Dada hongera kwa moyo wako wa upendo na uvumilivu Mwenyezi Mungu akuzidishie moyo huo chonde chonde usije ukamuacha au kumtesa mwenzio nakuomba sana dada 🙏🏻😢
Dah! dada wa watu masikinj, hili ni jaribu kubwa san na kuna miamba wanaweza kutumia huu mwanya kumhadaa huyu dada. Mungu amsaidie tu asije akabadilika🙏
Jamani kweli Duncan kuna mitiani Mungu wa mbiguni awatie nguvu vijana wetu na familia nzima Ila Mungu yupo aliyefanya unyama huu mkono wa Mungu utashghulika naye
Mdada nakutamkia mafanikio kama utamvumilia mmeo mkaishi naamini ipo SIKU MOJA uchumi wako utasimama na endeleeni kuzaa usimdharau HUYU kaka ukimpuudha utakuwa na mwisho mmbaya kuliko unavyodhani!! Natamka kwa IMANI hai MUNGU MWENYEWE asikie na atende ipasavyo, AMEN
Mwanamke mrembo sana. Au kuna mtu alimtongoza huyu dada akagoma. Wakaona wamfanyie umafia. Mh! Nahisi tu. Maana ukiwa na mwanamke mrembo na wewe maskini mh! Kwenye bible kuna jamaa alishaona uzuri wa mkewe utamfanya afe. Akaamua kumwambia mkewe wewe nitakuita dada. Haya mambo haya. Mungu tusaidie
pole sana dada yangu kwa mtiani uliopewa mlee mmeo mungu atakulipa usithubutu kumuacha ayo yote kapanga mungu yeye ndio mtoaji wa yote iwe fraha au kilio usababishwa na yeye.
Hakuna kitu uyo dada ni binadam ana moyo ,labda apate msaada wa kweli na wa uhakika lasivyo ndugu wa mwanaume kazi ipo , ((Allaa Kariim))huo mtihani ni mkubwa,, sana, ktk hii dunia isijifanye mwamba kwa mambo ya watu ,,utaumizwa huyo lazima alijifanya mwamba
Uyu mtu aliyefany hivyo jaman roh ya kinyam hay machoz ya hiy famili ipo sik yatajijib kweny familia zenu pole dada ni mitian tyu ya dunia kikubw awakumuuwa atakaa sw tyu
Mdada mzuri mashaalah,moyo wako huo usimuache mwenzio labda kifo kiwatenge
Dada hongera kwa moyo wako wa upendo na uvumilivu Mwenyezi Mungu akuzidishie moyo huo chonde chonde usije ukamuacha au kumtesa mwenzio nakuomba sana dada 🙏🏻😢
Dah! dada wa watu masikinj, hili ni jaribu kubwa san na kuna miamba wanaweza kutumia huu mwanya kumhadaa huyu dada. Mungu amsaidie tu asije akabadilika🙏
Jamani kweli Duncan kuna mitiani
Mungu wa mbiguni awatie nguvu vijana wetu na familia nzima
Ila Mungu yupo aliyefanya unyama huu mkono wa Mungu utashghulika naye
Dada yangu naomba uwe na msimamo usisikilize mashoga wabaya tulia mungu atakujalia
mashaAllah anamke mzurii Allah akupe hio moyo y kuendelea kumpenda Lucca's
Mungu akutie nguvu na uckubali shetani apenye kwenye ndoa yko ayo ni majaribu lkn ukiamini Mungu utashinda ameen
Pole sana shemej yetu mungu atakulinda na endelea kuonesha upendo usikubal wanazengo wakuachanisho inshaallah
Watu wanaroo ngumu sana pikipiki unamfanyia unyama kama huu poleni sana mungu ATAWABALIKI Ameen 😢😢😢
Pole mpendwa,yesu kristo ni bwana na katikt ya hili jaribu ipo sauti ya Mungu inaongea, Mungu yupo upande wenu Kila kitu kutakuwa sawa
Mashallah mke mzuri sana ,mudumie mumeo DDA usimuache huo ndoupendo wathati.
Mdada nakutamkia mafanikio kama utamvumilia mmeo mkaishi naamini ipo SIKU MOJA uchumi wako utasimama na endeleeni kuzaa usimdharau HUYU kaka ukimpuudha utakuwa na mwisho mmbaya kuliko unavyodhani!! Natamka kwa IMANI hai MUNGU MWENYEWE asikie na atende ipasavyo, AMEN
dah poresana mudogo wangu mungu akutakurie uweze kumutunza mumeo
Mwanamke mrembo sana. Au kuna mtu alimtongoza huyu dada akagoma. Wakaona wamfanyie umafia. Mh! Nahisi tu. Maana ukiwa na mwanamke mrembo na wewe maskini mh! Kwenye bible kuna jamaa alishaona uzuri wa mkewe utamfanya afe. Akaamua kumwambia mkewe wewe nitakuita dada. Haya mambo haya. Mungu tusaidie
Wew dada usije uka mtoroka huyu kijana nakuomba maisha yako yata haribika
Mungu awatie nguvu na nawaomba watanzania wenzangu kusaidia familia ya bodaboda huyu
Jamani binaadam wabaya kweli kumfanya mwenzao hivyo ila mungu mwema ❤
We dada Siku ukimkimbia huyu kaka ndo maisha yako yataharibika forever
Saana
Munguyupo tusiwehivojamani kwani shidann dadampendemumeo munguatawatanguriadaima amin
pole sana dada yangu kwa mtiani uliopewa mlee mmeo mungu atakulipa usithubutu kumuacha ayo yote kapanga mungu yeye ndio mtoaji wa yote iwe fraha au kilio usababishwa na yeye.
Mumeo ni mlemavu wa miguu na mikono, lakin yale mengine (uwanja wa seremela) yuko njema..hapo hamna kumkimbia
Jaman maneno gan haya tena
@@janelunanilo162 ndo uwezo wake wa kufikiri ulipoishia
pole xana dada mungu akutie nguvu
Naomba usije mtenga mwenzio hujafa hujaumbika mungu awatie nguvu
O vosso futuro seja eterno, Deus no comando. Rápidas melhoras LUCAS
Huyu dada namwangalia tu ila navyoona huko mbeleni atajiongeza apite hivi
😂
Pita kuleee😂😂 Mungu amuwezeshe uyo kaka apate biashara ili ajikimu
Kabisa wara huja kosea
Yataka moyo mkubwa sana mwanangu mungu atakusaudia
Poleni sana Mungu awasaidie awatie nguvu
Mkewe mzuri
Mwenyez Mungu awalinde waishisalama wasitengane
Ukafa ujaumbika aisee Mungu atupe mwisho mwema
Jaman pole san dada mung akutie nguv
Pole mwanamke mwenzangu Mungu akupe moyo mkuu
Hakuna kitu uyo dada ni binadam ana moyo ,labda apate msaada wa kweli na wa uhakika lasivyo ndugu wa mwanaume kazi ipo , ((Allaa Kariim))huo mtihani ni mkubwa,, sana, ktk hii dunia isijifanye mwamba kwa mambo ya watu ,,utaumizwa huyo lazima alijifanya mwamba
Pole San kaka angu mung akufungurie Barak na afya njema
Dada mungu awahangazie muwena afya njema mubarkiwe
Pole sana. MUNGU akutie nguvu
Dada mzuri mungu awasaidie jmn
Dada usimahe huyu kaka mungu atakulinda
Mungu yupo atakusaidia mwanangu
Dar jaman mungu awafanyie wepes sana🙏🙏🙏
Dash pole aisee usimdharau kwa majanga alionao mungo atawazidishia
Pole sana dada mungu yuko nawewe
Yesu kristo Mtunze
Mwenyezi mungu akijaalie we dada awape umri mrefu
Dada angu usujalibu kumuacha uyo kaka iyo. Yote nimipango yamungu uwe na uvumilivu
Dada mzur ❤
Naomba namba za huyo dada. Ni mjengeee na yeye
Naomba namb nichangie had roho imeniuma
Namba mbna zpo mwanzo wa video
Polesana kijana mwenzangu
Dada asha nawaombea kwa Mungu hasa wewe siku 1 ukamilike kuwa malkia wa nguvu og.maana teyari umeanza kunyang'anyilo hicho.
Pole sana mdogo wangu
Wowowow kazuri kweli wife Yetu🎉Hongera ww ni mwanamke na nusu😢
Mungu awahukumu waliofanya hicho kitendo
Mungu akufanyie wepesi
Mungu atawasaidia poren sana
WEKENI SIMU YAKE TUWESE KUMSAIDIA NA FIDIA
Huyu dada ana moyo wanawake wengine kwenye hali hiyo ya mumewe anamtosa anakimbia
Bado muda hatujui pengine nae anaweza akabadilika baadae
Mungu ampe nguvu
Dah!!!!!!!! Jaman hii dunia😭😭😭😭😭
Subhannallah
Pole Sana Lucas
Watu wanaroho mbaya 😢
Poleni saana
Number Za simu zao
Mh we mungu
Mbn mimi sikutani na mwanamke kama huyu mungu dah
Pole dada
Poleni
😢
😭😭😭😭
dada usimsaliti mwenzako
Jaman we dada usije ukamkimbia huyo kaka
Daaa haya maisha tulipo fukia ni shida
Mung akupe moyo wa xubla
pole sana broo
Hakiya mungu huyu bibie atakimbia
Uyu mtu aliyefany hivyo jaman roh ya kinyam hay machoz ya hiy famili ipo sik yatajijib kweny familia zenu pole dada ni mitian tyu ya dunia kikubw awakumuuwa atakaa sw tyu
Hawaja owana hao sio mkewe nakwawanawake wa bara atamkimbia tu
Ata akimkimbia mpaka apo kumuuguza sio jambo dogo
4:32
Poresana
Lkn hili tukio ni lazamini mbona!
Ndio maana umeambiwa hakupata bahati ya kuongea na mke wake
Mungu wangu tuokoe
Wich;; is wich
Bad people biting that man 😢😢😢😢
@@HalimaMuhammadsalimHalimaMuhammswahili huyo
@@africa7479 😂😂😂
We mdda bado Binti mdgo Fanya kazi mume ndio kashakuwa kilema we ndio ushike msukan hacha kujiregeza jikaze
Pole dada kwa kuuguza mungu akutie nguvu mrembo wewe kweli ni mke mwema barikiwa sana dada🙏
😢😢😢😢