Madebe we nikiyoo cha jamii haukoseagi kufundisha nakuelewa sana yaan na napenda sana unavyotumia mafumbo mazito n yakili uko vzur kingne rekebishen sauti kuna sehem huw inakata na kunitoa kwenye mzuka sn ila kwa kwel npend mv zako uk vzr sn
Thanks madebe maana misemo yako ishaa nigenganga kitambo zaidi sasa inayi fata huwa naskia rahaatu kupitiya filam zako
Kaka madebe Unamaneno Mazuli Sana Ndomana Amepewa Jina fickr Afikir Nakukubari Sana Kaka Madebe MUNGU Akupe Maisha Marefu Sana.
Sauti hupotea kwenye sehemu tofauti tofauti ya filamu
Tatizo la move nyingi za Madebe huwa zinazingua sana sauti
kazi nzuri madebe, funzo nzuri kwa jamii tatizo sauti, inapotea potea na kutufanya tupoteze mtiririko wa ujumbe
Move Tamu Sauti Amna.
Madebe unajua kuigiza sana🤣🤣👍👍👏👏
Fantastic
Tatizo za filamu za Madebe sauti inajikata pamoja na Ile inaitwa Nabii mswahili sauti inajikata sana
Mbuzi kafia kwa muuza supu
Sauti inswashinda Sana kwa kila uigizaji wenu, tatizo hili halina solution hapo kwenu Tz au?
Nice
Movie zote za madebe ovyo sauti hazina
Nick
Sauuuuuuuuuut
Wao
Mtoto anajicho balaa
The mistress team
Mbona movie inakatakata sauti aaaaaaaaa inakera movie nzur alafu sauti chenga
Epinesi
improve the sound quality
That's good,,,,a well organized movie with full of lessons just feel much encouraged Ed appreciated
Nimependa
vizuri
Dada umeshindwa kutongoza mwanzot
3fulll
Upande wa Saudi mmechemka sana tuu
Move nzuri ila ila tatizo vipande vingi havina sauti
Muvizenu jamani mbonazinakatasauti
Tokoss
Sauti inapotea
Ongera kwamuvi mzuli
Iyo nembo apo itolewe
❤🎉Richards fivhard@@@@@#@@@@##@@
Kg
Nike olando
Hahaha nmefel masomo lakn mipango ya hela bado cjafel
Madebe amegeuka askare lini
Hii movie part 2 yake iko wapi!?????
Mmeboa kwenye sauti
👏👏😂😂😂
Swaumu
Ottoman
Sauti yapoteapotea Why???
1w
Nazipenda sana move za hyu jama sema zinaniuziii sehem zingine hazina sautii
Asante Sana Bröo madebe ninapenda Sana movie zako ílaaa naomba usiwe unakatä sauti kwenye baadhi ya matukio ndani ya movie
Aiseee kuhusu sauti mjitahid move zenu ni mzur sana
Jitahidini kwenye movie zenu zisiwe zinazingua kwa upande wa sauti maana ikifika kwenye point unashangaa et saut imepotea so mjitahidi sana na kwa upande wa sauti ili tuendelee kuifurahia bongo movies na wala sio tuendelee kufurahia movie za wenzetu tu mwisho wa siku tunaipoteza bongo movie ila kwa uigizaji huu wazungu hawata nipata kucheki movie zao na wala sio kila kukicha hadithi ziwe zile zile tu ndo maana walipoteza soko la movie zao . hahaha mm ni mmoja kati ya wanao kubali kazi ya Lp media aka madebe huyu kwa upande wangu aaaaa ni mkali wa bongo movie salute kwako bwana madebe lidai👏👏👏👏👏👏👈✅✅✅✔✔✔✔✔
Yani mnatengeneza movie, mnazisikiliza mnagundua sauti hakuna na bado mnazipeleka sokoni tunajifunza nini sasa jamani
i do enjoy all your movies brother. your the best Madebe . Abdallah ilu from Mombasa kenya
naipenda kazi ya Lp japo sauti mmeimeza
🇨🇩🇨🇩🤞🏿🤞🏿naipenda Sana mu movies zako madebe wetu
hongera sana bonge la movie
Sehemu zengine hazina sauti mjirekebishe na hilo. Ila movie zenu ninzuri sanaaaaaa
Kama unakubali kazi za lp media gonga like hapa
Wavigood Jr u did not even get to understand my quistion your just ignorant
Unatisha lidai waonyeshe kwamba unaweza
LP media movie zenu tamuu, tatizo sautiiiii
nice movies
Filamu iko vizuri sana tu tatizo sauti mbona kwengine haisikiki.plz sisi kama sisi watazamaji twaomba mturekebishie sauti,Madebe lidai producer vp kk mbona watubwagaa
From 254 check on ur voice
Uko vizuri kaka maana filamu zako zinafundish kama mtu akiwa makin nakuelewa kinoma.
daaah unafeli brother kwenye sauti
Wallah nimeshindwa kuhimili ukosefu wa sauti... Yaani inakera sana jaribu kurekebisha naomba
Madebe uko juuu ongera sana una tengeneza vtu kwa kutumia akili sana vina sisimua kiukweli safi sana
Lidai madebe kiswahili kama meno kiswahili safi misemo
Dah!!! Jman jtahdin xan upnde wa xaut inapnguza ladha ya movie....
Nzur sn jamani mmejitahidi sana Ila sauti tatizo
Iko pouwaaaaaa
Nakubari sana kazi zenu mkuu ila saut mnazingua
Daa jitaid kweny saut mnazingua
Iko vzr
movie zen kal
Sana br Madebe nakubali
Sauti ndo shida madebe mnazingua
Tisha sana nabii mswahili
Sauti bana argh!
Duh ata mimi zaman likua siogopi ukimwi nlikua naogopa mimba lkn saii naogopa ukimwi sijui nani atanipa mimba naogopa ukimwi.
SAUTI SAUTI SAUTIIIIIIIIII
sauti madebe othman
Kwenye utamu saut hakuna dar madebe jitahid kwa hilo bro
please brother make sure your loud
Fikiri hilo kwapa
inakera mpaka dhambi an
Where’s part 2 please
Dah saut Jau ndg zng
Movie inazingua sauti
👆 ujumbe mwema uriomo ndaniya moves hii 😂😂😂😂😂😂😂😂
mmb n moto ilaa saut 2
Nic
Sauti takriba sinema zote sauti
Kazi ni nzuri sana lakn Hiyo saut inavyokuwa inapotea Ndo inabore sana