JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI
Вставка
- Опубліковано 27 лют 2021
- Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo
Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!
tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu
Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote
Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..
Umenichekesha....bila Shaka Ni waarusha
Alikuacha nini
😂😂😂
😂😂😂
Bora hakuliwa ndogo
Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango
Khahahahah
Nimecheka kama mazuri
Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri
Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta
Muongo huyu Happy muongooooo
🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝
Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂
Tupo 🤗😃
Tupo
Tupoooooo
tupooo
Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu
Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like
Umesema vyema
Liko wazi uyo demu kapangwa na mshikaji😥😥
Ndivyo ilivyokua ila malipo ni hapahapa dunia.
Polesana swayiba
Kabisa!!!
Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote
Habari zao ni za kweli
Poresana bro
Hakikaaa
Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu
Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.
We nisaidie mm bhana
Hairuhusiwi kuwa falagha na mwanamke wa mtu
@@user-kf6wy8gs1saliyataka mwenyewe
Hahaaaa kwahiyo hata kama nidadako anauliwa na mumewe utamwacha hahaaa
Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona
Dunia imeisha hawana uluma
Hakuna mke wa mtu hapo
@@user-kf6wy8gs1shatakama ni mke wake atakata wanaume wenzie wangapi? Adili na mkewe
Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢
Ingekua mkeo usingesema hivyo
@@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana
Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"
Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje
Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.
dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda
Kuwa na huruma hata kidogo basi🤣🤣🤣🤣🤣
@@rosetembe3785 huruma gani?
Mke wa mtu sumuuu
Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya
kweli kabisa
mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....
Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭
😂😂😂😂
Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu
huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2
@@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa
@@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu
Waambie hao,watu wanagharamia etii
Mmmmmmh jmnn
Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄
Hata mm nahisi hivyo
Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii
@@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu
@@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂
Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu
Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri
Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu
🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏
Nmecheka jamani
Umenichekesha ati hayasikii
Ahaaa
Hahahaha hahahaha hayasikii!!!!
Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu
ETI...wapenda wake za watu
Ijamanii
Polee
Duh
Nashangaa ushauli wa kweny nyasi
Kwenye minyaa,tena ucku
HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?
Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine...
Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇
Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma
Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni
Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako
Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada
Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima
Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI
SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo
@@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada
Yes
Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe
Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭
Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja
Daa pole madam boss
@@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri
Madam nawe kuja kwangu
Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂
Uyo mwenyewe anaonekana tyu ajatulia kuma uyo
Kweli kabisa
SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE
Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake
Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule
Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali
@@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake
Angekutana nae kwa Mme wke xaxa
Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃
Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious
Hahahaahaaaa nimecheka wiki nzima
Hahahahahahaha na simu akakumbuk kwamba kachukuliwa woiii
Wachaga Bana hajaa
kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu
Umeona eee
Umeona eee
Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako
Huyu kweli kafumaniwa kweli,wangeenda kuongelea kwake na mkewe akiwepo, why vichaka?
ua-cam.com/video/G90XMSRFaGM/v-deo.html
Kwann asimshirikishe mkewe
Mmmmm jamani nani aujuaye moyo wa mtu
Kafumaniwa huyo tena mshenzi sana mkewe ana mimba kamuacha nyumbani kaenda kucheat na mke wa mwenzie
Jaman jamani nakumbuka nikiwa na miaka 9 yaan cjabalee niliona jamaa mmoja anapigwa kisa mke wa mtu nikasema nikiwa mkubwa ctaki mke wa mtu hadi kufa kwangu.wewe ni mwana kulifindi ni mwanakuligeti
Hata mimi boy nilishawai kuona mtu anapigwa kisa fumaniz ,nakumbuka nilimwambia mama sitokuja kutembea na mke wa mtu
Pola
Acha kabisa mwana
Kwa maelezo ya mwanamke hakusema huyo ni mumewe bali ni baba watoto msiseme mume huyo ni mzinifu tu
Wote wawili ni wazinifu watupu hakuna mume hapo vip mnasema mume kwenye ndoa mlikuwepo?
Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa
Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza
Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........
Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu
🤣🤣
Saluti ayo Asante sana nashukuru kwa elimu hii
Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌
mambo,, au mamboo
Duuuu maskn
Huyu kijana aliyemkata masikio mwenzake ana makosa lakni na huyu baba ana makosa vile vile kwa nini utawasiliana na mke wa mtu kisirisiri halafu ni wakati wa usiku , wewe Mzee unamakosa pia , nafikiria litakuwa funzo kwako kutorudia Mara ya pia vile vile itakuwa funzo kwa wenye tabia na kujifanya wao ndio vidume
Ogopa sana kutombewa.
Mwenye makosa ni huyo dada
@@patrictluway7110 Amna mwanamme anatakiwa kujiongeza sana
Pole sana kaka
Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin
hahaha muongo uyo
😂😂😂😂😂 kanifurahisha huyu Dada kwa ukweli wake pole bro yataota mengine.
Yataota Lin hayo masikio duuuu
😆😆😆yataota mengine
@salha.d chizi wewe😂😂😂
Ahhhhhhh salha umeua duu yataota vp au aanze kumwagilia maji yachipue.🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin
Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.
Kwa namna yyte ile,mhusika ANATAKIWA AKAMATWE haijalishi walikua wana UHUSIANO or not
Ila yeye kampatia Tuition
Mke wa mtu sumu bro
Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma
Allah amsaidie🤔
Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu
Nanyinyi wanawake mnasumbua sana. Mimi Kuna mwanamke tulijuana fb, nikamtongoza akagubali anakaa mbalikidogo, Sasa tumeanza mahusianotu yakwemye cm nabado hatujaonana huyumwanamke kanipenda mpaka ananitumia picha zake zachumbani. Saanyi gine anajirekodi yukouchi anachezea kisimi Sasa juzi nimetumia sms haikujibiwa badae nikapigiwa namba ngeni kumbe nimmewake. Wakati Mimi najua hajaolewa Yaani wanawake? Nimasjetani kabisa
wote ni wazinzi tu hao
Haaaaahhh
Umeonaee🤣🤣
Na sawa sawa alivyokatwa masikio yaani mda huo baada kukaa na mkewe tena ni mjamzito akimliwaza kaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu jamaa hatosheki looh hapewi pole mwenye kilanga
Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,
Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way
duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)
Mtu wa mtu nisumu ila jamaa alikuwa anamla huyo demu
🤣🤣🤣 aki ww 🤣
Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo
Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali
Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂
Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe
Mmmmmh kweli mke wa mtu sumu..duh..pole zake,si ni hayo maskio hayaskii eeeh?ngoja wayatoe..binadamu wabaya....Mungu amtie nguvu
😃 😃 😃 Jamani
Amtie nguvu ya nini ili aendelee kuiba wake za watu?
Pole kaka heeeee si kumkata masikio
Huyo binti alikuwa pamoja na mumewe loooh
😃😃😃😃asitudanganye wanakulana hao
Dah pole Sana broo ndio mitahn hy il saiv usiwamin tn wat asilimia 💯
Pole San kak
Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana
Mdada kasema walikuwa na mahusiano ya miezi 2
Basi wamkate masikio tu
MKE WA MTU SUMU 🙏🏼
Mdada atawekewa biti aseme lile mumewe anataka
Labda ameamua kusema hivyo ili kumuokoa mume wake. Maana huo ushakua msala maelezo kupindishwa ni kitu cha kawaida kabisa kwenye kesi kama hizi.
Walikatilie mbali wanaume nisiyo kabisa
Huyu dada nae mshenzi Sana. Unamsaliti mumeo kwa ajili ya msaada???? Na kmaa kweli mumeo alikuahidi atakusomesha so ungevumilia. Inaonekana hata angekupeleka chuo bado ungeendelea kudanganywa na wengine wenye kipato zaidi ya mumeo kwa kisingizio unahitaji msaada??? Amaa kweli duniani Kuna mambo
😂😂😂😂😂
Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu
Next time utakatwa chululu.! Mazoea na mke/mme wa mtu mwiko.
Hahaha umenichekeshaa wewe atakatwa kweliu
Hahahaha AAA chululu tena anayejua chululuuuuuuuu🤣🤣🤣
Hahahaha
Hahhahaahhahahahahahaahh hahaahhhahahah uwi 😃😂
Wew mkuu umekutwa juu ya mzigoni bna acha kumchelewesha miladi ayo na mambo yake mshukuru mungu ujauawa make una bahati Sana broo
Na masikio hana ataambia watu nini
Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa
Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.
@@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝
@@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.
Sijawahi kuona Mwanamke mpuuzi na mshenzi Kama wew,,kufupi wew ni muongo na nitapeli ila tambua kua mwisho wa ubaya ni aibu,,,leo umemsababishia mwenzako ukilema nawew siku yako inakuja mbwa wa kizanzibar wew,,ungekua karibu yang nishakutoa pua,,
Pole sana ndugu yangu..Mungu akuponye..
Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea
Mbona mmemuachia pua mngekata na hiyo pua kabisa mamae 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 noma sana
Yaani mdogo wangu mwishoni huyo kaka atakuuwa wewe kashazoea kuona damu za watu, lakini jamani mke wa mtu na mume wa mtu jamani kwa nini kufanya hivyo?
dogo sere
Bora ulikatwa masikio Mimi ningekutoa uhai
Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu
Shida jamaa kaoa mke mzuri, Sana nzi wanamzungukia
Dahhh pole sana
Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!
Yaani Mimi natamani kuwa polisi kwa sababu nipo tayari kujitoa hata mwili wangu lakini lazima niwatete wananchi yaani mtu anafanya uhalifu kama huo alafu polisi wananyamaza duh kwa kweli mweshimiwa rais hawatungui bure rais wangu watumbue hao embu mliopewa mamlaka wasaidieni wananchi hiyo kazi mmepewa na mwenyenzi mungu
Ulikuwa unataka kusemaje nikielewe
Yaan muongo ni muongo tu bora wangekuua tu wewe malaya
Kiujumla huyu hapy hana adabu unachati na mtu hapo hapo kijijini ulioyataka ndio hayo kwanini uliolewa ikiwa bado unauhitaji mshamba kweli wewe.siungeenda mjini babati mukamatwe vizur😂🤣🤣🤣
I support u
Malaya nani hapo,
Demu au Msela?
Walikua wamekumbatiana wakiambiana mambo ya shule.Hahaha
🤣🤣🤣🤣hatarrrrrrr
🤣🤣🤣
Hahahahaha..........nimecheka kwa sauti kubwa 🤣
Quick recovery bro,,bt funzo kwa wengine 😂😂😂
Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel
Kuna kitu tunafichwa hapa ila kwa umri nilionao hii adhabu siyo mbaya sana kwa mjuba...yeye sio consultancy wa wake za watu walio shindwa kuendelea na masomo..
Duuuuu kweli mitandao imeniweka juu yaani comment yangu nayo ina somwa na watu nchi nzima.
Jinga wewe toto
usijitukuze kwa kuwa yupo anayestahili kutukuzwa.
😂😂
Comment yako itasomwa na wachache sana, yaani watu wasiozidi 100, wakti nchi nzima inakaribia million 60; watoto milion 15, wazee milion 10,
Wenye smartphone million 10 tu ambapo kati ya hao subscribers wa Ayo TV ni milion 3.32 of which kati yao mpaka sasa kuna Views laki 220 kati yao comments ziko elfu 15 pekee na kati yao una likes 13 na comments 3 tuu...!
Mpaka hapo ulishajua wangapi wamesoma..!
Alafu bado wasema "Comment yako imesomwa nchi nzima"
....ahahahaaaaaa...!
@@chiefmahucha6847 acha wivu,ayo ni maneno yake
Daaa pole sana
Fundi Fundi acha kutuzuga bana mzigo unamega kisela yaani unamjua mpaka background record 🤣ila pole sana 40 zako zimefika unastahili ulichokipata na watoto wako wakikua na kukuuliza baba skio vipi usione tabu kuwajibu japo kwa kifupi sana"mke wa mtu sumu"🤣..binti eti tulikuwa tumekumbatiana 😆
Hahaaha
Huyu alikuwa anatafuna amepata anachositahili
Hatar lakin salama
Duuuu,haya mambo so powa nimekoma Mimi kutembea na wake za watu,kama unaamini kuwa Mimi nitaacha hii tabia gonga like japo Mimi sina tabia hiyo,
🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Acha mke ya m2
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 akiiiiiii jaman ww ucseme huna ss utaachaje km huna
Mpk wakukate iyo chururu ndo utaacha
Poleni sana, i understand .
Mmh pole bro lakin mngeend sehem ya wazi bana jamaaa alikuw analinda utamu wake 👌
Kweli kabisa
Haki unabahat sana bro agekuua Jaman wivu nimbaya sana huleta hasara inasikitisha sana kwa kweli tuwe makini na wake za watu na waume za watu ni sumu 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Pole broo mungu mwema utapona. 🙏
Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.
Dada km unasema uwongo ipo cku utauliwa na wew au ukatwe kisimi chako
haaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa yupo vizur.mke wa mtu sumu ila alienda na maziwa kwa uhakika zaid
😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa alikua na maziwa lakini...
Itakua sumu ilikua kali zaidi🤣🤣🤣
We kaka!!ety alienda na maziwa.
Mmhh dunia Haina huruma jamani,Mungu tusaidie😭😭
Pole sana kaka mungu atakuponya.
Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania.
Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.
🤣🤣🤣 Huyu msichana amemuuza jameni 😂😂😂😂😂
Nikweli walipa gana nahuyo jama wake
Safari nyengine akirudia atakatwa makende. Mkataji nampa kongole amefanya vizuri sana. Congrats d
Sio vizuri, sasa atawakata wangapi? Mwenye kosa ni mke kwa nini akubali wakati yeye anajua yeye ni make wa mtu jamani??
Duh mwenye kujua ukweli ni Mungu ila damu ya MTU haipotei bure...
point ni kwamba, utakaaje faragha namke wamtu? hata kama hamdate sio sawa ..huyo mbona kakuhurumia🤣🤣🤣angekutoboa na macho kabisa
Godfrey kapalale waat!!
@@maximilanangila8762 kahurumiwa ndio! Yaani unaakili timamu unakaa na mke wa mtu vichochoroni tena ni usiku , sometimes tuwe tunajiongeza ana bahati jamaa angemuua kwa ujinga wake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mnavyo ambiwa mke wa mtu sumu hamuelewi?
Hiyo ndo ingekuwa dawa nzuri..
@@beilababy7614 mke wa mtu sumu yeye si alienda na maziwa yake jaman😂😂😂😂
Duh sina la kusema 🙏🙏
Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana
Weuweee magugu ake ayo tv big sharaut kwenu