @ElijahAmon-uq6zk 10 місяців тому +2

    Ubarikiwe sana na mungu kaka mungu azidi kukupaka mafuta yake matakatifu

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu 10 місяців тому +1

    Mungu tusamehe sisi watumishi wako kutoka Taifa la Kenya

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 10 місяців тому +1

    Hii ni huzuni kweli wakenya turudi kwa magoti tuombe rehema kwa Mungu.Tuliombee taifa letu nimekuwa chukizo kwa Mungu.Matengenezo !matengenezo!matengenezooooooo!!!!!

  • @mwinzilavincent3774
    @mwinzilavincent3774 10 місяців тому +3

    Ata Anesema Kanisa ni yake .. sio ya mungu.. na ni viosk amefungua sio kanisa

  • @roselyneezekiel
    @roselyneezekiel 3 місяці тому

    Barikiwa sana mtumishi... Mafunzo yako yananiwezesha kuepuka mengi sana. Mungu akulinde kila wkt.🇰🇪🇰🇪

  • @kimsi682
    @kimsi682 6 місяців тому

    Asante kwa kwa haya yote. Ni kweli huyu pastor anaukali usioeleweka. Mungu ampadirishe. Pia, Mungu akubariki sana!

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 10 місяців тому +3

    😭😭😢🙏 Mungu naomba utusamehe mana kweli tumemuacha Mungu wakenya kama kunae mtu anampenda Mungu akiona clip za huyu mtumishi aezi pita au kumaliza siku bila kutazama huyu mtumishi 😭

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 10 місяців тому +1

    Barikiwa sana kwa injiri nzito Mungu akufiche viganjani mwake.😊

  • @user-et6bz6dz4j
    @user-et6bz6dz4j 10 місяців тому +2

    Ongeza volume kbs,mm sijawai kumpenda Wala kusikia maubiri na nyimbo zake.. Asante kwa kusema ukweli..barikiwa!

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 10 місяців тому +3

    Asante poster hapo umeongea,,,,but umemsaau Ezekiel odero

  • @godfreyfesto2490
    @godfreyfesto2490 5 місяців тому

    Mungu akubariki siku zote

  • @user-jj5dz3ro6c
    @user-jj5dz3ro6c 10 місяців тому +2

    Amen barikiwa mtumishi🇰🇪🇰🇪

  • @PASCOJELEMIA
    @PASCOJELEMIA 23 дні тому

    asante sana kwaukwel

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 10 місяців тому +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu have a blessed day

  • @user-ci6vl1fb9u
    @user-ci6vl1fb9u 10 місяців тому +1

    This is very true evangelist Cassian, may God continue blessing you. Let him hear this voice to have his own decision later. Either to change for God or remain threr & known to be a false pastor.
    Very abusive false pastor ng'ang'a.
    Supporting from Kenya.😢

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 10 місяців тому +1

    Waaaa MUNGU atusaidie ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪

  • @AnordyNyoka
    @AnordyNyoka 4 місяці тому +1

    Kwelii kabisaaaaa

  • @JamesOwino-n8r
    @JamesOwino-n8r 8 днів тому

    😂😂😂huyu ni comedian wa kenya

  • @user-jk7yg8lb4k
    @user-jk7yg8lb4k 8 місяців тому

    Amen mchungaji ni ujumbe kutoka kwa Christo Yesu, wakenya tuitambue sauti ya Yesu

  • @user-rq9ne8vj6x
    @user-rq9ne8vj6x 8 місяців тому +2

    Wambie.ukweli. mtumishi

  • @user-dd4zf2ne6f
    @user-dd4zf2ne6f 9 місяців тому

    Amen mutumishi wa mungu akubariki na akuinu na akulinde akubariki Niko Kenya

  • @mercynjeri6275
    @mercynjeri6275 10 місяців тому +1

    Shallom hapo nakubariana na ww mtumishi wa mungu hapa Kenya tunahitaji mungu sana ushikome kuwabia baka yesu alundi amen🙏🙏🙏🙏🙏

  • @brackythechosen3629
    @brackythechosen3629 10 місяців тому +1

    Amen ukweli huo, wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuwe macho

  • @GMD820
    @GMD820 10 місяців тому +3

    Mtumishi wa Mungu Pascal ongeza volume coz uko hundred pasent nimeishi apa u ni mwak 13 sijaipata watumishi wanosema ukweli an that's why niliacha kwenda church nikikuja home ndio mi huendal kanisa naishi uku tu sababu ya watoto other wise 😢

  • @godefroidm741
    @godefroidm741 8 днів тому +1

    PASTOR NGANGA KUJA HAPA UTUJIBU

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster 3 місяці тому

    Asante kwaajili ya ukweli

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 10 місяців тому

    Nyanyua sim upate hela itoke wp fanya kazi tuacheni mafundiso yasiofaa mafundisho mema haya hapa mtazame huyu mtumishi upone kiroho kimwili hata kiafia barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm 10 місяців тому +1

    Amen Amen Amen pastor

  • @rosewacharo3336
    @rosewacharo3336 10 місяців тому +1

    Barikiwa pascal.......waambie wasikie

  • @user-wv5cq5kt7b
    @user-wv5cq5kt7b 10 місяців тому

    Amen mtu wa Mungu ubarkiwe sana nakwelewa sana Asante 🙏🙏🙏

  • @NANA-xf1ec
    @NANA-xf1ec 10 місяців тому +1

    Amen Amen na mungu awe nawe 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ShimirimanaJolie-uo3wl
    @ShimirimanaJolie-uo3wl 7 місяців тому

    Mungu.akubariki..nikweli..yesu.kristo..wakati..alikuwa....duniyani..awakumukubali..mungu.akusayidiye.baba

  • @michaeljm-dz7nh
    @michaeljm-dz7nh 10 місяців тому +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙏

  • @RobertWasike-hv2ex
    @RobertWasike-hv2ex 6 місяців тому

    Mimi pia ni mkenya lakini nakubaliana na wewe, Kenya churchs ni kama maduka ya kulevya,ata heri mlevi kuliko kanisa lililoko Kenya,haswa sana kwenye mji mkuu Nairobi

  • @NuruMbongo
    @NuruMbongo 10 місяців тому

    Ubarikiwe Mungu akupe ulinzi na ngome unasema yaliyopo ameni

  • @godefroidm741
    @godefroidm741 8 днів тому

    Amen

  • @laurentwilson-db4ir
    @laurentwilson-db4ir 10 місяців тому +2

    Amen 🙏🙏 Mtumishi 🙏🙏

  • @diana56-lorient
    @diana56-lorient 10 місяців тому +2

    BWANA YESUS ASIFIWA SANA, ASANTI SANA MTUMISHI, MUNGU AKUBARIKI SANA, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇵🇨🇵

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 10 місяців тому +2

    Ameeen 🙏😢

  • @ChristinaCharles-py1ct
    @ChristinaCharles-py1ct 10 місяців тому

    Mungu akubariki sana mchungaji cassian

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 2 місяці тому

    Amina

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 10 місяців тому +1

    Nilikua nalia bt apa tunaanza usiku usiku wa manane 😂😂😂😂nimejikuta nacheka

    • @evalineeghwa3932
      @evalineeghwa3932 10 місяців тому

      😂😂😂hii ndio comment nilikuwa naangalia ety usiku WA manane

  • @lucynjeri1889
    @lucynjeri1889 10 місяців тому

    Barikiwa kwa kunena ukweli.Malaika wa mungu wazidi kukulinda.

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 10 місяців тому +2

    Kofia yake iko na chapa ya illuminate

  • @owenmlagala7855
    @owenmlagala7855 10 місяців тому +1

    Napenda Sana Mafundisho yako

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 7 місяців тому

    Shetani amewateka wengi,muone vile alivyo na bado anawashiriki kwa hili kanisa jamani, watu wamepotea 😢 mungu atuhurumie na atuletee watumishi wake wa ukweli mungu atuhurumie ,mtumishi wa mungu mimi hapa nimeshindwa hata kenda kanisani

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 9 місяців тому +1

    Jamaa anawaita watu ng'ombe na wanacheka....tatizo kubwa naona ni hao wanaomsikiliza.

  • @adylineamutamwa959
    @adylineamutamwa959 10 місяців тому +2

    Na watu wanamiminika kule kama maji Ezekiel Sasa ndo next wataje wote wakristo wafunguke macho

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 9 місяців тому

    Mahubiri yadharau nakufedhehesha eti nimahubiri kutokakwaMungu nawafuasi wske wasigunduekitu hatahapatunao .wenyekutishia raiawema naserikalizinawaangaliatu kanakwambawao sheria zasrikali haziwahusu.

  • @Franckmulaj-Officiel
    @Franckmulaj-Officiel 10 місяців тому

    Amen amen tuwezi kuogopa kwa maana ule eko ndani yetu nimukuu

  • @agnes7675
    @agnes7675 8 місяців тому

    AMEN

  • @nasembakihara3024
    @nasembakihara3024 8 місяців тому

    Mungu aendelee kukutumia vilivyo

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 6 місяців тому

    Watumishi wengi wa Mungu walianza vizuri, tatizo baraka za kifedha na Mali ziongezekapo ndipo viroja huanza

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 9 місяців тому

    We PASCHAL WE NI MTU WA HOVYO SIO KILA MCHUNGAJI AKIKOSEA ANATUMIWA NA SHETANI

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 10 місяців тому +1

    Next time tutajie wachungaji wa Mungu ndio twende kuswali huko.

  • @virginiakanana7677
    @virginiakanana7677 7 місяців тому

    Mungu amenipa maono yake Kila mara aki

  • @HarrietKaichwumia
    @HarrietKaichwumia 2 місяці тому

    Harriet nasema hasante kwa kunifungua macho

  • @KahwegeAimee
    @KahwegeAimee 10 місяців тому

    Mungu akubariki sana

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 10 місяців тому +3

    Why calling people ng’ombe heti kisa kavaa mtumba mungu azidi kuheremu watu kweli na watu wana cheka 😢

    • @violetnasimiyu8718
      @violetnasimiyu8718 10 місяців тому

      Imagine people are laughing 😮 wote wamepotea na wametekwa na wala hapana asemae rudisha.

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 9 місяців тому

      wamefungwa ufahamu wao hawawezi kutafakari amecheza na akili zao

  • @user-jf2jc5gm1h
    @user-jf2jc5gm1h 10 місяців тому

    Barikiwa mtumishi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 10 місяців тому

    Aca wakutukane ata YESU kristo alitukanwa, wew Songa Mbele tu

  • @esthermurunga3659
    @esthermurunga3659 6 місяців тому

    Mungu tusaidia sisi wanawako

  • @kyalonicholas1707
    @kyalonicholas1707 10 місяців тому

    Ndio MTUMISHI wa Mungu waambie washirika wafunguke Kwa hekima ya Mungu

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 10 місяців тому +1

    Uko sawa hapo

  • @ObviousKatuka
    @ObviousKatuka 10 місяців тому

    Amen Toka 🇿🇲 amen

  • @monnymuhia7370
    @monnymuhia7370 10 місяців тому +1

    Atakaye hukumu ni Mungu pekeee... tuache kuhukumiana ...mbona commander peke yake ndiye mbaya?

  • @amalalmalki3730
    @amalalmalki3730 10 місяців тому

    Unasema ukweli mtumishi wa mungu,mm ni mkenya but yale ninaona ni mungu atuhurumie sana

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 10 місяців тому

    Mungu atusaidie jamani Yani wakenya jamani ata naogopa kwenda kanisani nasema Bora niombe nikiwa home Mungu liangalie taifa la Kenya 🙏😭

    • @KilonzoMutuku-hi6rs
      @KilonzoMutuku-hi6rs 8 місяців тому

      Usiamini uyu nambii kwanza shiriki kanisa lake tuone nae okoje

  • @sakakajouf5900
    @sakakajouf5900 10 місяців тому +1

    Nikweli mtumishi matusi kwake nikama chakula,,,na anatukana wa2 wazima na bado wanaendelea kwenda hapo

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 10 місяців тому +1

    Mat 12: 36- 37 kila Neno mtu anenalo 1 nzuri 2 baya litalipwa

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 10 місяців тому

    Ni kweli tunapaswa kujiweka tayari kusoma Neno la Mungu nakuzijaribu hizi roho ziko wazi kabisa sijui ni nini kinacho wafanya kwenda kwa huyu mtu Eee BWANA YESU tupd kushinda Kila jaribu

  • @user-jf2jc5gm1h
    @user-jf2jc5gm1h 10 місяців тому

    Mungu akutie nguvu

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 9 місяців тому

    Siyo wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za injili wa kenya mimi huwa siwaelewi mfano ringtone,bahati,willy paul na huyu aliyeimba unipanye uzima anasuka rasta au diledi wanawake wanavaa suruali za kubana sasa najifukilia hivi hawa kweli wameokoka?

  • @bettywanjala5630
    @bettywanjala5630 9 місяців тому +1

    Aeeeeeeeeeeen

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 10 місяців тому

    Mimi sina shida na huyo mzee hapo umenena kweli ng'ang'a posrt ni comedian

  • @GidionMwaki-rp1oc
    @GidionMwaki-rp1oc 10 місяців тому

    Amina mtu wa Mungu

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 9 місяців тому

    Hosea 4:6

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 10 місяців тому +2

    Iyo kweli ni shetani kabisa

  • @thevoiceofchampions
    @thevoiceofchampions 8 місяців тому

    JE PASTORS WAGANI NI WA MUNGU APA KENYA PLIZ TUAMBIE TUENDE KWAO

  • @DanielMukora-jx1bh
    @DanielMukora-jx1bh 10 місяців тому

    Eti cassian anakerwa na miujiza! Je! Nimiujiza ama nimaigizo?

  • @lucyachieng2831
    @lucyachieng2831 10 місяців тому

    Amen Amen 🙏

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 10 місяців тому

    Amen amen

  • @intyrystyn
    @intyrystyn 8 місяців тому

    Na watu bado wanafuata huyu, ati falaa, an ngombe , then mwanaume shindwe....what?? hahaa!