@@bibiswalehemwanyere5493 Kuna Maisha baada ya hio siku ya ndoa... Me siwezi gharamika Sana hadi niingie kwa madeni mkubwa ili tu nifurahishe watu siku moja na niishi kwa madeni na ndoa zenyewe za siku hizi hakuna uhakika wa kufika hata miaka 5
Wakina dada wa kihindi nao Wana tabia ya taka pesa kwa bwanaharusi Mila na desturi kama kawa wahindi Wana hatari mpaka milioni Wadai uroho wakuta pesa 🥰🥳🎺🎷📯🥁
Hizo ni Mila wala sio uislam..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
Majemeni mbona nyie wenzangu mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
bibi arusi sasa😄😄😄😄
Dada Asha Boko Allah akujalie afya njema InshaAllah
Na mimi nimefrah kumuona
Amina Bwana Yesu akamponye awe mzima tenaa
Allahuma amiin
Wangapi tumependa. Uyo demu alivotikisa Tako apo getini🤣🤣🔥🔥💯💯💯
😅😅
Dah nilijua nimeona peke yangu 😂
Sasa mbona walikosea kumuacha pekeakee😢😢jamanii
ila camera man alkua na roho mbaya😅😅😅
Hatariii mkuu mamb hayoo
Waomba like wangekuwa wanamwomba Mungu kwa nguvu hiyo hiyo wangekuwa mbali vibaya mno, haya naomba like😂😂😂
😂😂😂
Iko Sawa... Ndoa zifanywe kwa mujib wa dini... Mambo ya Mila Mila nyingi na mambo mengi yanafanya vijana kuogopa kuoa.
Kweli tena, Mambo mengine Yanaskitisha na ni ya ajabu sana, Joti ametufunza kwa kweli
@@bibiswalehemwanyere5493 Kuna Maisha baada ya hio siku ya ndoa... Me siwezi gharamika Sana hadi niingie kwa madeni mkubwa ili tu nifurahishe watu siku moja na niishi kwa madeni na ndoa zenyewe za siku hizi hakuna uhakika wa kufika hata miaka 5
💯%🤝
😂😂😂pole sana ndugu yangu, waulize wazaz wako walipata vipi ndo uongee@@bibiswalehemwanyere5493
..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
Doris Doris Doris unautumia vizur uumbaji wa mungu 😂😂😂hapo getini umeweza mama
Joti TV NDOO comedy namba moja Tanzania nawa penda SANA from America 🙏🙏💪😁
Mhehe mwenzetu
Mhehe america wap na wap
@@kalubisubira7182🤣🤣
@@kalubisubira7182😂😂😂😂😂😂😂😂😂
joti mwamba kweli kweli nakubali kazi zake❤️❤️❤️
Wapemba nawapendaga hapo tuu, Wana majibu mawili "NO"na "YES"wamemaliza 😂😂😂😂
Tulikuwa tunasubili sana joti aigize kama mpemba 💯💯🔥🔥
Leo nimekuwa wa 75 😂😂😂😂😂Harusi tunayoooo 😂😂😂mara HAKUNA HARUSI BIARUSI MWENYEWE MWANA😂😂😂😂
Yoo mama shereh bure kumbe ndoa hakuna joti bwana😂😂 wangapi mumeipenda hii❤
sema hiyo mishangazi ya Joti ina balaa😋😋😋😋😋😋
Joti talented Kam unaamini like hapa❤
Nimefurahi kumuona Dada mwene😊
Thank you Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
MUNGU TULINDIE HUYU MZEE NI HAZINA YA TAIFA MPE MAISHA MAREFU
Nakukubali sana bro you are 💪
Sema joti ni bongo moja la comedian sioo hao wapiga kelele wakina mkojanii
Mkojn nae fundi
Hamna kitu kelele tu@@user-zr8be7ep4g
Nimeipenda ya leo hasa hilo vanga limeungurumishwa balaaa❤❤❤❤
Congo BUKAVU tunabakubali , hatutafute likes
Wakina dada wa kihindi nao Wana tabia ya taka pesa kwa bwanaharusi Mila na desturi kama kawa wahindi Wana hatari mpaka milioni Wadai uroho wakuta pesa 🥰🥳🎺🎷📯🥁
tumemmisi kipande. hongereni sana team joti
Napenda sana hili Kundi. From DRC
Hatariii sio hatariii😂
si tushatoa mahali😂😂
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
Nice 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉joty fu fundi sana
😂😂 kanyinyi, zitto na Nanga hii shooo imewafaaa😊
Ni uhalisia ambao upo kabisa kweny Jamiii zetu ndoa nying hasa za kiislam huu mtindo upo
Hizo ni Mila wala sio uislam..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
Wao yenyew wamesema Mila nasio dini
Hapana hta za kikristo huingii ukumbini mpka utoe mpunga nje
@@thetrailerzone2791 hii mambo inakela isee
@@salhawaziri1668sasa mbona wamevaa kiislamu?
Toka drc kalemie wa kwanza naombeni likes zangu 🎉🎉😂😂😂❤❤
Kalemie ndani ya soko la katrekwee avenue ngambo ya lukuga
Wanaume wote mnaoomba like bila shaka hamjakamilika hamna nguvu z kiume haiwezekani dume zima et naombs like ulilazimishwa kuangalia?
Paula Umenuna 😂😂😂
Hili Swala Tunatakiwa Tuanzisheni Kamati Tulikemee Kwa Kwelii 😅😅, Au Sijui Ukiwa Na Like UA-cam Wakulipa😂😂
Hataaa Mimi Nawachukia Sanaaa....Anqalia Video Like Comment Then Kaushaaa Lakiniii Daaaahhh....Cjui Wanakuaqa Na Nyeqe Za MIK🗯🗯nd💬
😂😂😂😂kama misheta
😂😂😂😂😅😅🤣🤣
😂😂😂😂sio kama wakenya
Patrão Joti, nós cá em Moçambique gostamos do seu trabalho. És muito talentoso. Deus abençoe o seu trabalho 🙏
zito anavyocheza kama ndio mjombaa mwali😄
Mnaomba omba likes,,, kuoga aaaah😂😂😂😂
😂😂😂😂
mambo ya Bara , Hami J haelewi 😂😂
😂😂 joti hayo mambo kwetu hakuna,, na harusi hakuna😂
Babahhh mlewa sheweleeeee 😊😂😂😂🔥🔥💯💯💯
😂😂😂😂😂😂😂 joti never disamppoint 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 nakubali wata mleta nyumbani😂😂😂😂😂
From kumamoto japan naomba like😀😀
Namuona damwene na mzee mbembe raha sana 😂😂😂😂😂
Nimecheka kifala sana. Ila kweli mila nyingine izi zinazingua.
Joti wewe wanibamba San 😂😂😂😂😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮
HAKUNA NDOA HAPA 😂😂 ina maana amuelewii😂
Mjomba alivyosisitiza “laki mbili taslimu, laki mbili taslimu” 🤣🤣🤣🤣 mie hoi 😆
Mmmh kwaiyo Zanzibar ndo hawafichui au mmmh
Niutani😂 tu Tz hatugombani kwautani wala hatugombani kuhusu makabila
Hivi joti Kuna mengine unakuwa umelenga stori ya mtu au yote maigizo😂😂😂😂😂
Ami pkpk inawaka iyooo😂😂
Joti nomaaa
😂😂😂 umetisha Ami Jay. M mwenyewe izo mila za njaa zinaniboaga kinoma
You are the best 👌
Joti nimekumis uigizee kiboga napendaga sana yani party hileeee ❤❤❤
Ila hiyo sio Vespa, hiyo ni click kwa huku kwetu Zanzibar 😅😅😅😅😅
Ndio dawa yao mahali ushalipa halafu mambo ya mila na desturi tena nikuacha tu.
Huwa wanazingua sana na hizo tamaduni zao 😅😂😂nimependa hamiiiiiii
Familia zamabiharus mmeshapata somo😂😂 ole msubutu mtawaowa wenyewe joti umeuwa🎉❤❤❤
Chezea wpemba wee,sie tukinuna tumenuna vyooo 😂😂😂
Nimewahi Leo kidg khaa😂 nilijua wa kwanza mm
KUNA hili li shangazi lifupi limevaa kijora cha njan0, mwenye namba please😂😂🙏🙏
Huyo bibi harusi hapo mwisho kanichekesha sana 😂😂😂😂
Asha boko na bb harusi❤❤❤🎉🎉🎉
Hilo meno ndo lakujibu Sasa Mimi Sio Muoaji 😂 🙌
Mjomba kama Mjomba😂😂😂
Ujui kidole ulichobanwaa hahahahhaha😮
hahahahah imekaa sawa sana kaka dah! wanazinguaga me mwenyewe nilitakaga kususa ivi iv mala o ela za mashemej hahahahahah😂
Joti kawaweza leo 😅😅
Asante joti kwakutuletea wakongwe wenzio keep it up
joti ww noma😂😂😂
Wallah nime furah kumuona asha boko na huyu mwenzie 😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza leo nipeni Like zangu😂😂. Joti hatar sana
Mimi hua nachukia basi tu mtu et naomba like nimekua wakwanza 😂😂😂
shughuli ina watu kweli, nawek pending nitaichek usku nikitulia...😂😂😂
Nakubali sana master ❤😂🎉😢😮😅😊
Joti Mungu awabariki kua kazi zenu mnazo zifanya
Kwan like mnapewa zinakazi gan nyie watu
yaaaan au likes zinaleta hela jamn tuambiane mapema kila mtu likes😢
Hata mi sielewi mtu unakuta analilia likes
Wez zjua
@@vigezo 🤣🤣🤣😃
@@vigezohalafu unakuta ni mwanaume sasa😂
Kazi Kubwa ☝️🇨🇩
ila Mlewa 😂😂me binafsi ananifurahisha sanaa hatumii nguvu 🙌🙌
"wame bana kidole gani" 🤣 wachache wata elewa 😂
Laki mbili 😮😂
Utanikuta bandari. 😂😂
Nimekuwa wa kwanza nipeni like zangu
kazi ya Uhakika Mollah hawabariki wausika wote 😂🎉❤
King of comedy ❤❤😂
Mjomba kakazia laki mbili taslim
😂
😅😅😅😅Kawakomesha lk 2 masihara usawa huu ovyoooooo😅
nanga kagoma kufungua geti kabisaa😂😂
Ila uyo mke inasemekana ni ndoa ya mkeka maana si kwa kutafuta sababu iy ili usiow t
Wakwanza leo.
Ami J alikuwa anatafuta sababu Tu 😂😂😂😂
Leo jamaa wamemkoroga joti kweli😂😂😂 nani ameona
Nimekuwa wa 26. Naomba likes zangu please, Lakini huyu joti anajua jamani tumpe maua yake tu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😅😅😅❤❤❤
Boss niuzie channel
Tafuta pesa wewe 😅
Km zako c uchukue tu mpaka iombe?
wakwanza like 10 tu znatosha
Zinakusaidia kitu gani hizo likes?? Acheni ushoga bana yaani mwanaume mzima naomba likes naomba likes
@@emmanuelsamila1477 tafuta pesa uache makasiriko
😂😂😂😂 pesa noma sana
Napenda sana ubunifu wenu
Joti hii "team work" inakufaa
Hakuna ndoa hapa 😂😂😂
Hii tuliifanya kwa dada anguu😂😂 wee cha moto tulikiona wamakondee waliturushaa kwenyee mavumbii😂 na mke wakambebaa
Hii ni tamaduni tu nakufarahia na unaotoa chochote hata buku fresh barida tu 😂😂😂japokuwa sikuhizi imekuwa karaha sanaa mpk kero kwa bwana harusi
Una mda sana hujaigiza Babu
Wa 61 jmn😂😂