Mama Mzazi wa aliyepigwa na mume hadi akauawa Dodoma aeleza alivyomuonya mkwewe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 2 роки тому +29

    Pole sana mama mkwe kwauchungu ila dada zetu mkiona wanaume wastaili hii mue mnajiengua mapema msing'ang'anie

    • @tnerdaniel6198
      @tnerdaniel6198 2 роки тому +4

      Sijui wanang'ang'ania nini kwa mwanaume wa kupiga unakubali kupigwa kweli

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 6 місяців тому +1

      Kweli kabisa sisi kina mama tunayatafuta. Mtu anakutimua eti unagoma kuondoka. Kwamba ukigoma ndo atakupenda au? Sometime mtu ashapata kimada huko anaona unamzingua. Bora utoke tu maisha yanatafutwa upya. Pia shida yetu tukiachika tuba mbwembwe sana...akikuacha hata kama maisha yamekunyookea basi tulia usitake kumrusha roho badala utulie tu uendelee na maisha yako kimyakimya. Ndo maana wengine wanakuja kuumizwa hata baada ya kuachana

    • @HafswatKomboza
      @HafswatKomboza 4 місяці тому

      Tusihadaike na mali za waume watuoao.rizki atoae ni Mungu tusikate tamaa wakati twaishi

    • @sharifajuma9945
      @sharifajuma9945 3 місяці тому

      @@tnerdaniel6198 tuteme mate chini wanaume wengine ni mtihan omba usikutane nao unaondoka kwenu wanakufata juu juu tena wanakubeba mmi ndoa yang ilikuw kama uyo mdada unarud nyumban unakuta nyumba imezingirwa na Watu wenye mitutu unabebwa kama gaid ukiend sehem husika kuripot amna kitu wanafany ndiy kwanz unaanza kutukanwa na kuambiw mkorof ni wewe achen ndoa izi mpk kupata talak yang ikanibid nifanye fujo mahakaman ili nifungwe

    • @SophiaMbogo-p1k
      @SophiaMbogo-p1k 3 місяці тому

      ​@@tnerdaniel6198❤ ,
      , , , .. ., ..,.,. . ..... 😊pp

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 2 роки тому +18

    Pole sana mama mimi nisingeenda uko ningezika kwangu mwanangu

    • @janeamsara4845
      @janeamsara4845 2 роки тому +1

      Mama anang'ang'ania mke wa ndoa ndio maana kakubali wakati mine was ndoa ndio kamuua😱😱😭😭

    • @EnessiSosten-i8x
      @EnessiSosten-i8x 10 місяців тому +1

      Kazi sanaa

    • @RhodaMlowe
      @RhodaMlowe 7 місяців тому +1

      kaabiiisaaaa

  • @HawaHusen-l2s
    @HawaHusen-l2s 7 місяців тому +16

    Poleni sana huyo mwanaume nae aueawe iliajuwe kifo cha klazimishwa kinavouma mungu amlaze mahali pema poleni wafiwa mungu awape subraa

    • @Stellahaule-ik4bk
      @Stellahaule-ik4bk 6 місяців тому

      Uyomwanaume nayy anyongwetu

    • @IreneManollo
      @IreneManollo 6 місяців тому

      😢T😢t😢😢ttt😢😢ttt😢t😢😢t😢😢t😢t😢😢​@@Stellahaule-ik4bk

    • @MumuNgeti
      @MumuNgeti 5 місяців тому

      Iyo mbwa inyongwe pole cn mama mungu akutie nguvu

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 2 роки тому +22

    Kitu kinachoniudhi Kwa wamama , ni kutokujali, mwanao anakuja Kila mara amepigwa Bado unamruhusu kurudi Kwa mume . Kweli wamama wanabidi kujitambuwa , labda tunaweza kuokoa maisha ya mabinti zetu ,huyu amekufa Kwa uzembe .rip

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 2 роки тому +1

      Muda mwingine unakuta mtoto mwenyewe king'ang'anizi wanapigana anarudi kwao baadae akipigiwa cm tuu na mume akiambiwa nakupenda baasi awezi sikiliza tena mzazi tusiwalaumu wazazi jani

    • @fanenchimbi6721
      @fanenchimbi6721 2 роки тому +1

      Wazazi tufike mahali tusishauri mtoto kurudi kwa mwanaume anayepiga,huwa hawaachi.Maana anakuwa keshazoea kumgeuza ngoma.

    • @MajidHiliza
      @MajidHiliza 4 місяці тому

      ?😅z!1!+qe!W-w​@@fanenchimbi6721

    • @MwanaishaMande
      @MwanaishaMande 4 місяці тому

      Huyu mama simuelewi

    • @getrudermassawe5499
      @getrudermassawe5499 4 місяці тому

      Acha tu sasa sijui ni mila fikiria amemwachilia hata akiwa maututi

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 роки тому +40

    Hivi niulize wenzangu mshawahi sikia mwanamke kamuua mume wke au kampiga mume wke!!!so kwanini kila kukicha sisi wanaume tunawapiga wanawake wetu ambao wanatuzalia watoto na kutujengea familia mpaka tunaitwa baba Fulani na tunawafanyia vtendo vya kinyama hadi kuwauwaa dah I say SUBHANNALLAH THUMMA SUBHANNALLAH InshaaAllah MUNGU amalaze mahali pema peponi na amsamehe dhambi zke za siri na dhahiri yaaa Rabbal aaalamin..

    • @joycemluga1125
      @joycemluga1125 2 роки тому

      Point

    • @lovvy854
      @lovvy854 2 роки тому

      Swalii gumuilo daaadaa😭

    • @mwazanimnyamani8493
      @mwazanimnyamani8493 2 роки тому +2

      Tunakoelekea kila mtu ataishi maisha yake sioni haja ya kuolewa mana kaolewa ni shida wanawake tunateseka sana na mwisho wetu ni ulemavu na kifo

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 роки тому

      Wapo!!

    • @kifubayusuph8741
      @kifubayusuph8741 2 роки тому

      jirekebisheni mama anasema arifata era ya marejesho kwa shoga yake maisha gani ayo

  • @neemakrekamoo4789
    @neemakrekamoo4789 2 роки тому +6

    Mama Kuna mahali amefeli sana jamani...Yani mwanao kapigwa kiasi anashindwa kuhema unamkabidhi Kwa huyo shetani??huyo Pita yeye Mungu???Yani uzembe wa mzazi umechangia sana sn...hatakama mtoto Hana baba...bado serikali IPO...kwanini usingpeleka akajifiche hospitali yoyote tuu...kwanini msingemuweka huyo jasusi ndani huko mtoto mkamtibuu...aah so sad anavyoelezea huyu mama utafikiri si mamake mzazi....anamuigopa Peter utadhani Mungu....maneno hayambadilishi mtu hata siku moja...

  • @lilianhermenegild7175
    @lilianhermenegild7175 2 роки тому +36

    Pole sana mama lakini ulikua unauwezo wa kumsaidia mwanao tangia uliposikia kweny simu akilalamika ananiua, ungepiga simu police wakatangulia wewe ukifanya utaratibu wa kuelekea eneo la tukio. Pole Sana dear,
    Mwanamke mwenzangu, mwanaume akishanyanyua mkono Kwa Mara ya kwanza akakupiga usipochukua hatua basi ndo itakua mchezo wake na mwishowe atakumaliza kabisaa. Run girls run for your life.

    • @janeamsara4845
      @janeamsara4845 2 роки тому +1

      Yaani sehemu anaishi mama na mtoto alipokua anaishi nauli ya pikipiki Ni 2000,very sad indeed

    • @neemahusseinrajabu8913
      @neemahusseinrajabu8913 2 роки тому +3

      Mama umli nao umekimbia hapo yupoyupo tu

    • @MwanaishaKarata
      @MwanaishaKarata 7 місяців тому +1

      ile ya Arusha ya juzi huja sikia mama kamua mume wake 😢

    • @MrishoSamueli
      @MrishoSamueli 7 місяців тому +1

      Naile ya kumkata mwana mume uume haujawahi sikia😂😂

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 7 місяців тому +1

      Polisi wangesema gari haina mafuta polisi gani

  • @naomisamsoni1040
    @naomisamsoni1040 2 роки тому +2

    Dah.! Mama Kuna mahali alizembea, pole sana

  • @JJ4ZA
    @JJ4ZA 2 роки тому +33

    Mwanaume kumpiga mwanamke ni kitendo cha woga kabisa na kinyama. Mwanaume ni mlinzi kwa mwanamke. Kama umeshindwa kuishi nae achana nae kwa wema. Tafadhali ukiona dalili za mwanamke yeyote kunyanyaswa na mwanaume toa taarifa kwa mamlaka mapema kwa usaidizi. Majirani msifumbie macho vitendo hivi vya kikatili.

    • @reginasigera4204
      @reginasigera4204 2 роки тому +1

      Kabisaa abdalah Yani mwanaume tatizo lake kijishusha ndo tatizo mwanaume hataki kujishusha

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 2 роки тому

      Polen jjaman

  • @joycemluga1125
    @joycemluga1125 2 роки тому +25

    Mama samahani umechangia kwa kiasi kifo cha mwanao simulizi yako imeonyesha wewe ni dhaifu ulikua unapata Nini kwa uyo pita ndoa ni mapanga na fimbo pole kwani serikali ulikua huioni mama?

    • @rehemajuma9733
      @rehemajuma9733 2 роки тому

      Point

    • @heriethmuta2903
      @heriethmuta2903 2 роки тому +1

      Kajengewa hiyo nyumba. Wamama tuache tamaa ya mali

    • @tonymwalanya3027
      @tonymwalanya3027 2 роки тому

      Uyo mama nimchawi kamtoto kafara iyo nisababu mongo mkubwa yeye na uyo mtoto wake mungine wawongo wAkubwa sikiya upuzi wake. Mke

    • @prosmacharius7074
      @prosmacharius7074 2 роки тому

      Hakika.bora anyamaze tu.mtoto umemzaa mwenyewe anakulalamikia kila akija kwako bado huchukui hatua??eti Sina la kukusaidia

    • @rosendile8235
      @rosendile8235 2 роки тому

      Mama yetu mpendwa anatisha kwa kweli ndoa ni maelewano ikishindikana ni vema kurudi nyumbani kupumzika kwa muda. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +13

    Mtihani pole mama mungu akutiye nguvu

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 роки тому +25

    Yote hayo bado tu mulimruhusu arudi kwa huyo mshenzi mulikosea kumuacha wakati mifano tele ya ukatili wa wanawake ishatokea dah ila poleni sana

    • @ablashaffy2860
      @ablashaffy2860 2 роки тому

      Mi sijauelewa huyu mam ktk uuguzaj na kudeal na hlo jambo

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 7 місяців тому

      @@ablashaffy2860 mama kakosea wapi,alikuwa anajalibu kulea ndoa

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 7 місяців тому

      Labuda na huu mama itakuwa alikuwa amechokwa na mwanae Ety unaona dariri bado tu unarudixha kwa mkwe

    • @gloriaaugustino8031
      @gloriaaugustino8031 6 місяців тому

      Kabila gani

  • @shahashaha6269
    @shahashaha6269 2 роки тому +10

    Kuna cha kujifunza hapa wanawake wenzangu tujifunze hapa kuanzia mume Hadi family zetu innallilah wainalillah rajiun 😥

  • @getrudamatoto5277
    @getrudamatoto5277 2 роки тому +4

    Pole Sana Mama ila kuna uzembe umefanyika ulipigiwa cm kua anapigwa hukuja..amejitahidi amefika hadi kwako mkamrudisha kwa huyo katili badala ya kumtibu, haya umeenda kwake umemkuta na hali mbaya badala ya kumpeleka hospital mkaanza kubishana ukamsikiliza huyo mkalala hadi mauti ikamkuta.. daah pumzika kwa amani mbele yako nyuma yetu inaumiza mnooo🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mustorytellermullah2737
    @mustorytellermullah2737 2 роки тому +32

    Asee pole Sana mama,wanaume wenzangu Kama tume shindwa kukaa na watoto wa watu tusi wa tese kiivo jamani daah 😢

  • @elizabethmassawe694
    @elizabethmassawe694 2 роки тому +7

    Pole saana mama ,ungefanya kitu pale ulipopigiwa cm,jiran yangu Aisha mungu akupumzishe salama.r.i.p

    • @marystelaswai5174
      @marystelaswai5174 2 роки тому

      Yaaan kumbe hata ndani haingii af unamuita Mkwe mkwe gan? Pumbafu wazaz tuachee kuwalazimisha watoto wao kwa wanaume, sio lazima

    • @getrudermassawe5499
      @getrudermassawe5499 4 місяці тому

      Yaani ufahamu tunatofautiana maana mtoto alipiga simu mara ya pili tena akamwambia baba anaendelea kumpiga mama na sijui kama ana mpango wa kukupigia pale angeomba msaada wa majiran kadhaa wakachukua usafiri wa haraka kama bodaboda wakawahi

  • @estherhamis
    @estherhamis 2 роки тому +3

    Pole sana mama Kwa kuondokewa na mwanao pole Kwa watoto wa marehemu pia Kwa kuondokewa na mama Yao. Mungu awape faraja kuu mioyoni mwenu

  • @nobertinavictorian9592
    @nobertinavictorian9592 4 місяці тому +1

    Pole sana mama. Nia yako ya kumrudisha haikuwa mbaya.
    Ila ndoa si kifo jamaniii.
    Kitu kikikataa achana nacho ili maisha mengine yaendeleee😢

  • @agnesssimon3976
    @agnesssimon3976 2 роки тому +12

    Ninawalaumu Sana ninyi ndugu za marehemu,Sasa amekufa ni faida gani umepata wewe mama?

  • @salmaChituta
    @salmaChituta 7 місяців тому +6

    Jamani siyo wa mama wote mm yamisha nikuta nikatoroka kurd homu mume kanitatiriya wazazi wakamwambiya binti atoki sijarud nimepata mume aritaka kunihuwa siku hiyo nirivyo toka baci mungu ali,kuwa pamoja nami

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 2 роки тому +18

    Ila akina mama wa kitanzania tufike mahali pa mabadiliko. Mwanao anafanyiwa vituko vyote hivyo mmekaa kimya na mnamruhusu kurudi akiwa na maalama ya kipigo mpaka siku anakufa kweli???? Tutaendelea kutoa ushuhuda hadi lini? Kwa nini hatua hazikuchukuliwa mapema? Huyu Peter yuko juu ya Sheria? Mlishindwa hata kutoa taarifa polisi?

    • @ipyanamwaipaja3720
      @ipyanamwaipaja3720 7 місяців тому

      umeona amepoteza mwane kwa uzembe kabisa

    • @christinakiula3743
      @christinakiula3743 6 місяців тому

      Eeee Mungu tusaidie tunapopita katika hali ngumu tupe wepesi katika jina la Yesu.

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 6 місяців тому

      Wakati mwingine hata dada zetu pia hawataki kuondoka kwa wanaume hasa wenye unafuu wa maisha bila kujali mateso wanayopitia

  • @judithkiramweni7135
    @judithkiramweni7135 2 роки тому +31

    Mama mzembe sana unapigiwa simu hutaki kwenda , mwanao kapigwa mara nyingi huripoti popote na unazidi kubembeleza mkwelima 😭😭😭😭😭😭😭 nimeudhika sana mamaaa mzembeee sanaaa

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 2 роки тому +7

      Sijawahi kuona mama wa ajabu kama huyu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 роки тому +5

      Halafu kama hana uchungu,au mimi naona vby.

    • @jeskahaule2867
      @jeskahaule2867 2 роки тому +1

      Alichoniboa ni mzembe huyu mama maana walikuwa wanampigia cm lengo asaidie Tena yeye anakaa kimya Wenda huyo Pita angeshaonywa Wenda hata mauaji yasingetokea

    • @ezirabatu2734
      @ezirabatu2734 2 роки тому +6

      Wewe mama mm nilijua unaishi mkoa mwingine kumbemlikua jilani nimekuchukia kbs ww mwanamke

    • @husnamtitiko9312
      @husnamtitiko9312 2 роки тому +2

      @@ezirabatu2734 inaonekana huyo pita ana pesa na pesa ndo alifanya fimbo ya kuwachapia hiyo family na kuwadharau 😭😭😭

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 роки тому +4

    Ndugu yupo Sentro Mama sikitikia mwanao usikubali kurubuniwa na yeyote. Kwa nini usingemshauri mwanao aondoke tu na kama alikuwa anamfanyia hayo kwa nini msingemshitaki siku nyingi ona sasa kamuua mwanao .Hasara kwako ulikosea sana Mama pole sana

    • @neema_mollel
      @neema_mollel 2 роки тому +1

      Kbsa ,alifanyiwa ukatili siku nyingi

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 2 роки тому +10

    Hii familia inaonekana haina ushirikiano kuanzia kwa mama hadi kwa watoto wake

  • @Moto1234-jl5ti
    @Moto1234-jl5ti 3 місяці тому

    Mama pore sana ampumzishe kwaaman namwanga wa mirere umuangazie apumunzike Kwa amani amna❤

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 2 роки тому +13

    Wanaume wamekuwa wanyamamwitu! Nakupenda nakupenda nyingii, na makosa wafanye wao tukifanya sisi ni kifo tu! Sasa bora na sisi tuwauwe tu Aaah! Imekuwa hatari bora uishi katikati ya pori utaamka Asubuhi! Kuliko hizi ndoa

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому +1

      Sista tatizo nyinyi SASA hivi huwa hampendi mtu mnapenda alicho nacho yaani Mali,mwanaume akiwa Fara mnamuona boya,SASA vumilieni iyo Hali

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 2 роки тому +6

      @@salumjumaruhaga2513 sio wanawake woote wanao taka mali. Wengine tunawaokota wanaume majalalani tunawaogesha wakisha nga’ara ndio wanakuwa majeuri siku hizi wanawake tuna pambana

    • @zainabmohammed6700
      @zainabmohammed6700 2 роки тому +2

      Ndo muchukuwe maamuz y kuuwa au mbon nyiny mnatuletea wanawak ndan wanawak tunavumilia,,,,jichungeni

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому

      @@ummySheikh72 ilA ndio inahuzunisha,huyo dada Yule wa geita nae kapigwa visu,,

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому +1

      @@zainabmohammed6700 SASA madam unakuta mtu amekuoa Kwa pesa zake na sio mapenzi yaliyoko Dani ya moyo,pesa zake ndio zilizo Fanya kwenu akubaliwe,haraka ,Kwa hiyo kama pesa zake anauwezo kufanya lolote,

  • @alimwangabula5060
    @alimwangabula5060 2 роки тому +28

    Wanawake wanakufa kwaajili yawatoto jamani nani kama mama poleni wafiwaa

    • @Kidotii
      @Kidotii 3 місяці тому +1

      Hutakiwi kufa kwa ajili ya watoto wako unatakiwa kuishi kwa ajili ya watoto wako, toka kwenye manyanyaso!

  • @jasminiIssa-y2q
    @jasminiIssa-y2q 3 місяці тому

    Pole sana mama pita auwawe na yy watoto 😭😭😭😭

  • @telesiakaovera4381
    @telesiakaovera4381 2 роки тому +7

    Ningekuwa Mimi ndo mama huyo mke huyo pita angekomaa

  • @JulianaCelestine-o1f
    @JulianaCelestine-o1f 7 місяців тому +1

    Huyo Peter atakuwa anavuta bangi. Mama pole sana Mwenyezi Mungu ampokee kwake mbinguni

  • @belinamartini1768
    @belinamartini1768 2 роки тому +6

    Pole mama, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi

  • @FloraMpunza
    @FloraMpunza 3 місяці тому

    Pole sana mama. Mungu amhukum huyo pitar kwa alichokifanya.

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 2 роки тому +15

    Daaa jamani pole Sana mama kwa kumpoteza mwanao mpendwa hakika ni huzuni kubwa 😭😭Hii Tanzania yetu imeshakuwa ni nchi ya mauaji sas hivi kila mtu anajiamulia tu kuua ,kuua siku hizi imekuwa ni kawaida tu mauaji yamekuwa too much.Mungu tusaidie tuondolee roho ya umwagaji wa damu.R.I.P

  • @AdiliMkonge
    @AdiliMkonge 4 місяці тому

    pole sana mamangu mungu akutie nguvu mungu ampumzishe aisha salama

  • @umiy1971
    @umiy1971 2 роки тому +11

    Anaonekana alipata majiraha ya kuvuja damu ndani kwa ndani, mungemuwahisha matibabu pengine angekuwa hai . Na sie wanawake basi ushashikiwa mpaka panga na mwanaume huyo bado umeng’ang’ania hapo tu.

  • @RAMADHANIMAONA
    @RAMADHANIMAONA 6 місяців тому +2

    Wee mama mm unanitibuwa nyongoo loo inaniuma sana tena pita kamuuwa mtt wako tena bado unarud kwapita kulia msiba wamwanao siku elewi ndo kuvurigwa au atakama ume vurugwa ww ndo mvurugwe wote toweni msiba kwapita zilaeli tu huyo mwenyewe upo beba msba wamwanao hastailihuyo kupewa heshima yoyote muuwaj mkubwa huyo

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 2 роки тому +3

    Dah wanawake tunatesekaaaa jaman pole sana mama inasikitisha sana Mungu wangu tusaidie

  • @GetlidaMsongole
    @GetlidaMsongole 3 місяці тому

    Pole mama angu kwayote hao mungu akusaidie tu

  • @tabuomary1016
    @tabuomary1016 2 роки тому +11

    Pole Sana mama. Hawa wanaume siku hizi tuanatakiwa tuwaelewe, na ukae mbali na mume Kama tabia zake hazieleweki. Kujifanya unatunza ndoa ndio hivyo mauti yanakukuta. Mume ana tabia za ajabu , kipigo kwanini usiondoke !? Innalillah wainnailayh rajiun.

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 2 роки тому

      kweli kabisa

    • @nameloidd5241
      @nameloidd5241 2 роки тому

      Hii tabia ya kuambiana vumilia vumilia hii ndio mwisho wake mtanisamehee mimi siwezi,sasa watoto watoto leo unawaacha bora ungekuwa nao bila huyo mume

  • @getrudermassawe5499
    @getrudermassawe5499 4 місяці тому

    Pole sana mama Pita aliona upole wa hii familia ndo maana aliwaburuza anavyotaka mpaka ameua mke jamani Nashauri wanawake wasivumilie vipigo ingawa watoto wanaumiza sana na wazazi tukiona watoto wetu wa kike wanapitia mateso ya namna hii tusiwashinikize kurudi kwa waume kisa ndoa halali hamna haja ya kuhatarisha maisha yao huyo Peter ni mnyama hafai poleni sana familia na watoto sipati picha hawa watoto huu unyama walioshuhudia

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 2 роки тому +7

    Huyo mother nae aache unafki, Inaonekana huyo mtoto wake kapigwa sana tu kila sku afu hachukui hatua, Siangemshauri mtoto wake mapema aachane na huyo mwanaume! Mi siwezi kukubali mtoto wangu nilie mzaa akanyanyaswa! Nitasimama imara kujua ukweli! Siwezi!

    • @tnerdaniel6198
      @tnerdaniel6198 2 роки тому

      Ila mama anaongea kama hajaguswa anatuumiza watazamaji
      Wazazi waambie watoto wao wasivumilie vipigo

    • @maureenlilykiwia1515
      @maureenlilykiwia1515 5 місяців тому

      Mimi mwemyewe nimemshangaa mwanae analia kakaa naye anatoa macho kodoooo kha huu ni ujinga gani aliona nao huyu mama ..mwanamke mwenzangu nimeshindws kumwelewa

  • @anithaoyudi4586
    @anithaoyudi4586 6 місяців тому

    😢😢😢😢pole sana mama.yaani Mimi nitavumilia yote lakini sio kipigo

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 2 роки тому +6

    Pole sana mama, hao majirani nao ni wazembe sana mtu mnakaaje kimya mwanamke anashambuliwa hadi kifo, mnashindwa hata kuvunja mlango na kumshikisha adabu huyo bwana.?

  • @MagrethKimalala
    @MagrethKimalala 3 місяці тому

    Pole sana mama tumuombee dada etu apumzike kwa Amani

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 роки тому +12

    Yaani mtoto wako kauliwa Bado unawapa wanazika wao eti kisa kafunga ndoa duuu mama sijakuelewa 😭😭😭😭😭😭😭

    • @veronicajulius6741
      @veronicajulius6741 2 роки тому

      Mama mpole hajakutana na wamama waliopinda uyo mwanaume mama kashazeeka na ni mpole hawezi ata jinsi ya kutetea kitu nmeumia Sana jmn kwanza mwanae kaja kaumia afu alikua anamwambia apande kwenye gari Tena warud nyumbn sa cjui alichkulia kawaida

  • @yaelijoseph8742
    @yaelijoseph8742 2 роки тому +1

    Mimi jamani lawama nazitupia serikali, kwàsababu hata ukienda kushtaki wanawasikiliza wanaume nakutulaumu sisi wanawake 😭😭😭na ndicho kinachopelekea tunauawa kila Siku 🤷🤷🤷🤷

  • @salomejohn7963
    @salomejohn7963 7 місяців тому +3

    huyu mama mzazi amechangia mtoto wake kupoteza maisha hivi mtoto wako amekuja Yuko hoi halafu unakubari anarudi tena kwamwanaume bado hajapona

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 5 місяців тому

      Yaani huenda umaskini nao unachangia aiseeee!😭😭

  • @japhetchristopher8209
    @japhetchristopher8209 2 роки тому

    Jamani Inauma mama Mzee Mtt mdogo kakatiliwa maisha Yake Peter Mungu anakuona pole saana Familia bifu kwa watt

  • @rayanamrsshariff5777
    @rayanamrsshariff5777 2 роки тому +4

    Mama hukufanya wajubu wako maelezo yako meoesi Sana ,mtu yupo hoi mnakaa nae tu

    • @mwaget0815
      @mwaget0815 2 роки тому

      Umeonaeee... yaani mtu anaugulia yeye anamuangalia tu, angemuwaisha hosp kesi baadae

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj Рік тому +1

    Mzazi mwenzangu umenikwaza umenikwaza unapigiwa cm unasikia mtoto anasema nakufa nakufa umekaa kweli jamani jumba lite Hilo Kwa Nini hukuenda

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 2 роки тому +15

    Mtoto kaja nyumbani hoi mnamrudisha tena kwahuyo shetani mmh pole sana

    • @zamdakimaro8040
      @zamdakimaro8040 2 роки тому +1

      ALIKOSEA SANA KUMRUDISHA

    • @dotnathalazaro472
      @dotnathalazaro472 2 роки тому +3

      Nahis huyo baba alikua ndo tegemez ndo mana walikua hawana sauti

    • @RhodaMlowe
      @RhodaMlowe 7 місяців тому

      Yaani hapo ndio nimechoka eti anarudi kwake wapi kama ingekuwa kwake angepigwa hivyo . Hata huo msiba nisingeruhisu ukafanyike huko WA nini sasa. Wakati ndg Yao anaishi na mtt WA watu manyanyasi hivyo INA hawakuwa wanajua eti mkewe WA ndoa msiba ukawe kwake weweeee never

    • @RhodaMlowe
      @RhodaMlowe 7 місяців тому

      ​@@dotnathalazaro472hata Nyumbani alikuwa hawaachii pesa ya matumizi wanawe utegemezi huo UPI!! Ni mkatili tuu

    • @mwajumakudema5840
      @mwajumakudema5840 7 місяців тому +1

      Duh hao ndugu wa mume ni wajanja wanatengeneza mazingira ili ionekane huyo mume hausiki moja kwa moja na hicho kifo,, Yani kosa kubwa hapo mama ni kuamua kukaa na mtoto bila kumpeleka hosp ,,,,huko hosp general sijui hosp gan iliompokea huyo mtu amepigwa na kujeruhiwa mlitibu na pf3 kma ndio basi marehemu atapata haki yake na kma sio hapo uwezekano mkubwa marehm akakosa haki yake . Japo marehemu aliripot police lakini uwezekano mkubwa hapo RB ya marehemu isiunganishwe moja kw moja na sababu ya kifo chake ili kumsaidia mtuhumiwa ,,marehemu hana Haki😭 mungu awakuze watoto na amsameh mama yao

  • @fatnayusuph7810
    @fatnayusuph7810 5 місяців тому +1

    Tunaambiwaga tuvumilie umepigwa unarudishwa tena kwa aliekupiga😢😢

    • @salhafilms
      @salhafilms 3 місяці тому

      Hao ndo wazazi watu Yan mm nilimwambia mama Niue Tu ila sirudi Kwa Yule shetan

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 роки тому +3

    pole mama yngu hii tabia imekuwa sugu kwa wanaume

    • @emmanuelmuchunguzi45
      @emmanuelmuchunguzi45 2 роки тому

      Ni kweli Kama unamchoka mtoto wa mutu mwambie aludi kwao mrejeshe kwao mtt wa mtu

  • @hbabywaukwee3024
    @hbabywaukwee3024 2 роки тому

    Sheria ichukuwe mkondo wake....pole sana bibi kwa kuondokewa na mtot wako...inasikitisha sana

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 роки тому +25

    Mama ulikosea kumuacha arudi 😭😭rest in peace sister watoto jamani

    • @Kidotii
      @Kidotii 3 місяці тому

      Mama ni mtu mzima hizo purukushan haziwez

  • @FaridiKaoneka-e4u
    @FaridiKaoneka-e4u 2 місяці тому

    pole mama sio vizuri ni koss kubwa

  • @carinamatt1031
    @carinamatt1031 2 роки тому +5

    Huyo alikuwa na mwanamke mahali

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 6 місяців тому +1

    Pole Sana mama, ungechukua tahadhari mapema, Lakini marejesho ni tatizo lingine linalosumbua na kuhatarisha ndoa zetu

  • @alfarsialfarsi2754
    @alfarsialfarsi2754 2 роки тому +5

    Pole Sana mama Ila kwanini alivyotoka hospital akarudi Tena kwa mumewee yani vipigo ivyooo

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 7 місяців тому

      Karudi kwasababu ya mumewe ndio tunavyojidanganya eti ndoa mavi

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 7 місяців тому

    Poleni Sana wapendwa. Kwa Kuondokewa na mtoto wenu na watoto Kuondokewa na mama Yao mungu amsamehe makosa yake kwa kweli haya marejesho ni tatizo mkubwa Sana kwenye nchi zetu za ki Africa yani ndowa zinavunjika maisha WA watu yanaharibika na mwengine Kama hivyo wanasababishiwa mauwaji watoto wanayumba majumbani kwa kukosa male I bora ya Mama mana mama kutwa yuko resi na marejesho hii ni vita baridi kwa kweli

  • @letciamapunda8428
    @letciamapunda8428 2 роки тому +8

    Wanawake wenzangu mwanaume akisumbua achananae angalia maisha mengine

    • @gloriaaugustino8031
      @gloriaaugustino8031 6 місяців тому

      Bahati Bukuku akisema wanasema muhuni😂😂 ukifa wafa pekeako

  • @Wingu-c7h
    @Wingu-c7h 6 місяців тому

    Ni mtihani mkubwa sana Mungu akupe nguvu Mama Angu na poleni saaana na Mungu atakulipia kwa yote aliyotendewa mwanao😭😭😭

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 роки тому +11

    Yaani kupigwa na mwanaume siwezi vumilia huu ujinga kwani kuishi single sh ngapi??¿

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 2 роки тому

    Polesana Mama,poleni sisi wamama wotee tunaopatwa namajanga ktk uzaziwetu,Polemchungaji Kiula mtaniwangu,Watoto wetu wakike hawapisalama.

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 роки тому +4

    Kufeni tu c ving'ang'anizi wa ndoa na bado

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FebroniaMassawe
    @FebroniaMassawe 6 місяців тому

    Mama pole Sana jamani ukimchoka mtu si umwache kwani nilzima akae nae 17:03

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 2 роки тому +11

    Pole sana mama yangu mumgu amrehem wajina wangu 🤔😭😭😭 huyu mmewe afie jela in shaaj🤗😭

    • @njuka3515
      @njuka3515 2 роки тому +1

      hachukuliwi hatua yoyote na ataendelea kuishi tu

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 2 роки тому

      @@njuka3515 saahii yuko ndan😥🤗

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому

      Pengine uyo mama anali,siku inaletwa posa ndie wakwanza kupokea,na kuuliza mkwe anafanya kazi,kaambiwa ana mabiashara yake makubwaa. Magari ya kutembelea,manyumba ya kupangisha,,,tuvumilieni na yabadae yanapo tokea

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 2 роки тому

      @@salumjumaruhaga2513labda

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 2 роки тому

      @@salumjumaruhaga2513 mungu atusa8die waja wake 🤗🤗

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 2 роки тому

    Eti vidonda vya tumbo
    Si vimetokana na mateso ma kumbuka mateso mama yangu alio pitia 🙌🙌🙌🙌🚶‍♀️

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 роки тому +3

    Wanawake jifunzeni kupigana.. ukipigwa na wewe pigaa kweli kweli!!bora watu wabaki single. Na nyie wazazi mtoto anapigwa kila siku mnabaki kumwambia avumilie. Acheni ujinga. This is nonsense!!

    • @neema_mollel
      @neema_mollel 2 роки тому +3

      Mm namiliki chuma siku akileta upuuz namtwanga ya mguu

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 2 роки тому +1

      @@neema_mollel piga ya kichwa kabisa afeeeee

    • @angelaloy4332
      @angelaloy4332 2 роки тому +1

      nina shoga angu anapigana mpaka shemu anakimbiaa

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 2 роки тому

    Kipigo siwez kukivumilia nitaachika TU 🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @nyangigenyabitwano1180
    @nyangigenyabitwano1180 2 роки тому +20

    Mi mwanaume hanipig hata siku moja, kofi tu naondoka zangu mie , watoto wataishi tu kwani nikifa wataishije

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🙌

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 2 роки тому

      Sijaelewa kwann watu wavumilivu kiasi hicho cjui ndio sifa

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 2 роки тому

      Sijaelewa kwann watu wavumilivu kiasi hicho cjui ndio sifa

    • @happymlowe497
      @happymlowe497 2 роки тому

      Ndugu mshukulu mungu huyu mama alikuwa akiludi kwao anaenda kumpigia hukohuko isitoshe hata pale mtaani watu tunamuogopa

    • @didamanyanya4893
      @didamanyanya4893 2 роки тому

      Wewe ni mimi kabisa siku atamke tu nitakupiga atoniona tena nitaama ata mkowa

  • @PetrolinaSipriani
    @PetrolinaSipriani 6 місяців тому

    Polen sana jaman mungu atulinde siss Wanawake

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 роки тому +3

    Ndugu wa marehemu nao wazembe jamaaanik ndugu yenu kaja anaumwa nyiiieeee mnamuangaliiiaaaa tuuu badala mumpeleke hospitali jaaamaani

    • @fidesbernard4835
      @fidesbernard4835 2 роки тому

      Yaani inaumiza.

    • @jamilakiroga7483
      @jamilakiroga7483 7 місяців тому

      Huyu dada kafa kwa uzembe wa family yake

    • @marymauya9207
      @marymauya9207 7 місяців тому

      Kabisa aisee hata mama yake simwelew anachokiongea ​@@jamilakiroga7483

  • @MerinaGuntram
    @MerinaGuntram 5 місяців тому

    Huyo mwanaume alikuwa na jambo lake, pole sana mamaangu, mungu akupe wepes

  • @veronicaamsi8280
    @veronicaamsi8280 5 місяців тому

    Nimeumia sana kumbe hatujui wanaume wengine jmn machozi yangu Mungu aone mkiona hivo vitu ondoka Dada angu ondoka mdogo Wangu kimbia jamii itusaidie,,,,, uwiiii hao watoto wake,, Mungu wape familia faraja....

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому +4

    Dodoma sasa ivi inamatukio jamani

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 7 місяців тому

    Wanaumeee muwe mnafikiria kabla kutenda 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @reginasigera4204
    @reginasigera4204 2 роки тому +4

    Nime muelewa mama anacho zungumza Hawa wanaume Hawa eeee mungu anisimamie

  • @KaburaaronManyasa
    @KaburaaronManyasa Рік тому

    😭😭😭😭😭 inauma saana kwanini wanaume mnakuwa hivo mbadirike jaman

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 7 місяців тому +4

    Atakuwa aliumizwa figo na damu ikaganda ndani

  • @shamsaismaily3476
    @shamsaismaily3476 2 роки тому +1

    MIMI NILIKUWA NAPIGWA KILA SIKU NA X MME MPAKA LEO NIMEKUA MBOVU WA MGONGO NILISEPA ZANGU NA MAISHA YANGU MAPYA SITAKI TENA MAMBO YAKIPIGO ...NAENJOY LIFE YANGU...MWAKA 7 TANGU NIACHIKE NAENJOY SANA MPAKA NAJIULIZA NILIKUAGA WAPIII...USIJEVUMILIA KIPIGO

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 роки тому +7

    Ee Mungu baba tusaidie jamn 😭😭😭😭😭Pole Sana Mama

  • @Manka1Murro2
    @Manka1Murro2 5 місяців тому

    Mwanaume wa kunipga mm mama wa kimachame hajazaliwa Bado aseeeeeee 😊

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 роки тому +6

    Yani Wanawake tutamalizika kwajili ya Wanaume, Wanaume, Wanaume mkiona mmewachoka wakezenu wapeni talaka warudi makwao

  • @Kidotii
    @Kidotii 3 місяці тому

    Jamiii inachangia wanawake wakitoka kwenye ndoa mnawasema! Haya sasa endeleen kuzika! Jamii ibadilike wanawake token kwenye hizo ndoa za kifo, R.I.P kipenzi😢

  • @naomisamwel18
    @naomisamwel18 2 роки тому +7

    Yaan duh kwakwel mmi mwenyew huku nimekimbia ctak kbsa upundapunda😏

  • @PriscaMwangama
    @PriscaMwangama 3 місяці тому

    Bwana yesu tusaidie pekeetu atuwezi😭😭

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 2 роки тому +3

    Wanawake bado hawajajielewa umepigwa hoi bado unarudi kwako, mtu kapigwa hata Kituo cha polisi hamna, lazima tujielewe wanawake hali imekuwa mbaya

  • @gracegeorge4848
    @gracegeorge4848 Рік тому

    Namshkuru mungu sjawah pata mwanaume wa kunipiga na haitatokea...ntamkata korodani mamae zake

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 роки тому +20

    Story yako inasikitisha sana…. Mmefanya uzembe wa hali ya juu sana😭😭

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 2 роки тому +1

      Yani mno

    • @liciouscharles3370
      @liciouscharles3370 2 роки тому +1

      Uzembe mkubwa

    • @nsumburoote2486
      @nsumburoote2486 2 роки тому +1

      Eti Hata kupeleka hospital wangeweza kuokoa maisha yake

    • @mariakabonga2
      @mariakabonga2 2 роки тому +1

      wakati mwingine panahitaji maamuzi magumu jirani zangu pole sana mama

    • @marthaswai1185
      @marthaswai1185 2 роки тому

      Ukisikia binti yako anapigwana mume,mshauri akimbie kabla ya kifo.Pepo la kipigo lipo kazini.

  • @IsayaKanuya
    @IsayaKanuya 6 місяців тому

    Polen sana mama kwa uchungu mkubwa Mungu awatie nguvu

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 роки тому +13

    😭😭😭😭😭😭.. Nilipitia kipigo watu walijua nimekufa mungu wa ajabu ni hai mwananyamala hospital mungu awabarki

  • @Kidotii
    @Kidotii 3 місяці тому

    Ila mama msimlaumu ni mtu mzima, hawez purukushani hizo ! Pole mama

  • @oldavidasemu2420
    @oldavidasemu2420 2 роки тому +3

    Maaaaa pole sana

  • @RamlaKimaro-f2y
    @RamlaKimaro-f2y 7 місяців тому +1

    Mama unahekima sana mungu atuhurumie wanawake tunakufa ili kutunza stara ya ndoa na kulea watt wetu

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 роки тому +7

    Yesu wangu ntakaa mwenyewe tu hawa wapumbavu sitaki hata kuwasikia

    • @simplyfay5308
      @simplyfay5308 2 роки тому

      Me too Mungu anisamrhe km natenda dhambi🙌

    • @fredrickymuxhy668
      @fredrickymuxhy668 2 роки тому

      Wew mama pia mbaya kwa nin usimpeleke siku zote mpaka alale kwako siku zote hizo

  • @mpokijosemwakifuna4170
    @mpokijosemwakifuna4170 2 роки тому

    Pole mama Ake kwauchungu w pita mbwa mkubwa ulivoona umechoka ungemludisha kwasabu we sio ulie mzaaa mpumbavu mkubwa kumuuwa dada wawatu nyoka we

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 роки тому +5

    Asanteni kwa kumkamata mtuhumiwa kwakweli shelia ifate mkondo wake.hasila hasala

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 2 роки тому

    Wewe mama ni mzembe sana kwa mini umekubali mwanao azikwe huko eewe mama mjinga sana

  • @halimasul6018
    @halimasul6018 2 роки тому +4

    Sema wazaz MDA mwingn tuwe na maamuz mlipo pataa taarifa mar moja mbili kwann msiende huko...tatz linapotokea tusilichukulie kirahs bhnaaa

    • @nyamburanyaega1990
      @nyamburanyaega1990 2 роки тому +1

      Kabsaaa inauma mzazi anasema vumilia uvumilie kifo kinakuja

    • @zainabmohammed6700
      @zainabmohammed6700 2 роки тому

      Ni kweli kabisa matokeo yote ayo bdo t anasem avumilie t dah mam pole lkni ulipaswa kuchukuw hatuw y kumsaidia bint yako ,,,,hukuwez kumsaidia n uyo peter alikuw anamfanyia kusud akijuw mke han msaaada wowote jman wazaz tujielew haw wanaum sku izi wametufanya km magogo kitu kidogo wanatuuuwa