NGONDO Sehemu ya Tatu (3) Final
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Filamu hii inasimulia maisha ya mzee anaejulikana kwa jina la Mzee MBINGA,ni mzee mwenye misimamo katika maamuzi yake,kijana Dondora anaingia katika 18 za mzee huyo baada ya kutaka kumjaribu kwa kumuacha mkewe hatima yake anatambua kwamba mzee hataniwi...!!! Endelea kufuatilia Mkasa huu wa NGONDO
MAONI/MATANGAZO Tupigie
+255769000762
+255763308787
Leo jamani na miye ni wakwanza naombeni like zenu angalau 10 tu!
Uko vizur
Njooo uchukue like zako huku
njoo gheto uchkue
Hayachukua
kazi nzuri sana kaka madebe lidai. samahani kaka kwa hili, nilikuwa naushauri kidogo kama hutojari-:
1. ni kuhusu kukaa muda mrefu kidogo bila ya kuachia kazi baada ya kutoa kazi, sisi mashabiki wako tunapenda uachie kazi mfurulizo.
2. baada au mwisho wa kila kazi unayo toa, tungependa uwe unaposti nyimbo zilizo tumika katika kazi iyo. kwani nyimbo hizo huwa zinatugusa sana, tunatamani tuwe nazo kwa ajiri ya kuwa tunasikiliza.
samahani kwa ushauri huu, pia nakutakia majukumu mema.
Mbn nyimbo imepostiwa kabla hata haijaa hii movie
Hili sio tatizo nais anatumia muda mrefu kuandaa story nzuli kama hizi alizotoa apa mwanzo hakulupuki na kutoa tuu filamu zinahitaji maandalizi yakutosha
Namkubali
good work madebe lidai, keep it up
ahsante mzee mbinga kuonyesha wakati maalumu wa kutoa talakaaa.ume elimisha vya kutosha baba.
Madebe lidai sio Siri wewe Ni mkal Sana watu wanatamani ingrkuwa season ndefu 🔥🔥🔥🔥🔥
Nimechelewa lakini so Sana nombeni like za madebe apa
napenda sana kaz za madebe anafanya vizur kwakweli
Mashallah izi ndio kazi una angalia unajifunza sauti zko vzury madebe na group yke yote ongereni
Kumuelewa madebe inahitaji akili ya ziada big up broo mola abariki kazi ya mikono yako
Kati ya sehemu ya kwanza mpk hii ya tatu ipi nzuri zaidi
Sija chelewa sana jamani nime kuwa wa kumi like zenu hapa 🔥
Mwalimu mzuri sana kwa jamii🙏🏻Asante Madebe Lidai MUNGU azidi kukuweka tuzidi kufurahia uwepo wako 🙏🏻🙏🏻🙏🏻💝
hakika madebe anakuwe zaid ya star wewe kweli ni Nabii kwa kiswahili nimekielewa , kila nikila chakula chako Utamu haumaliziki hongera sana broo One love.....
NISEME TU UKWERI NAKUESHIMU SANA MADEBE RIDAI KWA KAZI ZAKO SIWEZI FICHA HISIA ZANGU
Mwisho wa mawazo Benson kutoka Kenya nakukubali sanaaa Tena zaidi ndugu madebe mungu akupe maisha marefu uendeleee kutuelimisha
madebee we jamaa unajua xn hongera xn mungu kakujaalia kipaji kikubwa xn we n nuru y sanaa yetu ap tanzania km watu awajui inabid tukutunze xn serikali yetu inabid ikutunze sanaa ch kukushauli naomba sana uumtunze huyu dogo anae imba nyimbo zako yuko vzr xn anatoa nyimbo inayoendanaa n movie halisi 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Kazi nzuri sana
Hakika mwenyezi Mungu azibariki kazi za mikono yako kaka 🙏🙏🙏🙏
Mi napenda filamu za uhalisia na utamaduni ndio zinaz nifunza sio majumba makubwa n mahotel ya kuiga kwak bro big up👍👍💕💥
I wish to sea this movie at Netflix
It's a big movie bigup MADEBE
Mashllah hongereni sana hii move ya moto kweli naikubali mnoo
Madebe king of swahili 🔥🔥
nice one blood bro kambulo Paul from south Africa
Madebe lidai ww ni noma xan mungu akupe maish marefu
Mzee madebe uko sawa lakin mm sangine hunifurahishi Kwa sababu humalizi episode zako kama Ile ya mkwaju nakupenda sana
Hadithi nzuri sana , Hongera Madebe Lidai na LP Media wotee ... Kazi Inaongea
Iv ndio tumeelewa kua imeisha.. maupendo daima Kwa kazi nzuri
Mia fil mia Madebe...Wafunze kiswahili vilivyo...Watching from Qatar Doha🇧🇭
Kazi mzuri sana MADEBE LIDAI pongezi yako.
Hakika nimejifunza kitu juu ya hii filamu madebe mungu akubariki Sana na akutie nguvu zaidi uendelee kutupa mafunzo kupitia Sanaa yako mana kazi ya msanii ni kuelimisha jamii kwakupitia Sanaa umedhihirisha kwamba wewe ni Bora katika kutuelimisha kupitia Sanaa yako hasa Sisi tuliopo kwenye ndoa
Asante kwa team zima ya madebe nimejifunza kitu 🙏
Asante sana Mwalimu Lidai...
@madebe lidai kusema ukweli ww ni mfano mzuri sanaa katika hii dunia ya sasa na ndio maana waigizaji wengine wanakupiga vita wale wanaofunza maisha yakuiga wabeberu wala sio culture yetu ya kiafrica pamoja na dini yetu asante nakupongeza sanaa ndugu nimejifunza na naendelea kujifunza kwako mengi zaidi ya hii dunia
Nipeni like zangu wadau
Yaani nimechelewa kweli ila tupo pamoja kazi nzuri madebe
Mashallah yaani napata mafunzo mengi kupitia kwako Allah akuzidishie
wakwanzaa Leo💥💥💥💥💥💥
Mziki mzuri 🔥🔥🔥
Madebe lidai
Mimi kwaupande wangu nakuchagua wewe kuwa muigizaji nambali moja Tanzania bara na visiwani
Na wapenzi wa filamu wataliona Hill wakiwa wamechelewa sana kupata radha halls ya filamu zako
Ila kwasasa walio wengi wanakuchulia poa
Daàà madebe unakitu adimu Sana mungu akuweke daima
Nimejifunza mengi sana katika movie hii Asante sana madebe kazi iendelee kwa mazuri yajayo💓💓💓💓💓💗
Masha allah, masha alla, masha alla..yajayo yanafurahisha kila kazi inayotoka inakua nzuri zaidi . munu azidi kuwabaliki muwe n afya njema madebe pamoja na timu yako kw ujumla mzidi kutoa burudani yenye elimu ya kutosha
Jameni hyu mandepe ako sahihi kibasi na filamu zake zilizo nzuri na mtungo uliyo sawa na zipenda sana.
Madebe never disappoint 🙏💯
Asante sana madebe kazi nzur tuna omba nyingine
I'm the first one in the USA 🇺🇸 to watch ,I need your like 👍
Wewe sio mwigizaji bali mwalimu
Asanteeeeé Madebe LIDAI 🎉🎉🎉
😃😃 KIKENI 😃😃🙌 MWENYEKITI SIO MIMI
😂😂😂 umebakwa matakwa yako 🙌🙌🙌
Sasa huyo ataitwaje govi 😂😂😂
Madebe nakupenda sana kwa kaz mzuri sana nimefurah kuwa na msimamo wako wazaz wengi wajifunde raha sana sio kumrazimisha mtto arud kwa mume wakanti kamuacha
Madebe huwa unafanya niipende bongo movie keep moving bruh unajua sana God bless u utakua bora ya hapo ulipo na utafika mbali zaidi ya hapo inshallah 🙏🏿
Noma sana ,kazi nzuri sana, daaa aise;;;
Kazi nzuri madebe filamu zako wazifanyia vijijini sio kwenye nyumba za kifahari 👍
SoMo zuri sana madebe,eda mke hukaa Kwa mumewe..
Movie kali sana...
Ongeraa sana madebe inamaudhui yakushiba saana...💪
Hii kazi imekuwa nzurii zaidii hongereni kwa nyote mlohusikaa kutoka Kenya nimefurahi sanaaa
Like mnazipelek wapi nipe basi
Shukrani sana Mr. Madebe..nmejifunza mengii...💕💕💕🥰🤣
Tunaisumbiri mkuu
Mjomba jaman kucheza anataka ila anaogopa dada ake
Nimecheka mpaka nimecheka tena kidufu pambe baba kama baba nimependa kazi yako 🔥🔥🔥
asante sana kaka wee kibokoyaoo hata iwejee✌️✌️
Mimi wangapi Ila nipeni za kwangu nitamshukuruni Sana.
Yani ngondo filamu kali
Kazi safa, madebe Asante
Madebe one of the finest gem. Kazi nzuri kaka sisi tulipo 254. Tunakupokea vizuri
Safi mkuu
Anamaanisha barabara zilizonyooka haziwez kutoa madereva walio makini
Nimejifunza k2 leo wafundishe nawenzio watupe elimu kama hizi......
Ata mimi maisubili kwahamu
Fupi afu tamu daaahhh👌🔥🔥🔥🔥🔥 hongera kaka
Madebe your so genius brother unajua sana
Brother uko vizuri sana mashallah
Safi sana, simple na imeeleweka vyema.
Nimeienda sana hii filamu maana inamwongozo kinyama na kutoa darasa
Unatuwakillisha vizuri sana Allah awazidishie rizk hikma na mafanikio mema...barabara ilo nyoka huezi tengeza dereva makini...👊👉
Ila kusema ukweli siku hizi wanaume wamezidi na talaka sizizo kuwa na maana
Mungu atusaidie wanaume ila pia wenzetu mnazidisha kero
Kila elimu ni elimu na saa asante sana @madebe lidai umenielimisha
Do! Hii ndoa ni ya kushtukiza kweli. Hakika nimeanimi matamshi ya huyu Nguli kwamba "kuna Mungu, serikali na Madebe mwenyewe😃
Yn bando Lang linaenda kihalaliiii debe boy nadagala home 🤝🤝🤝
nakubali Sana madebe
Kazi Safi wakuu wote walioshiriki✅
MASHA ALLAH. Kaka madebe
Mbinga nakukubali Mtemi tz .
Vitu vikali sana nakukubali sana madebe 🌹🌹🌹
Umefanya vizuri sana hapa kwenye hii
Uko poa kuliko thanks
Movie Kali na yenye mafunzo ya kutosha
Asante sana madebe na team yako
Kwa kweli hii ndio maana halisi ya mali media ambaye ajatoka na mali APA basi atakufa umaskini kichwani mwake
Naipenda iyo nyimbo
Asante sana kaka zangu nimejifunza mambo mengi sana kabisa. #MADEBE
kazi nzuri kka unatoa mafunzo yakinifu.
Madebe! You're the best ever
Madebe lidai unajua unajua unajua tena..unaelimisha jamii unastahili tuzo
Kazi Iko fire 🔥 💯💫 hogera madebe lidai na team yako
Lidaiii
💯Kazi Nzuri Sana Kaka Madebe Lidai 🤝 Hongera Sana💯
Niko pale nikisubiri tu
Hapa bado Nina swali Kuna muda mtamu alitaka kumwambia jambo mjomba wake govi mara baba Ake mzee mbinga akaja ni kitu gan hicho!! mzee mbinga mbona hakikutajwa na kuisha hivyo tuu🙏
Mtamu alitaka kumjuza juu ya ndoa yake
Bongeeee la funzoooo sijui niliweke vipi ujue nilivoelewa na kazi iliyofanyika isn’t jokes it’s big bro
Jipange kuwa Mume na sio kuwa mwanaume anae tafuta kuwa na mke🤨
Yaan imebamba
@@AsmaAsma-gd3mv msemo umenikamata huu kabisa
DAAHHH MADEBE UMETISHA SANA KWAKWELI . MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI KATIKA KUFIKISHA UJUMBE NA NAAMINI UJUMBE UMEFIKA NA NIMEONDOKA NA KITU SIJATOKA BURE . KONGORE SANA KWA HIKI NA HAUJAPOTEZA BURE ILA WAPO ULIO WAAMSHA WALIKUWA WAMELALA .