Hili somo niliskia pia kwa mvhungaj wa wasabato debid mmbaga leo tena naliskia asnte sana pschal nilikjwa nakuona sio mtu mzuri kwa kushambulia watumish ongera nimsekia mala ya pili somo lako tena mlokole mwenzangu asnte ❤😊
Mwenyez mungu awasamehe Sana maana hamjui mlitendalo, Kwanza mnafaa kujua hakuna siku ya shetani siku zote ni za mungu, hakuna siku hata Moja iliyoubwa na shetani, Mimi nikisheherekea Christmas kwa dhumun la kumbukz ya yesu wangu wala Sion huo ushetan mnaosemea, ila kama kuna wengne wanaweka dhamila za kumuabudu shetan wao wala me sion tatzo watajua wao
Amina mtumishi sema kweli yote Yesu yu Mlangoni..wengi wamefunikwa na giza nene..kwa sasa hawakuelewi ila saa inakuja watalia na kusaga meno na watakuwa wamechelewa...Paza sauti Yesu yuaja.
Ile Kwamba Yesu alizaliwa Duniani mimi siachi kufurahia kuzaliwa kwake Mwokozi wangu Yesu kwa sababu nampenda sana Munguwangu !! Tarehe haibebi Maana tutatembea Na kilichobebwabwa ndaniyake.
@@YUSUPHHUGUGU-vh9rx Yesu Kristo ni Mungu aliye vaa mwili Wakolosa 2:9, Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. Yesu Kristo ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote Wakolosa 1:15-16 15 naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. 16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. 17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Mungu ndiye wa kwanza katika hii dunia ndiye aliyeumba vitu vyote ,na BWANA Yesu anatusibitishia kuwa yeye ndiye aliyeumba vitu vyote sasa kama siyo Mungu alipewa mamlaka wapi na yeye ndiye wa kwanza huyo Mungu mwingine yuko wapi . Yohana 8:58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko. Tunao uhakika wa kusema Bwana Yesu ni Mungu maana yeye alikuwepo ata kabla ya ulimwengu kuwapo Yesu Kristo ni Mungu wa Kweli Amen
HIVI WEWE PASCAL UNAJIELEWA VIZURI? NAKUONYA ACHA UJINGA WAKO UNAPOTOSHA BIBLIA NAONA UMESHAANZA KUCHANGANYIKIWA,,UMEACHANA NA JODAVI UMEANZA KUSHINDANA NA MWENYEKAZI YAKE? YESU MWENYEWE? NAKUONYA ACHA KUONA UNAJUA SANA KULIKO WATUMISHI WENZIO, KWANZA UNAMVUNJIA HESHIMA MUNGU. WETU, NAHAO WANAOKUUNGA MKONO KWAMBA WAMEKUELEWA CHRISTMAS NI YA shetani, NI WAJINGA WENZIO KWAAPO MIMI NIMEKUDHARAU,JITU ZIMA OVYO👺👹 KWANZA KABISA UMENIKERA, NENDA VYUO VYA BIBLIA KASOME USHAYUMBA,(1) UMESEMA WANAISHEREHEKEA KISHETANI? HUONI SABABU YA CHRISTMAS KUSHEREHEKEWA? ACHA KUDONOA DONOA MAANDIKO, NAKUONYA UMEZIDIWA HATA NA NYOTA YA MASHARIKI ILIYOWAONGOZA. MAMA JUSI NA MALAIKA KWENDA KUMSUJUDIA IMMANWELI NAKUZITOA ZAWADI ZAO, WEWE PAMOJA NA VIPOFU WENZIO WANAOKUSAPOTI UPUUZI WAKO SOMENI MAANDIKO, MATHAYO 2:1-23; KWANZA NAKUONYA NI VEMA UTUBU KWA UPOTOSHAJI HUO,KWANZA HATA. YESU MWENYEWE. ANAKUSHANGAA, NINGEKUPA MAANDIKO MENGI SANA YANAYOONYESHA FURAHA JUU YA KUZALIWA KWA YESU!!! MISITARI HIYO INAKUTOSHA,,, UNAIKUBALI PASAKA KIFO CHA YESU,,KUZALIWA UMEKUKATAA AJABU SANA.... NADHANI KWA JEURI UNAYOIONYESHA HIYO PASAKA HAIKUHUSU, TUACHIE TUNAOFURAHIA KUZALIWA KWA MWOKOZI WETU. YESU. HUWEZI SHEREHEKEA KIFO CHA MTU AMBAE HUKUMSHANGILIA ALIPOZALIWA ACHA MARAMOJA. KATIKA. JINA LA YESU! UMENIUDHI SANA UNAKOELEKEA HAUTAKUA TOFAUTI NA BABU. WA LOLYONDO NA ZUMARIDI. ⛪📖 NA BIBLIA TUPO IMARA KUISIMAMIA SHEREHE HII YA KUZALIWA KWA BOSS WETU YESU MPAKA AJAPO NDIO MAANA NIMEKUPA USHAURI NENDA KASOME, KWAHELI🙏
Polee sana Mungu akusamehe usifundishe usichokijua ungejua maana ya kuzaliwa kwa Yesu usingesema hivyo kaa kwanza mbele Mungu,Mungu atakufundisha usiharakiae kuzungumza kama bado hujaelewa utawapotosha wengi na utalaaniwa pole sana nakuhurumia na nakuombea Mungu akusamehe
Wote wanaokusanyika siku hiyo ya krismas bac wanaabudu miungu jua ile ya kigiriki!! Miungu ilizaliwa siku hiyo ya tarehe 25 ya mwezi wa December. Yeremia52:31. Yesu Kristo ni roho, yaani ni Mungu mkuu. Tito 2:13. Anazaliwa kila siku. Kwahiyo mimi huwa nasherekea kuzaliwa Yesu kila siku kwasababu anazaliwa ndani mwangu. Yesu Kristo Mungu mkuu asifiwe sana!! Nipongeze hata kama hunipendi. Nipongeze tu!!
Ukitaka kujua Nini maana ya KRISMAS kaa vizuri na mungu ataakujibu vzr mafundisho yamekuwa mengi yanatuchanganya Sana ❤ tunashindwa kufahamu yaaliyo yakweli ni yapi
Soma bibilia uielewe uache kusikiza tu watumishi bila kusoma nakupata ufunuo wa Mungu..IKIWA WASHEREHEKEA KWA KUNYWA POMBE, NA USHERATI NA MAMBO YAKIDUNIA BASI WEWE HAUFANYI CHRISTMAS UNAFANYA SHEREHE YA KIDUA NA YA KI KRISTO.
Yeremia 52-31 inasema 25/12/_ nisiku mfungwa alitolewa gerezani so definitely sio siku ya kuzaliwa Yesu Kristo..., Hata pasaka ya Bwana ipo na tarehe kwa biblia na unaruhusiwa kuikumbuka anasema fanyeni hivi kwa kunikumbuka.... so wakati umefika mambo yawekwe sawa Mungu akubariki sana mtumishi Walawi 23:5-7 inafika wakati wakufata Biblia sio mapokeo ya wanadamu... Yesu Kristo Ywaja uwe tayari kufundishika mpendwa🇰🇪
Kusoma biblia nakuielewa n vitu viwili tafauti sana, yeremia 52:31 yaongelea wafalme nasiyo kuzaliwa kwa mwana wa mungu. Pia kumbukeni kwamba hafananishwi na chochote kile mbinguni na hata duniani
Hatuendi siku hiyo hatuendi kusherekea au kuabudu mungu juwa kwa sababu tunaenda abudu Jina la yesu kristo ndilo linatajwa kwa kumuabudu sio mungu juwa.
Lkn mtumishi kama tuna azimisha alivyofufuka kwann tusisherekee alivyozaliwa...japo tunajua tunamsherekea yesu Kila siku lkn walifanya ivo kwa kuadhimisha tu japo c mwez ambao alizaliwa ila ilipangwa tu ili kuukumbusha ulimwengu kwambaYesu alizaliwa
Mungu azidi kukubariki,endelea kutuelewesha, mnaompinga P, Casiani mjiulize swali kuwa je! Mitume wa Bwana Yesu wa agano jipya waliadhimisha Christmas? Kama siyo basi haturuhusiwi, kwasababu kanisa limejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii.
Sio ukweli hata kidogo kwa sababu sisi hatusherekei siku tunasherekea MPANGO (mission)ya kuja kwa yesu kristo duniani na mpango wa YESU ni kuja kunikomboa mimi na wewe na wala sio mpango mwingine sasa naona wewe unayetaka kupotosha kuhusu krismas ,krismas tunasherekea siku ya YESU KUZALIWA naona wewe sasa unaelekea kuwa MDOGO WAKE SHETANI acha kutupeleka makosa kwenye imani yetu ya kumuamini YESU KRISTO
Lazima uitetee kwasababu wengi tumekuwa familia na makanisa yetu yanasherekea ni ngumu kukubali ila kwakuwq umeshasikia mtumishi kasha maliza huduma imebaki kwako kuipima Roho.
Nenda kafanye uchunguzi, kasome chimbuko la hii sikukuu ilianzaje anzaje hapa duniani na ujiridhishe je walio ianzisha ni kweli walikua wanamsherehekea Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai au Ibilisi aliyejigeuza malaika wa nuru halafu rudi kwenye maandiko, ni wapi Kristo aliwahi sherehekea birthday yake au mitume kumfanyia birthday na kutuachia agizo la kuadhimisha kila mwaka tar 25/12? Biblia inaonya kuhusu kuongeza au kupunguza neno la Mungu, Kuna mapigo. Hii ni sherehe ya kipagani, Yesu hahusiki hapa bali mungu jua wa warumi, ila ukweli huwezi kuujua usipoutafuta maana ibilisi ni muongo na baba wa huo uongo.
Yesu alisema hakuna siri ililiyo fichika ambayo haitafichuliwa,hii ilikua ni siri lakin hatimaye imefichuka MUNGU akubariki sana mtumish endelea tu kutufundisha na kutuonya katik siku hiz za hatar
Mmi tangu ni jue huu ukweli kupitia mtumishi wa Mungu @@pastor David mmbaga, kupitia channel yake, nikaelewa nanikaanza kusoma biblia vizuri kabisa🤔🤔sijawai sherekea Christmas 🎄 na najaribu kuambia watu waelewe jamani wanapotea😢
Jaman kila mtu abaki kwenye kitu anachokiamin me nazan iyo n kazi ya mungu tunanza kuingilia ye ndo anajua kama wakristo wote wanaxherekea Christmas wanakoxea au n dhambi bac tumwachie mungu kazi yake cku ya mwixho kila kotu kitakuwa wazi
We kasiani Mimi nakufahamu Sana kila siku unaongea mambo mazuri lakini kwa hilo unakosea my friend sisi tumeokoka na tunaamini kuzaliwa kwa YESU hivo lazima tumuheshimu hapo unatafta kitu kingine MUNGU anachukizwa kupinga Mambo yake
Wagalatia 1:8-9 lakini ijapokuwa sisi au Malaika wa mbinguni atawahubili ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri na alaaniwe. 9.kama tulivyotangulia kusema na sasa nasema tena mtu awaye yote akiwahubiri injili yoyote isipokuwa hiyo mliyoipokea na alaaniwe. __________________________ Nataka majibu Christmas imeandikwa wapi na Mitume waliisherekea wapi siyo kuwatukana watumimishi wa Bwana wanaosema kweli.
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu. Mm Nina maswali machache kuhusu Maisha yanayoendelea... ktk nyakati hizi za mwisho. Vipi kuhusu.. 1.Internet na Mitandao ya kijamii. 2.Kalenda ya Dunia hii na Ile ya MUNGU 3.Mavazi/Jezi za mpira na michezo mbali mbali yenye LOG au alama za kishetani 4.Mpira WA miguu na michezo mingine 5.Sayansi na teknolojia.. Kamera na vifaa vingine.. Je, vitu hivi si vya SHETANI???? JE TUNAPONA VIPI KUTOKA KTK HIVI?? MUNGU BABA AKUTUNZE. AMINA.
Ngoja nikujibu. Vitu havina tatizo. Sis tunavitumiaje? Hivi vitu ktk nyakati hizi vinasaidia kuhubiri Injili kwa haraka kuliko nyakati zozote. Wengine wanatumia kwa njia zao.
Yaani kila mmoja huja kwa maono yako mwenyewe jinsi nawe ndiyo mmoja mmoja ya wapinga kristo Huoni kuanzishwa kwa sikukuu ya krismasi ni sehemu ya ibada na kumtsngaza kristo
Bwana asifiwe San, ata mie nmeishi nkjiuliza n wap ama n maandiko yapi katka bibilia ambayo inaontesha hii Xmas? Bt for now I ve' the truth from u the servant of God, barikiwa San bab
Naungana na ujumbe wako Mungu wetu sio mwanadamu azaliwe kila mwaka bali kama alivyoingia patakatifu mara hajawahi kutoka Yeye yupo Yesu Kristo Mungu Mkuu
Yeremia 52:31 Kisha katika mwaka wa 37 tangu Mfalme Yehoyakini wa Yuda alipopelekwa uhamishoni, katika mwezi wa 12, siku ya 25 ya mwezi huo, Mfalme Evil-merodaki wa Babiloni, katika mwaka alioanza kutawala, alimwachilia huru Mfalme Yehoyakini wa Yuda na kumtoa gerezani.
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sanaaaa na MUNGU azidi kukutunza, swali langu ni hili ,ni kuhusu mwanamke kujistili ni lazima kufunika kichwa chake maahali popote au ni kanisani tu au aina umuhimu? Naomba jibu mapambo yote nimeacha.
mwanamke anapaswa kufunika kichwa chake muda wo wote na sio tu wakati wa ibada kanisani, because anatii mamlaka ya mume wake. kwa sababu biblia inasema kichwa chakila mwanamke ni mwanaume na kichwa chakila mwanaume ni Kristo na kichwa cha Kristo ni Mungu
Sawa lakin elewa Christmas ni sikukuu tena ni siku ambayo ndugu jamaa na marafik hukaa pamoja na kuomba na kupatana na kuondoa tofauti zao kwasababu ni mwezi wa kufunga mwaka acha ujinga wa kuhubir usichokijua😊
BARIKIWA MTUMISH BIBLIA INASEMA; "HERI SIKU YA KUFA KULIKO SIKU YA KUZALIWA"(Mhubiri 7:1) Tunapaswa kusherehekea Kifo cha YESU na Siyo kuzaliwa kwa Yesu. Kama kuna Mwenye Andiko kuwa Yesu alizaliwa tarehe 25december atoe NAAPA KWA MUNGU..NAMPA LAKI MOJA!!!
Kwanza nampongeza sana aliyechagua tarehe 25/12 iwe X_Mass ningemjua zawadi ya boxing day ingemhusu,Yaan Mungu ameziumba siku halafu Eti inatengwa siku ya kumwabudu shetani!!!???Yaan kwa kweli hapo Paschal umechemka,
Sikia Casiani. Sis tunachojua ni hakika Yesu aliwahi kuzaliwa ktk dunia hii. Haijalishi jadiliwa lini au siku gan. Ndo maan wenzio hatuumizi vichwa juu ya tarehe 25. Sis tunatumia fursa kuwahubiria watu ktk tar hiyo maana ni mapumziko tunapata watu wengi. Sas we baki na siku, sis tunafurahia kuhubiri habari njema za Yesu ktk tar hiyo ya wapagan
Kwa hilo ninakuunga mkono. Nilianza kutambua ukweli huu 2012 baada ya kutafakari andiko la EFESO 2:20 ambapo Paul anakumbusha msingi wa Ukristo na Hebrania 13:5 Inasema Yesu ni yeye yule jana, leo na hata Milele. Ukisoma pia Kumbukumbu la Torati 29:29 Inasema kwamba yaliyo sirini ni ya Mungu Mwenyewe. Kwa maana hiyo ikiwa Mwenye kuzakiwa na Mitume wake hawakucherehekea, inabaki kuwa siri ya Mungu.
Ndo nyie mnawachangia uongo watu.unasoma biblia kidini din siku za kuzaliwa yesu zilikuwa na changamoto kubwa sana watu tunalahisisha unaambiwa siku hiyohiyo herode aliwaomba mamajusi.wamletee taarifa za mtoto kumbuka mtoto alizaliwa.horini bado waliambiwa mtoto ni mfalme haya kazaliwa horini ma'ana yake kwA fedheha angekumbuka kuandika tarehe wengine.ndoa zenu zinawasumbua mnasahau hata tarehe za kuzaliwa watoto wenu yusufu na maliamu walikuwa na changamoto kubwa wasingekumbuka tarehe ya kuzaliwa yesu acha tusherekee ukombozi tumekombolewa na yesu
Kumbe wasabato wana uelewa, kama yesu na mitume hawakusherekea , na haijaandikwa mahali kwenye bibilia nani alianzisha, kwanza utasikia merry Christmas, uyo meŕry ni nani,nini maana ya x mass, nini maana ya hilo sanamu linalo wakirisha Christmas
Mungu akusamehe,nilikupenda toka ulivyoanza kuonekana BBS lkn kwa sasa nahisi ule ugonjwa umekuchanganya akili,hivi unafikiri ukijua kusoma biblia mistari kadhaa basi unaanzisha Kanisa, Ingia darasani soma history, mapokeo na kwanini inasheherekewa tarehe hiyo, swali langu kwako naomba unieleze hapo huo mwezi wa sita uliotajwa ni mwezi wa sita wa mimba ya mariamu au ni mwezi wa sita ya siku aliyojiriwa na malika?
Angalizo au taarifa kwa Mtumishi 1 ukweli ni kwamba Yesu alizaliwa hivyo ni lzm tukumbuke kushangilia 2 siku zote ikiwepo 25 desemba ni Mali ya MUNGU wetu hivyo tutamwabudu MUNGU wetu siku zote maana shetani hajawahi kuumba chochote Ila huharibu tu. 3 je wewe Mtumishi na wengine wenye mtazamo huo, siku ya 25desemba hamfanyi ibada kwa MUNGU sababu ni siku ya shetani? nakukubali sana Mtumishi lkn kwahili unanirudisha nyuma kidogo
SIKiA WEWE, sherehe zinatungwa na wanadamu, Toka zamani watu walikuwa na sikukuu mbalimbali walikuwa wakisherehekea, mfano krismansi inamaana kubwa na ndio Miongoni mwa sikukuu isio ya zamani lakini, inathani kubwa sana kwa kuwa waumini wa yesu, kuliko sikukuu zote na sikukuu unayoiamini ya mwaka mpya
Imani ni ya mtu mmoja na mbingu pia na tutaenda kwa matendo ya kumpendeza, hii ni kumbukumbu tu na si vinginevyo na sioni kosa ila inategemea na mtu anavyoadhimisha hii siku tunayokumbuka kuzaliwa kwa Yesu haijalishi ndio siku yenyewe au la ni kumbukumbu kwamba alizaliwa kama wanadamu wengine haya mambo ya Imani na ibada yalishavamiwa tukisema kila kitu ni ushetani basi itafika mahali na ibada watu wataacha, labda utuambie ni wapi shetani hayupo?
Wanao mpinga wote Mtumishi wa Bwana,Neno la Mungu linasema; YOHANA 8:47 Yeye Aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamsikii kwakuwa ninyi si wa Mungu. By Robert
Hata Mimi nilikuwa najiuliza sana kuhusu hii sherehe ,,,je vipi kuhusu kufunga ndoa na kuvalishana Pete na kufanya sherehe ya ndoa hii iko sahihi kibiblia?? Tafadhali naomba majibu nahitaji kufahamu
Imani zimekuwa nyingi hivyo mungu huwajua walio wake kama kuxherekea cku ya kuzaliwa yesu n dhamb na n makosa namin mungu atatuhukumu iyo cku na kwa sababu dhamb zote biblia inasema n sawa bac mungu atatuhukumu kwa hilo lakin tuache kuingilia na kutafxiri maneno kwa namna tunavoelewa wenyewe
Ni kweli kabisa hata maaskofu hawasemi hayo hawajafunguliwa hata BWANA wetu YESU alizaliwa sehemu ya aibu yaan holin mwa ng'ombe mahalo palipo zalauliwa na hata Cassian pia Alie mdogo na amepita Mambo magumu ambayo kwa mwanadamu wa kawaida kumuelewa ni vigumu pasipo MUNGU kuwajulisha kuwa ni mtumishi wake watamkataa mpaka kuja kwa YESU Kama walivyo mkataa YESU mwenyewe Cassian MUNGU akutie nguvu
Yaani ni ngumu kwa Mafarisayo wa Sasa kuacha kuhadhimisha sikuku hizi Mungu tusaidie atokee Askofu Mkuu kutangaza NENO kinyume na sherehe hii. Mm mwenyewe inanipa changamoto Maana kanisa langu wanaadhimisha.
WARUMI 14:6 Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu. na haya maneno utayakataa? Usijifanye umemaliza kuisoma biblia ukakaa na kuhukumu wengine usihukumu maana hata ww utahukumiwa hubiri injili watu watubu wamjue Mungu sio kuja na kiki
Sisi tuta sherehekea siku ya kuzaliwa mwokozi wetu yesu kristo mpk yesu atakapo rudi. merry Christmas❤️❤️❤️ 🎄🎄🎄
Kabisa
Tutaijua kweli nayo kweli itatuwekaa huruu
Hili somo niliskia pia kwa mvhungaj wa wasabato debid mmbaga leo tena naliskia asnte sana pschal nilikjwa nakuona sio mtu mzuri kwa kushambulia watumish ongera nimsekia mala ya pili somo lako tena mlokole mwenzangu asnte ❤😊
Mwenyez mungu awasamehe Sana maana hamjui mlitendalo, Kwanza mnafaa kujua hakuna siku ya shetani siku zote ni za mungu, hakuna siku hata Moja iliyoubwa na shetani, Mimi nikisheherekea Christmas kwa dhumun la kumbukz ya yesu wangu wala Sion huo ushetan mnaosemea, ila kama kuna wengne wanaweka dhamila za kumuabudu shetan wao wala me sion tatzo watajua wao
Mungu anawatu wake kila mahali kwa ajili ya kutangaza habari njema Barikiwa
Mungu akutunze akufiche mikononi mwake adui asikupate ktk Jina la Yesu Kristo aliye hai
Amen Amen Amen, ubarikiwa sana MTUMISHI PASCHAL ❤❤
Amina mtumishi sema kweli yote Yesu yu Mlangoni..wengi wamefunikwa na giza nene..kwa sasa hawakuelewi ila saa inakuja watalia na kusaga meno na watakuwa wamechelewa...Paza sauti Yesu yuaja.
Ile Kwamba Yesu alizaliwa Duniani mimi siachi kufurahia kuzaliwa kwake Mwokozi wangu Yesu kwa sababu nampenda sana Munguwangu !! Tarehe haibebi Maana tutatembea Na kilichobebwabwa ndaniyake.
Hujielew ww mwana mpotevu, Nan amekwambia kuwa Yesu Ni Mungu, Mungu hazai Wala hazaliw, yesu ni mtume nasiyo Mungu.
Pole yan kama wewe siwez poteza muda wa kubishana kabisa kaza na imani yako.
@@YUSUPHHUGUGU-vh9rx Yesu Kristo ni Mungu aliye vaa mwili Wakolosa 2:9, Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.
Yesu Kristo ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote Wakolosa 1:15-16
15 naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
Mungu ndiye wa kwanza katika hii dunia ndiye aliyeumba vitu vyote ,na BWANA Yesu anatusibitishia kuwa yeye ndiye aliyeumba vitu vyote sasa kama siyo Mungu alipewa mamlaka wapi na yeye ndiye wa kwanza huyo Mungu mwingine yuko wapi .
Yohana 8:58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Tunao uhakika wa kusema Bwana Yesu ni Mungu maana yeye alikuwepo ata kabla ya ulimwengu kuwapo Yesu Kristo ni Mungu wa Kweli Amen
Ipo siku wataelewa endelea kuwapa ukweli jambo ni chungu, barikiwa na Mungu wa Mbinguni!
Shikilia apoapo neno lipenye Kwa mioyo ya ambae ana sikio la kusikia mungu akulinde Sana barikiwa amen
Mimi kama mchungaji,ninakuunga mkono asilimia miamoja,Mungu wa mbiguni akubariki sana.-mathayo.7;13-14.
Amina , ukweli mtupu. Bwana ayabariki makaazi yako na akubariki
Mtumishi ubarikiwe saana,kwani kile ambacho nilikuwa nikipigia kelele siku zote,Mungu amekufunulia.sasa nimekubali kweli Mungu anakutumia.krismas ni sikukuu ya wapagani.Mungu akubariki saaana.
HIVI WEWE PASCAL UNAJIELEWA VIZURI? NAKUONYA ACHA UJINGA WAKO UNAPOTOSHA BIBLIA NAONA UMESHAANZA KUCHANGANYIKIWA,,UMEACHANA NA JODAVI UMEANZA KUSHINDANA NA MWENYEKAZI YAKE? YESU MWENYEWE? NAKUONYA ACHA KUONA UNAJUA SANA KULIKO WATUMISHI WENZIO, KWANZA UNAMVUNJIA HESHIMA MUNGU. WETU, NAHAO WANAOKUUNGA MKONO KWAMBA WAMEKUELEWA CHRISTMAS NI YA shetani, NI WAJINGA WENZIO KWAAPO MIMI NIMEKUDHARAU,JITU ZIMA OVYO👺👹 KWANZA KABISA UMENIKERA, NENDA VYUO VYA BIBLIA KASOME USHAYUMBA,(1) UMESEMA WANAISHEREHEKEA KISHETANI? HUONI SABABU YA CHRISTMAS KUSHEREHEKEWA? ACHA KUDONOA DONOA MAANDIKO, NAKUONYA UMEZIDIWA HATA NA NYOTA YA MASHARIKI ILIYOWAONGOZA. MAMA JUSI NA MALAIKA KWENDA KUMSUJUDIA IMMANWELI NAKUZITOA ZAWADI ZAO, WEWE PAMOJA NA VIPOFU WENZIO WANAOKUSAPOTI UPUUZI WAKO SOMENI MAANDIKO, MATHAYO 2:1-23; KWANZA NAKUONYA NI VEMA UTUBU KWA UPOTOSHAJI HUO,KWANZA HATA. YESU MWENYEWE. ANAKUSHANGAA, NINGEKUPA MAANDIKO MENGI SANA YANAYOONYESHA FURAHA JUU YA KUZALIWA KWA YESU!!! MISITARI HIYO INAKUTOSHA,,, UNAIKUBALI PASAKA KIFO CHA YESU,,KUZALIWA UMEKUKATAA AJABU SANA.... NADHANI KWA JEURI UNAYOIONYESHA HIYO PASAKA HAIKUHUSU, TUACHIE TUNAOFURAHIA KUZALIWA KWA MWOKOZI WETU. YESU. HUWEZI SHEREHEKEA KIFO CHA MTU AMBAE HUKUMSHANGILIA ALIPOZALIWA ACHA MARAMOJA. KATIKA. JINA LA YESU! UMENIUDHI SANA UNAKOELEKEA HAUTAKUA TOFAUTI NA BABU. WA LOLYONDO NA ZUMARIDI. ⛪📖 NA BIBLIA TUPO IMARA KUISIMAMIA SHEREHE HII YA KUZALIWA KWA BOSS WETU YESU MPAKA AJAPO NDIO MAANA NIMEKUPA USHAURI NENDA KASOME, KWAHELI🙏
Amen ila napenda kujua na kufahamu penye paandikwa krismas NI sikukuu ya kishetani pasta
Kma andiko la sku ya kuzaliwa kwa Yesu hakuna basi jua ni uongo maan kila kitu twapima na Maandiko
@@carolinederi5690 yes
Amina mtumishi ILa una maandiko kama ya sabato barikiwa sana tufungue zaidi
Sema Kweli mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana atusaidie japo utabezwa sana Songa mbele
Thank you ❤❤❤❤❤❤..ubalikiwe Mtumishi wa Bwana.
Mtumishi barkiwa saan..naomba kujua juu ya habari ya siku ya kuabudu kati ya siku ya kwanza ya juma na ya Saba niipi ni sahh kusheherekeaa
Jamaniii namshangaa sn Mungu, Jambo hili wamelizungumzia sn waadventista wasabato kitambo sn, lkn hawakueleweka😢... endelea kuyachunguza maandiko mpendwa wa Bwana Yesu,
zidi kutusaidia kutufunguwa macho wengi wetu atufahamu🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu ukweli lazima uwekwe wazi hizi ni siku za mwisho mwenye masikio na asikie na kubadilika.
Hapo sawa. Mimi pia sioni haja ya hii sikukuu krismasi,kusherehekewa
Polee sana Mungu akusamehe usifundishe usichokijua ungejua maana ya kuzaliwa kwa Yesu usingesema hivyo kaa kwanza mbele Mungu,Mungu atakufundisha usiharakiae kuzungumza kama bado hujaelewa utawapotosha wengi na utalaaniwa pole sana nakuhurumia na nakuombea Mungu akusamehe
Yaani mpaka unipotoshe kimaandika ujipange sana ninachojua Yesu kazaliwa hayo menyine hayanihusu
Amen Amen. Unasema kweli mtumishi. Tarehe 25|12 nisiku ya ku abudu Mungu juwa
Pole Sana pascali utapata waangaliaji wengi kazi ya.kila mmoja itapimwa hata yako itapimwa
Asante sana mtumishi wa MUNGU, kwa nzuri unayofanya. Kwa kweli hakuna krismas kwa mkristo nakubaliana na kwa hili
Wote wanaokusanyika siku hiyo ya krismas bac wanaabudu miungu jua ile ya kigiriki!! Miungu ilizaliwa siku hiyo ya tarehe 25 ya mwezi wa December. Yeremia52:31. Yesu Kristo ni roho, yaani ni Mungu mkuu. Tito 2:13. Anazaliwa kila siku. Kwahiyo mimi huwa nasherekea kuzaliwa Yesu kila siku kwasababu anazaliwa ndani mwangu. Yesu Kristo Mungu mkuu asifiwe sana!! Nipongeze hata kama hunipendi. Nipongeze tu!!
Be blessed Mtumishi wa Yesu Kristo.
Ukitaka kujua Nini maana ya KRISMAS kaa vizuri na mungu ataakujibu vzr mafundisho yamekuwa mengi yanatuchanganya Sana ❤ tunashindwa kufahamu yaaliyo yakweli ni yapi
Punguzen ðhambi
Kwa nini Kuna father Christmas na hayo mavazi mekundu Yana maana Gani
Ukweli mtupu, hakuna Christmas kwenye biblia.
Barikiw zaidi mtumishi wa Mungu Baba
Soma bibilia uielewe uache kusikiza tu watumishi bila kusoma nakupata ufunuo wa Mungu..IKIWA WASHEREHEKEA KWA KUNYWA POMBE, NA USHERATI NA MAMBO YAKIDUNIA BASI WEWE HAUFANYI CHRISTMAS UNAFANYA SHEREHE YA KIDUA NA YA KI KRISTO.
Katika biblia hakuna mahali imeandikwa kumbukeni kuzaliwa kwake yesu, au tarehe ya kuzaliwa kwa yesu kristo mwana wa mungu
Yeremia 52-31 inasema 25/12/_ nisiku mfungwa alitolewa gerezani so definitely sio siku ya kuzaliwa Yesu Kristo...,
Hata pasaka ya Bwana ipo na tarehe kwa biblia na unaruhusiwa kuikumbuka anasema fanyeni hivi kwa kunikumbuka.... so wakati umefika mambo yawekwe sawa Mungu akubariki sana mtumishi
Walawi 23:5-7 inafika wakati wakufata Biblia sio mapokeo ya wanadamu... Yesu Kristo Ywaja uwe tayari kufundishika mpendwa🇰🇪
Kusoma biblia nakuielewa n vitu viwili tafauti sana, yeremia 52:31 yaongelea wafalme nasiyo kuzaliwa kwa mwana wa mungu. Pia kumbukeni kwamba hafananishwi na chochote kile mbinguni na hata duniani
@@izackambale4234 yes ni kuhusu mfungwa not our good lord Jesus Christ
Hatuendi siku hiyo hatuendi kusherekea au kuabudu mungu juwa kwa sababu tunaenda abudu Jina la yesu kristo ndilo linatajwa kwa kumuabudu sio mungu juwa.
Watakupinga sana ila ukweli ndo huu
Amen Mtumishi Yesu akulinde maana unaongea ukweli mnoo bila kupepesa naamini itafika muda wote watakuelewa usichoke kusema ukweli wa Mungu
Amina sana mwana jeshi wa Yesu damu ya Yesu ikufunike nakuombea
Mtumishi wa Mungu Paschal Kasian napata tumaini jipya kila ninaposikiliza mafundisho haya
Mwenyezi Mungu akubariki na kukulinda
Congratulations pastor waambie japo watakukataa lakini wajue ukweli shetani aliwapoteza mpendeze Mungu sio mwanadamu 🙏
Wanamacho lakin hawaon wanamasikio. lakin hawaskii munguu awasaidiee barikiwa sana mtumishu.wakwer
Amina baba weeee aminaaa ,Tupone tuponeee
Lkn mtumishi kama tuna azimisha alivyofufuka kwann tusisherekee alivyozaliwa...japo tunajua tunamsherekea yesu Kila siku lkn walifanya ivo kwa kuadhimisha tu japo c mwez ambao alizaliwa ila ilipangwa tu ili kuukumbusha ulimwengu kwambaYesu alizaliwa
Barikiwa sana Mtumishi Kwa ukweli huu Mchungu we umenawa👏. Kila mtu apotee Kwa ugumu wake wa Moyo.
Mungu azidi kukubariki,endelea kutuelewesha, mnaompinga P, Casiani mjiulize swali kuwa je! Mitume wa Bwana Yesu wa agano jipya waliadhimisha Christmas? Kama siyo basi haturuhusiwi, kwasababu kanisa limejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii.
Sio ukweli hata kidogo kwa sababu sisi hatusherekei siku tunasherekea MPANGO (mission)ya kuja kwa yesu kristo duniani na mpango wa YESU ni kuja kunikomboa mimi na wewe na wala sio mpango mwingine sasa naona wewe unayetaka kupotosha kuhusu krismas ,krismas tunasherekea siku ya YESU KUZALIWA naona wewe sasa unaelekea kuwa MDOGO WAKE SHETANI acha kutupeleka makosa kwenye imani yetu ya kumuamini YESU KRISTO
Lazima uitetee kwasababu wengi tumekuwa familia na makanisa yetu yanasherekea ni ngumu kukubali ila kwakuwq umeshasikia mtumishi kasha maliza huduma imebaki kwako kuipima Roho.
Imeandikwa wapi kuwa Kuna Christmas kwenye biblia Iko wapi acha ushamba ndugu Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako
FAFANUA kwa Maandiko..unajipoteza fahamu .. mbona mnasherekea Tareh 25 December kila Mwaka..? NDO mnaamini alizaliwa hiyo Tareh Hebu toa Andiko
Nenda kafanye uchunguzi, kasome chimbuko la hii sikukuu ilianzaje anzaje hapa duniani na ujiridhishe je walio ianzisha ni kweli walikua wanamsherehekea Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai au Ibilisi aliyejigeuza malaika wa nuru halafu rudi kwenye maandiko, ni wapi Kristo aliwahi sherehekea birthday yake au mitume kumfanyia birthday na kutuachia agizo la kuadhimisha kila mwaka tar 25/12? Biblia inaonya kuhusu kuongeza au kupunguza neno la Mungu, Kuna mapigo.
Hii ni sherehe ya kipagani, Yesu hahusiki hapa bali mungu jua wa warumi, ila ukweli huwezi kuujua usipoutafuta maana ibilisi ni muongo na baba wa huo uongo.
Yesu alisema hakuna siri ililiyo fichika ambayo haitafichuliwa,hii ilikua ni siri lakin hatimaye imefichuka MUNGU akubariki sana mtumish endelea tu kutufundisha na kutuonya katik siku hiz za hatar
Amina na mungu ampe ulizi wake
Umelewa pastor
Amina endelea kuelimisha. Barikiwa sana
Mmi tangu ni jue huu ukweli kupitia mtumishi wa Mungu @@pastor David mmbaga, kupitia channel yake, nikaelewa nanikaanza kusoma biblia vizuri kabisa🤔🤔sijawai sherekea Christmas 🎄 na najaribu kuambia watu waelewe jamani wanapotea😢
Mimi pia
Amina sana ndugu zetu wataelewa taratibu tuu mungu awafungue macho wapate Kuona.
Kwa mtazamo huu keni hata kwenye mitandao ya kijamii ni uswetani umeharibu vijana, ndoa nyingi nkpl😂😂😂acheni udikiteta jamani mtazame Yesu aliyewaita😮
Kumbe takataka
Hata wewe mwenyewe kuzimu tu
Uko sahihi mtumish Mungu mwema akubariki Sanaaaa na azidi kukufunulia
Jaman kila mtu abaki kwenye kitu anachokiamin me nazan iyo n kazi ya mungu tunanza kuingilia ye ndo anajua kama wakristo wote wanaxherekea Christmas wanakoxea au n dhambi bac tumwachie mungu kazi yake cku ya mwixho kila kotu kitakuwa wazi
Ni kweli kbs...tuache marumbano ya hoja...tutampa adui nafasi.
Ss hatusheherekei SKU wala mwezi,Ila cku na mwezi tunawafundisha watu njia za wanadam na njia ya Mungu.
We kasiani Mimi nakufahamu Sana kila siku unaongea mambo mazuri lakini kwa hilo unakosea my friend sisi tumeokoka na tunaamini kuzaliwa kwa YESU hivo lazima tumuheshimu hapo unatafta kitu kingine MUNGU anachukizwa kupinga Mambo yake
Thank so much ,most people in the world don't know and disagree abt Christmas to be demonic, they disagree tell dem e fact and truth 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
ua-cam.com/users/liveW9GvJ9Kmbx8?si=ZeoBynRUpaZ0T4CY
Wagalatia 1:8-9 lakini ijapokuwa sisi au Malaika wa mbinguni atawahubili ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri na alaaniwe.
9.kama tulivyotangulia kusema na sasa nasema tena mtu awaye yote akiwahubiri injili yoyote isipokuwa hiyo mliyoipokea na alaaniwe.
__________________________
Nataka majibu Christmas imeandikwa wapi na Mitume waliisherekea wapi siyo kuwatukana watumimishi wa Bwana wanaosema kweli.
Amina mtumishi wa baba
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa Mungu.
Mm Nina maswali machache kuhusu Maisha yanayoendelea... ktk nyakati hizi za mwisho.
Vipi kuhusu..
1.Internet na Mitandao ya kijamii.
2.Kalenda ya Dunia hii na Ile ya MUNGU
3.Mavazi/Jezi za mpira na michezo mbali mbali yenye LOG au alama za kishetani
4.Mpira WA miguu na michezo mingine
5.Sayansi na teknolojia..
Kamera na vifaa vingine..
Je, vitu hivi si vya SHETANI????
JE TUNAPONA VIPI KUTOKA KTK HIVI??
MUNGU BABA AKUTUNZE.
AMINA.
Ngoja nikujibu. Vitu havina tatizo. Sis tunavitumiaje? Hivi vitu ktk nyakati hizi vinasaidia kuhubiri Injili kwa haraka kuliko nyakati zozote. Wengine wanatumia kwa njia zao.
@@melkizedekwiliam-hi7bza very good answer,, gets pesa n mbaya lakini n nzuri inatengemea unazitumiaje
@@melkizedekwiliam-hi7bzAsante sana mtumish😅😅 barikiwa Kwa majibu mazur
Mtumishi Nikushauri utafute Chuo kizuri chaa Biblia ukanolewe. Hujui vyote kama nami ambavo sifahamu vyite na nazidi kutaka kujifunza.
Mwambie roho mtakatifu akusaidie jifunze zaidi tunakumbuka kuzaliwa kwa Yesu
Yaani kila mmoja huja kwa maono yako mwenyewe jinsi nawe ndiyo mmoja mmoja ya wapinga kristo
Huoni kuanzishwa kwa sikukuu ya krismasi ni sehemu ya ibada na kumtsngaza kristo
Bwana asifiwe San, ata mie nmeishi nkjiuliza n wap ama n maandiko yapi katka bibilia ambayo inaontesha hii Xmas? Bt for now I ve' the truth from u the servant of God, barikiwa San bab
Mungu akubariki kwa hili fundisho maana wengi wapo gizani kuhusu krismas
Mungu. Anisame nilishelekeya bilakujuwa sasanimeacha ubalikiwe kwakunifundisha
Naungana na ujumbe wako Mungu wetu sio mwanadamu azaliwe kila mwaka bali kama alivyoingia patakatifu mara hajawahi kutoka Yeye yupo Yesu Kristo Mungu Mkuu
Yeremia 52:31
Kisha katika mwaka wa 37 tangu Mfalme Yehoyakini wa Yuda alipopelekwa uhamishoni, katika mwezi wa 12, siku ya 25 ya mwezi huo, Mfalme Evil-merodaki wa Babiloni, katika mwaka alioanza kutawala, alimwachilia huru Mfalme Yehoyakini wa Yuda na kumtoa gerezani.
we unaejiita mtumish umepotea kwa kukosa maalifa soma vzr neno la ,Mungu ulielewe usipoteze watu utadaiwa nakama hujui kaa kimya
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sanaaaa na MUNGU azidi kukutunza, swali langu ni hili ,ni kuhusu mwanamke kujistili ni lazima kufunika kichwa chake maahali popote au ni kanisani tu au aina umuhimu? Naomba jibu mapambo yote nimeacha.
mwanamke anapaswa kufunika kichwa chake muda wo wote na sio tu wakati wa ibada kanisani, because anatii mamlaka ya mume wake.
kwa sababu biblia inasema
kichwa chakila mwanamke ni mwanaume na kichwa chakila mwanaume ni Kristo na kichwa cha Kristo ni Mungu
@@EvangelistMathayo2604 Aminaaaaaa Mtumishi wa MUNGU Sasa endapo sijaolewa nipo tu nyumbani?
Yesu akaonekane ww akutumie kama chombo siku zote,amina
Barikiwa Sana endelea kusema ukweli ili watu wajue ukweli maana dunia imelewa na sikuu mbalimbali bila kujua chanzo chake.
Aston mbaya kutoka congo aliyechukuliwa akaoneshwa vyumba 153 vya kuzim alisema sikukúu ya Christmas ni ya kishetan
Lazima tuheshimu Ujio wake
Amen amen ubarikiwe sana na
Mungu ❤❤❤
Sawa lakin elewa Christmas ni sikukuu tena ni siku ambayo ndugu jamaa na marafik hukaa pamoja na kuomba na kupatana na kuondoa tofauti zao kwasababu ni mwezi wa kufunga mwaka acha ujinga wa kuhubir usichokijua😊
Amina Mungu akubariki sana
Tatizo unajihesabia haki et mitume hawaelejezi wa sisi wa kwetu alituelekeza hatushehekei jishushe mungu akukweze
Ubarikiwe sana
BARIKIWA MTUMISH BIBLIA INASEMA;
"HERI SIKU YA KUFA KULIKO SIKU YA KUZALIWA"(Mhubiri 7:1)
Tunapaswa kusherehekea Kifo cha YESU na Siyo kuzaliwa kwa Yesu.
Kama kuna Mwenye Andiko kuwa Yesu alizaliwa tarehe 25december atoe NAAPA KWA MUNGU..NAMPA LAKI MOJA!!!
Ukweli ndio huo mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Kwanza nampongeza sana aliyechagua tarehe 25/12 iwe X_Mass ningemjua zawadi ya boxing day ingemhusu,Yaan Mungu ameziumba siku halafu Eti inatengwa siku ya kumwabudu shetani!!!???Yaan kwa kweli hapo Paschal umechemka,
Nenda kasome
Sikia Casiani. Sis tunachojua ni hakika Yesu aliwahi kuzaliwa ktk dunia hii. Haijalishi jadiliwa lini au siku gan. Ndo maan wenzio hatuumizi vichwa juu ya tarehe 25. Sis tunatumia fursa kuwahubiria watu ktk tar hiyo maana ni mapumziko tunapata watu wengi. Sas we baki na siku, sis tunafurahia kuhubiri habari njema za Yesu ktk tar hiyo ya wapagan
MHUBIRI 7:1
Hapo umenena, nakusihi umgeukie Bwana wa sabato, maana ni Sabato pekee ndio haitambui krisimas, mapambo ya mwili na mengine mengi unayoyahubiri
Asante sana kuhusu jambo hili
Ni kweli hili fundisho nimeshajifunza mara mbili na nikwel
Mungu ni Mwema
Naomba andika vizuri cyo klismas Bali krisma
Kwa hilo ninakuunga mkono. Nilianza kutambua ukweli huu 2012 baada ya kutafakari andiko la EFESO 2:20 ambapo Paul anakumbusha msingi wa Ukristo na Hebrania 13:5 Inasema Yesu ni yeye yule jana, leo na hata Milele. Ukisoma pia Kumbukumbu la Torati 29:29 Inasema kwamba yaliyo sirini ni ya Mungu Mwenyewe. Kwa maana hiyo ikiwa Mwenye kuzakiwa na Mitume wake hawakucherehekea, inabaki kuwa siri ya Mungu.
Ndo nyie mnawachangia uongo watu.unasoma biblia kidini din siku za kuzaliwa yesu zilikuwa na changamoto kubwa sana watu tunalahisisha unaambiwa siku hiyohiyo herode aliwaomba mamajusi.wamletee taarifa za mtoto kumbuka mtoto alizaliwa.horini bado waliambiwa mtoto ni mfalme haya kazaliwa horini ma'ana yake kwA fedheha angekumbuka kuandika tarehe wengine.ndoa zenu zinawasumbua mnasahau hata tarehe za kuzaliwa watoto wenu yusufu na maliamu walikuwa na changamoto kubwa wasingekumbuka tarehe ya kuzaliwa yesu acha tusherekee ukombozi tumekombolewa na yesu
Kumbe wasabato wana uelewa, kama yesu na mitume hawakusherekea , na haijaandikwa mahali kwenye bibilia nani alianzisha, kwanza utasikia merry Christmas, uyo meŕry ni nani,nini maana ya x mass, nini maana ya hilo sanamu linalo wakirisha Christmas
Mungu akusamehe,nilikupenda toka ulivyoanza kuonekana BBS lkn kwa sasa nahisi ule ugonjwa umekuchanganya akili,hivi unafikiri ukijua kusoma biblia mistari kadhaa basi unaanzisha Kanisa, Ingia darasani soma history, mapokeo na kwanini inasheherekewa tarehe hiyo, swali langu kwako naomba unieleze hapo huo mwezi wa sita uliotajwa ni mwezi wa sita wa mimba ya mariamu au ni mwezi wa sita ya siku aliyojiriwa na malika?
Angalizo au taarifa kwa Mtumishi
1 ukweli ni kwamba Yesu alizaliwa hivyo ni lzm tukumbuke kushangilia
2 siku zote ikiwepo 25 desemba ni Mali ya MUNGU wetu hivyo tutamwabudu MUNGU wetu siku zote maana shetani hajawahi kuumba chochote Ila huharibu tu.
3 je wewe Mtumishi na wengine wenye mtazamo huo, siku ya 25desemba hamfanyi ibada kwa MUNGU sababu ni siku ya shetani? nakukubali sana Mtumishi lkn kwahili unanirudisha nyuma kidogo
Amen mtumishi wa Mungu.
SIKiA WEWE, sherehe zinatungwa na wanadamu, Toka zamani watu walikuwa na sikukuu mbalimbali walikuwa wakisherehekea, mfano krismansi inamaana kubwa na ndio Miongoni mwa sikukuu isio ya zamani lakini, inathani kubwa sana kwa kuwa waumini wa yesu, kuliko sikukuu zote na sikukuu unayoiamini ya mwaka mpya
Kweli mtumishi kirismasi ni sherehe ya mashetani,wanao pinqa hawaelewi maana ya sherehe hiyo 🙏🙏🙏🙏
Naomba unieleweshe penye pameandikwa krismas ni sherehe ya mashetani kivipi 😮 na nikitabu Gani katika biblia kinazungumzia krismas ni ushetani
Imani ni ya mtu mmoja na mbingu pia na tutaenda kwa matendo ya kumpendeza, hii ni kumbukumbu tu na si vinginevyo na sioni kosa ila inategemea na mtu anavyoadhimisha hii siku tunayokumbuka kuzaliwa kwa Yesu haijalishi ndio siku yenyewe au la ni kumbukumbu kwamba alizaliwa kama wanadamu wengine haya mambo ya Imani na ibada yalishavamiwa tukisema kila kitu ni ushetani basi itafika mahali na ibada watu wataacha, labda utuambie ni wapi shetani hayupo?
Good may God bless u
Wanao mpinga wote Mtumishi wa Bwana,Neno la Mungu linasema; YOHANA 8:47 Yeye Aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamsikii kwakuwa ninyi si wa Mungu. By Robert
Fundisho zur hata mim nakubali
Hata Mimi nilikuwa najiuliza sana kuhusu hii sherehe ,,,je vipi kuhusu kufunga ndoa na kuvalishana Pete na kufanya sherehe ya ndoa hii iko sahihi kibiblia?? Tafadhali naomba majibu nahitaji kufahamu
Amina Ubarikiwe mtumishi
Imani zimekuwa nyingi hivyo mungu huwajua walio wake kama kuxherekea cku ya kuzaliwa yesu n dhamb na n makosa namin mungu atatuhukumu iyo cku na kwa sababu dhamb zote biblia inasema n sawa bac mungu atatuhukumu kwa hilo lakin tuache kuingilia na kutafxiri maneno kwa namna tunavoelewa wenyewe
wewe ndiwe mtumishi wa kwanza unayeongea ukweli kabisa Mungu akubariki!!
Amina
wenda hata maaskofu wetu wameshindwq kutuambia ila ww umeweza
@@agreementmwalongo6036kumbe unasubiri uambiwe😅😅 na mtu
Ni kweli kabisa hata maaskofu hawasemi hayo hawajafunguliwa hata BWANA wetu YESU alizaliwa sehemu ya aibu yaan holin mwa ng'ombe mahalo palipo zalauliwa na hata Cassian pia Alie mdogo na amepita Mambo magumu ambayo kwa mwanadamu wa kawaida kumuelewa ni vigumu pasipo MUNGU kuwajulisha kuwa ni mtumishi wake watamkataa mpaka kuja kwa YESU Kama walivyo mkataa YESU mwenyewe Cassian MUNGU akutie nguvu
Yaani ni ngumu kwa Mafarisayo wa Sasa kuacha kuhadhimisha sikuku hizi
Mungu tusaidie atokee Askofu Mkuu kutangaza NENO kinyume na sherehe hii.
Mm mwenyewe inanipa changamoto
Maana kanisa langu wanaadhimisha.
WARUMI 14:6 Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
na haya maneno utayakataa? Usijifanye umemaliza kuisoma biblia ukakaa na kuhukumu wengine usihukumu maana hata ww utahukumiwa hubiri injili watu watubu wamjue Mungu sio kuja na kiki