kwaumati huuu razima watu wanune wasipo kukubali hazarani watakili hata kwenye miyo yao rais samia Namzee kikwete aliekupa ukuu wawi laya ya hapa kinondoni watusaidie2 uwe rais tukupunguze machungu ya kufiwa Na rais wetu magufuli
mkuu wa wilaya hana point hajui chochote inavyoonekana cheki wananchi wanavyomzomea mla rushwa et amefungia huduma pande zote mbili wakati mchungaji anasema ni kanisa lake tu limefungiwa mkuu wa wilaya hauna muda kwenye hiyo cheo unafungiaje kanisa la mchungaji mwenye ameanzisha kanisa lake 1990 mpaka saiv mkuu wa wilaya ni vile mkuu wa mkoa hawez kukupig spana ila mungu atakupiga jeki
Mchungaji Yona akiwa na waumini wa Ebenezer Baraa walijenga Kanisa kwa kutumia udongo kichwani, kisha kwa matofali ya kinzani na hakuna Mchungaji wa FPCT aliyetaka Kanisa, sasa watu wa Baraa walijenga Kanisa kubwa na zuri na Wachungaji wa FPCT wanataka kuliteka. ...Mungu anawatazama na kuwahukumu.
Mh tenda mema Mungu atakupa kibali tuuu usiogope mimi natamani sana nitakaporudi nyumbani Tanzania nitakutafuta nakuombea kwa Mungu akushike mkono katika safari hii ya huduma mimi mama yako niko Bahren
Kununua kiwanja kwa jina la dhehebu haimaanishi ni cha dhehebu aliye saini manunuzi ndiye mmiliki Mali ya dhehebu wanunuzi ni bodi ya wadhamini sivinginevyo
Kuna tatizo kubwa kwenye makanisa ya pentecostal mchungaji akinunua kiwanja ghafla anataka kwenda kanisa jingine na mali za awali na hayo matatizo ni mengi nchi nzima kwa sababu ya akili zao
tatizo na wivu wa waliojenga kitu, muulize Mchungaji Godson na kundi lake walilipia kiwanja na wana hati? Je, walitumia kiasi gani kujenga Kanisa? Ni rahisi kula chakula baada ya kupikwa.
Haya makanisà yamejaa utapelitu wachungaji wanagombania sadakatu maana ukristo nibiashara zawatu binafsitu haiwezekani kilamtu amiliki kanisa kama maliake nawakati nyumba zaibada zinatakiwa ziwe mali ya mungu lakini sikuhizi watu wamebadilisha wamezifanya kama viwanda vyao tena yanafanya kusajiliwa kabisa kama kampuni binafsi mungu saidia wajawako waijue dini yakweli 🙏🙏
I think in 1992 it was not introduction of multiparty system rather it was re-introduction of multipartism because in 1950s to 1960s there was yet multipartism ( TANU, AMNUT, ANC and UTP).
ndio mana mda mwingne chadema Nawaona wahuni2 wanamsema vibaya ila sisi watu wa dar Salam tunajua makonda Nimagufuli mdog ndio mana unaona kila sem akienda anaondoka Nakijiji
Mku wa mkowa uchunguze vizuri huo mkuu wa wilaya hastahili kuwa kiongozi Mwenye alinunua kitambo ni haki yake Mwe kipwa pesa ndie anajua mwenye kununua shamba hilo
Hakika uumwadilifu na Mungu akupe siku nyingi ktk USO wa nchi hii yenye Maskini wenye,njaa kiu baridi nabila msaada Toka kwa watangulizi wako wewe,ni,chakula,maji,na joto kwa baridi,Yao wasaidie maskini hao kesho watakupandisha Keene Mnara mrefu na kua mkuu,wao hata ukamilifu wa hitaji lao
Wachungaji wengi siku hizi wanajichanganya mara huku mara Kule hawana msimamo utafikiri wanasiasa huyu Yesu awezaji kukuweka mahali ukahama hama hata wale walioko nje ya imani hii ukiwaeleza habari njema za Yesu Hakuna ushuhuda Kwa migogoro ya wachungaji
Be blessed Paul Makonda for instant resolving social conflicts.
May God be with you.
Yaani Makonda ni one of kiongozi bora sana!Mungu azidi kumtunza hakika!
kwaumati huuu razima watu wanune wasipo kukubali hazarani watakili hata kwenye miyo yao rais samia Namzee kikwete aliekupa ukuu wawi laya ya hapa kinondoni watusaidie2 uwe rais tukupunguze machungu ya kufiwa Na rais wetu magufuli
Kwel mkuu umenena
Makonda mungu akulinde maana nisshida Kila sekta ungewezza kusikiliza Kila mtu machozi ni mengi
mkuu wa wilaya hana point hajui chochote inavyoonekana cheki wananchi wanavyomzomea mla rushwa et amefungia huduma pande zote mbili wakati mchungaji anasema ni kanisa lake tu limefungiwa mkuu wa wilaya hauna muda kwenye hiyo cheo unafungiaje kanisa la mchungaji mwenye ameanzisha kanisa lake 1990 mpaka saiv mkuu wa wilaya ni vile mkuu wa mkoa hawez kukupig spana ila mungu atakupiga jeki
Oo
Lomo me o
Looomo
Oo
O
L
P
Jeki tena umetisha
🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Majirani tupo we are watching keenly
Wana Arusha niambieni mlishawahi kukusanyika hivyo mwaka Gani?? Makonda ni kiboko ya wana Arusha.
Siku ya kumuaga Aly dangote
Makonda kiongozi mzur kweli
huyu mchungaji upo sahihi walio mnyang'anya kanisa wamrudishir alinunua kiwanja tangu zamani
Mchungaji Babu Yona Mungu akutetee mtumishi wa Mungu😊
Kweli jaman
Makonda baba fanya Kaz Yako kikamirif mungu akuongoze😊😊😊😊
Mkuu wa mkoa Paulo makonda mungu akutie nguvu
Mchungaji Yona akiwa na waumini wa Ebenezer Baraa walijenga Kanisa kwa kutumia udongo kichwani, kisha kwa matofali ya kinzani na hakuna Mchungaji wa FPCT aliyetaka Kanisa, sasa watu wa Baraa walijenga Kanisa kubwa na zuri na Wachungaji wa FPCT wanataka kuliteka. ...Mungu anawatazama na kuwahukumu.
Kasome katiba ya FPCT mm n mshirika wa FPCT uwezi hama na maliya kanisa hata siku moja
Mkuu wa mkoa ameshughulikia vzuri sana hii issue
Baba Mch. Yona ulinihudumia katika wakati mgumu na wewe Mungu atakutetea!!
Mh tenda mema Mungu atakupa kibali tuuu usiogope mimi natamani sana nitakaporudi nyumbani Tanzania nitakutafuta nakuombea kwa Mungu akushike mkono katika safari hii ya huduma mimi mama yako niko Bahren
Tukipata kinamakonda 7 tz itanyooka
NATAMANI MAMA aniteuwe ,tukapige spana ,kuna raia ni wazembe sana
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤kumbe makonda ni mchungaji kabisa leo ndio nimejua akiiombea arusha
Hadi amenena kwa lugha
Mheshimiwa mkuu wamkoa mungu akulinde tunakuombe
Timu makondo tujuane apa
Mkuu wa wilaya mkatoli saf Vp tena kwenye hii mitego yaajabu,
Haha
Anzisha kanisa sehemu nyingine,mungu atawasaidia.
umati mkubwa kama mkutano wa Rais
🎉mpaka aibu jamani mimi naogopa mimi jamani hata aibu hatuoni.
Wewe Mkuu wa Wilaya haufai Arusha kabisaaa, Mama Samia tunaombatuondolee huyu mkuu wa Wilaya hapa Arusha
alafu anacheka kama ngedere simpendi huyu
Mi namweelewa mkuu wa wilaya na makonda mchungaji ni ni mmm
Hongera sana mh. Makonda
Magufuli mwengine uyu apa makonda
Tuonane kwa Lugha kwanza😄😄 Makonda Mungu akuinue
Pastor uliuziwa kiwanja , kama uliuziwa inamaana kanisa ni lako ,sio la waumini ,sio la mungu . Ok
Tuzungumzie mgogoro wa kufungiwa
Kununua kiwanja kwa jina la dhehebu haimaanishi ni cha dhehebu aliye saini manunuzi ndiye mmiliki Mali ya dhehebu wanunuzi ni bodi ya wadhamini sivinginevyo
Huyu pastor uko Na ukweli wamfungulie kanisa
Mkuu wa Wilaya alikuwa na uhakika na KAZI yake ndipo alipoamuru kufungwa Kwa jengo. Mpaka mgogoro uishe
HAHUFUNGA KANISA
nyo sababu mliendelea kuabudu
Mkuu wa wilaya yuko sahihi
Makonda MUNGU akulinde
Kuna tatizo kubwa kwenye makanisa ya pentecostal mchungaji akinunua kiwanja ghafla anataka kwenda kanisa jingine na mali za awali na hayo matatizo ni mengi nchi nzima kwa sababu ya akili zao
Nikwel mweshimiwa mkuu wa mkoa hakika wewe mungu anakuongoza uko vizir sana
Kiukwel wana-Arusha wanakukubari...songa mbele majaribu ni mtaji...hata me pia nakukubari sanaaa...
Mkuu wa mkoa umelichambua vizuri hawa wachungaji wa siku hizi noma😅
Ukiangalia kwa makini huyu mchungaji ndo ana shida
Aise umechambua hadi raha hahahahahahaah jmn Makonda una kazi kwelikweli, Mungu akufunike aiseeee love you sana
Waliyo na YESU kristo Ni watu weye hekima na akili kubwa Sna Sifa Kwa Yesu
Mungu akubariki sana paul nakupenda
Tatizo la walokole ni waroho wa sadaka hasasa piganeni.
😢😢
tatizo na wivu wa waliojenga kitu, muulize Mchungaji Godson na kundi lake walilipia kiwanja na wana hati? Je, walitumia kiasi gani kujenga Kanisa? Ni rahisi kula chakula baada ya kupikwa.
📖📖📖📖
Mungu akulinde Makonda
Duh arusha mmenishinda tabia yan mgogoro hadi kwenye nyumba za ibada
Ni huzuni
Makonda akikaza but na akaenda na msimamo huo namuona akiwa kiongozi mkuu wa taifa hili Kama siyo makam wa Rais au bas Mungu mwema
Hapa kuna figisu figisu waitwe na upande wa pili
Huyo mkuu wa wilaya hafai mjanja mjanja anaongea bila point
Waumini wanahamia kwa mchungaji Yona
Naamini ipo Siku utakuwa kiongozi wa Nchi
Mungu akulinde na akubariki unagusa maisha ya watu napendezwa na utendaji wako
Mimi naomba wachungaji wanapohama zibki tu kua mali za tasisi huska hata kama kuna ujanja wa viongozi husika mungu atafanya makubwa
Wachungaji kama hao tunao hata huku ni ving'ang'anizi kweli, mkuu wa wilaya yuko sahihi
Maaskofu wanastaafu lakini wanang'ang'ania madaraka, wakilazimishwa wanasajili kanisa lingine hapo hapo.
Makonda 2030 tunakupa nchi
Kijana pambana wanyonge wako kibao hakuna wa kuwasemea unajitahodi sana komaa nao tu
Mkuu wa wilaya yuko sahihi kabisaaaa
Mh,nmeamini makonda ni kichwa co kwa maswali haya tena ghafla hii ni levo nyingne ya kipawa
Makonda akili kubwa
Honestly mimi mwenyewe nimemwelewa mkuu wa wilaya
Mgogoro huu Mch.anataka kufanya Kanisa kama kioski kumbe Kanisa ni taasisi
Duh!
Walokole ila kawaida yao kugombannia makanisa
Ningekuwa na uwezo ningekufanya kuwa rais kwani hata hali isingekuwa mbaya hivi
Asante mch
ingekuwa rahisi makonda ilifaa uiongoze Tanzania baba
Poleni sana waumini kwa mapito magumu
Mungu ni wa milele
Haya makanisà yamejaa utapelitu wachungaji wanagombania sadakatu maana ukristo nibiashara zawatu binafsitu haiwezekani kilamtu amiliki kanisa kama maliake nawakati nyumba zaibada zinatakiwa ziwe mali ya mungu lakini sikuhizi watu wamebadilisha wamezifanya kama viwanda vyao tena yanafanya kusajiliwa kabisa kama kampuni binafsi mungu saidia wajawako waijue dini yakweli 🙏🙏
Uislamu ni biashara pi ya waarabubwalitumia mbinu hiyo kuchkua watumwa Africa
Hapo uislam umeingiaje we kafi @@josephatmahango3869
Arudishiwe kanisan lake chap😚😚😚😚
Mngu akupe maisha mrefu mkuuu
I think in 1992 it was not introduction of multiparty system rather it was re-introduction of multipartism because in 1950s to 1960s there was yet multipartism ( TANU, AMNUT, ANC and UTP).
Those were not political parties,those parties were established to unit citizens of Tanganyika against colonial rule including TAA
Kama huna D mbili huwezi kuelewa
Koka lini Makonda kawa hakimu? Kesi ya madai Mkuu wa Wilaya kawa hakimu poleni mchungaji
duh huu mkutano kama wa rais magufuli hili jamaaa linapendwa sana
Yaan jamaa anawatu kwel
ndio mana mda mwingne chadema Nawaona wahuni2 wanamsema vibaya ila sisi watu wa dar Salam tunajua makonda Nimagufuli mdog ndio mana unaona kila sem akienda anaondoka Nakijiji
Ina maana bira makonda hakuna viongozi mkoa wa Arusha, Kuna shida Tanzania ya viongozi.
Kwa movie kali njoo huku
Inauma.sana.inamana.waumini.ni wawachungaji.muangalie.mbele hukumu ipo
Hhawa niwanasiasa kama wanasiasa wengene. Hawamjui mungu.
Mkuu wa Mkoa Makonda ni Mwanasiasa mwenye akili sana na mwadilifu, atakuwa Rais wa Tanzania soon..
Watanzania wana, penda kusikia story hata kama hazibadilishi maisha yao na utendaji. Ili mradi tu ifurahishe ziwe gumzo inatosha kwao.
Mku wa mkowa uchunguze vizuri huo mkuu wa wilaya hastahili kuwa kiongozi
Mwenye alinunua kitambo ni haki yake
Mwe kipwa pesa ndie anajua mwenye kununua shamba hilo
Kwani kanisa linajengwa kwa sadaka au nikama kiwanda tu mtu anaanzisha kwa malengo kama uwekezaji ?
Hakika uumwadilifu na Mungu akupe siku nyingi ktk USO wa nchi hii yenye Maskini wenye,njaa kiu baridi nabila msaada Toka kwa watangulizi wako wewe,ni,chakula,maji,na joto kwa baridi,Yao wasaidie maskini hao kesho watakupandisha Keene Mnara mrefu na kua mkuu,wao hata ukamilifu wa hitaji lao
😂😂😂 sikiliza basii😂😂😂😂😂
Mkuu wa wilaya mbona anaonyesha kupendelea upande mmoja
Wachungaji wengi siku hizi wanajichanganya mara huku mara Kule hawana msimamo utafikiri wanasiasa huyu Yesu awezaji kukuweka mahali ukahama hama hata wale walioko nje ya imani hii ukiwaeleza habari njema za Yesu Hakuna ushuhuda Kwa migogoro ya wachungaji
Makonda umehukumu ipasavyo,ila huyo mchungaji anaonekana ni mjanjamjanja anataka jengo na mali za taasisi ili ziwe zake
Hapo wanagombea matumbo yao tu. ; Sikuhizi kumpata mkweli NI kazi kweli kweli ( Njala mbaya)
Kweli jaman
Mkuu wa wilaya uko sahihi kabisa
hatimaye wananchi wamepata Tena matatuzi wa matatizo Yao hakika makonda ndiye mrithi wa magufuli
Wafike hapa tafadhari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila ww
Nini dheifa uko wapi ww@@DheifaAbdul-jk3mp
Arusha siwaelewi hv...!
Wachungaji.da aibu kama.mwenzao kakusanya kondoo wangemuacha.tu wachungaji mashetan yasiwashinde
Karibu mara Kuna madudu utusaidiae kunyasha watu watu wamejisahau wakupe uhamisho
MUNGU hadhihakiwi injili lazima isonge mbele
Watu hawataki kuachia wengine nafasi kisa ulaji tu hatari sana
Kwa kweli Arusha imepata baba
Wapi mtumishi wa Mungu anastafu wakina mathoyo adi wamezeeka acha maneno eti amestafu
Mkuu wa wilaya haibu tupu makoti muvae mkiwa waungwana siyo matapeli wa akili zawatu yan huyu mkuu wa wilaya awez ata kuongea😂😂
Makonda.anatakiwa awe waziri.wa nchi.ni.daniel huyu.apande cheo tanzania
Uyu makonda namwona kesho yake ni mzr zaidi kiungozi na atakua mkubwa km sio namba 1 basi namba 3 inamuhusu
Kweli babu unajua kutengeneza maokoto
Makonda kweli ni kiongoz
Hakika hekima iliyopo ndani yako ni kubwa mno. Mh makonda.