DC ATIBUA TUKIO LA UJAMBAZI "MLINZI WA BENKI ALIPANGA DILI NA MAJAMBAZI WAIBE MILIONI 70"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 жов 2019

КОМЕНТАРІ • 498

  • @Official83640
    @Official83640 3 роки тому +61

    Wangapi wanapekua matukio ya mkuu wa wilaya baada yakutumbuliwa nipeni like zangu na mm

    • @mohamediyusuph4290
      @mohamediyusuph4290 3 роки тому +1

      huyu jamaa ni mpambanaji sana,ila amini usiamini baada ya huu uchunguzi huyu bwana anapewa mkoa kabisa....!!!!tuombe uzima inshaallah.

    • @Official83640
      @Official83640 3 роки тому +1

      @@mohamediyusuph4290 asubutu

    • @shomarysaid5055
      @shomarysaid5055 3 роки тому +1

      hahahah hatari sana

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому

      @@mohamediyusuph4290 sio kwa samia masna samia mwenyewe fisad ndi maana amemtoa kabsa huyu baba ila mungu yupo samia Allah mujuda samia inchi zote za haq zinakataza wezi kwahali ya juu we unawaonea wakomesha maovu Allah maujuda insha allah

    • @jackzodY3
      @jackzodY3 3 роки тому

      Tuko pamoja japokuwa hakuna wakamilifu duniani

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +18

    Duh. Inatisha. Unafanya kazi na jambazi bila kujua Ee Mwenyezi Mungu endelea kuwa aibisha hadharani. Good work mr DC

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja1202 4 роки тому +4

    Asante Sana Mungu kwa kufichua Uovu na kuuweka peupe. Asante sana kwa kuwalinda hao wadada.

  • @amosikabalata6381
    @amosikabalata6381 4 роки тому +62

    Huyu mkuu wa wilaya ni sawa na usalama wa taifa 7! Hatari sana

    • @yudatadeshayo4434
      @yudatadeshayo4434 4 роки тому +2

      Jamaa ni usalama

    • @allyahmed4014
      @allyahmed4014 4 роки тому +1

      Ni wa kawaida tu

    • @salminwilliam9270
      @salminwilliam9270 4 роки тому +1

      Kazi wamefanya polisi ye amepewa taarif na kama msemaji wa wilaya ndio anatoa ushahidi wa taarifa mbona hamuoni kazi ya polisi intelligence?

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 роки тому +1

      C alifungwaga kwa sabb hiyo

    • @johnjoseph763
      @johnjoseph763 3 роки тому

      Sawa na usalama wap ww hyo taarifa zote kapata polisi sema anaongea hapo km kiongoz wa wilaya.

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 роки тому +117

    kama unakubali sabaya chuma gonga like twende sawa

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 4 роки тому +67

    Duuh hiii selekali ya jpm wote cia usicheze nayo kabisa unapanga dili yako weshajuwa kabla ya tukiyo dadekiiii

    • @kindolek9257
      @kindolek9257 4 роки тому +2

      Nmekubal km huyu Jamaa usalama wa taifa

    • @zainabboss5619
      @zainabboss5619 4 роки тому +2

      Naombeni namba zenu hata mimi ninamaoni yangu

    • @zainabboss5619
      @zainabboss5619 4 роки тому +1

      Naombeni namba zenu

    • @emmanuelmogela5871
      @emmanuelmogela5871 4 роки тому +1

      DC kuna kilo moja ya kiti moto APA na bia za kumwaga kwa ajili yako unastahili kupongezwa asee

    • @deomakini6658
      @deomakini6658 3 роки тому

      Sabaya uko vizuri jamaa yangu
      Chapa kazi

  • @babadee4785
    @babadee4785 4 роки тому +34

    Siku hz hata mkeo usimwamini Hasa pale unapoona maelewano ndani hakuna, ikifikia kwenye issue ya vitita vya pesa inaweza kuwa ni sehemu ya kukukomoa once and for all

    • @rizikibakar3186
      @rizikibakar3186 4 роки тому

      Baba Dee kuna mume alimtega mkewe njiani akampora pesa za vicoba.Na alishirikiana nae vzr kwenda Police ila mke aligundua baada mume kumgaia mkewe hela ya matumizi elf 10 ambayo mke aliikariri iliandikwa na kalamu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 роки тому

      Wote hakuna kuaminiana ata mwanaume anaweza kupanga dili kwa mke wake

  • @filbertkapama8824
    @filbertkapama8824 4 роки тому +14

    Hongera jpm kwa kutuwekea walinzi Na wahusika wa vyombo vya usalama kuwa wakuu wa wilaya.

  • @mahamudubakari5895
    @mahamudubakari5895 4 роки тому +19

    Uyu kiongozi yupo makini sana

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 4 роки тому +49

    Huyu kijana yuko vizuri sana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 роки тому +18

    Hongera dc upo vzr

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 4 роки тому +5

    Mh Sabaya unapga kazi xn bro,,,nakuelew xn mh dc kwl unaitendea haki nafasi aliokupa Mh Rais&natumai juhudi zako ztazawadiwa ck 1

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 роки тому +4

    Mkuu pole na majukumu.Mungu Awalinde wote Awatie nguvu na Afya tele.InshaAllah Allah Allah Atufanyie wepesi sote.

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani4167 4 роки тому +15

    Uyu dc anafanya kazi nzuli sana

  • @officialnaa8470
    @officialnaa8470 4 роки тому +29

    Asanteni sana pigeni kazi mungu awasaidieni

  • @samweljasson4029
    @samweljasson4029 4 роки тому +2

    Yaaah hawaa ndio viongoz wanaotakiwa katika nchi hii,,asantee Sanaa mkuu kazi nzuri, sio akina naniliu kaz kuangaika na akina Idrisa Sultan.

  • @zuhurakimwaga4731
    @zuhurakimwaga4731 4 роки тому +11

    sabaya tunakuombea dua Mungu akulinde kwa kazi yake nzuri sabaya oyeeeee

  • @polloz77
    @polloz77 4 роки тому +21

    Sometime najiuliza hawa wa kuu wa wilaya na wakuu wa mkoa walikuwa wapi miaka yote hiyo toka utawala ali Hassan mwinyi mpaka Kikwete?
    Tasmania kweli kuna viongozi wa zuri sana tena vijana
    Tu msifu president Magufuli kwa kuwaona hawa vijana na kuwapa nafasi ya kuwasaidia Tanzania

    • @raymondkaswaga8334
      @raymondkaswaga8334 4 роки тому +1

      tangu auwawe Sokoine mzee watu ni kimya

    • @veraskitchen8122
      @veraskitchen8122 4 роки тому +1

      Polo alawi: that's why 75 percent government ilisababisha inchi yetu Tanzania kurundi nyuma, now they cannot joke, majibu yameiva mbado kutumbuliwa, kila Mmutu anateteya nafasi yakeee...

    • @fredmushi3870
      @fredmushi3870 4 роки тому +1

      Utawala nyingine maraisi WALIKUWA waoga na watumishi waoga Sasa hv Mambo ni moto

    • @philipoinzag2379
      @philipoinzag2379 4 роки тому +2

      Tatizo sio uoga na a alikuwepo lakini ilikuwa kuna kitu kinaitwa Mkubwa Sasa wakitaka kufanya mambo kama hayo yule mkubwa ndio keshPewa chake anawanyamazisha basi Hakuna chengine

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 4 роки тому

      Wapiga kazi wapo ila watu wanatakiwa msimamo saiv magu anamsimamo ndio maan nao wanapiga kazi

  • @petermabula3442
    @petermabula3442 4 роки тому +32

    Pokea ukuu wa mkoa kwa jina la YESU

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 4 роки тому +11

    😀😀😀This is TISS in place .Lengai olesabaya salute

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 роки тому +63

    MH RAISI MAGUFULI NAOMBA UMPE UKUU WA MKOA HUYU DC SABAYA

    • @richardmoby7796
      @richardmoby7796 4 роки тому +2

      Collect

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 роки тому

      Exactly tena hukohuko Arusha

    • @flyboy3052
      @flyboy3052 4 роки тому

      Kweli kabisa

    • @mzeewamadodoso1816
      @mzeewamadodoso1816 4 роки тому

      Zefa Mange uko sahihi Mheshimiwa Rais mpe ukuu wa Mkoa anachapa sana kazi

    • @eddynyaki5539
      @eddynyaki5539 4 роки тому

      Mheshimiwa sabaya hongera sana kuokoa maisha yahao wafanyakazi Mungu azidi kukujalia ujasiri na afya njema

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 4 роки тому +26

    uyu nae anaenda kuanza maisha mapya gerezani najua hii awamu ya tano magufuli yupo sana

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion726 4 роки тому +9

    Kazi nzuri

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 роки тому +25

    Siku hizi za mwizi ni siku 20 tu. Sio 40. Huyu alishafungwa aliporudi uraiani karudia yaleyale...hukumu yake sasa ni kifo. No discusion.

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 4 роки тому

      ..sasa ndo mtuamini tunaposema dawa ya dhambi ni kuokoka,kupokea Yesu na kudhamiria kuacha dhambi!huyo hata akirudishwa jela miaka 30 akitoka ataiba/atapanga kuiba tena!

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому +39

    Huyu mkuu wilaya hapewe uwaziri ni mchapakazi haswa hwasa

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 3 роки тому

    Sabaya safi sana ccm imekukataa wameona ipo siku utawabana nyanja zao ndio mana wamekusingizia jambazi mungu yuko na ww

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 роки тому +5

    Ongera sana kaka
    Kwa kutafuta pesa kwa nguvu
    Mzee squrity

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 4 роки тому +9

    Mh. Magufuli, Mungu akulinde Rais wetu kwa Kuteua Wasaidizi wako ambao ni Makini katika Kazi, Mungu awalinde Viongozi wetu Wote, Aamina.

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 роки тому +15

    Duh huyu mlinzi Ni kiboko sana amekutana na mkono wa sheria.

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 роки тому +3

    safi sana

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 роки тому +9

    Safi sana
    Huyu DC watu huwa Wana mcriticise ila anafanya Kazi sana
    Safi sana dc

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 роки тому +18

    Shikmooo DC.bada ya huyu .wa hai.uyo jambazi angeingia kwenye kumi nanane za manwali angekunya huku anatembea pumbavu

  • @mohamedkassimu8789
    @mohamedkassimu8789 4 роки тому +12

    Sabaya oyeee🙏

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 4 роки тому +4

    Kazi nzuri cn

  • @babadaniel364
    @babadaniel364 4 роки тому +39

    "Jambazi wenu ni huyu hapa OCD endeleeni nae"😂😂😂

    • @adifar89
      @adifar89 3 роки тому

      Mzee baada ya mwaka ndo nakubali comment yako 😆

  • @japharykikoti3391
    @japharykikoti3391 4 роки тому +4

    Lengai Ole sabaya M,mungu akubariki Bro...Utabaki kuwa Juu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 роки тому

    Hongera DC wetu kijana wetu Magufuli anajua kuchagua damu mbichi ni wachapa kazi piga kazi Baba mungu awajalie viongozi wote vijana Tz na awamu ya 5 mbona raha

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 4 роки тому +16

    Sabaya your verry Gentleman and handsome atiii😚

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 4 роки тому +12

    Safi sana Mh DC

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 роки тому +1

    Kazi yko ni nzuri mkuu .

  • @marcohamisihubill.1649
    @marcohamisihubill.1649 4 роки тому +17

    Hapo nimekubali uteuzi wako Rais yuko Sawa

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 роки тому +14

    Napenda wakuu wa wilaya went akili,Safi Sanaa Mkuu wa Wilaya

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 3 роки тому +2

    Sabaya
    Mungu atakupigania katika changamoto zako yote yatapita
    Tumuachie Mungu

  • @gladymndala1061
    @gladymndala1061 4 роки тому +4

    Hatar kwel leo yangekua mengine majambaz yapora na kuua aiseeee mungu ambaliki kiongoz kwel awamu hiii ni hapa kaz tuu

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 4 роки тому +3

    Asante mh.DC.

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 4 роки тому +8

    Sabayaaa nakuamini sana kiongozi wangu sabayaaa mkoaaa huoooo

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 4 місяці тому +3

    Hii video nimeiangalia tena na kuisikiliza nawakubali sana Sabaya Makonda Ally Happy Polepole na Gwajima

  • @salvatorybuha4328
    @salvatorybuha4328 4 роки тому +3

    Huyu Jamaa anafaa kua waziri WA madini na nishat huyu yuko safi

  • @yassinpaulo3457
    @yassinpaulo3457 4 роки тому +1

    Mungu akulinde DC kaka yangu mpendwa ningekua na uwez wal usingekuwa dc wa wilaya ningekup uwe mkuu wa nchi nzima nakukubali shkuran ziend kwa ango magu wily ya hai tumepat kiongoz kwa kweliiiiii mungu akuongoze kwa yoteeee akuepush mabayaaaa amina

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 роки тому +5

    Huyu ni DC Ana experience na USALAMA WA TAIFA 😁👏👏

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w 2 місяці тому

    Sabaya ni kiongozi mzuri sana ni hazina ya Taifa nina hakika taifa bado linakuhitaji Mungu yupo na siku zipo utafika wakati

  • @emmymathias8849
    @emmymathias8849 4 роки тому +1

    Mungu akulinde..

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 роки тому +2

    Pole sana jambazi sasa utauwona utamu wa yesu

  • @bakarimussa6785
    @bakarimussa6785 3 роки тому +1

    Uyu mweshimiwa Ana fanya kazi vizuri Sana mungu akulinde kwa kila jambo na uwendelee kufanya kazi usirudi nyuma

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Рік тому

      Ukweli wake uko mahakamani mwenyewe ni mpiga dili

  • @emmanuelmataba5997
    @emmanuelmataba5997 4 роки тому +4

    Sahizi magufuri Hana mchezo mpaka hao madic ni Kama wanatoka kitengo nyeti good job blaza.

  • @goodluckmrosso486
    @goodluckmrosso486 4 роки тому +2

    Duhhh kmamaee wallah , aisee noma sana

  • @saudaasumani6729
    @saudaasumani6729 4 роки тому

    We osd noma nakubali

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 роки тому +11

    Hawa viongozi wa serikali hii huwadanganyi wote usalama hawa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 роки тому +1

    Sabaya we will miss you Hai kwa kweli. Ulitufaa sana kaka

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 7 місяців тому

    Sabaya wewe nimagufuri nakupenda Sana kazi nzuri

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 4 роки тому +12

    Well done Mr Dc

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 4 роки тому

    Good.kijana wa Uncle Magu!

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 роки тому +2

    safi Sana mzee baba

  • @reginarejina5741
    @reginarejina5741 2 роки тому

    Hongera sana kaka kwa kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 роки тому +1

    Mashallah mashallah mungu akulinde popote ulipo jamaniii daaaaah

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому +2

    Safi sana ulinzi wa tz umeluwa imara sana

  • @tobachichima3535
    @tobachichima3535 3 роки тому +1

    Leo hii sabaya upo kizuizini eti ww mbaya munguakusaidie

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 роки тому +3

    Mungu anakuona Sabaya pambana mwanangu 👍

    • @khamisishow685
      @khamisishow685 2 роки тому

      Wanatakiwa washuhurikiwe watu kama hawo

  • @oscarkasalile8146
    @oscarkasalile8146 4 роки тому

    Hizo ndio kazi za kufanya nzuri mheshimiwa DC sabaya ongera sana mkuu

  • @OnenThomas-cw7py
    @OnenThomas-cw7py 3 місяці тому +1

    regina thomas❤😂🎉😢😮😅😊

  • @gidionelias6276
    @gidionelias6276 4 роки тому +11

    Magufuli huyu kijana mpee ukuu wa mkoa anafaa

  • @aemiliannubbian5480
    @aemiliannubbian5480 4 роки тому +5

    Yo so soft, unapanic dogo hata kama una camera-man wako

  • @bintimakalanzinyabu6063
    @bintimakalanzinyabu6063 4 роки тому

    Duuh jaman hivi kumbe viongoz wakulinda malizetu na raia wapo eeh ahsante sn DC🙏 umetupa iman

  • @joseygaudence1886
    @joseygaudence1886 4 роки тому +3

    Jamaa anautaaramu wa kuzimia wiki mbili😂😂😂😂😂😂dunia hii inawatu wa ajabu

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 4 роки тому

    Sabaya kwa kweli mimi nakukubali kupita naerezo mungu akuondoree madui yani ukurinde

  • @godwingilman5841
    @godwingilman5841 3 роки тому

    Tunakujua mzee wa kutunga sinema na kuipangua

  • @saleheabdalah6535
    @saleheabdalah6535 3 роки тому

    Huyu jamaa alikua anapiga kazi vizuri sanna Ila Tanzania. Jamani vizuri vinachukiws sanna

  • @lordmasali3410
    @lordmasali3410 4 роки тому

    Big up sanaaaaa kiongoziiiii

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 3 роки тому +2

    Wakati mwingine Sabaya comes to be a good boy

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 роки тому +2

    WELL DONE GUYZ

  • @marcokosei3474
    @marcokosei3474 4 роки тому +1

    asante xana ole sabaya naipenda xana kaz unayoifanya,huwa nikikufuatilia kila cku ila wewe ni mwokozi wa watu,,kwel happa kazii tuu,serekali sio bhana ni wajanja kamwe sio wa kushinda nao

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 3 місяці тому

    Walimchafua kijana wetu lakini huyu kijana ni chama chamoto kazini anakuwa kikazi zaidi di
    Siyo rongorongo mungu atakuinua tena maadui zako waaibikee

  • @zuenamuogopemunguewemwanam1843
    @zuenamuogopemunguewemwanam1843 4 роки тому

    Jamani Sabaya Mungu akubariki sana.

  • @anicianjoki3353
    @anicianjoki3353 4 роки тому

    Heshima yako DC kazi kubwa umefanya

  • @salgadozuhjar3471
    @salgadozuhjar3471 3 роки тому

    Huy DC mi namkubali san ila cjui kwann watu hawampendi..

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 3 роки тому +1

    Huyu wizara ya Mambo ya ndani ingemfaa sana, pia ujenzi na madini ili akomaae miaka mitatu tu halafu wampandishe kama wakubwa ndani ya CCM kama ikiwapendeza.kijana ni sokoine mpya.

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 роки тому

    Mm ata siamini sana kazi ya uyu jamaa

  • @joazypro4139
    @joazypro4139 4 роки тому +3

    Respect brother 🙊🙊

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 4 роки тому +10

    Filamu Nzuri.!!

    • @hurumakyando5642
      @hurumakyando5642 4 роки тому

      zamani utandawazi ulikua hamna hata mtu akifanya kitu kizuri hawezi kusikika nao walifanya vizuri kias chake jaman

    • @wilsonchallange4420
      @wilsonchallange4420 3 роки тому

      Watu wa hai na Hasa Mbowe wamesema alikuwa anawaonea

  • @rosemwankemwa9413
    @rosemwankemwa9413 8 місяців тому

    Mungu akukumbuke mkuu

  • @theophilukapinga2316
    @theophilukapinga2316 4 роки тому +5

    Awamu ya 5 oyeee

  • @BaruMniko-zs5yi
    @BaruMniko-zs5yi 3 місяці тому

    Hakika dc sabaya uko safi

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 2 роки тому +1

    Ndiyo staili yako ya kuiba, sasa kama umesaidia hivyo inakuaje unasema mwenye pesa akamatwe alafu aletwe kwako!!! Wewe unataka nini kama cyo kumpa vitisho ili atoe hela? Yawezekana hata hivyo dili alikuwemo

  • @shaqscollection7481
    @shaqscollection7481 4 роки тому +2

    Nyie Millard ayo Mbona mnajifanya mnahekma Sana kuweza kuyastir hayo mataka taka hata msiyaonyeshe nyuso zao na watu kuwajua ili kuwa na tahadhar nayo? Msifanye hvyo hakika hao ni watu wabaya wakikuotea wanaludisha nyuma nakufanya har kuwa ngum.

  • @bikosi9537
    @bikosi9537 4 роки тому

    Mweshimiwa rais hongera sana uliwachagua vijana wenye umahiri kazini

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 4 роки тому +1

    Huya sabaya anaangalia jinsi naye atapata toka lini tajiri ajihatarishie pesa zake?

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc 4 роки тому +2

    NICE MOVIE 👍

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 роки тому +3

    Huyu Sabaya anafaa sana uongozi wabaya wachache hawampendi Asnt JPM🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 роки тому +7

    Dc oyeee awamu ya tano oyeee vyombo vya dola oyeee apa kazi tu

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 3 роки тому

    Ambae anajua sabaya ameonewa tuungane kumuombea kwa mungu atoke gerezani