BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2024

КОМЕНТАРІ • 56

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 27 днів тому

    Hongera sanaaa makonda Kwa kazi nzuri 🌹🌹🌹kazi iendelee

  • @user-kr8uw1co7v
    @user-kr8uw1co7v 5 місяців тому +3

    Mama Samia naomba muongezee ulinzi makonda kazi yake nzuri

  • @user-ux6bp6nq5v
    @user-ux6bp6nq5v 6 місяців тому +2

    Mijambanzi mikubwa iyo kazi kula hela za wananch wape kamba ngoz baba makonda mungu akupemiaka mia nane isikuuwe minguliwe iyo ht chunya wapo wengi tu baba ailove u poo ulishushwa baba

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 5 місяців тому +2

    Uthaminishaji wa 2016 tunautaka kahawa ilishakauka mnatuambia umerudiwa kwa kilichopo shambani mnatudhulumu lipeni hela zetu wanyonge

  • @user-cm3ju5dx5r
    @user-cm3ju5dx5r 6 місяців тому +3

    Wanyooshe Makonda

  • @stephanochaula4356
    @stephanochaula4356 5 місяців тому +1

    Cheki msela kajaa kitambi tu cha dhuluma dah noma sana

  • @edisonemmanuel-po6ds
    @edisonemmanuel-po6ds 5 місяців тому +2

    Kwa MAKONDA mtakoma tu

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 6 місяців тому +3

    Huyu ni mevi wa pombeni haelewi kinachongeleka😅😅😅 mimi bado sijamuelewa anababaika😂😂😂😂😂 pombe zipo kichwani

  • @user-kl9vo6xh6u
    @user-kl9vo6xh6u 5 місяців тому +1

    Pongezi makonda sijui Kenya itafanya kama ww wananchi wanateseka

  • @edisonemmanuel-po6ds
    @edisonemmanuel-po6ds 5 місяців тому +2

    Jamaa kashayakanyaga huyu

  • @edisonemmanuel-po6ds
    @edisonemmanuel-po6ds 5 місяців тому +1

    Safiii sana MAKONDA

  • @rendiman2878
    @rendiman2878 6 місяців тому +3

    Ona hayo mafisiem yalivyokuwa na vitambi, Kazi yao kuiba na kula kila hela ya mradi wa maendeleo

  • @AnangisyeMbughi-xw4ky
    @AnangisyeMbughi-xw4ky 6 місяців тому +1

    Uwenao katibu mwenezi,viongozi wengi wanaingiza siasa mpaKa kwenye maisha ya watu.mbane tuu aeleze vizuri.

  • @cfagburundi3823
    @cfagburundi3823 2 місяці тому

    Mikutano yamakondo tunaifata kwaukaribu na mungu amuwezeshe nikazi kubwa ya kujiripuwa Kama kiongozi

  • @user-kl9vo6xh6u
    @user-kl9vo6xh6u 5 місяців тому +2

    Ulinzi uongezwe

  • @nassoromajaliwa1506
    @nassoromajaliwa1506 5 місяців тому +1

    Rais Samia makonda analindwa namungu,ilanakuomba ukiwa Rais wetu muongezee ulinzi makonda anafanya makubwa,nawananchi tunatakahivyo,utatuziwamambo nihapokwahapo

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 6 місяців тому +2

    Wizara ya pesa inapokea vitu vya aina hiyo vingi shida inaonekana ufatiliaji ndio shida

  • @cfagburundi3823
    @cfagburundi3823 2 місяці тому +1

    Kwanini mtu anaye tumikiya wanainchi hawampendi? Kama makondo wanayopenda inchi wanamsaidiya Tanzania itakuwa juu Sana zaidi yayangingine mataifa

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 6 місяців тому +3

    Magu huyu kaludi mambo ni oya oya

  • @user-rt4nr7wk9k
    @user-rt4nr7wk9k 4 місяці тому +1

    Hatuna viongozi tunawapigaji

  • @user-dl1bi2sg3v
    @user-dl1bi2sg3v 5 місяців тому +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-ot8fp5pu9g
    @user-ot8fp5pu9g 5 місяців тому +1

    Nimecheka sana😂😂😂😂

  • @user-bi2wy7zf6o
    @user-bi2wy7zf6o 5 місяців тому

    We need this guy in Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 місяців тому +1

    Yaani Hawa watendaji wa chini wanatuumiza sana sisi wananchi wa kawaida, ardhi kwa wananchi mnachukua wenyewe lakini baadae mwananchi anakuwa mtumwa kwenye nchi yake.

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 5 місяців тому +1

    Makonda unafaa kaka chapa kazi acha baadhi waseme eti wewe sio unawenza sana

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr Місяць тому

    Nani ameskia mweshimiwa mneki 😂😂😂😂😂

  • @user-to3uq1ct6d
    @user-to3uq1ct6d 6 місяців тому +1

    Aaaaaaah makonda unawapa moto viongozi

  • @stephanochaula4356
    @stephanochaula4356 5 місяців тому

    Respect

  • @user-vt1dx7gr2j
    @user-vt1dx7gr2j 29 днів тому

    Huyo mkurugezi amepiga kenvannt

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 6 місяців тому +1

    Waajiriwa wote wa Serikali wanavitambi Wanawake kwa Wanaume Nchi zote mitaani shida moja kwa nyingine sababu ya ukosefu wa kutoka kwa waliochachaguliwa

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 26 днів тому

    😂😂😂😂 hatar kwel

  • @DanfordMhaiki
    @DanfordMhaiki 23 дні тому

    Uwongo mbaya makonda ana pendwa

  • @shedrackjacob6038
    @shedrackjacob6038 6 місяців тому +1

    Apewe form ya urais pia ulinzi hautosh kwake anahatarisha masisha yake

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j 5 місяців тому +1

    😂😂😂

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 6 місяців тому

    Mh Mwenezi utauaaaaaaaaaaa😂

  • @uraiatv8455
    @uraiatv8455 6 місяців тому +3

    Hivi vyeo watu wanavipataje?

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 5 місяців тому

    Mheshimiwa mheshimiwa hiyo hatuitaki uoga tu huo.

  • @DitlharengObakeng
    @DitlharengObakeng Місяць тому

    Matapelihawa dowanafaka mwanaichi wanaadama niwakufugwatu

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 місяців тому

    Tathmni 2016 watu hawajalipwa fidia mpaka Leo huku kigoma tujiandae kisaikolijia wahanga wa uwanja wa ndege kigoma tuliofanyiwa tathmni mwaka Jana.

  • @qaasimunzunda9495
    @qaasimunzunda9495 6 місяців тому

    Moto huooooo!

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 5 місяців тому

    Kama kweli makonda umetumwa tunmtaka aliyekutuma afanye maamuzi sahihi.

  • @user-cx1ul2tl3s
    @user-cx1ul2tl3s 5 місяців тому

    😅😅

  • @cfagburundi3823
    @cfagburundi3823 2 місяці тому

    Ukuwa narogo mbaya nainchi yako unatarajiya Nani atapenda inchi yenu,,tunafata kwaukaribu mukutano yama kondo

  • @magutadickson6900
    @magutadickson6900 6 місяців тому

    Meneja ana maana uyo

  • @stephanochaula4356
    @stephanochaula4356 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @brunochoga4932
    @brunochoga4932 6 місяців тому +1

    Makond utaua. Watu

  • @thomasadriano4191
    @thomasadriano4191 6 місяців тому

    😅

  • @user-ru3pg5vr7w
    @user-ru3pg5vr7w 6 місяців тому +1

    Daaa kamchanganya sana

  • @eliasmwankenja4223
    @eliasmwankenja4223 5 місяців тому

    makonda ache komedy anaelewa kila kitu kuhusu fidia ya hao watu , kwanini anakataa kumruhusu naibu waziri atoe ufafanuzi?

  • @monerexshowz5200
    @monerexshowz5200 6 місяців тому

    Safi sana watumishi wazembe sana

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 6 місяців тому +2

    Kayakanyaga

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 6 місяців тому +1

      Majizi hayo kila siku yanakula pesa za wanyonge

  • @user-us7pt4pk6j
    @user-us7pt4pk6j 5 місяців тому

    😂😂