MTOTO WA MIAKA 9 ANAMUUGUZA BIBI YAKE KWA UJASIRI, HAJAWAHI KUMUONA BABA "NILIMFUATA NIKAPIGWA KOFI"
Вставка
- Опубліковано 14 сер 2021
- #millardayoMWANZA #mtotoJasiri
Shamsa Ramadhani ni mtoto wa miaka 9 kwa umri wa mtoto huyu ndie mwenye jukumu la kumuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka mitatu akimpatia huduma zote ikiwa ni pamoja na kumsafisha Bibi anapopata haja
Mtoto huyu anasilimua baada ya kifo cha Mama yake hajawahi kumuona tena Baba yake licha ya kuwa yupo hai lakini hiyo haijamfanya Shamsa kupunguza mapenzi kwa Bibi yake na hata wanapoishi wamehifadhiwa kwa muda tu na msamalia mwema
Na ana ujasiri MashaAllah🙏🙏🙏🙏🙏mungu amjalie Huyu mtoto..Mungu mkubwa,milango itafunguka tu,inshaAllah
Sn Inshaallah ameen yarrby
Ameeen mungu ni mwema sana
Aaamyn
Wanaume nyiee atariii
@@asha.mwambamwamba1774 somo Sn yn
Heri kijana masikini mwenye hekima kuliko Mfalme mzee mpumbavu🤝Mungu akuinue na akusaidie katika njia zako zote
TUBAKIE hapo tuu
Amina
AMEN
Amen
Sana
😭😭😢😢Allahu Akbar, Imeniliza MWENYEZI mungu Atakusimamia Mwanangu mtt Mzuri Jamani
Kiukweli huyu mtoto ametuliza wengi inatia huzuni Sana hii story ya hupi mtoto na bibiyake
Natamani ningekuwa jirani yake nimsaidie tu kaz maan pesa sina ..tungekula nnachopata ...am so sad 😭😭😭😭😭😭😭😭
@@husnaally6776 😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtoto mzuri alafu anamajibu ya kiutu uzima mashallah 😘😘
Yan anawashinda had mastaa wasojielewa kwa kujielezeaa,,,,,,
Hii story inaumiza saaan... Flora nitetee alipo mungu ambarikii saan
Kweli kabisa
Jamani mahisha aya simuliasana yasikukute yanaumiza
This is what we call maturity the way she's answering the questions Kam mtu mkubwa ujasir wake MashaAllah Emung musaidie Mototo huuu
Shukrani sana Frola Nitetee Mungu wa mbinguni azidi kukuweka zaidi uwaone hata wale ambao bado hawajaonekana
Can't hold my tears she's too young to do all those duties 😭😭
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear🥺🥺she is too young
I am getting quite emotional watching this video.
daha jamani. mtoto anamajukumu mengi
Duh Mungu amuimarishe Huyu mtoto!!!Mungu amnusuru bibi yake...maisha ndo yalivyo🙏🙏🙏🙏
Oooooh Mwenyewi Mungu gusa moyo wa Baba wa toto Huyu daaah 😭😭😭
@@stellaprince4871 Ameen Ameen Mungu amguse Huyu baba..jamani..Huyu mtoto kaniliza..ila Mungu mwema..labda hatuna uwezo ila maombi yetu yanaskika na kupokelewa inshaAllah
Huyu, ni mke wa mtu mwenye ajili timamu kwa bdae, Mungu akutumie mdogo wangu
Sanaaaaa....yaani huyu ni future wife wa maana sana. Tatizo atakuja kuolewa na myu haoni faida yake. Maslay queen wanapata husband material😥
Mtoto tena wakike analilia kwa ndani Mungu akupe maisha marefu yenye neema na baraka Mungu teremsha baraka zako juu ya shamsa
Kuna vitu vinaumiza sanaa kwenye hii dunia mtoto ameniliza huyu daah😢😢😢Mungu wa mbinguni akusaidie ufikie malengo yako,Hongera sana dada Flora Mungu akubariki sanaa.
😢😢😢😢😢
😢😢😢😢😢
2muombee kwa mung
Na mashaallah mtt anaoneshea anaakili sana ,mola atakuongoza mtt wangu ,atakupa kila unachostahiki inshaallah kwani yy ndio kila kitu hapa duniani na kesho akhera .ammin ammin
she is humble,,smat girl wth brain
Nijikuta nalia mwenyewe jamani mungu akutuze binti
Nimelia kwa uchungu jisi mtoto mdogo havyoweza kusaidia bibi yake kunawatu wengi hawana huluma na familia zao tumsaidie huyu mtoto
Inaliza kwakweli na hao watoto wake hawajiskii ata aibu kuona mzazi wao anatunzwa namtoto ilhali wao wapo! dah dunia hii Allah atupe mwisho mwema kwakweli
kashapata mawazo mengine sasa mwanxo alikuwa na mawazo. aje awe jeshi km babaake sasa anayaka afanye lazi za jamii mashaallah.
😢😢😢😢Imeniuma sana kama mzazi,Mungu awanusuru familia hii
😭😭😭😭😭 mungu amnusuru huyu mtoto ila huyo baba inamaana hata hashtuki kwenda kumwangalia mwanae duuuh mungu atamjaalia tu
Jaman mtoto nijasiri kumzidi mtu mzima, mungu ampe subra na mwongozo... Wanaoweza jaman Mungu awatumie kumsaidia ...
Smart and hardworking gal i do salute her she's ma hero....thumb it
Inshaa Allah mungu atasimama na huyu mtoto na bibi yake halafu kana akili sana kwa kujieleza vizuri mungu awasimamie wapate msaada
Mtoto anajua kujieleza mashAllah, Mungu awafanyie wepes
Tena kwa kueleweka kupita maelezo,ee Allah mja wako huyu una lengo nae kibianadamu tunakuomba umponye huyu Bibi na mfungulie huyu kiumbe mdogo kabisa
Alafu Kuna mjinga asipotumiwa buku ya vocha anaona ameonewa duniani hapa,
ya Allah amjalie shufh bibi🙏🙏mungu akukze mtoto mzuri😍😘ya Allah msaidie uyu bibi🙏🙏
Maskini😭😭😭😭😭
Very strong kid may God of peace and grace akulinde siku zote tayari Bibi ashakupa baraka zote n zako
Dah mungu anipe maisha marefu nimlee bint yangu na mama yangu 😢😢😢😢
Amina lnshallah 🙏😢😢🤲
Amina
Amiinnn🙏🙏🙏
Amiin yarrab 😢
Jaman Mungu naomba umri mrefu nimlee binti yangu nakusihi Mungu
Nawasalim sana ndugu zangu. Watu wengi tumekua wanyama. Hatuna upendo ona mtoto mdogo Mungu atatuchapa kiboko kwa haya tunayo yafanya
Daaaa imenitowa machozi hii habari ya huyu mtt ,ewe bb Mzazi wa mtt huyu muogope mola wako hebu mwangalie mtt wako ,mtt yatima wa mama ww bb upo hai kweli unamwacha mtt anasumbuka namna hii na bibi yake kweli?muogope mungu ww mzazi .mola akuoongoze ww Dd unaemsaidia huyo yatima mola atakufanyia wepesi kila penye uzito inshaallah ,
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mtoto umeniliza moyo wangu unauma nikiangalia sina uwezo ningekuchukua wewe na bibi wote mngeishi kwa furaha lakini ndo hivyo nimejaliwa kidogo toeni namba nichangie hata kidogo nilichojaaliwa nimekupenda mno umri wa mwanangu wa kwanza Ee mwenyezi Mungu ninyime Mimi huyu mtoto apate 😭😭😭😭😭😭😭
Hakika Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri, mtoto mdogo anaupitia mtihani wake bila ya kuwa na hisia kali za huzuni juu ya kuachiwa jukumu la watu wazima, alikosa nafasi ya kumuuguza mama yake na sasa anamuuguza mama wa mama yake, SubhaanAllah, ShifaakAllah bibi, Mwenyezi Mungu amlipe mtoto Shamsa kila la kheri. Naitambua kazi nzuri ya marehemu Nellyson (video shot).
Huyo mke wa mjomba atafutwe maana kama anachukua pesa za bure shenzi type. I love you baby girl ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
InshaAllah Mungu akusimamie usome shule zote umalize...🙏🙏🙏🙏
Aiiseee jamani. Mungu mkubwa
This is more than a pain wallah.... Allah Kareem
@@bakarimasoudmasoud5138 _¿.¿700 (
@@batoulmwinshehe8787 c.
8z
Mungu akubariki sana,Mamii unayemsaidia huyu mtoto na bibi yake! Mungu yuko nawe , mtoto mzuri.
Huyo mumy ni frola nitetee kama huwa unafatilia crp zake anasaidia sana watu
Eeeh ni yeye
@@adoniasamike2124 Mungu ambariki yy na uzao wake!
Mwenyezi Mungu wa mbinguni akuzidishie baraka zake wewe mamii kama ambavyo mtoto uliyemsaidia anavyokuita. Umetenda lililo jema. Asante sana Mwenyezi Mungu ambaye umekuwa ukiwa siku zote ni kimbilio la wahitaji. Watoto wasio na walezi, wanaoonewa, wafungwa, wagonjwa na wahitaji wengine wengi. Baba umjalie mtoto huyu na bibi yake kuona tumaini kuu kwako
Mungu ni mkubwa . kaka kafariki umebaki wewe for reason . uje umsaidiye bibi . Alhamdulillah
Jamani , unapokula ukashiba ukavaa na kunywa bia ukajiona mjanja , Nakumbushatu Mungu anakuona endapo jirani yako unampita huku ukimcheka wakati unajua kinacho msibu , Mungu wasaidie hii familia , Huyo aliyekuwa mlinzi wa Magufuri , Mungu anakuona wewe jamaa , mwisho upo tu ,
Aiseee 😭😭 so sad
yaani hiyo bia umeweka kuogeza msisitizo? hahahahaah
Yarrab tunusuru waja wako
Huyu mtoto amesema babaake alikuja sikia moja na msafara wa magufuli na anasema alipomwona alikimbilia lakini kina mtu akampiga kofi. Lakini baadaye anasema walikutana na babake na wakalala hotel. Kwanini serikali ulisifanye mpango wa kumtafuta?
Kwanza jaman mtanisamehe sana huyu mtoto nishamsikiliza historia ake kwa Dada frola lauo uyu mtoto yupo vzur kujieleza ila swala langu linarudi kwa baba mzazi wa huyu binti hiv hiyo kaz anayofanya anafanya kwa aman kabisa bila kuwaza chochote kabisa baba anakazi nzur alikuwa akimlinda Mh hayati Magufuri aisee hili swala hapana aisee mama etu Raisi wetu Samia Hassan Suluhu amuangalie huyu mtoto na uyo baba ake sizan kama baba unae jitambua unaweza kumtelekeza mwanao anamuudumia bibi ake ungal ukiangalia ata shule asomi huyu mtoto baba anashindwa kutafuta ata mtu wa kumlipa hela ili amuangalie uyo bibi anamuachia jukumu mtoto kwer jaman kiukwer baba ake anakosea sana namuachia Mungu pekee ndo muukumu wa yote
Baba yake inawezekana sio wakutuhumiwa kafanya jambo la imani kumwacha mwanae kwa bibi yake ili amusimamie
@@alexdukes5547 hapana broo c kwa umri huo mtoto anaitaji vitu vngi sana fatilia kwa frola lauo mtoto anaitaji apate Elimu ila mtoto asomi ndo madamu anaitaji ampeleke shule na hapo ni kwa msaada wa watu ungali ukiangalia mtoto ana baba ake kabisa ukiangalia ata kishelia hiyo aijakaa sawa broo sawa aitaji kuukumiwa je mtoto anapata msaada gan kwa baba ungali baba ake anakaz nzur na anapokea mshaara mzur tu je mtoto ananufaika na nn kwa baba
Huyu baba ndo wakumtafuta kwanza kabla ya yote, manake huenda anatuma pesa za watoto kuna mahali zinaishia
@@juditheliud4857 hapo umenena japo ukimsikiliza waziri wa afya Dorothy Gwajima alivyokuwa akiongea na mjomba wa mtoto anasema kabisa kuwa baba ake alimtelekeza mtoto alikuwa atumi pesa kwa mwanae ndo maana nimesema siwez kumuukumu mimi baba ake hapana namuachia Mungu pekee ndo anae jua pengine kuna vitu nyuma ya pazia tusivyovijua sisi kwaiyo tusiwe waongeaji sana ila nitoe shukrani zangu kwa madamu Flora Godwin Lauo mkurugenzi wa Nitete foundation na mkurugenz wa chair foundation kwa kumshika mtoto mkono na kumpeleka shule bila kumsahau mkurugenzi wa shule hiyo kuwapokea na kusema atawalea watoto kama wanae
Kwanza pole mtoto. mungu atatenda miujiza na baba atajileta mwenyewe kupitia hii vdo , kama ni kweli kunawatu wanapokea pesa kutoka kwa babako wakizani wakoright now mungu kawaumbua mungu akulinde AMEN
Daaah, Godbless you mtoto,bibi namamii Mwenyez Mungu amjalie afya njema na uendelevu wa moyo wakumsaidieni ...Amina...
This was Dr. floras story..of nitetee...she was the first one to air this story...
So what??
How does it concern with us...fool!
@@abdulkheri7322 Your English is funny....You need some classes dude....
@@mrambadiana9678 So other reporters are gaining mileage on her effort...That's why...anything else you wanna know???
Mungu Amtunze Mtoto Awe na umri mrefu wenye Amani Amponye na Bibi Waishi na mjukuu wake kwa furaha😭😭
Du! Nimeisikiliza hii Story hadi machozi yamenilenga ,hakka huyu Mtoto Jasiri Sana niimani yangu atakuja kuwa na maisha mazuri sana sk za usoni.Kila mwenye Subra yupo karibu na mwenyezi Mungu.
2:27 much respect kwa uyu dgo
Huyo baba kama katelekeza mtoto Mungu amfukuzishe kazi kabisa,inauma sana nimelia mpaka basi,flora Mungu akupandishe kiwango
Msikilizeni vizuri mtoto baba hajamtelekeza mwanae bwana hivi fikiria kama anaemia hapo bibi yake angesaidiwa na nani japo ni mdogo jamani upande wa wanae ndo ulaumiwe watoto wake baba yuko vizur kafanya imani yake
Huyu mtoto kajieleza vizuri sana baba yake anatoa pesa ila wanakula ndugu zake so yeye baba aelewi kma pesa anapata mtoto wake au laaaah naisi baba yake baada ya kuona interview hiii nazani ata kuja wasaidia pia mungu amsimamie yallab nimelia sana mtoto bado mdogo sana 😢😢
@@revocatusemmanuel162 kasema ndugu wa baba au ndugu wa baba yake Shangazi yake sijui au nimesikia vibaya ngoja nami niirudie tena ila baba yake wala ana shida kwa kutoa huduma yu atoa shida hawa ndugu njaa mbele mtihani 😔
She's so confident 🥰
Mungu amsaidie sana huyu mtoto. I'm just so speechless. My heart is bleeding 💔😢 sorry beautiful soul 😢
Nataka niwe kama mamy Flora Mungu akubariki 😭😭😭
Amewatoa pabaya mtoto anashukuru nakutaka kua kama yeye
Hadi machozi yananitoka ya allah mzidishie imani mtoto huyo azid kukuw na moyo huo pia azidi kumtia nguvu amina yaa rabbal alamiin
Ooh my God,, Poleni Mungu awape Nusra 😢😢 Mtoto mzuri anajua kujieleza 🤗
Sn
Pole bibi, pole mtoto mzuri MUNGU AKUTIE Nguvu bibi apone haraka
Sana
Eee mwenyezi mungu utusaidie na uwasaidie wote wanaopitia magumu kama hayo 🙏🙏🙏🙏
Pole Sana.
Mwandishi wa habari umefanya kazi nzuri sana. Kongloele. Huyo dada aliyemchukua huyu mtoto na kumuuguza bibi yake, Abarikiwe na asipungukiwe furaha, afya wala mali.
Ewe mwenyez mungu unipe moyo kama huu, hongera mtoto mungu ni wetu sote, sidhani kama anapenda uishi maisha haya, kwani uo ndo mlango wako wa kutokea, amini iyo ni ibada ya kweli
Pole sana Shamsa mungu amhurumie bibi yako in shaa Allah 🙏
Duuu kumbe baba yake ni mtu mkubwa tu walinzi wa, jpm khaaaa🙈🙈🙈🙈
Da, natamani huyo mlinzi wa Magu aliyekupiga kofi awe anaangalia habari hii ili imsute. Japo baba ake alimsakizia mwanae kwa Magu, labda mzee Magu angewafanyia maajabu.
Mashallah Mummy Allah akuzidishie kote ulipopungukiwa
MAMI HOW CAN WE SUPPORT THIS KID TO GET A SMALL HOUSE, WE CAN BRING CHANGE, THIS KID IS ALREADY A DOCTOR.
Huyo mtoto analiza watu dah nimelia kwa uchungu Jamani dah pole Sana mtoto Jamani ukikosa mzazi hasahsa mama hauna samani tena nani kama mama Jamani 😭😭😭😭😭😭😭
She make me cry
Mungu amjaalie apate kusoma na bibi apone 🤲🏾
Babaake alikua bodgurd wa magufuli,tukumbuke family zetu tunapokua na uwezo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Jamani kumbe baba yupo ananguvu zake, anamoyo gan 😭😭😭
Nyie wababa mungu anawaona
@@marthageorge559 😭😭😭😭😭
@@nuryatmussa9966 unajuwa awa wababa kunamisukosuko wanapata lakini awajui wanaipata kwa sababu gani,damu yako ikitoa machozi sijui kama mambo yako yanaenda vizuri,mungu atamsimamia uyo mtoto na atakuwa mtu mkubwa sana
@@marthageorge559kabisa watu hawajui tu baba unakula unalala sehemu nzur mtoto wako hujui anaishi vp😭😭mtoto anamajukumu makubwa
Dada flola mungu akubalik akupe kila hitaj la moyo wako na akupatiye mwisho ulio mwema
This child is good may God bless her so much, and I'm requesting Tanzania politicians to help this kid.
I cant hold my tears😭😭😭😭 miaka tisa ni mtoto wa kucheza rede na kwenda shule...uwii huyu kawa hadi kama mtu mzima Mungu muonekanie binti huyu
Mungu wa mbinguni msikie mwanao na maombi yake yakapate kibali mbele zako. Nimeumia haswa na inaumiza sana mungu tusaidie na vizazi vyetu.
Inauma sana jamaniii kwanini binaadamu tumekuwa wanyama hivi lkn
Dr flora Allah akulipe kwa imani na juhudi zako yataka moyo hiyo kazi ufanyao
Mbali na majukumu ya huyu mtoto anaconfidence ni genius,wafanye jinsi ya kumsaidia tu.
MashaAllah majibu mazuri mtoto mungu at akubarik na Dr flora mungu akupe moyo huo huo hata kosa kitu kwa mungu
Popote babake aliko alaaniwe mshenzi mkubwa 😭
Daah! Yani Kuna watu wanapitia magumu kiasi hiki.. hii stori imeniganya nilie wallah 😭😭😭 flora mungu akuzidishie moyo wa upendo dada yangu, na akulipe lililojema.
Huyu mtoto anaakili Sana Sana. Hongera mwanangu uko vizuri na Mungu akuinue kwa viwango vya juu
ama kwel dunia ina meng sana mungu tunusuru na wape shufaaa hii familia....🙏🙏
SHAMSA 😢😢😢
Mashaalah mungu amuhifadhi uyu mtoto na ampe tahfifu bibi jamani😭
Mtoto.jasiri
Oooh Duh Mungu akusaidie mtoto jasiri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Subhannahllah pole sana mdogo wangu kwaunayopitia Allah akufanyie wepesi amuondolee bibi yako maradhi yanomsibu.
😪😭😭Mwenyez Mungu amzidishie imani na afya njema
There’s a reason why the Almighty is making us wait. It’s never to make it hard on us but to develop our character. Remember, patience doesn’t happen overnight. It needs to be nurtured. It takes time. So have a good attitude while you wait. He has promised great rewards and The Almighty will be with you ma young sister
Mungu akubariki dada Flora na team yako nzima.
Daaaaah aisee huyu mtoto anajitahd Sana na mungu amtie nguvu Sana na ashukuliwe Sana shamsa kwa kumsaidia huyo bint🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏
Mung amtunze na kumlinda hyu mtt hakika inaumiza sana dd frorah Mungu akubarik na kukutunza
Allah akulipe Mumy ,kwa kweli Allah akubariki na barka nyingi
Yaraby tunakuomba kwa huruma yako mpe mtoto mwisho mwema na jannat firidaws kwa wema anaomfanyia huyo mama
Amiin in shaa Allah
Amiin Amiin
Aminnn
I lack words,,,,actually mungu amzidizie neema
Mungu akubaliki
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear it not fair🥺🥺🥺
Amini baba tunakukumbuka wanyonge Anália matei Haya mungu wasimamie Mtoto huyu Asate mfaziri amsaidie tu mungu aendelee kuwapigania kwa. Lila njia. Mungu tuwangalie
Matatizo yanaongeza uwezo wa akili sana
😭😭😭
Mungu akubariki dada umefanya kazi nzuri
Maskini jina la mtoto wangu Shams! Najiskia 😭😭😭😭 mtoto mdogo sana majukumu yamemzidi umri. Mungu wa mbinguni awe nawe mwanangu, ubarikiwe mjini ubarikiwe shambani, baraka zitembee na wewe popote utakapo kuwa. Huyo mummy alie kuchukuwa Mungu ambariki sana zaidi ya sana.😭😭😭😭
Amina ya Rabbi
Nihodali kufuatilia mikasa ila huyu mtoto Mungu amempangia fungulake inshaalla uendelee kua na ujasili katika kufanya yalio mema nimetokwa machoz 😭😭😭
Wallah tena yahuzunisha 😭😭
Allah mustaan 🤲mungu simama na hii familia mtoto kaniliza jamani.
Mwenyezi mungu ampe nguvu amjalie kila palipo na uzito Allah amfanyie wepesi yarrab pole sana mtoto
Dada Flora Mungu akujalie wepisi wa maisha 😘😘😘😘
Thank you Mamii 🙏
Subhana Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Pole mtoto mzuri
Dah! story ya huyu mtoto imenifunza kuwa na moyo wa shukrani...hakika kuna watu wanapitia magumu sana ktk maisha yao na bado wana imani....Mungu msaidie huyu mtoto na endelea kumpigania Frola ili aendelee kuigusa jamii kupitia wewe 🙏🙏🙏
Mungu mpiganie mtoto huyu na mfungulie mirango ya baraka
Pole sana bibi na umepata mjukuu jasiri sana anaejielewa masha Allah
Mungu akupe subira mtoto utapata msaada
Amiin yaraby
""Time traveler""
Huyu mtot n wa pekee sana Mungu akusaidie Mungu ana Jambo na wewe Anko..!!
Hatal sana alla
Msaidie uyu bibi na mjuu
Wake Waishi vizl Saaaana
Uko mbelen Aamen
Nimelia Sana Mungu ambariki Sana Flora nitetee na akuzidishie
Mungu akubariki Mummy Flora
This kid is very bright
😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️ nakupenda mtoto wangu mm sina la kukwambia Allah atakupa hars
Masikin analiza sana uyo mtoto dah kwel mzazi wa kazi zuri watelekeza mtoto jmn na mama yko aisee awo watoto wanalana
Mungu akulinde Sana shamsa , you make me cry baby girl.