MAHARI Sehem ya Nne
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Hii ni Filamu inayomzungumzia MADEBE aliekua anafanya kazi ya serikali huku mkewe akishawishika na mionekano matokeo yake anaingia pabaya na kubeba mimba akiwa ndani ya Ndoa Fuatilia mkasa huu
kwa kutaka kufanyiwa matangazo Tupigie/SMS
+255769000762
Wanao mkubali mabwanga like hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Madebe films zako kwa Tanzania ww ni number moja zina fundisha maadili ya kijamii ya ki Africa na hasahasa unavyo act reality ya Kiafrica huna ubishobisho all the best my Brother
❤❤..MIE NISIWE MNAFQI JAMAA ANAJUA ILA ASANTE KWAKUA ANATUFUNDISHA KISWAHILI🙏🙏..NAFURAHI MOVE HIVI NIKIWA TÜRKIYE 🇹🇿🇹🇷🇹🇷🇹🇷
Ep 5 ipo au mov ya Mahal au hamn
madebe unajua unaweza mashallah Allah akupe wepesi na kundi lako mnanielimisha na kuniburudisha ahsante
Unamuomba Mungu akupe Mke mwema afu Mke mwema unakuja mupata tayari umesha oa 😂 😂 😂 Madebe noma sana naomba Like zenu ili tufamiyane kutoka Burundi
Sasa utajuaje kuwa ni mwema wakati tayar umeoa
Jaman hii ndo sehem ya mwisho au naomba nijibiwe ,, mbona nzuri alafu vipa de vi nne tu👊🤗💯💯💯💯
Itakuwa madebe huwa anafupisha tuu
Timu madebe kazi nzuli mnafanya Kila baada ya movie 💎
Kupatwa kwa mchungaji sasa😂😂😂
Asante sana. Best actor forever. Hakuna kama wewe.
Hongera brother,Kaz nzur Sana. Ila Kama huto jari, nakuomba upost iyo nyimbo kwenye hii film. Kwan nimeipenda Sana.
Mabwanga anajua kuigiza kama atajitahid kijiwekea brand nae atafika mbali sana
Mnajua mpaka mnajuatena kazi nzuri madebe na team yako 😍😘
Wachelewaji kama mm naomba tujuane hapa kwa like 🔥
Mwamba mungu akusaidie usichoke ww ndio kanumba wa Sasa
Maichallah kz nzuri my brother ongeleni team mahari love you ❤ ♥❤
MADEBE KAZI NZURI ira kazizako zikogo poa sana hongera kwa Tim yako
Hongera sana bwana madebe uko sawa mungu akuzidishie kazi nzury saaana
Like from DR Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✊🔥
Kuliko kuuwa bora ukubaliane na halii,, ulee tu mtoto. All in all nimeipenda story
Mnaweza mnaweza halafu mnaweza tenaaaaa asanteeeee
Hii nyimbo kaimba nani jmn nimeipenda
Hata Mimi naitafuta,ukiipata nikumbuke na Mimi Tafadhali!
Big up madebe na timu yako tuletee sehemu ya tano please watching from Kenya
Mashaallh vizuri Sana type ingine Kali zaidi ya hio
Nimeipenda hiyo nyimbo
Jaman mie na wapenda sana afu movie zako ata uchelewi kutuwekea UA-cam naomba unitumi hii nyimbo mahari au taipata wap
MADEBE LIDAI ❤❤
Big up bro, madebe.
Big up brother 👊
tunangojea part tano
Nakuwakilisha madebe ridai mshabiki wako kutoka nchin iraq 🇮🇶 tuko pamoja mzee.baba
Upo sehem gani iraq
@@najmaabduli9593
Na ww upo iraq
Tujuane jaman
Maana matatizo n mengi
@@najmaabduli9593 DUHOK my
Mpo kwenye vita huko
@@totmohammedtotmohammed2982 haaa uko tunakujaga mara moja mie nipo Erbil
Madebe unajua 🔥🔥🔥
Big brain and creativity
Madebe dai mahari Yako mpaka uipate mi nipo pamoja na wewe
ww ni noma madebe wanawake Hilo no funzo wanaume tunaumia Sana mana tunagharamika kwa ajili yeni
Kiukweli mnajua kuzikonga nyoyo za watu ni burudani mpaka baaassiiii❤️👍
🌍duniani kuna majanga mengi ya maisha.....usiamue kitu ukiwa na azila
Good job Lidai napenda sana mafumbo yenye maana halisi mapana ya kutosha
Team M.Lidai kutoka masai porini Internet ya tabu but I'm trying my best to watching all as you can
Madebe uko great san na napend unavyongea mafumbo ambayo ni ngumu kufumbua😂😂❤❤❤🎉
Nimependa 🙏🙏🙏🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Imetupa mafunzo ya kutosha kwenye hii tamthilia big @madebe lidai💪💪💪💪💪💪💯💯💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri Madebe...love from Kenya!
Mmmja kali sana tena safi sana aky
Mzigo mezan walewakutoa like mkuje kunipa zangu wakwanza leo kuiyangalia
Huyu mabwanga 🤣🤣🤣🤣🤣
Madebe big up🙌
Still waiting for this part GOOD job madebe 🇰🇪
Brother nakubali sana nilikuwanasubilia kwaham sehemu ya 4
Kazi ni Nzuri kwakweliii😘👪 Family studies
Napenda story ila madebe mavazi ya mkeo hayakuendana na Nyumba yenu. Otherwise story line 100%
Umewaza kama mm nahuo msuko wake haukuendana kabisa na nahayo mavazi
Hujawahi kuona kuna familia zipo hivyo akitoka mama mwenye nyumba huamini kama ndo yeye.
@@rosepiere1857 Mm ni film director and a script writer. Kuna vitu hatufai kupuuzia kwenye filamu
Kavaa kama din walioekty nayaoh
Big up lidai from Manchester UK 🇬🇧
Habari zenu lkn nimeipenda hio nyimbo imeibwa na nani
Asante san kaka madebe Allah azid kukujaalia maalifa zaid
Thx bro kwa kutup elim kupitiy movie naku fatilia nikiw Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kawimbo nyieee jamniiii 😍😍😍😍❤❤❤
Nice one 🔥...
Well represented 🇰🇪
Sound track title please?
I love it
Kaz nzuri kaka upewe ulinzi
Nakusoma vyema from Qatar
La suite svp. Nasubiri sana tokeya Congo DRC 🇨🇩
unajuwa kazi kabisa
Nice nzuri na Inafunza hakika👍
Tunataka na muendelezo wa MKWAJU😘😋😋
Umeonaee na venye ilikua nzur 😋
We love you madebe from kenya
fesal machuya kaua san ktk izo nyimbo ktk filam...anajua san
Kwel nimeipenda kumbe umalaya ni biashara pekee ambayo mali unarud nayo nyumban ambayo tyr ushaiuza 🤣😂😂😉
Hii n hatar na nusu🔥🔥🔥 madebe na Tim yake wanaua sanaaaaaa🙌
Mashallah
🎉nakubali tunaxubir nyengine my brother ❤
❤❤❤
Tengeza nyingine uongeze chumvi kidoogo iwe nzuri kuliko hii
MASHA ALLAH.
Unajua Tena unajua tena
Hakika unaweza🙏
Ongera madebe Kwa uwandishi wako na ma_directors wako...
Madebe anajua cna
Nakukubali madebe🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big up brother ❤❤❤ one love ❤️ one time 🎉
Km ulikua kwenye danguro tujuane leo kwenye mahari😂😍👌
Unajuwa Sana bro
🥰🥰🥰😍😍 kazi nzuri hakika ...much love from kenya 🇰🇪
Inapendeza sana kaka ,enderea kutupa vitu
good work from Ghana
Gud job
Duniya inamambo ikiwa huko makini itakuwacha njia ni hongereni washiriki munao tuelimisha mwenyezi mungu awabariki awazidishiye kipaji chenu
Kaka upo vizur sana
Safi kaka madebe
Naomba nipewe like zangu nyingi mnoooo
Tanzania 🇹🇿 one nimekukubali kaka
Madebe endeleza mkwaju jamani kaka angu
Iliisha mbona
@@samahalghafri6628 haikuisha
jina la wimbo basii😍😍😍
Mungu akupe umri mrefu InshaAllah
Wa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Madebe jini😁😁😁😁:💥💥💥👍👍❤
Ila MADEBE umenifurahisha yaani unajifanya unakaza kumbe ukikaa peke yako unalia😂😂
Kuna sehemu ya 5 au imeisha brother #madebe
Iv madebe ni muislamu au nimcrict
Good job madebe lidai Ila naomb jina l mwimbaj hiy nyimb
Unajua sana mkuu
Kazi nzur
Huyo fundi mungu abaliki kaz ya mikono yake
Uko vzri kaka 😊
Bom dia, MALI media demoram muito pra lançar
nfatilia goma nikiwa saudia🇸🇦
Tuko pamoja
asante blody
Itaendelea ama ndo mwisho wake huu ?