MAHARI Sehem ya Nne

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Hii ni Filamu inayomzungumzia MADEBE aliekua anafanya kazi ya serikali huku mkewe akishawishika na mionekano matokeo yake anaingia pabaya na kubeba mimba akiwa ndani ya Ndoa Fuatilia mkasa huu
    kwa kutaka kufanyiwa matangazo Tupigie/SMS
    +255769000762

КОМЕНТАРІ • 268

  • @OchuTv.
    @OchuTv. Рік тому +13

    Wanao mkubali mabwanga like hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Рік тому +17

    Madebe films zako kwa Tanzania ww ni number moja zina fundisha maadili ya kijamii ya ki Africa na hasahasa unavyo act reality ya Kiafrica huna ubishobisho all the best my Brother

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 Рік тому +41

    ❤❤..MIE NISIWE MNAFQI JAMAA ANAJUA ILA ASANTE KWAKUA ANATUFUNDISHA KISWAHILI🙏🙏..NAFURAHI MOVE HIVI NIKIWA TÜRKIYE 🇹🇿🇹🇷🇹🇷🇹🇷

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Рік тому +9

    madebe unajua unaweza mashallah Allah akupe wepesi na kundi lako mnanielimisha na kuniburudisha ahsante

  • @rukingamaboar802
    @rukingamaboar802 Рік тому +30

    Unamuomba Mungu akupe Mke mwema afu Mke mwema unakuja mupata tayari umesha oa 😂 😂 😂 Madebe noma sana naomba Like zenu ili tufamiyane kutoka Burundi

    • @Cambarada
      @Cambarada Рік тому +1

      Sasa utajuaje kuwa ni mwema wakati tayar umeoa

  • @chrstopher4598
    @chrstopher4598 Рік тому +4

    Jaman hii ndo sehem ya mwisho au naomba nijibiwe ,, mbona nzuri alafu vipa de vi nne tu👊🤗💯💯💯💯

  • @mokiwasaid6871
    @mokiwasaid6871 Рік тому +7

    Timu madebe kazi nzuli mnafanya Kila baada ya movie 💎

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Рік тому +7

    Kupatwa kwa mchungaji sasa😂😂😂

  • @ramadhanihassani1617
    @ramadhanihassani1617 Рік тому +4

    Asante sana. Best actor forever. Hakuna kama wewe.

  • @williammachumu724
    @williammachumu724 Рік тому +5

    Hongera brother,Kaz nzur Sana. Ila Kama huto jari, nakuomba upost iyo nyimbo kwenye hii film. Kwan nimeipenda Sana.

  • @Cambarada
    @Cambarada Рік тому +2

    Mabwanga anajua kuigiza kama atajitahid kijiwekea brand nae atafika mbali sana

  • @lamk-lt6dp
    @lamk-lt6dp Рік тому +11

    Mnajua mpaka mnajuatena kazi nzuri madebe na team yako 😍😘

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Рік тому +14

    Wachelewaji kama mm naomba tujuane hapa kwa like 🔥

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 Рік тому +4

    Mwamba mungu akusaidie usichoke ww ndio kanumba wa Sasa

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Рік тому +2

    Maichallah kz nzuri my brother ongeleni team mahari love you ❤ ♥❤

  • @StevenCredoMTV
    @StevenCredoMTV Рік тому +3

    MADEBE KAZI NZURI ira kazizako zikogo poa sana hongera kwa Tim yako

  • @mourinependo8720
    @mourinependo8720 Рік тому +2

    Hongera sana bwana madebe uko sawa mungu akuzidishie kazi nzury saaana

  • @gersonissa9124
    @gersonissa9124 Рік тому +3

    Like from DR Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✊🔥

  • @habilibondo5559
    @habilibondo5559 Рік тому +3

    Kuliko kuuwa bora ukubaliane na halii,, ulee tu mtoto. All in all nimeipenda story

  • @atusanga8306
    @atusanga8306 Рік тому +2

    Mnaweza mnaweza halafu mnaweza tenaaaaa asanteeeee

  • @mariamomary7758
    @mariamomary7758 Рік тому +4

    Hii nyimbo kaimba nani jmn nimeipenda

    • @eliazebedayo1802
      @eliazebedayo1802 Рік тому

      Hata Mimi naitafuta,ukiipata nikumbuke na Mimi Tafadhali!

  • @daftonmwakima9331
    @daftonmwakima9331 Рік тому

    Big up madebe na timu yako tuletee sehemu ya tano please watching from Kenya

  • @kamamaathmanathman7211
    @kamamaathmanathman7211 Рік тому +1

    Mashaallh vizuri Sana type ingine Kali zaidi ya hio

  • @marwanyahori3566
    @marwanyahori3566 Рік тому +5

    Nimeipenda hiyo nyimbo

  • @Ummykassimtz
    @Ummykassimtz Рік тому +1

    Jaman mie na wapenda sana afu movie zako ata uchelewi kutuwekea UA-cam naomba unitumi hii nyimbo mahari au taipata wap

  • @swabrinaidassy865
    @swabrinaidassy865 Рік тому +3

    MADEBE LIDAI ❤❤

  • @jumakavula.896
    @jumakavula.896 Рік тому +2

    Big up bro, madebe.

  • @kherryndayishimiye2396
    @kherryndayishimiye2396 Рік тому +3

    Big up brother 👊
    tunangojea part tano

  • @totmohammedtotmohammed2982
    @totmohammedtotmohammed2982 Рік тому +10

    Nakuwakilisha madebe ridai mshabiki wako kutoka nchin iraq 🇮🇶 tuko pamoja mzee.baba

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Рік тому +4

    Madebe unajua 🔥🔥🔥

  • @College254
    @College254 Рік тому +2

    Big brain and creativity

  • @hkapesa4647
    @hkapesa4647 Рік тому +5

    Madebe dai mahari Yako mpaka uipate mi nipo pamoja na wewe

  • @fahadmauld
    @fahadmauld Рік тому +1

    ww ni noma madebe wanawake Hilo no funzo wanaume tunaumia Sana mana tunagharamika kwa ajili yeni

  • @hawasandale5936
    @hawasandale5936 Рік тому +2

    Kiukweli mnajua kuzikonga nyoyo za watu ni burudani mpaka baaassiiii❤️👍

  • @Aneduu254
    @Aneduu254 Рік тому +2

    🌍duniani kuna majanga mengi ya maisha.....usiamue kitu ukiwa na azila

  • @olengleyan9212
    @olengleyan9212 Рік тому +1

    Good job Lidai napenda sana mafumbo yenye maana halisi mapana ya kutosha
    Team M.Lidai kutoka masai porini Internet ya tabu but I'm trying my best to watching all as you can

  • @JohnjobMilimo-nx9kh
    @JohnjobMilimo-nx9kh 9 місяців тому

    Madebe uko great san na napend unavyongea mafumbo ambayo ni ngumu kufumbua😂😂❤❤❤🎉

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 Рік тому +5

    Nimependa 🙏🙏🙏🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @wilfredrogonga
    @wilfredrogonga Рік тому +2

    Imetupa mafunzo ya kutosha kwenye hii tamthilia big @madebe lidai💪💪💪💪💪💪💯💯💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @papawafulah7044
    @papawafulah7044 Рік тому +1

    Kazi nzuri Madebe...love from Kenya!

  • @josephinemwanajuma1366
    @josephinemwanajuma1366 Рік тому +1

    Mmmja kali sana tena safi sana aky

  • @lamk-lt6dp
    @lamk-lt6dp Рік тому +2

    Mzigo mezan walewakutoa like mkuje kunipa zangu wakwanza leo kuiyangalia

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 Рік тому +2

    Huyu mabwanga 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @apobe2951
    @apobe2951 Рік тому +1

    Madebe big up🙌

  • @nancyaketch7277
    @nancyaketch7277 Рік тому +8

    Still waiting for this part GOOD job madebe 🇰🇪

  • @immanuellugembe8406
    @immanuellugembe8406 Рік тому

    Brother nakubali sana nilikuwanasubilia kwaham sehemu ya 4

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Рік тому

    Kazi ni Nzuri kwakweliii😘👪 Family studies

  • @shaffeeclassics8663
    @shaffeeclassics8663 Рік тому +3

    Napenda story ila madebe mavazi ya mkeo hayakuendana na Nyumba yenu. Otherwise story line 100%

    • @kiambofadhili3631
      @kiambofadhili3631 Рік тому +1

      Umewaza kama mm nahuo msuko wake haukuendana kabisa na nahayo mavazi

    • @rosepiere1857
      @rosepiere1857 Рік тому +1

      Hujawahi kuona kuna familia zipo hivyo akitoka mama mwenye nyumba huamini kama ndo yeye.

    • @shaffeeclassics8663
      @shaffeeclassics8663 Рік тому

      @@rosepiere1857 Mm ni film director and a script writer. Kuna vitu hatufai kupuuzia kwenye filamu

    • @jumahamis5943
      @jumahamis5943 Рік тому

      Kavaa kama din walioekty nayaoh

  • @tajirbless8410
    @tajirbless8410 Рік тому +4

    Big up lidai from Manchester UK 🇬🇧

  • @fatumabakari2640
    @fatumabakari2640 Рік тому +2

    Habari zenu lkn nimeipenda hio nyimbo imeibwa na nani

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 Рік тому

    Asante san kaka madebe Allah azid kukujaalia maalifa zaid

  • @adinanlakas5861
    @adinanlakas5861 Рік тому

    Thx bro kwa kutup elim kupitiy movie naku fatilia nikiw Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @stellankoswe7174
    @stellankoswe7174 Рік тому +1

    Kawimbo nyieee jamniiii 😍😍😍😍❤❤❤

  • @kiawambui606
    @kiawambui606 Рік тому +2

    Nice one 🔥...
    Well represented 🇰🇪

  • @djnolyfo3082
    @djnolyfo3082 Рік тому +3

    Sound track title please?
    I love it

  • @sharifushabani3906
    @sharifushabani3906 Рік тому +1

    Kaz nzuri kaka upewe ulinzi

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 Рік тому +1

    Nakusoma vyema from Qatar

  • @Gloire_Maestro
    @Gloire_Maestro Рік тому +2

    La suite svp. Nasubiri sana tokeya Congo DRC 🇨🇩

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Рік тому +1

    Nice nzuri na Inafunza hakika👍

  • @jenniferjennifer601
    @jenniferjennifer601 Рік тому +1

    Tunataka na muendelezo wa MKWAJU😘😋😋

  • @calynenyongesa5246
    @calynenyongesa5246 Рік тому

    We love you madebe from kenya

  • @fadhilikibode8527
    @fadhilikibode8527 Рік тому

    fesal machuya kaua san ktk izo nyimbo ktk filam...anajua san

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 Рік тому +1

    Kwel nimeipenda kumbe umalaya ni biashara pekee ambayo mali unarud nayo nyumban ambayo tyr ushaiuza 🤣😂😂😉

  • @litylowlancemdekwa3684
    @litylowlancemdekwa3684 Рік тому +3

    Hii n hatar na nusu🔥🔥🔥 madebe na Tim yake wanaua sanaaaaaa🙌

  • @mwakaathuman5637
    @mwakaathuman5637 Рік тому +3

    Mashallah

  • @yassirmaulid683
    @yassirmaulid683 Рік тому

    🎉nakubali tunaxubir nyengine my brother ❤

  • @ibrahimsalim8486
    @ibrahimsalim8486 4 місяці тому

    Tengeza nyingine uongeze chumvi kidoogo iwe nzuri kuliko hii

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Рік тому +1

    MASHA ALLAH.

  • @alphamwafumbila3453
    @alphamwafumbila3453 Рік тому +2

    Unajua Tena unajua tena

  • @ericaedward5400
    @ericaedward5400 Рік тому +2

    Hakika unaweza🙏

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 Рік тому

    Ongera madebe Kwa uwandishi wako na ma_directors wako...

  • @fadhilgabriel7738
    @fadhilgabriel7738 Рік тому +2

    Madebe anajua cna

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Рік тому

    Nakukubali madebe🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kamaronaldo723
    @kamaronaldo723 Рік тому +9

    Big up brother ❤❤❤ one love ❤️ one time 🎉

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Рік тому

    Km ulikua kwenye danguro tujuane leo kwenye mahari😂😍👌

  • @yusraabduly7641
    @yusraabduly7641 Рік тому

    Unajuwa Sana bro

  • @serachibule
    @serachibule Рік тому +1

    🥰🥰🥰😍😍 kazi nzuri hakika ...much love from kenya 🇰🇪

  • @MosesChapanga-js3wj
    @MosesChapanga-js3wj Рік тому

    Inapendeza sana kaka ,enderea kutupa vitu

  • @gideonallan6598
    @gideonallan6598 Рік тому

    good work from Ghana

  • @latifamohamed7692
    @latifamohamed7692 Рік тому +1

    Gud job

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому

    Duniya inamambo ikiwa huko makini itakuwacha njia ni hongereni washiriki munao tuelimisha mwenyezi mungu awabariki awazidishiye kipaji chenu

  • @shebyliale2938
    @shebyliale2938 Рік тому +1

    Kaka upo vizur sana

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Рік тому +1

    Safi kaka madebe

  • @Manswabu
    @Manswabu Рік тому +1

    Naomba nipewe like zangu nyingi mnoooo

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh Рік тому

    Tanzania 🇹🇿 one nimekukubali kaka

  • @zuu9022
    @zuu9022 Рік тому +2

    Madebe endeleza mkwaju jamani kaka angu

  • @brotherdeblo1132
    @brotherdeblo1132 Рік тому

    jina la wimbo basii😍😍😍

  • @omarifundi1163
    @omarifundi1163 Рік тому +1

    Mungu akupe umri mrefu InshaAllah

    • @amarnam5016
      @amarnam5016 Рік тому

      Wa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿

  • @abuusirleh8196
    @abuusirleh8196 Рік тому +1

    Madebe jini😁😁😁😁:💥💥💥👍👍❤

  • @waziribakari6067
    @waziribakari6067 Рік тому +1

    Ila MADEBE umenifurahisha yaani unajifanya unakaza kumbe ukikaa peke yako unalia😂😂

  • @College254
    @College254 Рік тому

    Kuna sehemu ya 5 au imeisha brother #madebe

  • @seifmkaranga9281
    @seifmkaranga9281 Рік тому

    Iv madebe ni muislamu au nimcrict

  • @faithndanukombe254
    @faithndanukombe254 Рік тому

    Good job madebe lidai Ila naomb jina l mwimbaj hiy nyimb

  • @kennethanthony530
    @kennethanthony530 Рік тому

    Unajua sana mkuu

  • @josephatdimo512
    @josephatdimo512 Рік тому

    Kazi nzur

  • @SiwemaSalum-x4f
    @SiwemaSalum-x4f Рік тому

    Huyo fundi mungu abaliki kaz ya mikono yake

  • @LeylahAlly-re4vs
    @LeylahAlly-re4vs Рік тому

    Uko vzri kaka 😊

  • @bestabilioamiramir6391
    @bestabilioamiramir6391 Рік тому +1

    Bom dia, MALI media demoram muito pra lançar

  • @nasiramour8952
    @nasiramour8952 Рік тому +1

    nfatilia goma nikiwa saudia🇸🇦

  • @bonifaceontiri1186
    @bonifaceontiri1186 Рік тому +1

    Itaendelea ama ndo mwisho wake huu ?