Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho
Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏
@@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@@nurathissa1422 @PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax
Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@@neemaneema6825 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .
@@SAMDESIGNS255 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...
@@mikidadilyimo6531 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida
Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea. *MUNGU NI MKUBWA !*
Mushukuru mungu sana kuwa naimani atakuja kuongea na tena nawapongesa sana hii familia kumpokea kijna wao juu ingekuwa familia ingine wange mutoro lakini sifa na shukurani murutishieni bwana 😭😭natwakwa na majozi ya furaha jina lakini mungu lipewe safa🙏🙏🙏
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
wakenya pia tumrudie Mungu , toa boriti kwa jicho lako kwanza , mbona corona hamna tanzania na kenya iko , inapasa wakenya ndio tumrudie Mungu na kuomba toba rehema na msamaha.
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Kama unaamini mungu yupo gonga like hapa uki reply amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Amina
Maashaallh Mungu ni mkubwa jamani
Mungu ni yule yule Jana hata leo milele habadiliki......LOVE U LORD JESUS
Kama unakubali kuwa Mungu mtenda miujiza gonga like hapo chini
@Daniel thomas Msigwa 😆😆😆😆😆
Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho
Yesu anaweza
@@ludacrissrangiyabank3737 labda alitoloka warikuwa wanamtumikisha
Name of Jesus
Mungu nipo hapa nasubiri ile siku brayoo wangu anarudi nasubiri kwa imani sana
Kama unaamini yupo Mungu kwaajili yetu gonga like hapa
Mungu ni mwema wakat wote Yani wachawi Jamn Daah utafikili wenyewe awafi daah mungu anawaona na wachukia sana 🤮🤮
Ioo
Mungu atulinde jaman inahuzunisha sana
Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏
Mungu alietenda kwenye familia hii atende kwa familia nyngne pia
@@scolamsisi9306 0pp
Eeeh Mungu uliefanya huyu arudi na ewe Mfalme wa wafalme warudishe na hao wengine ..asante Mungu kwa kumfanyia huyu mama muujiza😢😢
Uongo mtupu nyinyi mnaamini t
@@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....
Mungu wangu anisaidie na mimi
Milado ayo wewe ni mziki mnene, mi nakupa Big Up sana
apelekwe maombi jmn atakaa sawa Mungu ni mwaminifu sana tumrudie Yeye
Amen
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Amen
Kabisa
Amen
Kama uliskiliza hii story kwenye radio twende pamoja apo
Ndio
Akiombewa atafunguka vizuri zaidi , Mungu atukuzwe
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Washamkata ulimi jamani
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@@nurathissa1422 @PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Ukirogwa ahufi, unahamishwa tu na wachawi. In fact, ukifa naturally, uwezirudi tena.
Kweli kabsaa uyu msukulee,. Wanasherekea ujingaa,kizazi chaishaa, unachukua msukulee unaeka ndan? Kitasafisha kizaziii uyu n msukulee
Very true
@Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax
Huyu alichukuliwa kichawi mbona haongei alikatwa ulimi
Uko sawa waache sanaaa
Uhimidiwe Mungu wetu
WACHAWI WOTE MUNGU AENDELEE KUWALAANI LEO KESHO NA MILELE AAAMIN🙏🏻
Kigoma hiyo aisee hakika Mungu simama na kigoma
Sana sana mmmh
Vp mp
😉😈😬
Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu
Amena
Daaah 1994 mimi ndyo nazaliwa mpk sasa 2020 nina miaka 26 ni parefu jmn Mungu mwema
Inauma
Saana
⚘🥰...All thanks and Praise be to God forever. Amen
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Mungu baba tusaidie magufuri tuna kazi nae Tulelee🙏
mmh!dunia hii,basi tu,Acheni Mungu aitwe Mungu.
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Wallah
Nashauri wakapime DNA kabla Ili tuishangaze dunia
Walimchukua msukule
Napaliza sauti Kwa nguvu zangu zote kuwa Mungu yupo na kwake hakuna linaloshindikana hakika Kwa Iman tutashinda Allahuakbar Allahuakbar X1000
Ameeen
Wachawi jamanii..!! Basi Ni wengi wamekufa lakini hawajafa
Wengi mno wamechukuliwa misukule asee inauma mno, unadhan mzaz wako amekufa kumbe yupo sehemu anatumikishwa na kuteswa huko
Hahahaha wamekufa lakini hawajafa hahahaha umetisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeogopa sana
Labda boss wao alikufa Sasa wakakosa mtu wakuwapa chakula Mumgu anawaona wachawi 😭😭
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Sure inawezekana alichukuliwa na wachawi
Daaa! Kweli mungu Mimi umenipendelea Sana kumbe kuna watu wanapitia magumu Asante mungu
Ee MUNGU tusaidie vizazi vyetu na watoto wetu. Amen
Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Ameen
Is
Mungu ni yeye yule jana leo na milele,hakika matendo yake ni makuu.
Amen
Ameeeen
Alikuwa gamboshi,huyo Hana kivuli
Mtafuteni zabroni C. Mwita, Hana kivuli
@@geraldtarimo9960 🙄🙄🙄🙄🙄😳😳😳
Ukute hata hao wachawi wapo hapo wanapika na kufurahi pia🙌🙌🙌
Inawezekana😆😅😅
Hujakosea binadamu ni nyokooo
Eliza mmmh kweli
Mimi nimkazi wakigoma wilaya ya Kasulu mjini matukio kama haya nimengi sana mungu atusimamie 🙏
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Ameen
Inawezekana hata ndugu zake wapo huko wamegeuzwa misukule 😢 ee mungu nilinde mja wako na kizazi changu epusha haya yasijetokea' ameen.
Amina
@@neemaneema6825 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .
Amina mungu tusaidie tuepushe na haya majaribu
@@merikizedeckmwaniwe5358 Wala hatukunusurika, mungu mkubwa tu. Itafika siku tutawaona waliolaanika.
Huu mwaka wa maajabu ni mwaka ambao utakumbukwa kwa mengi sana
Si huu tu bdo inakuja mibaya zaidi
Siku za mwisho hizi
Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii videoua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@@SAMDESIGNS255 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Amina
Mungu yupo ndugu zang mama endelea kuomba wote watalud
Subhaana Allah
Natamani ingekuwa dada yangu ndo arudi
Tuombe Mungu na kufunga ukimaanisha inawezekana hasa km alikufa kwa utata
Mi nataman mama angu alud jaman
@@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu
Kama mimi
Pole Sana mamaangu Atukuzwe Mungu aliemrejesha ndugu yetu
Walimchukua msukule sasa mungu kamtoa huko alikuwa amewekwa.
Mungu anilinde mm na kizazichangu pamoja na familiya yangu japokua bado sijawa na familiya
Duuh mjomba sio poa ,
Katika awamu hii mengi tutayaona
Mpakaa wafu wana...
Great
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
@PHOVY MEDIA Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
Eee! Maajabu jamani
Mungu ulie mrudisha mtoto wako hakika utamfungua knywa chake na vyote walivyo mfunga hakika mungu wewe unaweza asante yesu🙏🙏
Everlasting father i trust in you🙏🙏🙏🙏
Nataman na mtoto wa dada yangu arudi mungu wa muujiza Fanya na kwetu
Kama unaamini wachawi ni wapuuzi gonga like
Haleluya jina lako Bwana lihimidiwe nakusihi Bwana na Mimi nirdudishie baba yangu arudi maana kifo chake kilikuwa na mkono WA mtu
God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...
Aletwe Dar kwa Mtumishi wa Mungu Sunbella Kyando, Ataombewa naamini atakaa vizuri
God is good 🙏
nahisi hata hao wengine wanaweza kurudi one day, naanza kuelewa concept ya misukule ipo...
Amina
Mmh mungu yupo
Kigomaaa shikaamooooo
Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
@@mikidadilyimo6531 Hakika mungu ni muweza kama unaamini yupo usipite bilA kutazama hii ua-cam.com/video/bpPm4SzZ_5s/v-deo.html PIA USISAHAU KUSUBSRIBLE NA KUKOMENTI
he mtihani jamanni
Eeh mungu nataman ungemludisha mama angu😭😭😍😍
Pole sana
Aseee tuleteeni mwendelezo wahii story asee mpaka mwisho 🌍🇹🇿📖
Tegemea kwa mungu kwa imani yote yanawezekana amin
Mungu anawez then sawaa na ni sha Allah mungu athafungua kauli yke..soth tyumuamin mungu na anatenda
Dah siamini yaani dah tumtangulize mungu yaan daah 😁wangapi wamesikiliza yule mkaka wamwisho maongezi yake😍
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Kigoma yetu ni balaa ulozi upo inje inje uku
Mungu tuhurumie tushikilie Imani zetu
Mungu ni mwemaa wakat wote ,,ya rabby mwingi wa rehma mjaalie apone vyema tunusulu na mabaya yote Amin 🙏
Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida
Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea.
*MUNGU NI MKUBWA !*
Maaajabu gani yadunia MUNGU atuponye🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Glory to God if this is true. Basi atakapoongea naomba mleteni atusimulie ilikuaje!
Mungu ulie tenda muujiza huu nitendee namim Baba yangu arudi Haman😭😭😭😭😭
Mushukuru mungu sana kuwa naimani atakuja kuongea na tena nawapongesa sana hii familia kumpokea kijna wao juu ingekuwa familia ingine wange mutoro lakini sifa na shukurani murutishieni bwana 😭😭natwakwa na majozi ya furaha jina lakini mungu lipewe safa🙏🙏🙏
Amerudi akiwa vile vile au kazeeka?
Askofu Gwajima anarudishaga hii misukule huku watz mnampinga tu....Gwajima is real.
Kweli kabisa
Nimeelewa kwnn baba levo kakatalia dar hatak kurudi kigoma daaaah
😂😂😂😂😂
Half kweli aisee
😂😂😂😂
😄😄😄😄
Mungu ni mwema kila wakati🙏
Da jaman mama kafiwa na watoto wengi sana
Hatari sanaaa
Eee Mungu! Naomba uthihirishe michawi yote.Mungu ona tunavyoteseka.
Nafikiri tutaelewana kwa karibu ile taaluma ya Bishop Gwajima.
Mungu ni Mkuu kama unaamini sema Amen twende sawa
Damu ni nzito kuliko maji mungu aliemrejesha atanfungua Tena na kuwa mzima
Mtu kazaa kuku(Uvinza-kigoma),Mtu kafufuka(Bugaga-Kigoma)
Kigoma FILE LENU tunalo
Mmmh allah atulinde na wachaw
🤣🤣🤣🤣🤣👋🏽
😂😂
Ewe Mungu mfufue dada yangu ili arudi kuwalea watoto wake ....
Kama unamwamini Mungu. Gonga like cz Mungu ni muweza
Mungu mkubwa wachawi mungu awaona kesho itafika mtamjbu nn Allah 😭😭😭😭anayo mengi alioyaona akiwa swa atasema Kuna mengi amepitia
Huyo alichukuliwa msukule na walizika mgomba
Kabisa hata kambi moja ya wakimbizi kigoma hiyo hiyo tumeshuhudi mtoto wa miaka 3 karudi baada ya kuzikwa miezi 3 ikapita akaonekana tena
Wachawi Mungu awalani kabisa kwanini wanafanya watoto wa watu hivi
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Ulikuwepo ukaona ni mgomba?
@@jumabanda2802 yaani ni kwamba mwili unabaki mwili feki unazikwa ndiyo unaitwa mgomba
Dear God please nipo nasubiri zamu yangu....❤
Tufatilie vizuri huwenda wengine wapo huko tuzame kimaombi
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Amen
Amen
😂😂😂
Kweli ,tuombe
Eheee Mungu nirudishie Mamaangu😢😢😢🙏🙏
I wish ungetokea muujiza mume wangu na mdogo angu wakarud jmn😭😭😭
Pole sanaa sanaa dear
Mungu mkubwa dear kazana kuomba tu atajibu maombi kipenz
Pole
Pole sana dear
pole dada yang ina umiza sana
Mungu ni mwema !!
Asee huyu mtoto ni wake kabisaa wamefanana sura sana
Mungu ni Mungu tu jana leo kesha na hata milee uhimidiwe bwana wa majeshi na ijulikane kuww upo Mungu wetu
GOD IS ABLE"
Am a Kenyan..bt nyinyi watanzania mumrudie Mungu.mumezidi na uchawi.
wakenya pia tumrudie Mungu , toa boriti kwa jicho lako kwanza , mbona corona hamna tanzania na kenya iko , inapasa wakenya ndio tumrudie Mungu na kuomba toba rehema na msamaha.
Allahu Akbar...subhanallah walhamdulillah lailahaillallahu Allahu Akbar ..husbunallah waniimal wakeel
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante
ua-cam.com/video/M4GyEil-nAo/v-deo.html
Wamefanana sana
Subhannallah 94 nipo shule ya msingi darasa 3 hd sasa nina watoto 3 duh
Allahu Akbar, Allahu yaalam
Me ndo nilikuwa nazaliwa
Kiimani alikua ndondocha huyo wa aina nyingine na pia ni zama za mwisho
😄😄😄
Mungu ni mwema...
Mungu ni mwema sana jamani👏
Alichukuliwa msukule, hayo mengine ni usanii
Amina endeleeni kufunga na kuomba Mungu ni mkubwa
Dah,matukio mengine yanatisha,how comes mtu alikufa 20yrs passed anarudi kuwa hai!
Hua hawajafa ni wachawi wanamchukua wanamfanyisha kazi....nikitu hta kwetu kenya ishatokea
Mungu ni mwema
Asante Mungu kwa muujiza wako juu ya huyu kijana
Dunia hii simama nishuke 🙌🙌🙌🙌
DNA ndo solution hapoooo...
Daah mung nimwem jmn tumuabud mwenyez mungu ndiye anaeweza kilakit
Mungu ni mwema Kama unamwamini yesu wambinguni gonga like
Mmmmhhh ukistaajabu ya Musa utayaona ya filaun duuu Mungu wangu
Mungu nimwema
Kijiji alichozaliwa mama yangu na baba yangu nimefurah sana kuona hata ilo bango 🙏
Mungu yupo
Muacheni Mungu aitwe Mungu.
Mungu ni Mungu🙏🙏