MTOTO ALIYE BAKWA AMLIZA RC MAKONDA "KANIAMBIYA ATANIUA NIKISEMA""AKAMATWE LEO APELEKWE MAHAKAMANI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • #AdilTV

КОМЕНТАРІ • 526

  • @JenniferJohnmshi
    @JenniferJohnmshi 9 днів тому +44

    Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert475 11 днів тому +107

    Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 9 днів тому +5

      Aamin

    • @innocentinyasi9198
      @innocentinyasi9198 9 днів тому +4

      ​@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢

    • @Walesi-e4v
      @Walesi-e4v 8 днів тому +3

      Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa

    • @Walesi-e4v
      @Walesi-e4v 8 днів тому +2

      Yaenda kuungua

    • @FaudhiaAbrahaman
      @FaudhiaAbrahaman 7 днів тому +2

      Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 13 днів тому +57

    Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi7435 13 днів тому +44

    I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf 12 днів тому +62

    Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.

  • @TwahaMaziku
    @TwahaMaziku 13 днів тому +30

    Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 9 днів тому

      uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu

  • @relaxstarman981
    @relaxstarman981 11 днів тому +28

    KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉

    • @gloriamagoma5583
      @gloriamagoma5583 9 днів тому +5

      Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....

    • @melinawilson1383
      @melinawilson1383 3 дні тому +1

      Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina9599 12 днів тому +43

    Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda

    • @allykagawa
      @allykagawa 12 днів тому +2

      Poleni sana ndugu zetu

    • @PrincessNechi
      @PrincessNechi 10 днів тому +5

      Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 9 днів тому

      Amen

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 9 днів тому

      Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 9 днів тому

      Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 13 днів тому +34

    Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother

  • @user-xt7ue1jo9x
    @user-xt7ue1jo9x 13 днів тому +88

    Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 9 днів тому +3

      Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,

    • @amanihenry7981
      @amanihenry7981 9 днів тому +1

      Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 9 днів тому +2

      😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa

    • @esterlucassolah8823
      @esterlucassolah8823 9 днів тому

      Exactly

    • @user-ns4oj9cw1j
      @user-ns4oj9cw1j 9 днів тому

      Anyongwe akikamatwa

  • @user-vg7gh6df9w
    @user-vg7gh6df9w 14 днів тому +12

    Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako

  • @muhammadmpahi338
    @muhammadmpahi338 12 днів тому +19

    Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi

    • @user-rt8ox1ht1m
      @user-rt8ox1ht1m 9 днів тому +1

      Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon

    • @mamymoria4267
      @mamymoria4267 7 днів тому

      Kabisaa

  • @atuswegemposi1668
    @atuswegemposi1668 10 днів тому +14

    Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe6965 10 днів тому +9

    Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa

  • @MannesamEmmah
    @MannesamEmmah 9 днів тому +8

    Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake

  • @hassanalshaqsi6707
    @hassanalshaqsi6707 13 днів тому +22

    Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 12 днів тому +20

    Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.

    • @neymantz
      @neymantz 8 днів тому

      Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly3379 9 днів тому +8

    mahakimu wote kukumamee zenuuu....

  • @Ramakhanmalone-lz3qw
    @Ramakhanmalone-lz3qw 7 днів тому +4

    nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.

  • @reginamushi
    @reginamushi 4 дні тому +2

    Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤

  • @annamtapila5761
    @annamtapila5761 12 днів тому +5

    😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele.
    Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 13 днів тому +12

    Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿

  • @EdithaNnko-fm6ph
    @EdithaNnko-fm6ph 7 днів тому +3

    Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa

  • @marryjames-wl7be
    @marryjames-wl7be 6 днів тому +3

    Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo761 11 днів тому +15

    Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et 9 днів тому +4

    Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢

  • @MariamJames-b5x
    @MariamJames-b5x 12 днів тому +12

    Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana

  • @frankokenyamtumewaneema9179
    @frankokenyamtumewaneema9179 5 днів тому +3

    Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗

  • @maniriyoali8675
    @maniriyoali8675 13 днів тому +7

    Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli
    Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 13 днів тому

      Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?

    • @yasirfaisal9723
      @yasirfaisal9723 13 днів тому

      Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha 8 днів тому +2

    Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen

  • @SixbertDamo
    @SixbertDamo 12 днів тому +8

    Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,

  • @KitalambaMwinyimvuwa
    @KitalambaMwinyimvuwa 8 днів тому +3

    yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 7 днів тому

      Umeona eh hata hawajali kabisa

  • @philipinamboya2204
    @philipinamboya2204 11 днів тому +6

    Mungu mlinde muheshimiwa makonda

  • @RuckieDady-gk3ph
    @RuckieDady-gk3ph 10 днів тому +5

    Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 12 днів тому +4

    Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina

  • @lucynkonya8709
    @lucynkonya8709 8 днів тому +1

    Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.

  • @danieljosephodada3195
    @danieljosephodada3195 День тому

    Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii

  • @HelmanDaud
    @HelmanDaud 12 днів тому +5

    Dah mweshimiwa mungu akulinde

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 13 днів тому +15

    I lo❤ve you Makonda

  • @KatabaroCleophace
    @KatabaroCleophace 12 днів тому +4

    Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 12 днів тому +6

    MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.

  • @JacksonEstomi
    @JacksonEstomi 8 днів тому +3

    Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala

  • @mpokimwakisimba692
    @mpokimwakisimba692 6 днів тому +2

    Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi

  • @MerryUrio
    @MerryUrio 11 днів тому +8

    Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde

  • @mpelienock
    @mpelienock 4 дні тому

    Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi.
    Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya.
    It hurts 😢

  • @user-yc1ef1mp3s
    @user-yc1ef1mp3s 11 днів тому +4

    Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd 5 днів тому

    Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia

  • @goodluckjohnuiso-gt1fg
    @goodluckjohnuiso-gt1fg 13 днів тому +5

    Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo

    • @dickymediapro4179
      @dickymediapro4179 12 днів тому

      Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo

  • @SamwellubigisaLubigisa
    @SamwellubigisaLubigisa 10 днів тому +2

    Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana

  • @teresiatemu4459
    @teresiatemu4459 6 днів тому +1

    Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana

  • @GetrudesharifuMsuya
    @GetrudesharifuMsuya 7 днів тому +2

    Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢

  • @magrethelias8734
    @magrethelias8734 8 днів тому +1

    Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 4 дні тому

    Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana.
    Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu.
    Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini.
    Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa.
    Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.

  • @user-pe9cl1bc7h
    @user-pe9cl1bc7h 8 днів тому +3

    Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo

  • @rosemaryogallo4183
    @rosemaryogallo4183 6 днів тому +1

    Makonda l love you very much Mungu akubariki

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 8 днів тому +1

    Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora

  • @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
    @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww 8 днів тому +1

    Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi 7 днів тому +1

    Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania

  • @frankmaeda4284
    @frankmaeda4284 3 дні тому +1

    Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia

  • @paulinahussen9129
    @paulinahussen9129 8 днів тому +2

    Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 8 днів тому +3

    Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 8 днів тому

      Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu

  • @mohammedmakarani2802
    @mohammedmakarani2802 3 дні тому

    Nice one R c makonda mungu atakuongoza

  • @zulfajuma6894
    @zulfajuma6894 9 днів тому +2

    Mungu ampe maisha marefu

  • @EmmanuelMurula
    @EmmanuelMurula 9 днів тому +1

    Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika

  • @KefaHamisi-k7x
    @KefaHamisi-k7x 2 дні тому +1

    😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini

  • @samsonsanga4368
    @samsonsanga4368 11 днів тому

    Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.

  • @marthamwampamba7127
    @marthamwampamba7127 2 дні тому +1

    Mungu akulinde

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 14 днів тому +4

    Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....

  • @lilianevelyn6977
    @lilianevelyn6977 День тому

    Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua

  • @judithkahise6451
    @judithkahise6451 8 днів тому +1

    Huyu ni Rais mtarajiwa mtetezi wawanyonge🙏

  • @z-1il
    @z-1il 2 дні тому

    Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia

  • @YefthaKornelio
    @YefthaKornelio 12 днів тому +3

    Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu

  • @walterkiage6113
    @walterkiage6113 9 днів тому +1

    Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar9316 4 дні тому

    Huyu atakuwa Rais wajamuhuri ya Muungano wa Tanzania nimeota ndoto mara 3 Ile Ile Naimani itatimia 🙏

  • @ScolaMwansasu
    @ScolaMwansasu 9 днів тому +1

    Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 дні тому

    Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.

  • @godlovechaula7635
    @godlovechaula7635 9 днів тому +1

    Anacho kufanya Makonda kinatakiwa kuigwa naviongozi Kwa kusikiliza kero za watu

  • @neemanjau8648
    @neemanjau8648 11 днів тому +1

    Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo

  • @NewMarathon
    @NewMarathon 12 днів тому +2

    Dah yan nimetika machozi najivunia kuw muislam makanda aijajua din yako lakin allah akulinde sana maana ni vita na maadui hongera sana broo

    • @Umuhili_Ngendo
      @Umuhili_Ngendo 11 днів тому

      Sasa uislam unefikaje hapa??

    • @theopistachialo6750
      @theopistachialo6750 11 днів тому

      ​@@Umuhili_NgendoNashangaa

    • @JULIUSNCHAGWA
      @JULIUSNCHAGWA 10 днів тому +1

      Hapa ndo mahali nawadharau Waislamu mnakuaga na mawenge Yan kila kitu mnaweka udini mbelee

  • @FrankPhilimon-e3n
    @FrankPhilimon-e3n 4 дні тому

    Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda

  • @TynerGodfrey
    @TynerGodfrey 10 днів тому +1

    Mungu akulinde makonda

  • @EduLimika
    @EduLimika 7 днів тому +1

    So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable

  • @MiliyaMhehe
    @MiliyaMhehe 9 днів тому +2

    Ubarikiwe sana

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 13 днів тому +2

    Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto

  • @anointedhandmaiden5261
    @anointedhandmaiden5261 11 днів тому

    I hurt deeply for the little one.
    May justice prevail in Jesus Name

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 13 днів тому +5

    Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤

  • @JeannetteUwamwezi
    @JeannetteUwamwezi 8 днів тому +1

    Oooohhh nimeumia jamani hivi kweli mahakama kama hiyo imechunguza au wamekura rushwa

  • @omariselemani6578
    @omariselemani6578 14 днів тому +3

    Nihatari sana tanzania
    Jamani

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 11 днів тому

    My leader makonda Mungu akusimamie

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 4 дні тому

    Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 8 днів тому +1

    Pole bibi 😭 the world is so cruel wallah

  • @AlexJackson-ig2yd
    @AlexJackson-ig2yd 5 днів тому

    Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 11 днів тому +3

    Wanyonge wanaumizwa Sana nchi hii! Hongera RC

  • @user-ct1lf6ox4t
    @user-ct1lf6ox4t 8 днів тому

    Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa

  • @RooneyKonga-qd4oo
    @RooneyKonga-qd4oo День тому

    Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 12 днів тому +1

    MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA.
    MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI.
    SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.

  • @Asha-yn4bu
    @Asha-yn4bu 6 днів тому

    Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K

  • @CastoSungununu
    @CastoSungununu 10 днів тому +4

    Tuwe na Imani vijana tusiaribu vizazi vipya ni taifa la kesho

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 8 днів тому

      Kweli kabisa watoto wa nini jamani majidada mengi sana Yana taka miguu ya bandia hata bure watoto wa nini

  • @user-wp2dc3dr3w
    @user-wp2dc3dr3w 9 днів тому +1

    Watz mko nawa tetezi sio kma kwetu Kenya aki😢😢😢

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 7 днів тому +1

    Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️