Duuu nimependa sana Afande unavyoelezea kwa vielelezo na ushahidi wahilo kutosha na ushauri kwa wananchi,hongereni sana pia poleni sana kwa kazi mlionayo,ila dunia imeisha jamani,watu tunauana ovyo hofu ya Mungu hakuna,watu wanaenda ibaadani kilasiku ya ibaada lakini hawabadililki,Mungu tsaidie duuu Yesu na uje tu maana tumechoka
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
Mungu tujalie mwisho mwema maan saiv tanzania yetu imekuwa na matukio mengi😢😢 jamani huu ndo mwisho wa dunia
Daaahhh amemkatakat kam ngo'mbe wa buchan, kwanz huy binadam au mnyam hatar . Askar umetutolea huzun jins unavoeleza tukio nice expression
Daaa polisi hongeren kwa kazi nzuri sheria ifate mkondo
Asante kwa uchunguz wen waheshimiwa pia mungu awakumbuke wafiwa wote
Hongera kamanda kazi nzuri kweli mapepo na mashetani yana leta vifo uko sahihi
Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.
Hongreni san jesh la polisi kw kazi nzuri na pole kw familia n watanzania wte
Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana
Mbaya sana hii cjui binadam tumekuwaje mungu tu atusamehe kwakwel
Pole kwa ndugu imn
Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake
Daah afande kaongea kwa uchungu sana
Duuu nimependa sana Afande unavyoelezea kwa vielelezo na ushahidi wahilo kutosha na ushauri kwa wananchi,hongereni sana pia poleni sana kwa kazi mlionayo,ila dunia imeisha jamani,watu tunauana ovyo hofu ya Mungu hakuna,watu wanaenda ibaadani kilasiku ya ibaada lakini hawabadililki,Mungu tsaidie duuu Yesu na uje tu maana tumechoka
Hongera kamanda kwa kuripoti vizuri tukio.
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
Jaman Yani sahivi kuuuana ni kama kawaida tu watu hawaogopi jaman
Dada mimi naona wauliwe
😭😭😭😭😭😭
Upo elz jmn
Hongera afande kwa Kazi nzuri. Muoneshenu huyo mtuhumiwa afahamike na Wananchi.
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.
MASHA ALLAH KHEIR RPC KAMANDA HAMISI KONGOLE SANA NA VIJANA WAKO UPO VIZURI SANA
Yani nimekwelewa vinzuri sana asante kwakazi nzuri sana
Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji
Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah
Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari❤❤
😂😂😂Mungu atusamehe astaghafirul llah
Ahsante baba unaongea kwa uchungu mno baba ,,sukuma ndani uyo jambazi afai
Pole sana Afande na job nzuri, safi.....
Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya
Polisi hongelen mungu awabarki kwa kazi nzur
Kazi nzuri mungu abriki
Mungu awabariki amani itawale. Maaskari hongereni
Jaman ubinadamu ni kazi poleni sana afande kwa kanzi ngumu
Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali
Kabsa
Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢
Pepo
Jaman! Daaaaaah poleni sana
Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄
Eeeh MWENYEZ MUNGU wanadam wamegeuka c wanadam tena utuumbie upya roho hiz
Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..
Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia
Punguza fujo
Hivi si wamsagesage huyo aliyemuua mwenzake jamani auawe na yeye hivohivo
S2S2@jestinabenedict4620@@jestinabenedict4620
We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱
😂😂
Asante kwa kazi ya porisi muliyoifanya
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari
Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭
Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏
Hakika Tunahitaji Kutubu Toba Ya Kweli😭😭😭
Huyo bwana anyongwe kabisa
Mungu atusaidie nyakati za mwisho
Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭
Hongereni sana kwa kz nzuri mungu awabariki
😢😢😢😢 wayu wanaroho kama za wanyama ndugu wa marehemu poleni sana mungu awalinde
Kazi nzuri Askari wetu.
Poleni sana afande kwakazi ngumu
Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure
Kwel kabisa
Eeeeeeee mwenyezi mungu tusaidie nautuepishe nahizi roho 😭😭😭😭😭😭
Mbarikiwe sana jesh la polis kwa kaz nzr mungu awatie nguv
Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭
Safi sana kamanda upo vizuri kuliko alfred masako
Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema
Ma askar mnakaz ngumu Sana mungu awalinde yni hii kaz hii nisingeweza ya upolice uwiii
Emungu tusaidi jaman mtumishi wa mungu unafanya mauaji jama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
Vituk
Jamnii hongeren police kazi yenu ni njema
Hongereni Sana police mpo fasta sana
Dunia imeisha ni nyakati za mwisho Mungu atusaidie
Pole sana kamanda.
Subhana Allah. Upo vzr ktk kueleza
polen sanaa na hongeren jeshi la polisi
Tanzania nakupenda sana ila naomba nikuhamee😢😢😢
Daaah poleni ndugu
Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
Ongera sana kwa kuonyesha ushujaa na ushirikiano wa chombo cha dola
😢😢😢😢uwo ni unyama mkari WaTanzania tunaenda wapi mungu haulage roho ya m2mishi wake mahari pema Peponi 8:12
Poleni sana nduguzetu
Kamanda ni nimekuelewa unaupiga mwing hongera sana
❤jaman nyie achen masiyala
Mungu tusaidie wat tumekosa upendo tunauana tu mhhh polen dg😢😢😢
Akiwa Gerezani atubu Dhambi zake mbele ya Mungu Baba" hii dunia imezeeka mauji kila kukicha na itegemea Mbingu mpya na Nchi mpya.😭😭😭😭😭😭😭
Hakuna Toba yamuuwaji huyo auliwetu
Poleni sana ndug wa marehem😭😭😭😭
Dunia imeisha mungu amlaze mahali pema peponi
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Aiiii jamani Ghaiii 😳😳😳😳🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️mnasema nini,hii dunia ni kama Mungu alirudi kitambo akachukua wengine tukabaki wale wabaya
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
Pole sana
Dar safi sana yaani unaelezea mpk raha
Hahahahahahaha samahani Kwa kucheka...weww ni zaidi ya masanja
Mungu naomba utusaidie ya dunia mengi
Sub hanallah 🤦♂️🤦♂️🤦♂️duh wanadam tumekuwa naroho mbaya sn 😭😭😭
Daaaah tafadhali uyu mtumiwa anyongwe jamani
Duuuu!!!! Pole I sanaaaaa!!! 😭😭😭😭😭😭😭
Hii sio sawa kwa ubinadam
Tangia Mh Magufuli afariki nchi imeyumba sana sana, wanadamu tumekua hatuna hofu ya Mungu.
Na kwel!
Bora ye alkuwa anawakumbusha raia kuhusu mungu
Assalamu alaykum''
Bwana asifiwe"
Chif Hangaya Salam yetu
Nakusalinien kwajina la Jamuhur ya Tanzania"
Nasi" kazi iendelee
Leo afande umetangaza vizuri sana
Mh htr sana
Jamani binadamu tumekuwa kama wanyama,....Mungu atusaidie.
Uyu mtumiwa anyongwe nayeye aone uchungu wakifo
Kazi iendeleee
Jamani kwanini kila mtu anategewa na ndugu zake 😢😢😢
Hivi wauwaji huwa wanajisikiaje ,,Mungu wangu ... wanaweza kulala kweli Au wanakuwa wamechanganyikiwa
Hawa watu wapewe Adhabu Kali sana
Mungu awatie nguvu Wana familiya
Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭
DAR JA NA SIMBA DU
mambo
Jesh raporisi hongereni Sana kwakazi mnayofanya jina poch nene
Mungu tusaidie
jamsn inasikitisha san mungu atulinde kwakwel
Duuuu ndugu zangu Dunia imeishaa tudumisheni ibadaa
😢
SUBHANALLAH😭😭😭