JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 лют 2021
  • Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo

КОМЕНТАРІ • 2,3 тис.

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Місяць тому +3

    Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 3 роки тому +8

    tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu

  • @saumuissa4429
    @saumuissa4429 3 роки тому +8

    Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote

  • @margrethmateru4812
    @margrethmateru4812 3 роки тому +29

    Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 3 роки тому +155

    Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 3 роки тому +4

      Khahahahah

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 3 роки тому +2

      Nimecheka kama mazuri

    • @Iragibarune1.
      @Iragibarune1. 3 роки тому +3

      Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri
      Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 3 роки тому +4

      Muongo huyu Happy muongooooo

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 3 роки тому +2

      🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 3 роки тому +39

    Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 роки тому +2

    Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu

  • @ramadhanisaidi5729
    @ramadhanisaidi5729 3 роки тому +67

    Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 3 роки тому +90

    Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote

  • @emanuelmtenda6419
    @emanuelmtenda6419 3 роки тому +5

    Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu

  • @andrewsteven5375
    @andrewsteven5375 3 роки тому +12

    Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.

    • @rahmadizer1744
      @rahmadizer1744 3 роки тому

      We nisaidie mm bhana

    • @user-kf6wy8gs1s
      @user-kf6wy8gs1s 3 місяці тому

      Hairuhusiwi kuwa falagha na mwanamke wa mtu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому

      ​@@user-kf6wy8gs1saliyataka mwenyewe

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 3 місяці тому

      Hahaaaa kwahiyo hata kama nidadako anauliwa na mumewe utamwacha hahaaa

  • @sadamumpepo3650
    @sadamumpepo3650 3 роки тому +5

    Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona

    • @mrchakaboycosma7047
      @mrchakaboycosma7047 3 роки тому

      Dunia imeisha hawana uluma

    • @user-kf6wy8gs1s
      @user-kf6wy8gs1s 3 місяці тому +1

      Hakuna mke wa mtu hapo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому +1

      ​@@user-kf6wy8gs1shatakama ni mke wake atakata wanaume wenzie wangapi? Adili na mkewe

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 роки тому +14

    Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢

    • @rugijofrey3685
      @rugijofrey3685 3 роки тому +3

      Ingekua mkeo usingesema hivyo

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 3 роки тому +4

      @@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 3 роки тому +1

      Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"

    • @danmanga7749
      @danmanga7749 3 роки тому +1

      Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje

    • @juliussechu9537
      @juliussechu9537 3 роки тому +1

      Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.

  • @sagayefamily5149
    @sagayefamily5149 3 роки тому +19

    dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 3 роки тому +10

    Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya

    • @bakarihamdouny1956
      @bakarihamdouny1956 3 роки тому

      kweli kabisa
      mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....

  • @mimahmadau7442
    @mimahmadau7442 3 роки тому +12

    Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 3 роки тому +49

    Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому +1

      huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 3 роки тому +1

      @@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому +3

      @@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 роки тому +2

      Waambie hao,watu wanagharamia etii

    • @gidioniezekieli9896
      @gidioniezekieli9896 3 роки тому

      Mmmmmmh jmnn

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +12

    Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 3 роки тому +1

      Hata mm nahisi hivyo

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 роки тому +2

      Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 3 роки тому +1

      @@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 3 роки тому

      @@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 3 роки тому +1

    Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu
    Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri
    Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu

  • @jamilakangezi4640
    @jamilakangezi4640 3 роки тому +11

    🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 3 роки тому +46

    Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 3 роки тому +7

    HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?

  • @livingstonesariah7765
    @livingstonesariah7765 3 роки тому +28

    Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine...
    Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q 3 місяці тому

      Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q 3 місяці тому

      Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni

  • @migwa100
    @migwa100 2 місяці тому +1

    Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 роки тому +87

    Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada

    • @ridhiwanikhalifa9036
      @ridhiwanikhalifa9036 3 роки тому +10

      Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 3 роки тому +6

      Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 3 роки тому +5

      SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 3 роки тому +9

      @@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada

    • @happyjohn7630
      @happyjohn7630 3 роки тому +3

      Yes

  • @madamboss348
    @madamboss348 3 роки тому +12

    Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe

    • @princesstunda7307
      @princesstunda7307 3 роки тому

      Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 3 роки тому +1

      Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja

    • @julianapaulo7298
      @julianapaulo7298 3 роки тому

      Daa pole madam boss

    • @omarymakota8252
      @omarymakota8252 3 роки тому

      @@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri

    • @billocesamwel2637
      @billocesamwel2637 3 роки тому

      Madam nawe kuja kwangu

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 3 роки тому +8

    Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 роки тому +3

    SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 3 роки тому +6

    Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 3 роки тому +19

    Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 3 роки тому +2

      Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali

    • @shabanfitnesstv3977
      @shabanfitnesstv3977 3 роки тому +1

      @@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake

    • @josephkomba64
      @josephkomba64 3 роки тому

      Angekutana nae kwa Mme wke xaxa

  • @barakamalipula9010
    @barakamalipula9010 3 роки тому +7

    Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃

  • @nemesshayo9370
    @nemesshayo9370 3 роки тому +4

    Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious

  • @eliyazacharia7660
    @eliyazacharia7660 3 роки тому +9

    kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 роки тому

      Umeona eee

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 роки тому

      Umeona eee

    • @ndambajuma7077
      @ndambajuma7077 3 роки тому

      Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako

  • @sethkavenuke123
    @sethkavenuke123 3 роки тому +28

    Huyu kweli kafumaniwa kweli,wangeenda kuongelea kwake na mkewe akiwepo, why vichaka?

    • @maderden7076
      @maderden7076 3 роки тому

      ua-cam.com/video/G90XMSRFaGM/v-deo.html

    • @agneskapwani3484
      @agneskapwani3484 3 роки тому

      Kwann asimshirikishe mkewe

    • @venencemgani6099
      @venencemgani6099 3 роки тому

      Mmmmm jamani nani aujuaye moyo wa mtu

    • @nasrahassanabioll6559
      @nasrahassanabioll6559 3 роки тому

      Kafumaniwa huyo tena mshenzi sana mkewe ana mimba kamuacha nyumbani kaenda kucheat na mke wa mwenzie

  • @marcoisaack9811
    @marcoisaack9811 3 роки тому +7

    Jaman jamani nakumbuka nikiwa na miaka 9 yaan cjabalee niliona jamaa mmoja anapigwa kisa mke wa mtu nikasema nikiwa mkubwa ctaki mke wa mtu hadi kufa kwangu.wewe ni mwana kulifindi ni mwanakuligeti

    • @mjelwajackson2346
      @mjelwajackson2346 3 роки тому

      Hata mimi boy nilishawai kuona mtu anapigwa kisa fumaniz ,nakumbuka nilimwambia mama sitokuja kutembea na mke wa mtu

    • @zainabuathumani2703
      @zainabuathumani2703 3 роки тому

      Pola

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 роки тому

      Acha kabisa mwana

    • @user-kf6wy8gs1s
      @user-kf6wy8gs1s 3 місяці тому

      Kwa maelezo ya mwanamke hakusema huyo ni mumewe bali ni baba watoto msiseme mume huyo ni mzinifu tu

    • @user-kf6wy8gs1s
      @user-kf6wy8gs1s 3 місяці тому

      Wote wawili ni wazinifu watupu hakuna mume hapo vip mnasema mume kwenye ndoa mlikuwepo?

  • @simonmisri6968
    @simonmisri6968 3 роки тому +15

    Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 3 роки тому +5

    Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza

  • @maximilanangila8762
    @maximilanangila8762 3 роки тому +10

    Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........

  • @boburasa6799
    @boburasa6799 3 роки тому +10

    Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 3 роки тому

    Saluti ayo Asante sana nashukuru kwa elimu hii

  • @muzyexperience
    @muzyexperience 3 роки тому +27

    Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌

  • @dulaabuu3476
    @dulaabuu3476 3 роки тому +11

    Huyu kijana aliyemkata masikio mwenzake ana makosa lakni na huyu baba ana makosa vile vile kwa nini utawasiliana na mke wa mtu kisirisiri halafu ni wakati wa usiku , wewe Mzee unamakosa pia , nafikiria litakuwa funzo kwako kutorudia Mara ya pia vile vile itakuwa funzo kwa wenye tabia na kujifanya wao ndio vidume

  • @paulmaro6708
    @paulmaro6708 3 роки тому +1

    Pole sana kaka

  • @davidkumulaga9419
    @davidkumulaga9419 3 роки тому +3

    Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 3 роки тому +7

    😂😂😂😂😂 kanifurahisha huyu Dada kwa ukweli wake pole bro yataota mengine.

    • @janemsigwa7343
      @janemsigwa7343 3 роки тому

      Yataota Lin hayo masikio duuuu

    • @fredrickbuteye7153
      @fredrickbuteye7153 3 роки тому

      😆😆😆yataota mengine

    • @Angeltryphone
      @Angeltryphone 3 роки тому +1

      @salha.d chizi wewe😂😂😂

    • @mudykai4950
      @mudykai4950 3 роки тому +1

      Ahhhhhhh salha umeua duu yataota vp au aanze kumwagilia maji yachipue.🤣🤣🤣

    • @amosyohana5351
      @amosyohana5351 3 роки тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 3 роки тому +5

    Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin

    • @justcenturion1275
      @justcenturion1275 3 роки тому

      Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 3 роки тому +36

    Kwa namna yyte ile,mhusika ANATAKIWA AKAMATWE haijalishi walikua wana UHUSIANO or not

  • @abdirazaaqhussein3318
    @abdirazaaqhussein3318 3 роки тому +3

    Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 роки тому +1

      Allah amsaidie🤔

    • @andrewmsofe6667
      @andrewmsofe6667 3 роки тому

      Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi6345 3 роки тому +3

    Nanyinyi wanawake mnasumbua sana. Mimi Kuna mwanamke tulijuana fb, nikamtongoza akagubali anakaa mbalikidogo, Sasa tumeanza mahusianotu yakwemye cm nabado hatujaonana huyumwanamke kanipenda mpaka ananitumia picha zake zachumbani. Saanyi gine anajirekodi yukouchi anachezea kisimi Sasa juzi nimetumia sms haikujibiwa badae nikapigiwa namba ngeni kumbe nimmewake. Wakati Mimi najua hajaolewa Yaani wanawake? Nimasjetani kabisa

  • @sniperinktattoo1407
    @sniperinktattoo1407 3 роки тому +23

    wote ni wazinzi tu hao

    • @gilongachristian1740
      @gilongachristian1740 3 роки тому

      Haaaaahhh

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 3 роки тому +1

      Umeonaee🤣🤣

    • @nasrahassanabioll6559
      @nasrahassanabioll6559 3 роки тому

      Na sawa sawa alivyokatwa masikio yaani mda huo baada kukaa na mkewe tena ni mjamzito akimliwaza kaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu jamaa hatosheki looh hapewi pole mwenye kilanga

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o 2 місяці тому

    Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,

  • @faithmlayda5306
    @faithmlayda5306 3 роки тому +3

    Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way

  • @estermbise1450
    @estermbise1450 3 роки тому +10

    duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 3 роки тому +41

    Mtu wa mtu nisumu ila jamaa alikuwa anamla huyo demu

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 3 роки тому

    Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo

    • @huseinikaji8208
      @huseinikaji8208 3 роки тому

      Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali

  • @edenihighness8691
    @edenihighness8691 3 роки тому +3

    Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 3 роки тому +4

    Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 роки тому +10

    Mmmmmh kweli mke wa mtu sumu..duh..pole zake,si ni hayo maskio hayaskii eeeh?ngoja wayatoe..binadamu wabaya....Mungu amtie nguvu

  • @sabraomar9638
    @sabraomar9638 3 роки тому +2

    Dah pole Sana broo ndio mitahn hy il saiv usiwamin tn wat asilimia 💯

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 3 роки тому +1

    Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 3 роки тому +9

    Mdada kasema walikuwa na mahusiano ya miezi 2
    Basi wamkate masikio tu
    MKE WA MTU SUMU 🙏🏼

    • @WaridawaridaWarida
      @WaridawaridaWarida 3 роки тому +2

      Mdada atawekewa biti aseme lile mumewe anataka

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 3 роки тому +2

      Labda ameamua kusema hivyo ili kumuokoa mume wake. Maana huo ushakua msala maelezo kupindishwa ni kitu cha kawaida kabisa kwenye kesi kama hizi.

    • @antiochiandyetabula960
      @antiochiandyetabula960 3 роки тому +1

      Walikatilie mbali wanaume nisiyo kabisa

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 3 роки тому +3

      Huyu dada nae mshenzi Sana. Unamsaliti mumeo kwa ajili ya msaada???? Na kmaa kweli mumeo alikuahidi atakusomesha so ungevumilia. Inaonekana hata angekupeleka chuo bado ungeendelea kudanganywa na wengine wenye kipato zaidi ya mumeo kwa kisingizio unahitaji msaada??? Amaa kweli duniani Kuna mambo

    • @estherimbotsi7553
      @estherimbotsi7553 3 роки тому +1

      😂😂😂😂😂

  • @drwebangila
    @drwebangila 3 роки тому +4

    Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu

  • @themoneytalktmt6521
    @themoneytalktmt6521 3 роки тому +10

    Next time utakatwa chululu.! Mazoea na mke/mme wa mtu mwiko.

    • @linahedward6873
      @linahedward6873 3 роки тому

      Hahaha umenichekeshaa wewe atakatwa kweliu

    • @cecygeorge4443
      @cecygeorge4443 3 роки тому +1

      Hahahaha AAA chululu tena anayejua chululuuuuuuuu🤣🤣🤣

    • @tinasulle101
      @tinasulle101 3 роки тому

      Hahahaha

    • @pyuritjuvenal7657
      @pyuritjuvenal7657 3 роки тому

      Hahhahaahhahahahahahaahh hahaahhhahahah uwi 😃😂

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 3 роки тому +2

    Wew mkuu umekutwa juu ya mzigoni bna acha kumchelewesha miladi ayo na mambo yake mshukuru mungu ujauawa make una bahati Sana broo

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 роки тому

      Na masikio hana ataambia watu nini

  • @lwitmwamba1732
    @lwitmwamba1732 3 роки тому +16

    Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 роки тому

      Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 3 роки тому

      @@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 роки тому

      @@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.

  • @cumaoyanga7208
    @cumaoyanga7208 3 роки тому +4

    Sijawahi kuona Mwanamke mpuuzi na mshenzi Kama wew,,kufupi wew ni muongo na nitapeli ila tambua kua mwisho wa ubaya ni aibu,,,leo umemsababishia mwenzako ukilema nawew siku yako inakuja mbwa wa kizanzibar wew,,ungekua karibu yang nishakutoa pua,,

  • @ditrickmilinga1054
    @ditrickmilinga1054 3 роки тому

    Pole sana ndugu yangu..Mungu akuponye..

  • @JidolaSegeja
    @JidolaSegeja 9 місяців тому

    Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea

  • @daudiminde8496
    @daudiminde8496 3 роки тому +4

    Mbona mmemuachia pua mngekata na hiyo pua kabisa mamae 😂😂😂

  • @nasserianmichael2161
    @nasserianmichael2161 3 роки тому +21

    Yaani mdogo wangu mwishoni huyo kaka atakuuwa wewe kashazoea kuona damu za watu, lakini jamani mke wa mtu na mume wa mtu jamani kwa nini kufanya hivyo?

  • @emmatz5251
    @emmatz5251 3 роки тому

    Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 Місяць тому

    Shida jamaa kaoa mke mzuri, Sana nzi wanamzungukia

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 3 роки тому +3

    Dahhh pole sana

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 2 роки тому

    Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!

  • @vodaphone9825
    @vodaphone9825 3 роки тому +1

    Yaani Mimi natamani kuwa polisi kwa sababu nipo tayari kujitoa hata mwili wangu lakini lazima niwatete wananchi yaani mtu anafanya uhalifu kama huo alafu polisi wananyamaza duh kwa kweli mweshimiwa rais hawatungui bure rais wangu watumbue hao embu mliopewa mamlaka wasaidieni wananchi hiyo kazi mmepewa na mwenyenzi mungu

  • @danmanga7749
    @danmanga7749 3 роки тому +11

    Yaan muongo ni muongo tu bora wangekuua tu wewe malaya

    • @cecygeorge4443
      @cecygeorge4443 3 роки тому

      Kiujumla huyu hapy hana adabu unachati na mtu hapo hapo kijijini ulioyataka ndio hayo kwanini uliolewa ikiwa bado unauhitaji mshamba kweli wewe.siungeenda mjini babati mukamatwe vizur😂🤣🤣🤣

    • @madamboss348
      @madamboss348 3 роки тому

      I support u

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 роки тому +1

      Malaya nani hapo,
      Demu au Msela?

  • @8pistons194
    @8pistons194 3 роки тому +8

    Walikua wamekumbatiana wakiambiana mambo ya shule.Hahaha

  • @patriciachebet6826
    @patriciachebet6826 2 роки тому +1

    Quick recovery bro,,bt funzo kwa wengine 😂😂😂

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 4 місяці тому

    Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel

  • @stepskills3917
    @stepskills3917 3 роки тому +6

    Kuna kitu tunafichwa hapa ila kwa umri nilionao hii adhabu siyo mbaya sana kwa mjuba...yeye sio consultancy wa wake za watu walio shindwa kuendelea na masomo..

  • @erickothegreat8353
    @erickothegreat8353 3 роки тому +23

    Duuuuu kweli mitandao imeniweka juu yaani comment yangu nayo ina somwa na watu nchi nzima.

    • @luganojacob
      @luganojacob 3 роки тому

      Jinga wewe toto

    • @samwelkitiku7087
      @samwelkitiku7087 3 роки тому

      usijitukuze kwa kuwa yupo anayestahili kutukuzwa.

    • @sebabway9670
      @sebabway9670 3 роки тому

      😂😂

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 роки тому

      Comment yako itasomwa na wachache sana, yaani watu wasiozidi 100, wakti nchi nzima inakaribia million 60; watoto milion 15, wazee milion 10,
      Wenye smartphone million 10 tu ambapo kati ya hao subscribers wa Ayo TV ni milion 3.32 of which kati yao mpaka sasa kuna Views laki 220 kati yao comments ziko elfu 15 pekee na kati yao una likes 13 na comments 3 tuu...!
      Mpaka hapo ulishajua wangapi wamesoma..!
      Alafu bado wasema "Comment yako imesomwa nchi nzima"
      ....ahahahaaaaaa...!

    • @AshuraSalum
      @AshuraSalum 3 роки тому

      @@chiefmahucha6847 acha wivu,ayo ni maneno yake

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 3 роки тому +2

    Daaa pole sana

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 3 роки тому +8

    Fundi Fundi acha kutuzuga bana mzigo unamega kisela yaani unamjua mpaka background record 🤣ila pole sana 40 zako zimefika unastahili ulichokipata na watoto wako wakikua na kukuuliza baba skio vipi usione tabu kuwajibu japo kwa kifupi sana"mke wa mtu sumu"🤣..binti eti tulikuwa tumekumbatiana 😆

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher3914 3 роки тому +6

    Duuuu,haya mambo so powa nimekoma Mimi kutembea na wake za watu,kama unaamini kuwa Mimi nitaacha hii tabia gonga like japo Mimi sina tabia hiyo,

  • @cuhgds4320
    @cuhgds4320 3 роки тому

    Poleni sana, i understand .

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 3 роки тому +11

    Mmh pole bro lakin mngeend sehem ya wazi bana jamaaa alikuw analinda utamu wake 👌

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 роки тому +5

    Haki unabahat sana bro agekuua Jaman wivu nimbaya sana huleta hasara inasikitisha sana kwa kweli tuwe makini na wake za watu na waume za watu ni sumu 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @matridamwaipembe299
    @matridamwaipembe299 3 роки тому

    Pole broo mungu mwema utapona. 🙏

  • @sophiangena6104
    @sophiangena6104 3 роки тому +1

    Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 роки тому +4

    Dada km unasema uwongo ipo cku utauliwa na wew au ukatwe kisimi chako

  • @joramkimario6174
    @joramkimario6174 3 роки тому +6

    Jamaa yupo vizur.mke wa mtu sumu ila alienda na maziwa kwa uhakika zaid

  • @rebecasteven709
    @rebecasteven709 3 роки тому +2

    Mmhh dunia Haina huruma jamani,Mungu tusaidie😭😭

  • @zirokamanda503
    @zirokamanda503 3 роки тому

    Pole sana kaka mungu atakuponya.
    Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania.
    Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.

  • @maryamkenya1306
    @maryamkenya1306 3 роки тому +10

    🤣🤣🤣 Huyu msichana amemuuza jameni 😂😂😂😂😂

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 роки тому +4

    Safari nyengine akirudia atakatwa makende. Mkataji nampa kongole amefanya vizuri sana. Congrats d

    • @neemageoffrey3586
      @neemageoffrey3586 3 роки тому

      Sio vizuri, sasa atawakata wangapi? Mwenye kosa ni mke kwa nini akubali wakati yeye anajua yeye ni make wa mtu jamani??

  • @anethndosi1515
    @anethndosi1515 3 роки тому +1

    Duh mwenye kujua ukweli ni Mungu ila damu ya MTU haipotei bure...

  • @godfreykapalale1546
    @godfreykapalale1546 3 роки тому +44

    point ni kwamba, utakaaje faragha namke wamtu? hata kama hamdate sio sawa ..huyo mbona kakuhurumia🤣🤣🤣angekutoboa na macho kabisa

    • @maximilanangila8762
      @maximilanangila8762 3 роки тому

      Godfrey kapalale waat!!

    • @petromwinyi4955
      @petromwinyi4955 3 роки тому +1

      @@maximilanangila8762 kahurumiwa ndio! Yaani unaakili timamu unakaa na mke wa mtu vichochoroni tena ni usiku , sometimes tuwe tunajiongeza ana bahati jamaa angemuua kwa ujinga wake

    • @beilababy7614
      @beilababy7614 3 роки тому +4

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mnavyo ambiwa mke wa mtu sumu hamuelewi?

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 роки тому +2

      Hiyo ndo ingekuwa dawa nzuri..

    • @reiratyarony416
      @reiratyarony416 3 роки тому +2

      @@beilababy7614 mke wa mtu sumu yeye si alienda na maziwa yake jaman😂😂😂😂

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 роки тому +3

    Duh sina la kusema 🙏🙏

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 3 роки тому

    Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana

  • @fairamkhan4744
    @fairamkhan4744 3 роки тому +1

    Weuweee magugu ake ayo tv big sharaut kwenu