Nakubali sana uwezo wako wa kufikiri. Hongera sana. Ujumbe ufike kwote ulimwenguni. Miti ubeba asili yetu, ubeba utamaduni wetu, Afya yetu, elimu yetu na maisha yetu. Maisha yetu utegemea sana mazingira yetu ya asili. Mungu akubariki wewe na timu yako
Napenda Kila kipindi yako Nabii..wewe ni akili sana. Taifa yangu in Liberian lakini ninajaribu kujifunza kiswahili kidogo Kwa UA-cam video katika Makarini.
Qariiii sana madebe. Kama unakubar madebe gonga like hapa tujuwane
Poa
Kamaa tunamkubalii madebee wapii likee jamaniii,,,anajuaa madebeeeeeee ni hatar
Hakika Nabii Mwenyezi Mungu Akuzidishie kuishi maisha marefu elimu tuyipatayo Toka kwako hakika tunaelimika🙏🙏🙏
Mbona ckuiz umepotea Sana kaka siokama zamani
Naikubali sana kazi yako nzuri inaelimisha jamii.
Nzur Sana tunasubir mwendelezo wa nabii mswahili!!
Unaeza sana Allah akusimamie Zaid kwenye kazi na kukubal sana madebe mie na familia yangu
Duuh 5 day npen like hata 100 jamon😔😔😊
Madebe unawakilisha Tanzania 🇹🇿 yetu kwa bongo movie keep it up brother 🔥🔥🔥 🔥
Sauti zuri mnoo hongera kwake uyo muimbaji mtungaji na mwandish wa nyimbo iyo
Anaitwa nani
Jamaa anajua
From kisii Kenya we enjoy your show
Safi
Huuu mwimbaji anacho kijua niku imba sana🇨🇩🇨🇩😂😂
Feysal machuya
@@more2559 ✊
Hii itakua kiboko zaidi sana tunakusubiri kwa hamu
Asante nabii Ila tunaomba mwendelezo waii filam
Watching From Northern Kenya,
Very Interesting. ✓
Hogera sana madebe kazi poa
Naisubili kwa hamu San iachie
Kweli hekaya za nabii mswahil
Hongera Nabii Mswahili, umenifanya kukimanya Kiswahili na kuyajua mengi. Asante
Tunangoja kwa hamu sana can't wait
Jamaa Anajua sana
Nashukuru kabisa kuhutazama filamu hii kiukweli niyenye kujenga
I really appreciate ur work madebe 🙌🤝🤝🤝
Wangapi hatukati miti tena
Mombasa-Kenya,nafuatilia tu kwa ukaribu sana
Nakubali Nabii
Mwendelezo wa matusi vp
Thank you for your work bro
Wakwnza like kwangu😋
Good .karibu Kenya dada.
Nakukubali sana brother
Hum noma kabisa jiwe akeangikia yai hasara kwake naikifikapo yai anaangukia jiwe hasara kwake huu msemo unahitaji ufumbuzi zaidi, kikubwa nikufuatlia kwa makini mbeleni tupasha kuelewa mengi zaidi
Kaka nimekuelewa sana ujue
Hongera kwa kazi unayoifanya madebe l,I wish that one day to meet you
Huu ni ukweli miti n yamaana sana katika maisha ya kiumbe yeyote mwenye damu
Kutokea Kenya madebe mengi umenifunza Kaka nakupenda sana
Hongera kaka
Ningependelea muwe mnaposti izo wimbo tuwe tuna sikiliza kwaku jifunza naku furaisha nyoyo zetu 🙏
Tunasubl kwA hamu sanaaaa
Huna mfano Tanzania brother,from 254🇰🇪
Nakubali
🤣🤣🤣🤣🤣 napenda hizi hekanya
Naisubiri maana zote nishamaliza
Heee saa kumi na moja Asubuhi??.. daaa unatukosesha uhondo
Madebe nimesubiri Sana ,iachilie
Bro uko vizur sana kwa mtu ambae hakuelew bs atakuwa mchawi
Paka anae samini kesho yake hawezi kula panya mwenye mimba
Madebe tunakuitaji zaidi ✊🏿
Nakubali Sana kazi zako kaka
Kwa kweli in kweli, asiyejua thamani ya mimba, huavya, anayeijua haika ni tasa
Kazi nzuri sana bro piga kazi achana na maneno na ubisho🔥🙏
Napenda huo wimbo kwa background, nani ameimba???💥💥
Great minds
Nakubali sana uwezo wako wa kufikiri. Hongera sana. Ujumbe ufike kwote ulimwenguni. Miti ubeba asili yetu, ubeba utamaduni wetu, Afya yetu, elimu yetu na maisha yetu. Maisha yetu utegemea sana mazingira yetu ya asili. Mungu akubariki wewe na timu yako
Totaly enjoyable real in life
Kenya commend
Nakupenda bure madebe
Safii
Like it❤
Asala kwa yai
Waiting
Iachiwee yoteeee kbsaaa kbsaaaa maaaaan imejenga maudhui na mafundisho
Finally it's here 🔥🔥🔥
Unafanya kazi nzuri sana
Hongera madebe
Oggy snaaa
Natamani kua kama madebe athman mbinga. Mm ni mkongo nipo goma. Nitajitahidi namimi niwe mswahili wa Drc.
Akoseag uyu jamaaa
Big up sana unajua
malizia
Tumeisubiri kwa Hamuu
Kenya
Kazi Safi kabisa
Duuh nakugoja hujawah kufel
*Muigizaji pekee Tanzania mwenye filamu zake*
Fupi sana
Kamanda unapasua Anga
Nceee
Kenya commedy
Tweve axante kwa kutuelimixha kijana
Smart
Iko poa
🔥🔥🔥
Darasa huru hakika najifunza mengi
Tuma hata kipande cha dk 30+
Iko njema
Punguzeni sifa
Napenda Kila kipindi yako Nabii..wewe ni akili sana.
Taifa yangu in Liberian lakini ninajaribu kujifunza kiswahili kidogo Kwa UA-cam video katika Makarini.
Hakika 💯🤣🔥🔥🔥
Hakika nn?
🤗😘😘😘
Asante kaka
Mwamba wa Tz hendelea kukiwasha
L.p. forever
Tuna subir
Vzur
Madebe vijana wengi tunajifunza kupitia kwako hususan kwenye ndoa
👏👏
Tunataka vitam kila kukicha wewe umiza kichwa kutunga tuko pamoja
Madebe nimekuelewa apo kwamba paka mwenye akili hawez kumula panya mwenye mimba
Kwasababu gani hawezi kula
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿🙏🏾🙏🏾
name of the song from the START?
Matusi...mliixhia wapi jmni na hii mxje mkaixhia njian bci