GPS: URAFIKI wa PUTIN na JINPING unavyozipa nguvu URUSI na CHINA na kuwatisha US na Wenzake (Part 2)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 228

  • @kelvinmacha1663
    @kelvinmacha1663 3 місяці тому +5

    DJ SMA kashiba sana Madini, Facts and Logics

  • @Nasbakr
    @Nasbakr 3 місяці тому +5

    Masha Allah sma kwa aya yako ya hofu

  • @nzungushikombesekei
    @nzungushikombesekei 3 місяці тому +5

    😢Ninyi vijana mko vizuri Sana sijaona kama Ninyi mnavyodadavua Uzarendo wenu uko vizuri Sana mnahiyaji kuungwa mkono kila Kona.

  • @nassibkahindi4400
    @nassibkahindi4400 3 місяці тому +7

    listenimg from kenya, sns, the only place i get to learn from, the world... yani mnajua hadi bax tu

    • @bethkonga7944
      @bethkonga7944 3 місяці тому

      Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo

  • @Nasbakr
    @Nasbakr 3 місяці тому +5

    Masha Allah, u guys mmetisha!! Henry nae yupo vzr krb sns

  • @GonaNzaro
    @GonaNzaro 3 місяці тому +6

    Pamoja kutoka Kenya

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 3 місяці тому +8

    Nilikua nimekaa nasubiri hii part 2 ❤

  • @yohana4kitila248
    @yohana4kitila248 3 місяці тому +4

    Gps nimeipenda sana.
    Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui.
    Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona .
    MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏

    • @RaphaelJickson
      @RaphaelJickson 3 місяці тому

      Umenena kweli mswahili

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Місяць тому

      Wewe unafikiri ni rahisi kutafsiri kila neno la kingereza to kiswahili?

  • @JumaSJuma
    @JumaSJuma 3 місяці тому +9

    Nawakubali Sana Hawa jamaa na uchambuzi wao

  • @niyonkuruasman
    @niyonkuruasman 3 місяці тому +6

    Uyu mchambuzi aliye ongezeka nimkali kabisa respect

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 місяці тому

      Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.

  • @mwanahamisrashid7787
    @mwanahamisrashid7787 3 місяці тому +2

    Mashallah yn mmeupiga mwingi mpk unamwagika GPS haichoshi mungu awabariki Sana tumeyajua mengi 🙌🙌🙌🔥🔥🔥

  • @jumaseif7514
    @jumaseif7514 3 місяці тому +5

    Vizur sana

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 3 місяці тому +3

    Hawa jamaa wanaijua Geopolitics aisee,shout out to 'em

  • @jumamsofe7897
    @jumamsofe7897 3 місяці тому +5

    Nawaelewa vzr,haya ndio mambo tunayopenda kuyasikia

  • @joshemman520
    @joshemman520 3 місяці тому +4

    Bro nmeamka saa 8 midnight i cant believe nmesikiliza hadi imeisha now ni saa 10 …. Broo never stop doing this content

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 3 місяці тому +1

    Hongereni sana..hili ni bonge la show

  • @amirizedy8411
    @amirizedy8411 3 місяці тому

    Allah awaongoze Wana sns wote awape maisha marefu nawafuatilia nikiwa south Africa cap town makala zenu nazipenda saana hasa kipindi kipya cha gps❤❤❤

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 місяці тому

    GPS, full tim.
    Mwenyez Mungu awajaalie maisha marefu yenye afya njema.

  • @Muhammedramadhan-xl6yg
    @Muhammedramadhan-xl6yg 3 місяці тому +1

    Safii sana nawafatlia sana wakuu

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 3 місяці тому +3

    SMA ni AI ya TZ anajua kila kitu ata bla kusoma coz he can connect dots to get answer

    • @zuwenarajab6675
      @zuwenarajab6675 3 місяці тому

      Pia napenda unyenyekevu wake na kujiamini kwa kile anachokipenda, na kujenga hoja, logic na facts. Asante sana Sma.

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 місяці тому +1

    Hongera sana uncles you are the cream Brain

  • @slimsan3859
    @slimsan3859 3 місяці тому +1

    Mmetisha sana. Salute...!

  • @manyamalima1916
    @manyamalima1916 3 місяці тому +1

    Best discussion so far hongera sns family

  • @SerahGlam
    @SerahGlam 3 місяці тому

    THERE'S ONLY PODCAST I CAN LISTEN FROM THE BEGIN TIL THE END IS THIS❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @farujohn622
    @farujohn622 3 місяці тому +1

    Hongereni. Sana mpo vzr sana mnaonekana kira mmoja kajiandaa sasa muichambue East Africa

  • @josephm4233
    @josephm4233 3 місяці тому

    I love the show, thank you so much guys. You are amazing analysts. Mwinuka should try and I give others space to talk as well

  • @benmcdream2268
    @benmcdream2268 3 місяці тому +1

    Mnajua sana honger kwenu

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k 3 місяці тому

    Tunaitaka sana iyo topic kuhus Africa

  • @edwinaura-yk1ei
    @edwinaura-yk1ei 3 місяці тому

    Allah atuongoze sisi vijana wa kiafrika

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 3 місяці тому

    Mpo vizuri sana

  • @feisalaley3629
    @feisalaley3629 3 місяці тому

    Sns mko vizuri nafatilia nikiwa ZANZIBAR KISIWA CHA PEMBA

  • @erickericsson3584
    @erickericsson3584 3 місяці тому

    Asante sana

  • @lucasmartin431
    @lucasmartin431 3 місяці тому +1

    Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor.
    All in All your Doing Great 👍

  • @user-iu8hb5yc2e
    @user-iu8hb5yc2e 3 місяці тому

    mko vizuri bro ..all the way from Mombasa kenya . Nawafatilia sana.

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 3 місяці тому +1

    Henry upo vizuri snaa big blaza,

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 3 місяці тому

    Mm nawakubali sana

  • @Crisparis333
    @Crisparis333 3 місяці тому +6

    Nimesubiri sana yan hii party two 😂

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 3 місяці тому

    DJ simaa I love you 🎉🎉 Allah akulinde inshaallah

  • @user-km4kb3xj3y
    @user-km4kb3xj3y 3 місяці тому

    mko vizuri

  • @piussogoye
    @piussogoye 3 місяці тому

    safi sana nawafatilia sana wataalamu. big up sana SMA MZEE WA KIDIG DIP DIGAA😆

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 місяці тому +1

    Nondo🔥👌

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 3 місяці тому

    Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!!
    Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 3 місяці тому

    You are next level

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 місяці тому +3

    Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS

    • @user-gw1pe8en7x
      @user-gw1pe8en7x 3 місяці тому

      Mzee kwa uchumi upi huu waupigaji afu waizi twawaficha nyuma yamlango, atutaki mateso wanamchi wa dola 1 xie

  • @fikirininasoro5272
    @fikirininasoro5272 3 місяці тому

    Ebana brz sky unatisha sana kwa hiki kipindi mnacho kirusha kiukweli mpewe tu mauwa yenu 🌹🎉🌹🎉🌹🎉

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 місяці тому +2

    Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 3 місяці тому

    Nikewakubali ile mjichunge kuna baadhi hawapendi mnavyo toa eleimu viv sns🎉🎉🎉

  • @rizikially9535
    @rizikially9535 3 місяці тому

    Napenda sana hii group jamani

  • @user-oh1cy6iv2r
    @user-oh1cy6iv2r 3 дні тому

    🇬🇧 we need more gps

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 3 місяці тому +1

    next topic naomba ikuwe la bara la AFRICA please
    much love from kenya

  • @MumbereMusulefiston
    @MumbereMusulefiston 3 місяці тому

    Kiukweli tuna mushukuru mungu sana kumuona tena dj sma n'a afia pia yule jamaa anaonekana yupo vizuri sana tunamuitaji pia brother sky

  • @fikirininasoro5272
    @fikirininasoro5272 3 місяці тому

    Aisee naikubari sana sns

  • @Binja4
    @Binja4 3 місяці тому

    smaaa akukbali sana

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 3 місяці тому

    This is it 🔥🔥🔥

  • @temonilupondo7374
    @temonilupondo7374 3 місяці тому

    Good content
    Good stuff

  • @nassersaid920
    @nassersaid920 3 місяці тому

    Well done guys....mpo vizuri katika uchambuzi. Keep it up

  • @hamimhassan9354
    @hamimhassan9354 3 місяці тому

    Ni mjadala mmoja amazing sana wallah, brothers keep it on Sina tu money ninge wa congratulate mpate maji ya kunywa.

  • @francismichael1258
    @francismichael1258 3 місяці тому

    Dj nakukubali sana huko vzr ukweli ndio huo

  • @SerahGlam
    @SerahGlam 3 місяці тому

    Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE

  • @EmanuelMkongwi
    @EmanuelMkongwi 3 місяці тому

    Natisha sanaa wakuu respect

  • @Maryam-qe5lb
    @Maryam-qe5lb 12 днів тому

  • @hamimhassan9354
    @hamimhassan9354 3 місяці тому

    Sky, Sma dj, Ally na mwinuka. Brothers Allah awaweke sana tunapata elimu kubwa ya utambuzi na mnatujenga kuufahamu uzalendo.

  • @joshemman520
    @joshemman520 3 місяці тому

    Hongera

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 3 місяці тому +1

    Tunafurahia sana kipindi hiki

  • @josephissa4406
    @josephissa4406 3 місяці тому

    I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka ..
    Sma, Ali wote wapo smart ..
    Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 3 місяці тому

    Hawa jamaa nawakubali sana nimekua naifutilia sana sns nawala sitaicha mpaka mwisho wa maisha yangu yote

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 2 місяці тому

    Dj Sma and Henry 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SalumMajorhood
    @SalumMajorhood 2 місяці тому +1

    Daaah hapo kwa Afrika yetu naomba muiongelee kwl hatujui inakwenda wp tunataka ukombozi wa Afrika viongozi ndy sababu

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 2 місяці тому +1

    Masubi anajua

  • @lucasmartin431
    @lucasmartin431 3 місяці тому

    Ally Masubi Unaboa sana ....Acha ujuaji Wape na wengine Nafasi waongee

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 3 місяці тому

    Namkubali sna ally akiwa na skai ila na mkubali dj smaa akiwa katik makala zake binafs

  • @abuubuza6866
    @abuubuza6866 3 місяці тому

    Safi

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 3 місяці тому

    Mungu jaalia mmoja wenu aje aiongoze tanzania

  • @joshemman520
    @joshemman520 3 місяці тому +1

    Kuunga mkono hichi kpnd ukiona ads angalau acha hata moja please usi skip …. Hvyo ndio tuweza ku support hii show

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 3 місяці тому

    😊😊😊

  • @SaidyMwajeka-tr7oj
    @SaidyMwajeka-tr7oj 3 місяці тому

    Very nice guys big up

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 місяці тому +2

    Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 місяці тому

      Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa

  • @victorkauki8974
    @victorkauki8974 3 місяці тому +1

    SNS, Tuongelee kuhusiana na topic kuhusu Idd amini, jinsi magharibi walivyomwita Dikteka.

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 3 місяці тому

    GPS TRACKERS GOOD DOOD......

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 місяці тому

    Sky Karibu Crown media .Nadhani king kiba ameona isi comment Na atalifanyia kazi . Kaka Sky Na mkubali Sana anajua kutangasa . Nikiwa Nairobi gikombaa

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 3 місяці тому

    Hii imekaa vyema sana

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 3 місяці тому +1

    Huyu jamaaa mpya ana tone kama ya Mwana FA

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 3 місяці тому +1

    hapa kenya wakati uhuru kenyatta ali sign mikataba na mchina wa SGR na unjezi wa mabaraba kila mahali apa kenya baada ya apo ulaya na wamerekani kata misaada yote.
    RUTO PUPPET wa mwamerika alipo ingia kama raisi kitu cha kwanza kufanya ali simamisha miradi yote yenye ilikua ina fanywa na mchina na kuwafunza injini na kuleta mjapani
    HIZI FACTS

  • @iddykivu050
    @iddykivu050 3 місяці тому

    Tunaitaka Sana hiyo Hoja ya kuiongelea Afrika kwa Ujumla

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine 3 місяці тому

    Nawakubali sana wakuu by julius from dareslaam

  • @ibnujumanne4054
    @ibnujumanne4054 3 місяці тому

    Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani1003 3 місяці тому

    Ali masubi ni mchambuzi mzuri sana nakubali hilo lkn ni kama bado hamini nguvu Russia na china dhidi ya west!

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 3 місяці тому

    Brothers, unyama mnaoufanya hapa SNS ni mwingi sana 🔥🙏

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 3 місяці тому

    I love the conversation and bit of argumentations. Very interesting and I acknowledge that we are getting aware of the geopolitics knowledge

  • @Qbaby814
    @Qbaby814 3 місяці тому +1

    tunahitaji uchambuzi kama uho wa leo wakugusia mambo mbalimbali

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +2

    Nilikua nasubiri part 2 kwa hamu .

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 3 місяці тому

    ❤ SNS kupitia sky na timu hongera napata ratha ya kitu adimu

  • @SalumMajorhood
    @SalumMajorhood 2 місяці тому

    Russia is the best country I love it ❤❤❤❤

  • @timotheothadeomgassa4929
    @timotheothadeomgassa4929 3 місяці тому

    Mfumo wa elimu katika nchi za kiafrika ni mbovu sana na ndio unaopelekea watu wake kuwa namna walivyo

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 3 місяці тому

    NATAMANI SANA KUISIKILIZA ADI MWISHO ILA BANDO LANGU DAAAH 🥲🥲🥲

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 3 місяці тому

    Nyinyi mko juu sana mkianda mada kuusu muafirica washawishi vijana watoke mjini warudi vijijini wakatengeze pesa nachala wawe matajiri tafiti jenga oja kubwa

  • @YothamAlex
    @YothamAlex 3 місяці тому

    Huku mtaani kiuhalisia wazungu wamefanikiwa kuwamaliza vijana wa kiafrika kwa nguvu ndogo sana ya social network,inasikitisha uhalisia wa maisha umepungua kwa asilimia 95%,ni waoga sana mostly wamekua puppets kwa viongozi na watu wenye uchumi wa juu,inasikitisha..we need a solution,most of us are ready ila hatujui tuanzie wapi kuchange the situation..Iyo mada inayofuata naisubiria kwa ham.

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 3 місяці тому +1

    Hicho unachokisema Ali niuwoga na tukiendelea kuwa waoga hatutafika, nibora tukakosa sisi ila tutengeneze mazingira ya baadae kwa ajili ya watoto wetu, kwasababu tutaendelea kuumia pasipo na faida leo wala kesho, nibora tukakubali kuumia leo kwa faida ya baadae

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani3544 3 місяці тому

    mimi Nasikiliza kutoka chalinze nakubali Uchambuzi wenu Nawafwatilia vipindi vyenu
    sana mko vizuri kuchambua
    mambo mbalimbali duniani

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 3 місяці тому

    Kuongela Africa in general is very important