MCHUNGAJI APIGWA MASWALI MAZITO NA RC MAKONDA, ONA ALIVYO JIBU KISOMI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 243

  • @mpelienock
    @mpelienock 3 дні тому +2

    Be blessed Paul Makonda for instant resolving social conflicts.
    May God be with you.

  • @naomimushi-ze4ct
    @naomimushi-ze4ct 5 днів тому +2

    Yaani Makonda ni one of kiongozi bora sana!Mungu azidi kumtunza hakika!

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 21 день тому +37

    kwaumati huuu razima watu wanune wasipo kukubali hazarani watakili hata kwenye miyo yao rais samia Namzee kikwete aliekupa ukuu wawi laya ya hapa kinondoni watusaidie2 uwe rais tukupunguze machungu ya kufiwa Na rais wetu magufuli

  • @WariamboraMbise
    @WariamboraMbise 13 днів тому +6

    Makonda mungu akulinde maana nisshida Kila sekta ungewezza kusikiliza Kila mtu machozi ni mengi

  • @abrahninah2837
    @abrahninah2837 20 днів тому +11

    mkuu wa wilaya hana point hajui chochote inavyoonekana cheki wananchi wanavyomzomea mla rushwa et amefungia huduma pande zote mbili wakati mchungaji anasema ni kanisa lake tu limefungiwa mkuu wa wilaya hauna muda kwenye hiyo cheo unafungiaje kanisa la mchungaji mwenye ameanzisha kanisa lake 1990 mpaka saiv mkuu wa wilaya ni vile mkuu wa mkoa hawez kukupig spana ila mungu atakupiga jeki

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 14 днів тому +7

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Majirani tupo we are watching keenly

  • @user-wv8ec6ls2e
    @user-wv8ec6ls2e 21 день тому +9

    Wana Arusha niambieni mlishawahi kukusanyika hivyo mwaka Gani?? Makonda ni kiboko ya wana Arusha.

  • @kapeilazaro9389
    @kapeilazaro9389 17 днів тому +5

    Makonda kiongozi mzur kweli

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 20 днів тому +14

    huyu mchungaji upo sahihi walio mnyang'anya kanisa wamrudishir alinunua kiwanja tangu zamani

  • @ineahsteve5785
    @ineahsteve5785 21 день тому +14

    Mchungaji Babu Yona Mungu akutetee mtumishi wa Mungu😊

  • @JanetJonathan-bm4tl
    @JanetJonathan-bm4tl 6 днів тому +1

    Makonda baba fanya Kaz Yako kikamirif mungu akuongoze😊😊😊😊

  • @PhilipoPanga
    @PhilipoPanga 17 днів тому +4

    Mkuu wa mkoa Paulo makonda mungu akutie nguvu

  • @chihiro5828
    @chihiro5828 20 днів тому +6

    Mchungaji Yona akiwa na waumini wa Ebenezer Baraa walijenga Kanisa kwa kutumia udongo kichwani, kisha kwa matofali ya kinzani na hakuna Mchungaji wa FPCT aliyetaka Kanisa, sasa watu wa Baraa walijenga Kanisa kubwa na zuri na Wachungaji wa FPCT wanataka kuliteka. ...Mungu anawatazama na kuwahukumu.

    • @fredyedward192
      @fredyedward192 13 днів тому +1

      Kasome katiba ya FPCT mm n mshirika wa FPCT uwezi hama na maliya kanisa hata siku moja

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 17 днів тому +3

    Mkuu wa mkoa ameshughulikia vzuri sana hii issue

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 19 днів тому +4

    Baba Mch. Yona ulinihudumia katika wakati mgumu na wewe Mungu atakutetea!!

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e 21 день тому +4

    Mh tenda mema Mungu atakupa kibali tuuu usiogope mimi natamani sana nitakaporudi nyumbani Tanzania nitakutafuta nakuombea kwa Mungu akushike mkono katika safari hii ya huduma mimi mama yako niko Bahren

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 21 день тому +7

    Tukipata kinamakonda 7 tz itanyooka

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 20 днів тому

      NATAMANI MAMA aniteuwe ,tukapige spana ,kuna raia ni wazembe sana

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k 21 день тому +8

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤kumbe makonda ni mchungaji kabisa leo ndio nimejua akiiombea arusha

  • @apostolmikasharoni3281
    @apostolmikasharoni3281 3 дні тому

    Mheshimiwa mkuu wamkoa mungu akulinde tunakuombe

  • @SimbaBoy-ij9pm
    @SimbaBoy-ij9pm 19 днів тому +5

    Timu makondo tujuane apa

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 21 день тому +4

    Mkuu wa wilaya mkatoli saf Vp tena kwenye hii mitego yaajabu,

  • @BlackJesusRasta
    @BlackJesusRasta 3 дні тому

    Anzisha kanisa sehemu nyingine,mungu atawasaidia.

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 21 день тому +12

    umati mkubwa kama mkutano wa Rais

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 21 день тому +4

    🎉mpaka aibu jamani mimi naogopa mimi jamani hata aibu hatuoni.

  • @davidkorduni6176
    @davidkorduni6176 19 днів тому +3

    Wewe Mkuu wa Wilaya haufai Arusha kabisaaa, Mama Samia tunaombatuondolee huyu mkuu wa Wilaya hapa Arusha

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 17 днів тому

      alafu anacheka kama ngedere simpendi huyu

    • @williammollel97
      @williammollel97 15 днів тому

      Mi namweelewa mkuu wa wilaya na makonda mchungaji ni ni mmm

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g 21 день тому +2

    Hongera sana mh. Makonda

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 21 день тому +3

    Magufuli mwengine uyu apa makonda

  • @deodathamnunduma832
    @deodathamnunduma832 18 днів тому +1

    Tuonane kwa Lugha kwanza😄😄 Makonda Mungu akuinue

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 19 днів тому +1

    Pastor uliuziwa kiwanja , kama uliuziwa inamaana kanisa ni lako ,sio la waumini ,sio la mungu . Ok
    Tuzungumzie mgogoro wa kufungiwa

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 20 днів тому +2

    Kununua kiwanja kwa jina la dhehebu haimaanishi ni cha dhehebu aliye saini manunuzi ndiye mmiliki Mali ya dhehebu wanunuzi ni bodi ya wadhamini sivinginevyo

  • @thomasorembo9830
    @thomasorembo9830 7 днів тому +1

    Huyu pastor uko Na ukweli wamfungulie kanisa

  • @albertsindato731
    @albertsindato731 20 днів тому +2

    Mkuu wa Wilaya alikuwa na uhakika na KAZI yake ndipo alipoamuru kufungwa Kwa jengo. Mpaka mgogoro uishe
    HAHUFUNGA KANISA
    nyo sababu mliendelea kuabudu

  • @AnnaSadala
    @AnnaSadala 20 днів тому +2

    Makonda MUNGU akulinde

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 19 днів тому +1

    Kuna tatizo kubwa kwenye makanisa ya pentecostal mchungaji akinunua kiwanja ghafla anataka kwenda kanisa jingine na mali za awali na hayo matatizo ni mengi nchi nzima kwa sababu ya akili zao

  • @LukasLaiza-zl3qs
    @LukasLaiza-zl3qs 21 день тому +3

    Nikwel mweshimiwa mkuu wa mkoa hakika wewe mungu anakuongoza uko vizir sana

  • @EmmanuelSago-go6pb
    @EmmanuelSago-go6pb 20 днів тому +2

    Kiukwel wana-Arusha wanakukubari...songa mbele majaribu ni mtaji...hata me pia nakukubari sanaaa...

  • @Mrauto12679
    @Mrauto12679 21 день тому +4

    Mkuu wa mkoa umelichambua vizuri hawa wachungaji wa siku hizi noma😅

    • @user-fe6gj1hg9r
      @user-fe6gj1hg9r 13 днів тому

      Ukiangalia kwa makini huyu mchungaji ndo ana shida

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 21 день тому +7

    Aise umechambua hadi raha hahahahahahaah jmn Makonda una kazi kwelikweli, Mungu akufunike aiseeee love you sana

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 16 днів тому +1

    Waliyo na YESU kristo Ni watu weye hekima na akili kubwa Sna Sifa Kwa Yesu

  • @EmmaSerubhibhi
    @EmmaSerubhibhi 18 днів тому

    Mungu akubariki sana paul nakupenda

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 21 день тому +4

    Tatizo la walokole ni waroho wa sadaka hasasa piganeni.

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 21 день тому

      😢😢

    • @chihiro5828
      @chihiro5828 20 днів тому

      tatizo na wivu wa waliojenga kitu, muulize Mchungaji Godson na kundi lake walilipia kiwanja na wana hati? Je, walitumia kiasi gani kujenga Kanisa? Ni rahisi kula chakula baada ya kupikwa.

    • @AbrahamuSareyo
      @AbrahamuSareyo 17 днів тому

      📖📖📖📖

  • @aishakasian
    @aishakasian 8 днів тому

    Mungu akulinde Makonda

  • @user-rr8cw8yl5o
    @user-rr8cw8yl5o 20 днів тому +2

    Duh arusha mmenishinda tabia yan mgogoro hadi kwenye nyumba za ibada

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 21 день тому +1

    Makonda akikaza but na akaenda na msimamo huo namuona akiwa kiongozi mkuu wa taifa hili Kama siyo makam wa Rais au bas Mungu mwema

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 21 день тому +2

    Hapa kuna figisu figisu waitwe na upande wa pili
    Huyo mkuu wa wilaya hafai mjanja mjanja anaongea bila point

  • @davidmwambope3684
    @davidmwambope3684 20 днів тому

    Naamini ipo Siku utakuwa kiongozi wa Nchi
    Mungu akulinde na akubariki unagusa maisha ya watu napendezwa na utendaji wako

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c День тому

    Mimi naomba wachungaji wanapohama zibki tu kua mali za tasisi huska hata kama kuna ujanja wa viongozi husika mungu atafanya makubwa

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 19 днів тому +1

    Wachungaji kama hao tunao hata huku ni ving'ang'anizi kweli, mkuu wa wilaya yuko sahihi

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 17 днів тому

      Maaskofu wanastaafu lakini wanang'ang'ania madaraka, wakilazimishwa wanasajili kanisa lingine hapo hapo.

  • @josaphatlukwaro2378
    @josaphatlukwaro2378 17 днів тому +1

    Makonda 2030 tunakupa nchi

  • @samsonmsyete-ek3fd
    @samsonmsyete-ek3fd 21 день тому +2

    Kijana pambana wanyonge wako kibao hakuna wa kuwasemea unajitahodi sana komaa nao tu

  • @williamsamwel7603
    @williamsamwel7603 20 днів тому +1

    Mkuu wa wilaya yuko sahihi kabisaaaa

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 21 день тому +1

    Mh,nmeamini makonda ni kichwa co kwa maswali haya tena ghafla hii ni levo nyingne ya kipawa

  • @stevenlazaro9176
    @stevenlazaro9176 20 днів тому +3

    Makonda akili kubwa

  • @in-africastay9520
    @in-africastay9520 16 днів тому

    Honestly mimi mwenyewe nimemwelewa mkuu wa wilaya

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 21 день тому +1

    Mgogoro huu Mch.anataka kufanya Kanisa kama kioski kumbe Kanisa ni taasisi

  • @NyumbaniHabariMedia
    @NyumbaniHabariMedia 21 день тому

    Duh!

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 12 днів тому +1

    Walokole ila kawaida yao kugombannia makanisa

  • @donestamlacky4672
    @donestamlacky4672 13 днів тому

    Ningekuwa na uwezo ningekufanya kuwa rais kwani hata hali isingekuwa mbaya hivi

  • @EliaAthanas
    @EliaAthanas 5 днів тому

    Asante mch

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 16 днів тому

    ingekuwa rahisi makonda ilifaa uiongoze Tanzania baba

  • @Swaleheadamu-gz4vm
    @Swaleheadamu-gz4vm 18 днів тому

    Poleni sana waumini kwa mapito magumu

  • @AbrahamuSareyo
    @AbrahamuSareyo 17 днів тому

    Mungu ni wa milele

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 21 день тому +1

    Haya makanisà yamejaa utapelitu wachungaji wanagombania sadakatu maana ukristo nibiashara zawatu binafsitu haiwezekani kilamtu amiliki kanisa kama maliake nawakati nyumba zaibada zinatakiwa ziwe mali ya mungu lakini sikuhizi watu wamebadilisha wamezifanya kama viwanda vyao tena yanafanya kusajiliwa kabisa kama kampuni binafsi mungu saidia wajawako waijue dini yakweli 🙏🙏

    • @josephatmahango3869
      @josephatmahango3869 20 днів тому

      Uislamu ni biashara pi ya waarabubwalitumia mbinu hiyo kuchkua watumwa Africa

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 18 днів тому

      Hapo uislam umeingiaje we kafi ​@@josephatmahango3869

  • @JanetJonathan-bm4tl
    @JanetJonathan-bm4tl 6 днів тому

    Arudishiwe kanisan lake chap😚😚😚😚

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o 6 днів тому

    Mngu akupe maisha mrefu mkuuu

  • @tabarokaijage3257
    @tabarokaijage3257 9 днів тому

    I think in 1992 it was not introduction of multiparty system rather it was re-introduction of multipartism because in 1950s to 1960s there was yet multipartism ( TANU, AMNUT, ANC and UTP).

    • @saidiwitika1517
      @saidiwitika1517 9 днів тому

      Those were not political parties,those parties were established to unit citizens of Tanganyika against colonial rule including TAA

  • @leonardmulimila1632
    @leonardmulimila1632 20 днів тому +1

    Kama huna D mbili huwezi kuelewa

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 20 днів тому

    Koka lini Makonda kawa hakimu? Kesi ya madai Mkuu wa Wilaya kawa hakimu poleni mchungaji

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 21 день тому +2

    duh huu mkutano kama wa rais magufuli hili jamaaa linapendwa sana

    • @lukasjelamisanana6770
      @lukasjelamisanana6770 21 день тому +1

      Yaan jamaa anawatu kwel

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 21 день тому +1

      ndio mana mda mwingne chadema Nawaona wahuni2 wanamsema vibaya ila sisi watu wa dar Salam tunajua makonda Nimagufuli mdog ndio mana unaona kila sem akienda anaondoka Nakijiji

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 20 днів тому

    Ina maana bira makonda hakuna viongozi mkoa wa Arusha, Kuna shida Tanzania ya viongozi.

  • @MoviesCentreTz
    @MoviesCentreTz 16 днів тому +1

    Kwa movie kali njoo huku

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 днів тому

    Inauma.sana.inamana.waumini.ni wawachungaji.muangalie.mbele hukumu ipo

  • @GraceSanga-jg5er
    @GraceSanga-jg5er 11 днів тому

    Hhawa niwanasiasa kama wanasiasa wengene. Hawamjui mungu.

  • @chihiro5828
    @chihiro5828 20 днів тому +4

    Mkuu wa Mkoa Makonda ni Mwanasiasa mwenye akili sana na mwadilifu, atakuwa Rais wa Tanzania soon..

  • @eliaorgenes676
    @eliaorgenes676 9 днів тому

    Watanzania wana, penda kusikia story hata kama hazibadilishi maisha yao na utendaji. Ili mradi tu ifurahishe ziwe gumzo inatosha kwao.

  • @gm7045
    @gm7045 18 днів тому

    Mku wa mkowa uchunguze vizuri huo mkuu wa wilaya hastahili kuwa kiongozi
    Mwenye alinunua kitambo ni haki yake
    Mwe kipwa pesa ndie anajua mwenye kununua shamba hilo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 19 днів тому

    Kwani kanisa linajengwa kwa sadaka au nikama kiwanda tu mtu anaanzisha kwa malengo kama uwekezaji ?

  • @gilbertalkado8105
    @gilbertalkado8105 16 днів тому

    Hakika uumwadilifu na Mungu akupe siku nyingi ktk USO wa nchi hii yenye Maskini wenye,njaa kiu baridi nabila msaada Toka kwa watangulizi wako wewe,ni,chakula,maji,na joto kwa baridi,Yao wasaidie maskini hao kesho watakupandisha Keene Mnara mrefu na kua mkuu,wao hata ukamilifu wa hitaji lao

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 21 день тому +3

    😂😂😂 sikiliza basii😂😂😂😂😂

  • @stellalumenyera8324
    @stellalumenyera8324 11 днів тому

    Mkuu wa wilaya mbona anaonyesha kupendelea upande mmoja

  • @user-kd5xr4ii4q
    @user-kd5xr4ii4q 20 днів тому

    Wachungaji wengi siku hizi wanajichanganya mara huku mara Kule hawana msimamo utafikiri wanasiasa huyu Yesu awezaji kukuweka mahali ukahama hama hata wale walioko nje ya imani hii ukiwaeleza habari njema za Yesu Hakuna ushuhuda Kwa migogoro ya wachungaji

  • @HashimKihunga
    @HashimKihunga 21 день тому

    Makonda umehukumu ipasavyo,ila huyo mchungaji anaonekana ni mjanjamjanja anataka jengo na mali za taasisi ili ziwe zake

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 20 днів тому

    Hapo wanagombea matumbo yao tu. ; Sikuhizi kumpata mkweli NI kazi kweli kweli ( Njala mbaya)

  • @jenipharraphael8312
    @jenipharraphael8312 12 днів тому

    Kweli jaman

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 21 день тому +4

    Mkuu wa wilaya uko sahihi kabisa

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 16 днів тому

    hatimaye wananchi wamepata Tena matatuzi wa matatizo Yao hakika makonda ndiye mrithi wa magufuli

  • @NasriMohammed-yw7lp
    @NasriMohammed-yw7lp 21 день тому +2

    Wafike hapa tafadhari

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jd 15 днів тому

    Arusha siwaelewi hv...!

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 днів тому

    Wachungaji.da aibu kama.mwenzao kakusanya kondoo wangemuacha.tu wachungaji mashetan yasiwashinde

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440 19 днів тому

    Karibu mara Kuna madudu utusaidiae kunyasha watu watu wamejisahau wakupe uhamisho

  • @ObediMwakapiki-yv7kf
    @ObediMwakapiki-yv7kf 17 днів тому

    MUNGU hadhihakiwi injili lazima isonge mbele

  • @BarakaElias-uw4ft
    @BarakaElias-uw4ft 14 днів тому

    Watu hawataki kuachia wengine nafasi kisa ulaji tu hatari sana

  • @privaushaki7395
    @privaushaki7395 17 днів тому

    Kwa kweli Arusha imepata baba

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 18 днів тому

    Wapi mtumishi wa Mungu anastafu wakina mathoyo adi wamezeeka acha maneno eti amestafu

  • @DaheerK
    @DaheerK 21 день тому +3

    Mkuu wa wilaya haibu tupu makoti muvae mkiwa waungwana siyo matapeli wa akili zawatu yan huyu mkuu wa wilaya awez ata kuongea😂😂

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 днів тому

    Makonda.anatakiwa awe waziri.wa nchi.ni.daniel huyu.apande cheo tanzania

  • @SurprisedCricket-gh4hj
    @SurprisedCricket-gh4hj 21 день тому

    Uyu makonda namwona kesho yake ni mzr zaidi kiungozi na atakua mkubwa km sio namba 1 basi namba 3 inamuhusu

  • @GodlistenYona
    @GodlistenYona 17 днів тому

    Kweli babu unajua kutengeneza maokoto

  • @noelmusa3502
    @noelmusa3502 19 днів тому

    Makonda kweli ni kiongoz

  • @FarajaMwakawanga
    @FarajaMwakawanga 8 днів тому

    Hakika hekima iliyopo ndani yako ni kubwa mno. Mh makonda.