KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2024
  • KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 425

  • @user-ml2bt4nx4o
    @user-ml2bt4nx4o 5 місяців тому +20

    Ahsante Sana mwenezi wenye Nia mbaya nawe washindwe katika jina yesu mungu akubariki Sana.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 5 місяців тому +17

    Makonda nilikuelewa sana ukiwa mkuu wa mkoa lakini sasa ukiwa mwenezi na kwa kazi hii kubwa unayoifanya imenifanya nikuelewe vizuri zaidi

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 5 місяців тому +25

    Allah akuhifadhi Kaka makonda nakupenda sana kuna watu majinga sana hao

  • @asnathlaizer4603
    @asnathlaizer4603 5 місяців тому +22

    Naona roho ya magufuli kwa makonda Mungu akulinde wasikuue

  • @user-ob8yz1dv8h
    @user-ob8yz1dv8h 5 місяців тому +10

    Kaka makonda kwa kweli unatujali. Allah Akuhifadhi.

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 Місяць тому +2

    Makonda nakuomba uwe unakula chakula unachopikiwa na mpishi wako mwenyewe,, na microphone uwe nayo ya kwako,, kila kitu usipewe ovyo ovyo big up sana mkuuu we ndo rais wetu baba🙏🔥 we ndo pacha wake na mh marehem magufuli 🙏🔥🔥❤❤

    • @ProudB719
      @ProudB719 Місяць тому

      Hapo nakuunga mkono 100%
      Hata chakula cha mpishi asile maana anaweza kula rushwa .
      Mke wake ndie ampikie. Ajitahidi kabisa.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 місяців тому +11

    Makonda 😂😂 "eti we mzee una ndugu wizara ya fedha? "

  • @user-ty6oz1gl8q
    @user-ty6oz1gl8q 5 місяців тому +18

    Aise mwacheni mungu aitwe mungu tunakushukulu sana Allah kutuletea huyu kiumbe aliye kubali kuvaa kiatu cha mpendwa wetu magufuli Allah ampumzishe maali pema peponi nahuyu makonda Allah tunaomba utulindie ❤❤❤❤❤❤❤❤amin

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 5 місяців тому

      Sema mpendwa wako sisi tunae MH RAISI MAMA SAMIA MSIKIVU SULUHU MSULUHISHAJI AU MTENGENEZAJI HASANI MWEMA PIA NI KIONGOZI NA SI MTAWALA KAMA LILEEEEEEE NIMELISAHAU JINA LAKE

    • @sabinamachange6040
      @sabinamachange6040 5 місяців тому

      Makonda umegundua Nini katika ziara zako???? Ni kuwa Ccm haitakiwi kabisa kutawala Tena matatizo na uonevu Kila Kona ya Tanzania 😢😅​@@omaryramdhani9823

    • @user-ut3gf1tg2n
      @user-ut3gf1tg2n 5 місяців тому

      We acha uchoko mtoto wa kiume ​@@omaryramdhani9823

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 5 місяців тому +1

      Kwani wewe umelazimishwa kumpenda,ndiyo mimi pia namkubali makonda

    • @user-co2ed6dj6p
      @user-co2ed6dj6p 5 місяців тому

      ​@@omaryramdhani9823unaonekana na ww umepigwa na kitu kizito mbwa ww

  • @BABAGIFTBOY
    @BABAGIFTBOY 5 місяців тому +6

    Weee aki naeza Cheka mpaka mbavu ziume yaani jamaa hataki uruke swali lake ata moja ... Genius

  • @kingallydj2667
    @kingallydj2667 5 місяців тому +23

    Hongera makonda Sasa umekuwa uncle magufulii mtetezi wakwelii ubarikiwe

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 5 місяців тому +2

      Makonda kamfunika had magufuli. Apewe nch tu kama vp

    • @talents7934
      @talents7934 5 місяців тому

      ​@@thabitdaudi9815kamfunikaje usiwe unasifu kupitiliza

  • @user-vt8yq7xv1q
    @user-vt8yq7xv1q 5 місяців тому +16

    Makonda respect 😅😅

  • @antonydamian8906
    @antonydamian8906 5 місяців тому +9

    Kaka makonda hongera kwa kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa 2025 kura zote chukua

  • @HamsiHusna-nf3vg
    @HamsiHusna-nf3vg 5 місяців тому +7

    Ila makonda mungu akilipe na akutie nguvu kiukweli anafanya kaz nzuri sana mambo mengi yamejificha

  • @doiabel3793
    @doiabel3793 5 місяців тому +12

    Huyu ndo makonda tuliye kuwa tunampenda toka akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam

  • @verajohn3457
    @verajohn3457 5 місяців тому +14

    Kazi nzuri Mwenezi, Mungu aendelee kukutunza,nakupenda sana Makonda,Njoo na huku Mwanza,tuna mengi, asante sana Mama Samia,huyu anatufaa sana

  • @meshack3266
    @meshack3266 5 місяців тому +7

    Mtoto wa mama Kizimkazi uyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 5 місяців тому +8

    HAPO MAKONDA UMEONGEA KIUME

  • @Zuu673
    @Zuu673 5 місяців тому +13

    Mungu akuweke mbali na husda baba magu yuko na amani huko aliko

  • @user-tv7yx8nt5k
    @user-tv7yx8nt5k 5 місяців тому +6

    Uyo ni meneja kivuli atolewe.
    Maana anababaika tu hapo mtu anapokea mshahara kutoka serikalini na hajui kazi yake ni nini . Ndugu MH. Makonda hao ndio wakutazamwa sana wananchi wanalia wao wanajaza vitambi .😢😢

  • @kabibijohn2939
    @kabibijohn2939 5 місяців тому +9

    Wew ni mwamba mzee ❤❤❤❤❤

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 5 місяців тому +8

    Ukiwakuta ofisini ukiingia kwenye anga zao wanakua jeuri na mitumbo yao ila wakiwekwa corner hua wanajikojolea pamoja na kigugumizi "damn"!!!

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 5 місяців тому +10

    Mheshimiwa Makonda huko mikoani usikubali kuvalishwa migolole wala chochote cha kimila wasije wakakukabidhi kwa miungu mingine si unajua Yesu hachangamani na miungu mingine asije akakaa pembeni akakuacha, chonde chonde Komredi wa CCM

    • @yusuphmsuya8336
      @yusuphmsuya8336 5 місяців тому

      Hongera sana dada unasali wapi

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 5 місяців тому

      Umeona eee na Mimi nilimwambia

    • @mtatapharaoh5174
      @mtatapharaoh5174 5 місяців тому

      ACHA imani za kikoloni wewe muafrica uliopotea, kwahiyo yesu mweupe mzungu ndo unaona wakuabudiwa, nani aliwaletea dini,, umesahau walikuja wakawapa biblia na Quraani kisha wakachulua ardhi yenye rutuba,... UNASAHAU kwanini jina lako ni AMINA ni jina la kiarabu na nikwasababu watanzania walitaaliwa na waarabu na ndio maana ukanda wa pwani wengi ni waislamu na .. utawala wa jerumani na waingereza ulikuwa nyanda za kusidi, kaskazini na ndio maana waislam wengi maeneo hayoo.. JILA LAKO la mwisho ndo jina la kujivunia MISS shayyo, jina la kimila , la kiafrica.. acha kudharau muingu yetu ya kiafrica, hakuna tofauti kati ya MUHAMMAD(mungu wa warabu) & YESU (Mungu wa wazungu ) na miungu yetu ya waafrica.. ni imani tu,, swali kabda MISSIONARI HAWAJAJA TANZANIA NA africa ulikuwa unaamini nini?

    • @mtatapharaoh5174
      @mtatapharaoh5174 5 місяців тому

      ​@@yusuphmsuya8336 akili zenye matandu ya kikoloni ..

    • @gfvh7282
      @gfvh7282 5 місяців тому +1

      Kwni yesu ni mungu wawapi ?😅😅

  • @UKWELI-TV
    @UKWELI-TV 5 місяців тому +10

    Huyu mzee itakua ana pressure ndio shida kinacho fuata anajaribu kucontrol pressure yake

  • @DorosellaBuchwa
    @DorosellaBuchwa 5 місяців тому +21

    Kumbe,ccm..ninzurihivi!!!mungu akubariki makonda

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 5 місяців тому

      Uzuri wake upo wapi sasa? Huoni hapo Makonda anajijenga mwenyewe binafsi?

    • @talents7934
      @talents7934 5 місяців тому +1

      ​@@jesaminzokama anajijenga na wewe jiunde JEALOUS PPO NVER WIN😢

    • @user-co2ed6dj6p
      @user-co2ed6dj6p 5 місяців тому

      ​@@jesaminzonendagaa uko anajijenga binafsi ulitaka awabebe viongozi au kwendraaa

    • @EmmanuelMoses-pb1zh
      @EmmanuelMoses-pb1zh 5 місяців тому

      Hapo umezinguaaa boss​@@jesaminzo

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 5 місяців тому +6

    Kaz za connection hiz mtoto wa mjomba kaaa hapa😂😂😂😂

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 5 місяців тому +3

    Mimi nilivunjiwa Salon yangu na nilikuwa nimewekeza pesa nyingi mpka sasa ni hasara na atuna pakulalamika.

  • @humphreydagaa-ds3nj
    @humphreydagaa-ds3nj 5 місяців тому +2

    Kwenye Accounting, makonda position ya Forensic Auditor ingemfaa sanaa, he asking very technical questions 😁😁

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo 5 місяців тому +8

    Safi sana makonda

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 5 місяців тому +6

    Mwezi wa kwanza hoyeeeee😂😂😂😂😂 makonda Mungu akulinde wasije kupulizia sumu

  • @SelemaniNyunza
    @SelemaniNyunza 5 місяців тому +9

    Makonda kakiwasha

  • @HusseinKibega
    @HusseinKibega 5 місяців тому +6

    Good mh makonda njoo uku Kenya 🇰🇪 jamani mbona uku 🇰🇪hawazaliwi viongozi kama hawa?

    • @emakoresahili
      @emakoresahili 5 місяців тому

      Nafkiri wapo hata Kenya Ila kupata nafasi kama hii ndio kazi sana that's why unaona kama hawapo

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l 5 місяців тому +2

    Uyu jamaa nomaaa🎉🎉🎉makonda❤❤❤

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 5 місяців тому +6

    Tumbo limejaa dhuluma ajielewi

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 місяців тому +4

    Mmh makonda ni kichwa mungu akilinde sana kichwa hiki😅😅😅

  • @lingsonKasomwa-ho1tf
    @lingsonKasomwa-ho1tf 5 місяців тому +1

    Kazi nzuri ndugu Makonda. God bless you

  • @jamesmongelwa8625
    @jamesmongelwa8625 5 місяців тому

    Brother Paul you are doing well nakupongeza sana sana good job Ombi langu Mungu akuongezee hekimi na Afya umsaidie mama mbele daima nyuma mwiko big up

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 5 місяців тому +4

    Leooo utakoma kudhulumu aibu

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 4 місяці тому

    Tunakusubiri kibaigwa kongwa kwa ndugai madudu kibao karibu mwenezi nahama chadema ukija mungu akubariki

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 5 місяців тому +4

    Unaona, sasa. Aliyekua na majibu ni huyo msemaji wa pili.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 5 місяців тому +4

    Ubarikiwe sana Makonda

  • @mhagamachas8974
    @mhagamachas8974 5 місяців тому +4

    Huyo meneja akikaguliwa lazima atakuwa ameharibu/kuchafua hali ya hewa!!! 😅😅😅

    • @khadija5761
      @khadija5761 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 5 місяців тому

    Makonda unawakati mgumu kusimamia haki unatengeneza maadui kibao,na watu unaowapambania wanyonge,un oganise,hawa wala rushwa wamejipanga,sana piga kazi chama chetu kinataka haki na haki tutatoa CCM

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 місяців тому +9

    Makonda ame vaa viatu vya magufuli 😢 wasije waka muua😢

  • @user-zr1yc6jr6z
    @user-zr1yc6jr6z 5 місяців тому +3

    safiiii sana makonda mungu aendelee kukulinda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 5 місяців тому +4

    😂😂😂Makonda unataua watu kwa pressure angalia na Afya za watu, Kabla huja wabana😂😂😂

    • @user-yh4vv7gi6n
      @user-yh4vv7gi6n 5 місяців тому

      Watu wenyewe wanakula sana wachawatumbuliwe😅😅

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 5 місяців тому +4

    MAKUFULI ALIMTELEKEZA MAKONDA LAKINI MAMA AKAMUONA ANAFAA.ASANTE MAMA SAMIA KWA KUTULETEA MAKONDA ASANTE SANAAAAA

    • @edwingideon3606
      @edwingideon3606 5 місяців тому

      Hapana, Magufuli alikuwa anampenda sana Makonda, Magufuli alimkataza makonda kustaafu ukuu wa Mkoa, alitaka ubunge na Uwaziri, Makonda angesubiri angekua mbali sana.

    • @user-ym6eh5fh3k
      @user-ym6eh5fh3k 5 місяців тому

      Magufuli hajamkataa makonda ila makonda aliutak ubunge alafu wananchi wakamuangusha

  • @guyasidotto1198
    @guyasidotto1198 5 місяців тому +4

    Huyo Meneja wa TANROAD Yuko sahihi amesema wametumwa watu wanaotakiwa kulipwa fidia wizarani kwahiyo suala la pesa Ni la wizara kuleta ndo maana Meneja anasema alijibie naibu Wazir ni lini watalipwa maake ndo wanaleta hela Makonda umemng'ang'ania tu mzee wa watu jamani😂😂😂😂

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 місяців тому

      Kosa lake Meneja anajichanganya alitakiwa asimamie alichoamini na aseme Wizara ndio inahusika na Malipo.

    • @guyasidotto1198
      @guyasidotto1198 5 місяців тому

      @@hajihassan5433 Meneja Yuko sawa maake swali hapo je Ni lini mtawalipa Sasa anashindwa kutamka maake hela haziko kwenye akaunt ya Mkoa ndo maana anataka ampe naibu Wazir ajibu lakn Mwenezi anamkatalia atamke yeye ungekuwa wewe ungefanyaje?ndo maana anajichanganya😆😆😆😆😆

  • @NABILMOHAMMEDABDULLAH
    @NABILMOHAMMEDABDULLAH 14 днів тому

    Zaidi ya hayati mh makufuli,mh makomda hongera kwa kazi nnzuri

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 5 місяців тому

    Kiukweli raisi "SSH" Hakukosea kumpa hii nafasi huyu mtu na 25 InshaAllah akimpa uaziri mkuu nchi itanyooka InshaAllah

  • @johnbwire8301
    @johnbwire8301 5 місяців тому +4

    Mweshimiwa mwenyezi😂😂 mtasema vizuri

  • @gideonmwalusamba6861
    @gideonmwalusamba6861 Місяць тому

    Brother l respect u unakula mshahara kihalali sn me nadhani uongezewe

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 5 місяців тому +1

    Duuh makonda ni atareee 🔥♣️♥️

  • @user-xm5hg9oy4b
    @user-xm5hg9oy4b 5 місяців тому +2

    Makonda viva

  • @josephmaina1748
    @josephmaina1748 5 місяців тому

    Hongera watazani hiyo dio jia mwafaka yawanaishi mwedele hivyo hivyo

  • @user-dd8oc6yw9n
    @user-dd8oc6yw9n 5 місяців тому

    Asante kaka❤️❤️

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 5 місяців тому

    Hawa ilikua kiboko Yao n mafunguo yani makufuli...cc wakenya yye ñdio alikua raisi pendwa east Africa nzima ...yani dunia nzima kwa ujumla....hakutatokea Raisi shupavu na mtenda kaz kma yye....may his soul continue resting in peace...😢😢

  • @user-hj6my7sz8h
    @user-hj6my7sz8h 5 місяців тому +2

    Hii nchi kunawatu wanaajiriwa hawajuii hata wanafanya nn

  • @FunnyCamping-sf7yq
    @FunnyCamping-sf7yq 5 місяців тому +1

    Kura yangu chukua mda wa mungu ukifika

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent8948 5 місяців тому +2

    mimi na2wambiaga vijana wenzangu chama sio hovyo watendaji ndo wanakuaga
    wa hovyooo

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 5 місяців тому +3

    Nashauri kuhoji hao viongoz kuwa na utaratibu ili msiwauwe na presha
    huyo ni Eng mtamuuwa mpaka unamchanganya

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 5 місяців тому

      Kama walivyomuua Mkurenzi wa Jiji miaka hiyo pale darajni Kigamboni eti wanamtumbua!
      Haya ni mazingaombwe, kwani wenye dhamana hawapo kiasi cha kutoa takwimu kwa mtu asiyehusika?

  • @joshuamtindya8683
    @joshuamtindya8683 5 місяців тому +1

    Huyo jamaa alipata kazi kwa njia ya connection 😅

  • @user-yj5yp7js5f
    @user-yj5yp7js5f 5 місяців тому +1

    Hakika mama samia anajua vyombo vya kazi asante makonda

  • @user-ti8xr5sd7h
    @user-ti8xr5sd7h 5 місяців тому +6

    Uwanacheka Sanaaaaa nkiona bos wangu kakutana nabos wake

  • @mercyassy5469
    @mercyassy5469 5 місяців тому +9

    😂😂😂january oyeeeee

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 5 місяців тому +2

    Tuna baadhi viongozi miyeyusho kweli

  • @IssackLeonardBakekela
    @IssackLeonardBakekela 5 місяців тому +2

    😮 wow mbona makonda anafuata nyayo za jpm🤔 maana mahojiano ni hapo kwa hapo kiasi kwamba ananikumbusha kipenzi chetu❤

  • @nestymushi6489
    @nestymushi6489 5 місяців тому +2

    Huyu jamaa mbona lofa kwani Meneja wa Tanroad kosa lake linatoka wapi, ndo ulibebe hilo uende kulipeka kwa Mh raisi kwani huyo mzee anatoa pesa mfukuni mwake

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 5 місяців тому +1

      Atleast ww una akili sana ,,Kuna mijinga uko juu inaropoka sana

    • @jessykadaraja2691
      @jessykadaraja2691 5 місяців тому

      No.. Kosa lake hafatilii miaka 8 ni mingi sana... Si ajabu pesa inatoka wanapiga

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 5 місяців тому

      @@jessykadaraja2691 ni kweli miaka 8 ni mingi sana,,hela ya serikali Ina mlolongo nyie,,sawa labda kunaweza kuwa ni uzembe wa kufatilia lkn tusihukum mno,,Hawa watu wa juu uko kwenye hela wana milolongo mno wakati mwngine

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 5 місяців тому +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwezi wa kwanza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Makondaaaaaaaaaaa

  • @user-wf7dp3ni5p
    @user-wf7dp3ni5p 5 місяців тому

    Kaka makonda mungu akubaruki Kwa kufanya kazi nzuri sana kunamajitu yapo tyu kudhulumu watyu tu

  • @msafirikushama2193
    @msafirikushama2193 5 місяців тому

    Our president is coming back; she is doing her work now.

  • @user-xc6wt1lf6u
    @user-xc6wt1lf6u 5 місяців тому +10

    Makonda Kabla Ya Kuwahoji Kuwa Na Doctor Anawapima pressure... Bila ivyo Ipo Siku Atakufa Mtu 😅😅

  • @user-fs6lp3op1x
    @user-fs6lp3op1x 5 місяців тому +2

    Songwe kinabaridii lakn kaswet kama yupo daaa ahahahaa

  • @ernestkija6428
    @ernestkija6428 5 місяців тому +3

    Mmh mengine magumu kuyaelezea

  • @sayibaba8566
    @sayibaba8566 5 місяців тому +2

    Mh hongera kwa kazi nzuri ya kuwahudumia wananchi..nilikua na ushauri kidogo hawa viongozi wa taasisi wakati mwingine wanakua hawana majibu ya papo kwa papo na maswali mengine yanakua juu ya uwezo wao ndiyo maana hata kujieleza inakua changamoto wanajikanyaga..kama pesa zimetumwa toka wizarani kwaajili ya hiyo kazi ya kulipa fiidia ni dhahiri ingekua imefanyika hivyo..Tunawapa tention wananchi kwa kuona wakuu wa taasisi hawawajibiki lkn sivyo..

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 5 місяців тому +1

      Ingekuwa wewe ungeweza subiri miaka saba hujalipwa fidia?????hao viongizi wanafanya kazi gani???????

    • @dismasmgaya5114
      @dismasmgaya5114 5 місяців тому

      Meneja Mkoa ndo mlipaji? Si amruhusu Naibu ajibu? Meneja kashamaliza kazi yake ya tathimini....Walipaji sio wao

    • @dismasmgaya5114
      @dismasmgaya5114 5 місяців тому

      Hapo sijaona kosa la Meneja zaidi alitaka kumdhalilisha tu Meneja lakini hana kosa lolote

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 5 місяців тому +3

    Aiseee kazi za serikali hizi nikudhalilishana kila siku bora uwe mjasiriamali kuliko kudhalilisha huku.

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 5 місяців тому +2

      Hudumia wananchi kwa nafasi ulionayo.co kutesa wananchi. Unajua maana ya UHURU

  • @user-wk5fm4nv9h
    @user-wk5fm4nv9h 2 місяці тому

    mwenyezimungu akulinde bro makonda

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaid Місяць тому

    Wonderful wallay

  • @vianeynzarami6861
    @vianeynzarami6861 5 місяців тому

    Ahaaaa😢😢

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 4 місяці тому

    😂😂😂wizara ya fedha imepeleka fedha. kwenye wizara ya fedha. Duuu hii Kali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 5 місяців тому

    Roho ya MAGUFULI Naiyona hapo hakika wewe ni jembe makonda oyeeeee❤❤❤❤

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq 5 місяців тому

    Nikweli kabisa Mweheshimiwa Poul Makonda najua wengi hawatakupenda kwa staeli hii yako ya Chama kusikiliza kero za papo kwa papo. Imebidi Chama Cha Mapinduzi.ccm safi sana .ila zidi kukaza buti hayo ndio maana CCM ilikosa mvuto Ndugu yangu Bwana Poul Makonda rudisha imani ya Chama chetu cha ccm kwa wananchi

  • @danielmasaga4179
    @danielmasaga4179 5 місяців тому +1

    Mungu weeeee

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333 5 місяців тому

    Bwana Makonda Mwenyezi Mungu akubariki kwa maswali unayouliza huyo tapeli anayedhulumu Mali za wanainchi.

  • @iddymasimba9605
    @iddymasimba9605 5 місяців тому +1

    huyu jamaa akiendelea hivi tutamuomba agombee

  • @user-fn3nl8dy1b
    @user-fn3nl8dy1b 3 місяці тому

    Makonda utawauwa meneja na pressure na hayo maswali😂😂😂😂

  • @amosmangura
    @amosmangura 5 місяців тому +1

    Mizingo

  • @Zuu673
    @Zuu673 5 місяців тому +2

    Dadeki makonda akuepushe na wabaya mugu still alive

  • @UKWELI-TV
    @UKWELI-TV 5 місяців тому +9

    Dadek kujiamini kwa makonda imenifanya nimpende makonda, kura yangu kwa CCM

  • @DAVIDLUTHA
    @DAVIDLUTHA 4 місяці тому

    Safi kaka uko vizuri wakujibu

  • @Charleslsk
    @Charleslsk 5 місяців тому

    Your our next president makonda wile love you so much❤❤❤❤❤❤❤

  • @emmanuelnnko-dv1th
    @emmanuelnnko-dv1th 5 місяців тому

    Dah

  • @charlesurio3395
    @charlesurio3395 5 місяців тому +3

    Jimbo la Meru hukupitia mwenezi kuna udanganyifu unyanyasaji wa kupindukia

  • @jutomzelu3692
    @jutomzelu3692 5 місяців тому

    Huo ni utawala wa Magu, alikuwa hapendi fidia kwa watu waliyojenga karibu na barabara

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 місяців тому +2

    😅😅😅😅 Alhamdulillah

  • @eusebionaungu1585
    @eusebionaungu1585 Місяць тому

    Siku yoyote Moçambique iwe na viongozi Kama Tanzânia

  • @asiamwanukuzi5085
    @asiamwanukuzi5085 5 місяців тому

    Makonda kaka mwenyezi mungu akubariki sana piga kazi baba

  • @john_1trader
    @john_1trader 5 місяців тому

    Kuna kitu sieleiwi na hii siasa ya tanzania makonda anataka kiti gani, tena upo na chama kipi,tena ccm si chama cha rais samia ama .. mkali kama rais na bado rais yupo ama ametumwa na rais

  • @user-yg7bw7hd5y
    @user-yg7bw7hd5y 5 місяців тому

    Makonda ndie mwanafunzi wa Magufuli aliyehitimu na kufaulu kwa maksi za juu

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisye 5 місяців тому +2

    Mda mwingine bora ukae kama raia tuu.so.kama.ivi

  • @KelivinFransis
    @KelivinFransis 5 місяців тому +2

    Mzeee ata kaa arudiye kujileta kwenye mkutanonwa makondo 😂😂😂😂😂😂

    • @khadija5761
      @khadija5761 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂