Elfu20 ya Miaka 32 iliyopita kwasasa jua kuwa ni pesa ndefu,maana mwaka 1992 sipati picha Elfu20 ilikuwa na thamani gani,pia darasa la saba la miaka 32 iliyopita siyo sawa na ya kipindi hiki,hivyo muwe mnaandika vizuri vichwa vya habari zenu
Congratulations Big up!! Canning what you eat and eating what you can is "Wisdom from above"Few can understand!!The Benas from Njombe says"Che wililye che chako"Fya vene maganga"!!What you eat is yours,belongings of others are like stones!!Ulacho ndi ho chako,Hivyo vingine ni sawa na mawe au kokoto utaviacha tu!!!Uwe umeiba au ni halali vikizidi utaacha "Watakula wengine!!Toil&Sweat 4what you can eat!Vinginevyo utakula Kwa macho na kwa maskio!Great great ,Grave Penalty of life!!CIAO!!!
Aya mzeee kama uyo kingia bank ta mchukulia kama fala fulani shati ime jikunja jamani angalien sana wanao vaa vizr sio wenye pesa kimwangalia uyo boss apo tasema apana uyu fanyakaz lakin chek uyo jamaa alivo simple tu lakin lina pesa mpka safi mzeee wangu wengine wajifunze kupitia wewe🤗
Mshukuru mwenyezi mungu alikupa akili ya kutafuta pesa ungetafuta maisha ya watu ungekwama shida bin Adam wengi wanatafutana wanakumbuka maisha umri umepita
mkuna mjinga mmoja anatuhela twa kula chipsi basi yeye anatamba kila siku kujisifu yeye ni mpambanaji yeye ndie anaakili nyingi kuliko wengine na anawaita wenzake ni mbwa tu duhh aise haya maisha tu ona wenye hela zao wanavyoongea kwa hekima na busala. GODLOVE KAA KIMYA MAISHA HAYANA FOMULA.
Mwaka 2001 najifunza ufundi tunatengeneza gali zake zinaishia ilinga alikuwa bado kijana tena alikuwa mstaalabu sana uyu kiongozi kama bado na loo hile hile mungu azidi kumpa maisha nalefu
Nikwel kabisaaa anachosema nidhamu ya pesa nikitu kuhimu sana watu wanaanza nakidogo then wanatoboa wengi wanatembelea reli yaaan kama anapata laki tatu kwa mwez anatumia laki kwa mwez nyngne ana save ..tatizo sisi tunataka tufukuzane na vyote kwa wakati mmoja ule bata huku unaingiza pesa haziendan ...
Watu kama hawa ndio wapo real,na ata akiongelea pesa utamwelewa maana anazo,sio mtu anauza kitabu kinaitwa how to be a billionare,kwanini asikisome yeye awe billionaire??
Kwa akili yako nikwamba hii nchi ingekuwa na maskini watupu, mungu akishakupa tobo huwa hawapi wawili ni mmoja tu na huwa Kama miujiza kwa sabb kila ikifika jion kila mtu anaelekea kwake na akifika nyumban anafikiri la kwake sio kuwaza kwenda kunywa kima ww
Pigeni Kelele Lakini Utajili Wa Mtu Unamuonesha Mtu Na Mtu Atajua Kweli Uyu Tajili Lakini Inje Ya Apo Akuna Kama Taifa Likiwa Na TRA Wakichimbua Kama Wanavochimbua Kwenye Maduka Yenu Mtaani Itajulikana Kama Nyuma Ya Mtu Yuko Nani
Aheri uanze kupambana na umasikini kuliko kupambana na kuondoa ujinga ,,,kusomasana unapambana kuondoa ujinga ukishamaliza inabidi wiingie mtaani upambane na umasikini sasa mbinu huna na muda ushasonga unaanza kuajiliwa na mtu alieanza kupambana na umasikini
Namuomba alete mabasi kama ma 4 afungue ofisi ya kusafirisha mizigo kwenda Zambia mpaka Zimbabwe. Boss, leta ofisi Kariakoo mizigo ni mingi sana na mimi hapa nina uzoefu wa kazi kama hizo
@@mpepolucy5055 mdogo mdogo hila watu ap tz wanaela vbaya mno sasa bus 60, Rori 60 kwasiku anaingiza shingapi awa ndo mungu kawachilia balaka mpaka znamwagka nass tuombe mungu atuoneshe njia
Yuko vizuri sana nampongeza ila wawe wanasema ukweli yaliyopo nyuma ya pazia haya mambo ya nilianza na 20000 mara nilianza na kuuza mchele kilo kumi. Hebu tuambieni ukweli
Tajiri anaendesha makampuni makubwa anapata muda wa kushika cm kuangalia nani kamtafuta alafu kuna mtu dem wake anamwambia niko bize 😂 Bro tupigeni kazi asee
Hongera kwa kuinuliwa.lakini kwa sasa mabasi huduma ni mbovu wanapanga watu ndani ya basi, police wakiwashusha has ability wanatangulia kituo mbele wanapanda tena. Wafuatilie hilo njia ya dar na dodoma ni kero.
Kweli nidhamu na kazi tajiri anaongea vikubwa sana asante boss
Super Feo. Nilidhani ni Mwarabu 😂😂😂 Asante Sana Omary Msigwa
Mimi nilijua ni ya wachina ndivyo nilivyokuwa nasikia
😂😂😂 mkinga WA njombe huyo
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations sana Mzee Akili Mingiiii🎉🎉🎉🎉
Nidhamu
Juhudi
Nia
Upambaji
Dua...
Ungemuuliza mbona Kuna Feo na Selous kwenye Ofisi Moja!???😂😂😂😂😂
Xotenizake
Selous ni mbuga ya wanyama na hifadhi ya serikali ipo Songea
@@chrisekonga9092kuna kampuni ya mabasi songea inaitwa Selous na inamilikiwa na uyo super feo
Wale wachina vp
mr omary ma rol model much love from 🇺🇸
Elfu20 ya Miaka 32 iliyopita kwasasa jua kuwa ni pesa ndefu,maana mwaka 1992 sipati picha Elfu20 ilikuwa na thamani gani,pia darasa la saba la miaka 32 iliyopita siyo sawa na ya kipindi hiki,hivyo muwe mnaandika vizuri vichwa vya habari zenu
Mungu akupe maisha marefuu. Ya undelee na miradi yakoo
Ongera sana mtani wangu🎉🎉🎉
Hongera sanaaa kwa kazi na kufanikiwa, AKILI kubwa
Mzee yuko vzr sana ni.mcheshi sana
Wale wenye fikra mbovu eti elimu ni ufunguo wa maisha ,waseme Mungu ndiye mwenye kufungua maisha
True Kuna wengi
Mkuu badoo elimu n ufunguo utake usitakee babaaa
Hata km huna elimu ,utakula utavaa na utakunywa wapo wenye elimu wamechoka mbaya
@@HabibuUrasa hatusemei kuchokaa balii n kuwa utatumia tu io elimu yakoo bd hata km n ndg mkuu.. ili upate maisha bombaa.
Kuna watu hawajui kusoma wala kuandika lakini ni tajiri nafasi ya elimu haipo 👍👍😁😁😁😁😁😁
Mim nimeanza na shilingi elfu 50 kuku wa nyama nashkuru MUNGU nmefanikiwa kuwala wote
😁😁😁
Congratulations Big up!! Canning what you eat and eating what you can is "Wisdom from above"Few can understand!!The Benas from Njombe says"Che wililye che chako"Fya vene maganga"!!What you eat is yours,belongings of others are like stones!!Ulacho ndi ho chako,Hivyo vingine ni sawa na mawe au kokoto utaviacha tu!!!Uwe umeiba au ni halali vikizidi utaacha "Watakula wengine!!Toil&Sweat 4what you can eat!Vinginevyo utakula Kwa macho na kwa maskio!Great great ,Grave Penalty of life!!CIAO!!!
😂😂😂😂
Kweli hii nch Ina vijana wa hovyo 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ni hatariiii
Barikiwa sana, Asante sana,kwa ushuda huu,mimi nilianza na msingi wa elfu tano
Aya mzeee kama uyo kingia bank ta mchukulia kama fala fulani shati ime jikunja jamani angalien sana wanao vaa vizr sio wenye pesa kimwangalia uyo boss apo tasema apana uyu fanyakaz lakin chek uyo jamaa alivo simple tu lakin lina pesa mpka safi mzeee wangu wengine wajifunze kupitia wewe🤗
Hongera sana kwa juhudi na mafanikio ya biashara zako!
Mungu azidi kukulinda, na kuisimamia biashara yako nikweli usemalo ,nidhamu ni muhimu, Mungu awe nawe play for you uncle,,
❤❤❤ Masha Allah Masha Allah Tabarak Rahman... uyo ndie Allah ndie aliemuwezesha
20,000/= ya 1990 na ya Leo ni vitu viwili tofauti lakini nidhamu ya fedha na mipango imemfikisha hapo. Big up
Masha allah mungu akupe mwishomwema
Mshukuru mwenyezi mungu alikupa akili ya kutafuta pesa ungetafuta maisha ya watu ungekwama shida bin Adam wengi wanatafutana wanakumbuka maisha umri umepita
mkuna mjinga mmoja anatuhela twa kula chipsi basi yeye anatamba kila siku kujisifu yeye ni mpambanaji yeye ndie anaakili nyingi kuliko wengine na anawaita wenzake ni mbwa tu duhh aise haya maisha tu ona wenye hela zao wanavyoongea kwa hekima na busala. GODLOVE KAA KIMYA MAISHA HAYANA FOMULA.
Hongera sana Allah akubarik
Tutafute ela ana miaka 52 lkn ni kama ana miaka 30 ukiwa na hela hata mwendo unachange😊
Unachosema ni kweli boss,miska ya 80 wanafunzi walikuwa wanafauru wachache sana ,Ila MUNGU ni muweza maisha yanaendelea
Wow safi sana ❤ from Burundi 🇧🇮 🇲🇼 Napenda sana wajasilamali
Huyu mwaba nakumbuka aligombana na fundi wangu kisa mm daa Sito saau na ndiye aliye nipa ujeuli.❤🎉
Upo simpleeeeeeeee ..... Tz inakuombea naamini Ulindwe na Mungu
Halafu mtu analinga na digri na hata uwezo wa kumiliki bus moja Hana 😂
😂😂😂
Umeishiaa darasa la ngapi na unamabasi mangapi
Unasema basi hata kitanda tuu hana ana degree
Bora huyo sasa mwingne hiyo digree hana na pesa hana😃😃😃
Hongera sana,umeturahisishia sana usafiri watu wa Ruvuma.🎉
Naomba kazi mzee
Big up sana kwako mkuu.
Mwaka 2001 najifunza ufundi tunatengeneza gali zake zinaishia ilinga alikuwa bado kijana tena alikuwa mstaalabu sana uyu kiongozi kama bado na loo hile hile mungu azidi kumpa maisha nalefu
Tudanganyee baba, mi siezii amini alafu sijasikiliza mpaka mwishooo, wandugu pesa zina mambo mingii mp
Nikwel kabisaaa anachosema nidhamu ya pesa nikitu kuhimu sana watu wanaanza nakidogo then wanatoboa wengi wanatembelea reli yaaan kama anapata laki tatu kwa mwez anatumia laki kwa mwez nyngne ana save ..tatizo sisi tunataka tufukuzane na vyote kwa wakati mmoja ule bata huku unaingiza pesa haziendan ...
Hongera sana sana !
Kwani darasa la saba sio ELIMU?
Ni elimu kubwa sana kikubwa ni kupata elimu SAHIHI ya pesa
Safi sana Mzee Omari. Hongera sana Baba.
MUNGU Akupe UHAI saana Mzee ucyejidai...
Hongera sana Msigwa
Mtu siiiiiiiiiiiiiiiimple hana mambo mengi ndo kitu tulicho jaliwa sisi wakinga💪💪
Na uchawi umesahau 😂
msigwa ni Mpangwa
Siyo makinga huyu ni mbena acha kujitukuza na kabila lako la kikinga
Super feo express hongera sana mzee wetu
Ww humuoni kama Bado kijana hyo? Au unamuita mzee kwa sababu ya maokoto? Yote na yote nampongeza sana hyu mwamba super feo acha tuendelee kujitafuta.
Ubarikiwe baba
Acha zalau wew nizamu wakati sina hella
Darasa la saba huwa ndio watu wanaofanikiwa
😂
Watu kama hawa ndio wapo real,na ata akiongelea pesa utamwelewa maana anazo,sio mtu anauza kitabu kinaitwa how to be a billionare,kwanini asikisome yeye awe billionaire??
hongera sana namimi najua nitafika mbele ya hapo
Mungu akubariki kwa kutupa ushauri mzuri❤
Kutumainia elimu ili kuelimika au kushinda maisha ni kukosa ufahamu binafsi na kutomtumainia Mungu anaemwezesha nyuki kutengeneza asali
Very very simple
Hongera sana super frog
Kweli kaka yangu, Hongera sana sana inatia moyo
Hongera sana boss Mungu aendelee kukupa uwezo zaidi
Super feo nakubaliana na wewe ❤❤❤❤
Nakubar boss kama boss
Kitu napendea wabena hawana kuringa na madharau hongera sana msigwa
Salute kwa mtangazaji na Tajiri sababu mtangazaji anajua kuoji na Tajiri anajua kujibu vizuri Asanteni
Elimu=Kuelewa+Kusoma+Kuandika=Baraka za Mwenyenzi Mungu
Hongera sana mwamba
Aisee jamani uyo tajir mmmh 😢😢😢
Huyu mwaba nakumbuka aligombana na fundi wangu kisa mm daa Sito saau na ndiye aliye nipa ujeuli.
Mbona anasema tumewekeza,kwani ni Yeye na nani?
Kupata pesa halali ni kazi sana
Unamaanisha nini😢😂
Utachelewa kupata hera kaka ukiwa na izo fikra
Kwa akili yako nikwamba hii nchi ingekuwa na maskini watupu, mungu akishakupa tobo huwa hawapi wawili ni mmoja tu na huwa Kama miujiza kwa sabb kila ikifika jion kila mtu anaelekea kwake na akifika nyumban anafikiri la kwake sio kuwaza kwenda kunywa kima ww
@@agapemunyi2095😅😅😅😂😂😂😂
Kueni makini Sana 😊😊😊
Masha allah
Pigeni Kelele Lakini Utajili Wa Mtu Unamuonesha Mtu Na Mtu Atajua Kweli Uyu Tajili Lakini Inje Ya Apo Akuna Kama Taifa Likiwa Na TRA Wakichimbua Kama Wanavochimbua Kwenye Maduka Yenu Mtaani Itajulikana Kama Nyuma Ya Mtu Yuko Nani
Mmmhh wakinga ao semeni ukweli njia izo.
Angekua ni mama ungesikia malaya😂
PUNJE NOMA SANA, zikiisha tu mara bwaaa kila kitu kinaishia hapo. Hongera sana
Congrats chief
Duhh alafu basi zote scania ... Kweli kuna ma boss hapa tz
Safi sana mzee
Utajili hadiii uzeeke😂😂😂😂😂😂😂😂duuh
Sahihi
unazani hayo mabas na malori kayapata akiwa na 52? utajiri hajapata juzi
Mtangazaji hajui kuhoji.
Mzee superfeo amemuacha mbali sana
Masha'Allah
Hakuna mahusiano kat ya mafanikio na elim Ni kujituma t
mwenzetu anatenga hadi mda wa kuangalia simu sisi asa duhh??
HONGERA SANA , HII NI MFANO MZURI HAPA 👌🏼
Aheri uanze kupambana na umasikini kuliko kupambana na kuondoa ujinga ,,,kusomasana unapambana kuondoa ujinga ukishamaliza inabidi wiingie mtaani upambane na umasikini sasa mbinu huna na muda ushasonga unaanza kuajiliwa na mtu alieanza kupambana na umasikini
Mbena huyo hatar sana uvaaje wake kama Hana hela kabisa
Interesting 🤔
Huyu jamaa kaanza kitambo sana nakumbuka enzi ninasoma songea boys alikuwa na costa tu chache za mbeya.
Namuomba alete mabasi kama ma 4 afungue ofisi ya kusafirisha mizigo kwenda Zambia mpaka Zimbabwe. Boss, leta ofisi Kariakoo mizigo ni mingi sana na mimi hapa nina uzoefu wa kazi kama hizo
mwondoko tuu ulionao mzee wangu na unavoongea kwa tabasamu inaonesha jinsi ulivona heshima
😂😂alafu wengine mnakamata noti za mbao mbwembwe nyingi usharobaro mwingi sasa igeni kwa uyu mzee
Huyu mwmba gari zake kama sio zote basi nyingi ni SCANIA basi zenye bei kubwa kuliko basi zote hapa TZ
Watu wanaela jamani angalia ana bus kama 18 ss wengne ata pikipk inatutesa kuipata heeee mungu niinue namm niwasaidie wazazi wangu
tatizo kama saiz tuna baiskeli hatusalimii wazazi je hiyo boda itakuwaje ebu tuheshimu tulivyo navyo mungu atafungua njia
@@VenlandaKilasi labd kwako ss tunachokipata tunawasidia wazaz wetu na ww kama ndo una fonex usalii utakua unaujinga ndni mwako
😂😂😂@@JosephAdam-e9w
kasema bus kama 60 sio 18 na lory kama 60
@@mpepolucy5055 mdogo mdogo hila watu ap tz wanaela vbaya mno sasa bus 60, Rori 60 kwasiku anaingiza shingapi awa ndo mungu kawachilia balaka mpaka znamwagka nass tuombe mungu atuoneshe njia
Yuko vizuri sana nampongeza ila wawe wanasema ukweli yaliyopo nyuma ya pazia haya mambo ya nilianza na 20000 mara nilianza na kuuza mchele kilo kumi.
Hebu tuambieni ukweli
Umeongea Jambo la msingi san, ndgu thanks.
Nasikia hasira
Home boy ume tisha nafata nyayo zako na mm nakuja mdogo mdogo
Bado hajasema anajua mwenyewe ulivyopata utajili.
Oooh rafiki yangu huyu billionaire mi pia nimeanza na mtaji wa chini ya elfu 20 wow I am the next billionaire
welo done
Tajiri anaendesha makampuni makubwa anapata muda wa kushika cm kuangalia nani kamtafuta alafu kuna mtu dem wake anamwambia niko bize 😂
Bro tupigeni kazi asee
😂😂😂😂😂
Mue mna ongeaga ukweli bana Eti niliaza na mtaji wa Elfu ishirin aiseee
Hapana Bhana Kuna mda.tuwe na hofu na mungu
Msidanganye watu elfu ishirini 😂😂😂😂
Uyu mwamba ni hatariiii Yani Bora majinjah ilamwamba hatarii uyuu
Jamaa kaelezaa njemaa san
My boss
hawasemagi ukweli hawa waliofanikiwa,,ila atoa hope
Hongera kwa kuinuliwa.lakini kwa sasa mabasi huduma ni mbovu wanapanga watu ndani ya basi, police wakiwashusha has ability wanatangulia kituo mbele wanapanda tena. Wafuatilie hilo njia ya dar na dodoma ni kero.
Fuatilia sana kaka yetu wafanyakazi wako wanaharibu utadhani unapanda mabasi ya mbinga au peramiho. Huduma mbovu sana kwa sasa