#MADEBE_LIDAI #NABIIMSWAHILI HII NI FILAMU INAYOUSIANA NA MASUALA YA KUKEMEA WIZI PAMOJA NA TAMAA YA MALI KUPITIA KITEGA UCHUMI CHA KUMUOZA MTOTO WA KIKE
Unakuja juu sana kaka lakini wakati mwingine ni muhimu pia kuwasikiliza mashabiki wako wanataka nini. Filamu zako nzuri sana na zinafaa kutazamwa na kila rika lakini pia zinafundisha wakubwa kwa wadogo tatizo kubwa ninaloliona na wanalolipigia kelele watu wengi ni mwendelezo wa movie. Hakuna sababu ya kutunga story nyingin kama ya kwanza haijaisha ni bora upige mwanzo mwisho then uanzishe nyingine, hivi vipandevipande vinaboa sometime manake mpk utoe mwendelezo wake tayari mtu ashasahau story yenyew ilianzia wapi na aliishia wapi kwahiyo inakuwa inatoa utamu wa movie.
Kweli kabisa kama mkwajuu ndio iliisha ivyo yani shida yake kumbwa amalizi move zake mali ya ndimu nayo pia iko nusu twakuomba bana maliza vipande ulivyo vibakisha plzzz coz sote ni tamu
Mm kazi yangu kuu kuangalia move za madebe nauhakika hua anatupa vile tunavyo vitaka ila hua yuatuumiza hatupi mpaka mwisho wangai wanamdai madebe wanipe like ....+254
😯😝😝😀😀😀😀sasa hapo itakuwa aje jamani naona bwana madebe macho kodo nyuma kwa nyuma😀😀😀 jamani niatari sana mazee ilakwautaratibu bado tunasubiria seem ya pili 2 sawasawa
Huyudada kuongea hajui jamani siujibu mtu kistaraabu haya kafia geto🤣🤣dada mtu huyo koma namajibu yako🤣🤣🤣🤣🤣Hussein machoxi kasema hahaha ila madebe anaakili vilaza nao wako mdomo wazi kama papa wanaosubiria vywakula kwenye meli
Tujuwane tulokuwa tume miss madebe🤗🤗🤗
Unakuja juu sana kaka lakini wakati mwingine ni muhimu pia kuwasikiliza mashabiki wako wanataka nini.
Filamu zako nzuri sana na zinafaa kutazamwa na kila rika lakini pia zinafundisha wakubwa kwa wadogo tatizo kubwa ninaloliona na wanalolipigia kelele watu wengi ni mwendelezo wa movie.
Hakuna sababu ya kutunga story nyingin kama ya kwanza haijaisha ni bora upige mwanzo mwisho then uanzishe nyingine, hivi vipandevipande vinaboa sometime manake mpk utoe mwendelezo wake tayari mtu ashasahau story yenyew ilianzia wapi na aliishia wapi kwahiyo inakuwa inatoa utamu wa movie.
🙏
fact
Kweli kabisa kama mkwajuu ndio iliisha ivyo yani shida yake kumbwa amalizi move zake mali ya ndimu nayo pia iko nusu twakuomba bana maliza vipande ulivyo vibakisha plzzz coz sote ni tamu
Ukisikia kustakiwa ndio huku madebe haki usipo tupa hii part 2 na matusi tunakushitaki bila uoga wangapi wanasopot hilo wanipe like hapo
Leo wakwanza naiangalia live nikiwa omani ahsante madebe nikiangaliya move zako najifunza
Unafanyeje huko kaka
NIPENI likes ZA MTAALAMU WA SANAA TZ NA AFRICA MASHARIK
Villaza..... Wakenya pitieni huku
Kumbe upo??
Tupo sana
VIP kiongozi
Unatisha madebe
Safi sana madebe Hongera yko tunasubir mwendelzo tafadhali uko sawa Nakkubali
Mm kazi yangu kuu kuangalia move za madebe nauhakika hua anatupa vile tunavyo vitaka ila hua yuatuumiza hatupi mpaka mwisho wangai wanamdai madebe wanipe like ....+254
Daah! Hii muvie inamaana sana haswa kwa watu wenye kusaidiana, pole madebe kwakukabiliana namzigo usiyo kuhusu. Tusubiri part 2😢
Mbona tayari. Part 2
Kama umemuona mwizi amevaa kanzu..gonga like
Wakusoma comment tujuane
Tuko wengi 😂
Nipo
Ndio mimi hapa
✌✌✌
Hhhh
Japo nimechelewa naomba like za kichelewa njamani....huku tukisubiri matusi sehemu 6.sijuwi hitakuja lini😷
Mindio nimechelewa
Karibu bado mapema
@@ladyyes4394 huwa napenda kiona live
Hahaha 😁😁😁😁tayar imeshatoka sehemu ya6
Ujaiona umechelewa wap
Hongereni nyote no one like u madebe big up mwenye hajaangalia yuapitwa
Nakukubali sana madebe aukoseagi kazi nzuli
Ongera saana Kaka kazi nzuri saana Ila sio uchelewe kutupatia sehem inayo fwata🙏
Madebe movie zako ni kali sana Ila cku ukitoa movie na Gabo itapendeza mnoooo
Hiii move ya mdaaa sana tupee mwendelezoo wake
Tatizo lako lipo kwenye mwendelezo unachelewa sana kutuma mpaka movie tunasahau tuliiishia wap Tuma kitu weka kitu hapo hapo
Ndiomaana zinauzwa kaka!
Kwaiyo ni vizur ukamchangia
Madebe allahubarik wajua kutufurahisha
Madebe hubaatishi hongera sana... Usitucheleweshee muendelezo
Daah, hii nayo kali mkuu, imenisisimua hisia sana.
Huyu jamaa wa kipekee kwenye sanaa. Mola azidi kukurehemu Bw. Madebe.
Anazingua huyu jamaaakwa mwendelezo
@@chamastorch tena sana, wa kipekee tena sana
Ebana hiii ni noma kweli bint afie chumbani kwako allah atuepushe na hiii kitu hapo ni jela tu
Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷
upo uturuki sehemu gani kwani ht mm nipo instabul
@@bwankakaseif5500 piyalepaşa
W kwan uko Sehemu gani ??
Mkuu tunaomba utukumbukemo na sisi wafuasi wa series ya Matusi
Ile mbona ishaisha
@@ashiraally527 imeishia episode ya ngapi
@@Mwl_Swalo ya 5
Anhaa sawa sikujua
Hongera kwa kaz nzuri unayo ifanya kaka
Classic movie madebe nakukubali bro big up kazi nzuri
Movie Kali Sana MY KING BROTHER .@JOHN MARCELLO 🎬📧
Madebe dah uko vizuri sana aisee big up sana kaka
Amazing dialogue, Madebe una deserve Crown
Madevu kutoka Mombasani hii film iko majuu
Na kukubali sana jembe langu
Niliwahi kuangalia bongo movie story IPO ivi ivi😀😀wabongo bahn cjui tunafeli wapi Ila nakukubali bro 👍
Kweli tena alikuwepo na riyama ally ndio Alikuwa dada mtu wa marehemu
Big up Sana hii ni more than pain
Isikie tyuu usiombe ikakukuta mzeee
Madebe una feli sana malizaga movie
10:45 naombeni munisaidie jina la huyo msanii n nyimbo
Kazi nzuri sana
Daaahh Yaan Huwaga Nawaza Sana Unapoandaa Filamu Zako Unatumia Muda Gani Kukamilisha..!! Maana Unatumia Akili Nyingi Sana..
Mwenelezo madebe ufanye mapema bro ni nzuri inafunza mie misaad kumpea mtu no
Kama ume muona mwizi ame vaa kanzu gonga like 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Madebe unnaanza kukwama. Mwizi anavaa kanzu
Big up sana kwa movie nzuri kaka madebe like zake please wazee💯💯💯💯
Villaza yaelekea kuwa moto ,lkn tamthilia za madebe zaishia namba 5 mlijue ilo wadau ,anayenikubal naomba like yake 👍
Nakubali hii Kali kinoma
Hii nyumba aliyopanga lidai pambe🤗🤗 ipo changalamu
😂😂😂😂😂ila waaatuuu
Move nzuri sana nangalia nikiwa saudi.arabia
Bwana harakisha nyingine mkuu mambo ni fire
series nzuri saaana.
Upo vizuri kaka napenda kazi yako......🙏🙏🙏
Love you madebe
Hii song iliyoimbwa humu ndani nzuri sanaa
Sure Madebe👍
Hyo nyimbo ni moto
Nzuriii xana ❤️❤️❤️😘😘
Keep it up broe,
Filamu Nzuri Ila kosa la kwanza nililoliona ni huyo dada wakati ameingia ndani anakuelezea hali ya nje kosa alilofanya ni kumuangalia camera Man
duh pole sana madebe
Of course madebe unajua brother 🙏🙏
nimeipenda sana tena sana ila sjui mwisho itakuaje
Upo vizur ww mkali madebe
Matusi imefikia wapi
Imeshaisha kitambo
Ndo kwanza ipo bandarini
@@ramadhanimrina3968 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakubali movies za bwana madebe kwa kweli elimu tosha
Bonge moja la idea mzee baba
Nice bro
Nice movie
Bro madebe upo vzr xn bc tunaomba muendelezo wa matusi jmn
Madebe Lidai mtaalamu wa sanaa Afrika.
Binge la jicho mzee madebe
Nice
Madebe punguzeni muzic nimukubwa sana jamani 👂🙏
Oyaaaa hili ni bonge moja LA msala 😂😂😂😂
😯😝😝😀😀😀😀sasa hapo itakuwa aje jamani naona bwana madebe macho kodo nyuma kwa nyuma😀😀😀 jamani niatari sana mazee ilakwautaratibu bado tunasubiria seem ya pili 2 sawasawa
Madebe kiboko unalala ndani na MTU anakufia hiyo kesi utaipeleka wapi ndugu yangu sijui wacha🏃🏃 nikufuatilie Zaidi
Wonderful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wa kwanza kutoka kenya +254
Wimbo unaitwaje jaman
Madebe ww number 1 Tanzania
Nime penda hii cheni
Dada wa marehemu ni danga tena jirani+dereva baba wa mtoto
Kaka wa mwalifu ni anaye dai
Nomaa sana hapooo
Mzee baba madebe lidai wanao haututendei haki matusi wapi sasa imeishia
Kitambo Sana ndugu!!
P tunasubir muendelez
Hussein Machozi uko wapi huku mambo yamejirudia. Njoo utupe mbinu ulifanya vipi kile kipindi asee!
Umetisha
We noma
Good work
kwastairi hiii bongo movie yakwako2 bira kupingwa kaka
Hyo wimbo inaimba background ni ya Nani jamani
is good god bless you
Nzuri sana kabisa
Matusi imeishia njiyani vipi?
Madebe wewe ni fundi sana, kazi nzur
Dah ! Usiombe ikukute hii hali
Acha BROOO Atari sana
Duuuu unaweza kuhisi umemkosea mungu kias kwamba huna thaman dunian nixhda
Wah hii movie Kali.ndio inaanza lkn motooo
Iko pow
Kabla cjamaliza nianze na 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Like zinaburudisha waduu .kama vipi tujuane
Huyudada kuongea hajui jamani siujibu mtu kistaraabu haya kafia geto🤣🤣dada mtu huyo koma namajibu yako🤣🤣🤣🤣🤣Hussein machoxi kasema hahaha ila madebe anaakili vilaza nao wako mdomo wazi kama papa wanaosubiria vywakula kwenye meli
Madebe is unstoppable
Matusi umekatisha umetuletea hii nayo sijui vipi km tutaletewa mpk iiishe mwisho au ni ayo ayo.....
Matusi IPO hadi namba 5 imeisha vizuri tu
Nyie mnao deslike mafunzo mazuri kama haya mna akili zipi na mnawaza nn?
Mnapungukiwa nn?
Daah...!
Mwendelezo napataje
Iko vizur mtaalam
Nmeilewa vilaza
Kali