KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2024
- KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ahsante Sana mwenezi wenye Nia mbaya nawe washindwe katika jina yesu mungu akubariki Sana.
Makonda nilikuelewa sana ukiwa mkuu wa mkoa lakini sasa ukiwa mwenezi na kwa kazi hii kubwa unayoifanya imenifanya nikuelewe vizuri zaidi
Allah akuhifadhi Kaka makonda nakupenda sana kuna watu majinga sana hao
Naona roho ya magufuli kwa makonda Mungu akulinde wasikuue
Kaka makonda kwa kweli unatujali. Allah Akuhifadhi.
Makonda nakuomba uwe unakula chakula unachopikiwa na mpishi wako mwenyewe,, na microphone uwe nayo ya kwako,, kila kitu usipewe ovyo ovyo big up sana mkuuu we ndo rais wetu baba🙏🔥 we ndo pacha wake na mh marehem magufuli 🙏🔥🔥❤❤
Hapo nakuunga mkono 100%
Hata chakula cha mpishi asile maana anaweza kula rushwa .
Mke wake ndie ampikie. Ajitahidi kabisa.
Makonda 😂😂 "eti we mzee una ndugu wizara ya fedha? "
Aise mwacheni mungu aitwe mungu tunakushukulu sana Allah kutuletea huyu kiumbe aliye kubali kuvaa kiatu cha mpendwa wetu magufuli Allah ampumzishe maali pema peponi nahuyu makonda Allah tunaomba utulindie ❤❤❤❤❤❤❤❤amin
Sema mpendwa wako sisi tunae MH RAISI MAMA SAMIA MSIKIVU SULUHU MSULUHISHAJI AU MTENGENEZAJI HASANI MWEMA PIA NI KIONGOZI NA SI MTAWALA KAMA LILEEEEEEE NIMELISAHAU JINA LAKE
Makonda umegundua Nini katika ziara zako???? Ni kuwa Ccm haitakiwi kabisa kutawala Tena matatizo na uonevu Kila Kona ya Tanzania 😢😅@@omaryramdhani9823
We acha uchoko mtoto wa kiume @@omaryramdhani9823
Kwani wewe umelazimishwa kumpenda,ndiyo mimi pia namkubali makonda
@@omaryramdhani9823unaonekana na ww umepigwa na kitu kizito mbwa ww
Weee aki naeza Cheka mpaka mbavu ziume yaani jamaa hataki uruke swali lake ata moja ... Genius
Hongera makonda Sasa umekuwa uncle magufulii mtetezi wakwelii ubarikiwe
Makonda kamfunika had magufuli. Apewe nch tu kama vp
@@thabitdaudi9815kamfunikaje usiwe unasifu kupitiliza
Makonda respect 😅😅
Kaka makonda hongera kwa kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa 2025 kura zote chukua
Ila makonda mungu akilipe na akutie nguvu kiukweli anafanya kaz nzuri sana mambo mengi yamejificha
Huyu ndo makonda tuliye kuwa tunampenda toka akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Kweli kabisa
Kazi nzuri Mwenezi, Mungu aendelee kukutunza,nakupenda sana Makonda,Njoo na huku Mwanza,tuna mengi, asante sana Mama Samia,huyu anatufaa sana
Mtoto wa mama Kizimkazi uyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
HAPO MAKONDA UMEONGEA KIUME
Mungu akuweke mbali na husda baba magu yuko na amani huko aliko
2016 Rais alikuwa nani kwani?
Hakika kubwa
@@murattywamuratty9778magufuli
Uyo ni meneja kivuli atolewe.
Maana anababaika tu hapo mtu anapokea mshahara kutoka serikalini na hajui kazi yake ni nini . Ndugu MH. Makonda hao ndio wakutazamwa sana wananchi wanalia wao wanajaza vitambi .😢😢
Wew ni mwamba mzee ❤❤❤❤❤
Ukiwakuta ofisini ukiingia kwenye anga zao wanakua jeuri na mitumbo yao ila wakiwekwa corner hua wanajikojolea pamoja na kigugumizi "damn"!!!
😂😂😂😂😂😂
Kwakweliii
Mheshimiwa Makonda huko mikoani usikubali kuvalishwa migolole wala chochote cha kimila wasije wakakukabidhi kwa miungu mingine si unajua Yesu hachangamani na miungu mingine asije akakaa pembeni akakuacha, chonde chonde Komredi wa CCM
Hongera sana dada unasali wapi
Umeona eee na Mimi nilimwambia
ACHA imani za kikoloni wewe muafrica uliopotea, kwahiyo yesu mweupe mzungu ndo unaona wakuabudiwa, nani aliwaletea dini,, umesahau walikuja wakawapa biblia na Quraani kisha wakachulua ardhi yenye rutuba,... UNASAHAU kwanini jina lako ni AMINA ni jina la kiarabu na nikwasababu watanzania walitaaliwa na waarabu na ndio maana ukanda wa pwani wengi ni waislamu na .. utawala wa jerumani na waingereza ulikuwa nyanda za kusidi, kaskazini na ndio maana waislam wengi maeneo hayoo.. JILA LAKO la mwisho ndo jina la kujivunia MISS shayyo, jina la kimila , la kiafrica.. acha kudharau muingu yetu ya kiafrica, hakuna tofauti kati ya MUHAMMAD(mungu wa warabu) & YESU (Mungu wa wazungu ) na miungu yetu ya waafrica.. ni imani tu,, swali kabda MISSIONARI HAWAJAJA TANZANIA NA africa ulikuwa unaamini nini?
@@yusuphmsuya8336 akili zenye matandu ya kikoloni ..
Kwni yesu ni mungu wawapi ?😅😅
Huyu mzee itakua ana pressure ndio shida kinacho fuata anajaribu kucontrol pressure yake
Kumbe,ccm..ninzurihivi!!!mungu akubariki makonda
Uzuri wake upo wapi sasa? Huoni hapo Makonda anajijenga mwenyewe binafsi?
@@jesaminzokama anajijenga na wewe jiunde JEALOUS PPO NVER WIN😢
@@jesaminzonendagaa uko anajijenga binafsi ulitaka awabebe viongozi au kwendraaa
Hapo umezinguaaa boss@@jesaminzo
Kaz za connection hiz mtoto wa mjomba kaaa hapa😂😂😂😂
We jama madako yako 😊😂😂😂😂😂😂😂
Mimi nilivunjiwa Salon yangu na nilikuwa nimewekeza pesa nyingi mpka sasa ni hasara na atuna pakulalamika.
Kwenye Accounting, makonda position ya Forensic Auditor ingemfaa sanaa, he asking very technical questions 😁😁
Safi sana makonda
Mwezi wa kwanza hoyeeeee😂😂😂😂😂 makonda Mungu akulinde wasije kupulizia sumu
Duh kwakweli mungu amlinde sana
Makonda kakiwasha
Good mh makonda njoo uku Kenya 🇰🇪 jamani mbona uku 🇰🇪hawazaliwi viongozi kama hawa?
Nafkiri wapo hata Kenya Ila kupata nafasi kama hii ndio kazi sana that's why unaona kama hawapo
Uyu jamaa nomaaa🎉🎉🎉makonda❤❤❤
Tumbo limejaa dhuluma ajielewi
Mmh makonda ni kichwa mungu akilinde sana kichwa hiki😅😅😅
Kazi nzuri ndugu Makonda. God bless you
Brother Paul you are doing well nakupongeza sana sana good job Ombi langu Mungu akuongezee hekimi na Afya umsaidie mama mbele daima nyuma mwiko big up
Leooo utakoma kudhulumu aibu
Tunakusubiri kibaigwa kongwa kwa ndugai madudu kibao karibu mwenezi nahama chadema ukija mungu akubariki
Unaona, sasa. Aliyekua na majibu ni huyo msemaji wa pili.
Ubarikiwe sana Makonda
Huyo meneja akikaguliwa lazima atakuwa ameharibu/kuchafua hali ya hewa!!! 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Makonda unawakati mgumu kusimamia haki unatengeneza maadui kibao,na watu unaowapambania wanyonge,un oganise,hawa wala rushwa wamejipanga,sana piga kazi chama chetu kinataka haki na haki tutatoa CCM
Makonda ame vaa viatu vya magufuli 😢 wasije waka muua😢
safiiii sana makonda mungu aendelee kukulinda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😂😂😂Makonda unataua watu kwa pressure angalia na Afya za watu, Kabla huja wabana😂😂😂
Watu wenyewe wanakula sana wachawatumbuliwe😅😅
MAKUFULI ALIMTELEKEZA MAKONDA LAKINI MAMA AKAMUONA ANAFAA.ASANTE MAMA SAMIA KWA KUTULETEA MAKONDA ASANTE SANAAAAA
Hapana, Magufuli alikuwa anampenda sana Makonda, Magufuli alimkataza makonda kustaafu ukuu wa Mkoa, alitaka ubunge na Uwaziri, Makonda angesubiri angekua mbali sana.
Magufuli hajamkataa makonda ila makonda aliutak ubunge alafu wananchi wakamuangusha
Huyo Meneja wa TANROAD Yuko sahihi amesema wametumwa watu wanaotakiwa kulipwa fidia wizarani kwahiyo suala la pesa Ni la wizara kuleta ndo maana Meneja anasema alijibie naibu Wazir ni lini watalipwa maake ndo wanaleta hela Makonda umemng'ang'ania tu mzee wa watu jamani😂😂😂😂
Kosa lake Meneja anajichanganya alitakiwa asimamie alichoamini na aseme Wizara ndio inahusika na Malipo.
@@hajihassan5433 Meneja Yuko sawa maake swali hapo je Ni lini mtawalipa Sasa anashindwa kutamka maake hela haziko kwenye akaunt ya Mkoa ndo maana anataka ampe naibu Wazir ajibu lakn Mwenezi anamkatalia atamke yeye ungekuwa wewe ungefanyaje?ndo maana anajichanganya😆😆😆😆😆
Zaidi ya hayati mh makufuli,mh makomda hongera kwa kazi nnzuri
Kiukweli raisi "SSH" Hakukosea kumpa hii nafasi huyu mtu na 25 InshaAllah akimpa uaziri mkuu nchi itanyooka InshaAllah
Mweshimiwa mwenyezi😂😂 mtasema vizuri
😂😂😂😂😂😂😂
We jama madako yako 😂😂😂😂😂
Brother l respect u unakula mshahara kihalali sn me nadhani uongezewe
Duuh makonda ni atareee 🔥♣️♥️
Makonda viva
Hongera watazani hiyo dio jia mwafaka yawanaishi mwedele hivyo hivyo
Asante kaka❤️❤️
Hawa ilikua kiboko Yao n mafunguo yani makufuli...cc wakenya yye ñdio alikua raisi pendwa east Africa nzima ...yani dunia nzima kwa ujumla....hakutatokea Raisi shupavu na mtenda kaz kma yye....may his soul continue resting in peace...😢😢
Hii nchi kunawatu wanaajiriwa hawajuii hata wanafanya nn
Kura yangu chukua mda wa mungu ukifika
mimi na2wambiaga vijana wenzangu chama sio hovyo watendaji ndo wanakuaga
wa hovyooo
Nashauri kuhoji hao viongoz kuwa na utaratibu ili msiwauwe na presha
huyo ni Eng mtamuuwa mpaka unamchanganya
Kama walivyomuua Mkurenzi wa Jiji miaka hiyo pale darajni Kigamboni eti wanamtumbua!
Haya ni mazingaombwe, kwani wenye dhamana hawapo kiasi cha kutoa takwimu kwa mtu asiyehusika?
Huyo jamaa alipata kazi kwa njia ya connection 😅
Hakika mama samia anajua vyombo vya kazi asante makonda
Uwanacheka Sanaaaaa nkiona bos wangu kakutana nabos wake
😂inafurahisha hatareee
😂😂😂january oyeeeee
Tuna baadhi viongozi miyeyusho kweli
😮 wow mbona makonda anafuata nyayo za jpm🤔 maana mahojiano ni hapo kwa hapo kiasi kwamba ananikumbusha kipenzi chetu❤
Makonda ni jembe
Huyu jamaa mbona lofa kwani Meneja wa Tanroad kosa lake linatoka wapi, ndo ulibebe hilo uende kulipeka kwa Mh raisi kwani huyo mzee anatoa pesa mfukuni mwake
Atleast ww una akili sana ,,Kuna mijinga uko juu inaropoka sana
No.. Kosa lake hafatilii miaka 8 ni mingi sana... Si ajabu pesa inatoka wanapiga
@@jessykadaraja2691 ni kweli miaka 8 ni mingi sana,,hela ya serikali Ina mlolongo nyie,,sawa labda kunaweza kuwa ni uzembe wa kufatilia lkn tusihukum mno,,Hawa watu wa juu uko kwenye hela wana milolongo mno wakati mwngine
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwezi wa kwanza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Makondaaaaaaaaaaa
😅😅😅😅😅😅
Kaka makonda mungu akubaruki Kwa kufanya kazi nzuri sana kunamajitu yapo tyu kudhulumu watyu tu
Our president is coming back; she is doing her work now.
Makonda Kabla Ya Kuwahoji Kuwa Na Doctor Anawapima pressure... Bila ivyo Ipo Siku Atakufa Mtu 😅😅
😂😂😂
Kabisa,,, maana sio kwa moto huo😂😂😂
😀😀😀aibu aona mimi wallah
Wafe tu hivi miaka sn watu hawajalipwa jmn this is not fair
We jama madako yako 😂😂😂😂
Songwe kinabaridii lakn kaswet kama yupo daaa ahahahaa
Mmh mengine magumu kuyaelezea
Mh hongera kwa kazi nzuri ya kuwahudumia wananchi..nilikua na ushauri kidogo hawa viongozi wa taasisi wakati mwingine wanakua hawana majibu ya papo kwa papo na maswali mengine yanakua juu ya uwezo wao ndiyo maana hata kujieleza inakua changamoto wanajikanyaga..kama pesa zimetumwa toka wizarani kwaajili ya hiyo kazi ya kulipa fiidia ni dhahiri ingekua imefanyika hivyo..Tunawapa tention wananchi kwa kuona wakuu wa taasisi hawawajibiki lkn sivyo..
Ingekuwa wewe ungeweza subiri miaka saba hujalipwa fidia?????hao viongizi wanafanya kazi gani???????
Meneja Mkoa ndo mlipaji? Si amruhusu Naibu ajibu? Meneja kashamaliza kazi yake ya tathimini....Walipaji sio wao
Hapo sijaona kosa la Meneja zaidi alitaka kumdhalilisha tu Meneja lakini hana kosa lolote
Aiseee kazi za serikali hizi nikudhalilishana kila siku bora uwe mjasiriamali kuliko kudhalilisha huku.
Hudumia wananchi kwa nafasi ulionayo.co kutesa wananchi. Unajua maana ya UHURU
mwenyezimungu akulinde bro makonda
Wonderful wallay
Ahaaaa😢😢
😂😂😂wizara ya fedha imepeleka fedha. kwenye wizara ya fedha. Duuu hii Kali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Roho ya MAGUFULI Naiyona hapo hakika wewe ni jembe makonda oyeeeee❤❤❤❤
Nikweli kabisa Mweheshimiwa Poul Makonda najua wengi hawatakupenda kwa staeli hii yako ya Chama kusikiliza kero za papo kwa papo. Imebidi Chama Cha Mapinduzi.ccm safi sana .ila zidi kukaza buti hayo ndio maana CCM ilikosa mvuto Ndugu yangu Bwana Poul Makonda rudisha imani ya Chama chetu cha ccm kwa wananchi
Mungu weeeee
Bwana Makonda Mwenyezi Mungu akubariki kwa maswali unayouliza huyo tapeli anayedhulumu Mali za wanainchi.
huyu jamaa akiendelea hivi tutamuomba agombee
Makonda utawauwa meneja na pressure na hayo maswali😂😂😂😂
Mizingo
Dadeki makonda akuepushe na wabaya mugu still alive
Dadek kujiamini kwa makonda imenifanya nimpende makonda, kura yangu kwa CCM
Safi kaka uko vizuri wakujibu
Your our next president makonda wile love you so much❤❤❤❤❤❤❤
Dah
Jimbo la Meru hukupitia mwenezi kuna udanganyifu unyanyasaji wa kupindukia
Njooo na meru mkuu
Huo ni utawala wa Magu, alikuwa hapendi fidia kwa watu waliyojenga karibu na barabara
😅😅😅😅 Alhamdulillah
Siku yoyote Moçambique iwe na viongozi Kama Tanzânia
Makonda kaka mwenyezi mungu akubariki sana piga kazi baba
Kuna kitu sieleiwi na hii siasa ya tanzania makonda anataka kiti gani, tena upo na chama kipi,tena ccm si chama cha rais samia ama .. mkali kama rais na bado rais yupo ama ametumwa na rais
Makonda ndie mwanafunzi wa Magufuli aliyehitimu na kufaulu kwa maksi za juu
Mda mwingine bora ukae kama raia tuu.so.kama.ivi
Mzeee ata kaa arudiye kujileta kwenye mkutanonwa makondo 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂