Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi. Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya. It hurts 😢
Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana. Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu. Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini. Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa. Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.
Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet
Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN
Aamin
@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢
Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa
Yaenda kuungua
Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
Aamin
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
Alhamdullah
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
Asante
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
Poleni sana ndugu zetu
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
Amen
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
Exactly
Anyongwe akikamatwa
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon
Kabisaa
Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele.
Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli
Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
Umeona eh hata hawajali kabisa
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
Uongozi ni mzigo
@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
Dah mweshimiwa mungu akulinde
I lo❤ve you Makonda
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi.
Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya.
It hurts 😢
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana.
Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu.
Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini.
Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa.
Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
Makonda l love you very much Mungu akubariki
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
Mungu ampe maisha marefu
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
Mungu akulinde
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua
Huyu ni Rais mtarajiwa mtetezi wawanyonge🙏
Sahau
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.
Huyu atakuwa Rais wajamuhuri ya Muungano wa Tanzania nimeota ndoto mara 3 Ile Ile Naimani itatimia 🙏
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.
Anacho kufanya Makonda kinatakiwa kuigwa naviongozi Kwa kusikiliza kero za watu
Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo
Dah yan nimetika machozi najivunia kuw muislam makanda aijajua din yako lakin allah akulinde sana maana ni vita na maadui hongera sana broo
Sasa uislam unefikaje hapa??
@@Umuhili_NgendoNashangaa
Hapa ndo mahali nawadharau Waislamu mnakuaga na mawenge Yan kila kitu mnaweka udini mbelee
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
Mungu akulinde makonda
So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable
Ubarikiwe sana
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
I hurt deeply for the little one.
May justice prevail in Jesus Name
Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤
Oooohhh nimeumia jamani hivi kweli mahakama kama hiyo imechunguza au wamekura rushwa
Nihatari sana tanzania
Jamani
My leader makonda Mungu akusimamie
Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.
Pole bibi 😭 the world is so cruel wallah
Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.
Wanyonge wanaumizwa Sana nchi hii! Hongera RC
Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA.
MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI.
SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K
Tuwe na Imani vijana tusiaribu vizazi vipya ni taifa la kesho
Kweli kabisa watoto wa nini jamani majidada mengi sana Yana taka miguu ya bandia hata bure watoto wa nini
Watz mko nawa tetezi sio kma kwetu Kenya aki😢😢😢
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️