Mungu azidi kukutunza mtumishi wake...kwa mkono wa Mungu unatusaidia wanyonge wa nchi hii, Zaburi 35: 1..... ikakufunike wewe na viongozi unaoshirikiana nao, kwa jina la Yesu.
Ni haibu sana kwa mtu yoyote kuto muanga mkono mheshimiwa mkonda. Big up na kama hunaipenda nchi yetu Tanzania na maendeleo basi mheshiwa makonda piga kazi naomba Allah akujalie maisha marefu na salama pamoja na Mama yetu Samia suluhu more love ❤❤❤
Hakika kz ipo, Afisa utumishi hajui uhamisho wa watumishi wakati yy ndoo mwenye Mafaili yote ya watumishi, hata Afisa utumishi wa Wilaya hawezi kuhamisha bila wa Mkoa kufahamu, ni uzembe au kutajua wajibu wake.
CCM namuomba MUNGU sanaaa hiii inchi apewee Paul makonda, Sina maana wengine hawafaii no ni mtazamo wangu tuuu nachukia sanaaa watu ambao wanaharibu taswila sahihi ya nchi hiii, maana Kuna watu wameteuliwa kwenda kumsaidia Rais Kazi cha kushangaza wanatenda yao binafsi kiukweli nawachukia sanaaa tenaa sanaaa
Ujue sijui viongoz kama hawa wanapatikana kwa njia gani kiongozi jeuli kiasi hicho au wanapitishwa na mabwana zao wanao waweka madarakani na kila maamuz wanawasikiliza mabwana zao
Ingekuwa watendaji wote wangefanya kazi vizuri huenda kazi ya mheshimiwa Makonda ingekuwa ndogo sana
Big up mh. Makonda 🙏🙏 unanipa raha sana wewe kaka!..
CDE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA Anakipaji sana cha kuhoji. Mungu ametisha sana kumleta huyu.
Daaaah 😢😢😢😢😢
Mwenyezi mungu akulinde babaetu MKUU WA WAKUU WA mikowa
I really love this man your doing a great work sir keep it up
Mungu azidi kukutunza mtumishi wake...kwa mkono wa Mungu unatusaidia wanyonge wa nchi hii,
Zaburi 35: 1..... ikakufunike wewe na viongozi unaoshirikiana nao, kwa jina la Yesu.
Kaka mungu akulinde na kazi yako nzuli
Makonda uko safi msaidie mama,halafu baadaye kamata mwenyewr kijiti charisma yako ni kubwa ya uongozi bwana yesu asifiwe.
Amin
Ni haibu sana kwa mtu yoyote kuto muanga mkono mheshimiwa mkonda. Big up na kama hunaipenda nchi yetu Tanzania na maendeleo basi mheshiwa makonda piga kazi naomba Allah akujalie maisha marefu na salama pamoja na Mama yetu Samia suluhu more love ❤❤❤
Mungu akulinde ndugu makonda❤❤❤❤❤❤❤
Kiukweri nh makonda umeiludisha ccm yetu chama chetu sasa kazi iendelee mungu akulinde
Makonda hoyeeeee mungu akutunze baba
KAZI NZURI SANA MAKONDA
Makonda pinga supana hao mafisadi mungu akunlinde nawenyehusuda
Endelea kuchapa kazi Mwamba
Ma Hana majibu mpaka huruma, mambo kama haya kazini una bambikizwa tu na Wa kuu mda kama huu Wana kugeuka inakula kwako,
Jamani mama anatia uruma sana bila shaka itakuwa wajanja wamemcholesha
Aminaa👏 hakika hautakufa bali utaishi!...🙏🙏🙏
Makonda endelea kufanya haswa usitishwe na wananchi wasiojielewa Kwan ww nikiongozi kweli
Big up Makonda, nakukubali sana, kweli Mama akae atulie wewe piga kazi.
Hakika huwezi kufa kwa kupambania Haki ya wengine,Live Longer Makonda
Genius makonda
Mama anakiburi huyo!😂😂😂😂
Makonda nihatali makonda fanya uje kwamgwe wilaya yahandeni bara bara hatuna aisee
Mnang'ang'ania uongozi halafu kutekeleza mambo ya nchi na wana nchi mnaleta leta utapeli
Makonda ana kula raha kwakweli
Uko sawa Makonda Mungu akutangulie
Makonda amekuwa jaji police mwanasheria takukuru mwenyekiti wa Kijiji mratibu nk hii ndio bongo
Ww ulitaka awe nani uyo anatekeleza ilani ya chama punguzeni unafiki
Unataka makonda afanye kazi gani ? Akili huna kabisa kichwa maji
Namkubali Sana muheshimiwa makonda mungu amuwake mile na milele
Makonda ndie Rais wetu wa baadae.
Hakika upooo sahihi kama mimi nionavyoo
Makonda deal na kina mama in a soft way. Kina mama hao ni viumbe dhaifu
Kwa kweli makonda anafaa sana
Yaan nashindwa niseme nn ,makonda jiandae tukupe urais,
Big up brother
Big up makonda
Nakupenda sana
Makonda anakubarika kila kona nchi nzima
Nimeimpenda hapo🎉😮😊
👍👍👍
Mungu ni mwema
Adili tv for life
❤
😂mitume imetokea mbea
❤❤❤
Hakika kz ipo, Afisa utumishi hajui uhamisho wa watumishi wakati yy ndoo mwenye Mafaili yote ya watumishi, hata Afisa utumishi wa Wilaya hawezi kuhamisha bila wa Mkoa kufahamu, ni uzembe au kutajua wajibu wake.
Kazi inaanza tena
Mmh
Makonda❤❤❤❤
Makonda 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hongera Sana mama Kwa kulinda kiapo chako
Usenge😂😂
Makonda ni Mpumbavu.
Huyu mama hawezi kuamliwa na msemaji wa Chama.
Hizi ni drama tu....😂😂
Makonda ❤❤❤❤
Fanya Kaz mtumishi wa mungu
Kila nikikutazama kaka naiona pcha ya magifur
Dooo!!huyu mama kunawatu wanampangia haamui mwenyewe
Tanzania ni shida. Hao wanaapa kulinda na kutotoa siri za serikali.
Wewe kama huelewi karibu kufuatilia jambo
Kwahiyo ww kuiba kwako ndio siri sio.
🎉
Watanzania ni mazombi kushangilia ujinga wa makonda kwani yeye sio mamlaka ya kumnanga mtumishi kwa mjibu wa Shelia za kazi
Jamani kuhama ni haki ya mtumishi,iwe ana sababu au Hana sababu
😂😂😂😂😂 had mtu kuham kunashid ten kubwa san
mi kwa mawazo yangu atumbuliwe tu maana hilo ni jipu
Hii ni mbwembwe kwaajili ya kura, save this.
mama huyo ni mjinga kama ma ccm wenzake hilo ni tatizo lao wakoloni weusi ccm
Mimi ni Mkenya ila nafuatilia mambo ya Tanzania.
Makonda fanya kazi.
Magufuli style
Hello bro hamia Tanzania
254🇰🇪🇰🇪 tupo hapa.
Tz mbele, ila sisi mosambique akuna cheriya, na laiti kama tungekua na cheria izo, angalau tungekaa na amani🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Viongez wote wangekuwa km makonda nchi inaendelea sn yani nijembe kuliko majembe yot nakuaminis sn
Na mheshimiwa anamwambia wazi kuwa "najua mengi kuliko wewe". Hapo pagumu sana
Makond tunakutegemea bab gombea ulais baba unastair bab
CCM namuomba MUNGU sanaaa hiii inchi apewee Paul makonda, Sina maana wengine hawafaii no ni mtazamo wangu tuuu nachukia sanaaa watu ambao wanaharibu taswila sahihi ya nchi hiii, maana Kuna watu wameteuliwa kwenda kumsaidia Rais Kazi cha kushangaza wanatenda yao binafsi kiukweli nawachukia sanaaa tenaa sanaaa
Watumishiiiii mh
Makonda mbona mkoa wa pwani aufiki?
Binaadam wabaya sana
Tunaomba picha ya mhalifu iivutwe tumtambue
Akae kwa kutulia pambn baba
Ujue sijui viongoz kama hawa wanapatikana kwa njia gani kiongozi jeuli kiasi hicho au wanapitishwa na mabwana zao wanao waweka madarakani na kila maamuz wanawasikiliza mabwana zao
Mama kulinda kiapo cha utumishi wake
Hasa hawa ma RC, wakurugenzi, DC pamoja na baadhi ya mawazili kiukweli sio waadirifuu kabisa na hawamtakiii mema mheshimiwa Rais
Watu kama hao ndio wanatuludisha nyuma kwenye taifa hili
Nawengine wajiandae
Joweri
Hapo makonda alikosea sana
Kakosea nini sasa
Makonda unafeli wapi?kakuambia boss wake ndie mwenye uamuzi
Taarifa itv
Makonda nitumie namba yako nikutumie mirioni 3
Kweli Mheshimiwa Hao ni Mchwa Kabisa
Duuh
Jamani makonda nakupenda bure
Mungu akupe ulinzi, maraika wakuzingire, roho mtakatifu akuvae miguuni mpaka kichwani🎉🎉🎉
Mkuu makonda serikali Kuna vilaza sasa afisa utumishi hajui mmmmh hafai
Katiba mpya ni muhimu.haya mambo ni uzalilishaji
Ulitumia cheo kama fimbo makonda wangu
makonda uongoz wako unafaa tunaomba utembelee na rungwe
huy dada mpigaji pia,,,,,,
Mtu mwenye akili timaru huwezi zungumzia tetesi
Tanzania nakuja
Patamu hapo
Makonda hoyeeeeeeeee!
Makonda Fanya kaz
Vibaka wengi awamu hiiii
T
Hilotatizo lipo inchizima mashure yote hasa yamjini kunamichango yakuchangisha wanainchi eti masomoyaziada usimamazi waserekari nimbovu sanna
Eti wanawake wanaweza nyambafu.