MKWAJU Sehemu ya kwanza
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Filamu hii ya kitanzania inafundisha ukakamavu kwenye Ndoa na Jinsi ya kukabiliana na Changamoto kubwa bila ya shuruti itakayoonesha wewe ndie unafanya ....Je unajua nini kimetokea ungana nasi katika kufuatilia mkasa huu wa MADEBE na MKEWE CHANUO Filamu hii imetengenezwa na MALIMEDIA
Kwa maoni /ushauri
+255769000762 - Розваги
Baada ya MATUSI ii ndo move nzuri zaidi baada ya miezi kupita. Allah awaongoze washiriki wote wa MADEBE LIDAI.
INSHA ALLAH
@@madebelidai10 madebe wewe unangalia zaidi kipaji kuliko mwonekano❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Heshima sana kwako Madebe na wenzako wote, kazi iko poa sana, Mungu awe pa1 na nyinyi aiseee
Kweli madebe ni msanii ambaye nimetumia kauli zake kuendesha maisha yangu,,
Nipe likes zake
Yani nimeipenda hii ...tena imeongelea sana maisha karibu yanikute hivo hivo yanazingua wengi
Naomba likes za madebe hapa wakubwa👏👏
Very much
Ok
Ii
Oo
@@vitalismkata5173 ooo
Nzuli sana wanaye mukubali madebe kama mim Linke nizipate 🇸🇦🇧🇮
Nampendaga sana chanuo umetisha
Nakupendaga chanuo unavyo juaga kulia
Niko apa
@@rehemabakari7425
Atariii
Safi Sana Madebe. Umerudi tena. Film ni nzuri Sana. imeanza na UJUMBE yakinifu
Akika unatufunza meng
Boss madebe hakika kazi zako zinahaja ya kumaliza mb zetu , maana tunapata elimu na mafunzo muhimu kwa afya zetu .
AHSANTE
Tulio kuwepo kwenye matusi na ss leo tupo kwenye ukwaju please naomba tujuane hapa kwa like🔥🔥🔥🔥
Miye apa dadangu
Kazi njema sana bwana Madebe 🙋🏽♂️🙋🏽♂️
toka mwenyezi mungu kamuchukuwa kipenzi wetu kanumba, hila mungu ni mungu tu.
kwa hivi katuleteya madebe lidai.
nabii muswahili
mwenyezi mungu akutulindiye
Much to respect kwa timu nzimaaa... Hakika hapa elimu itapatikana yakutosha... Keep it up guys🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii nayo Kali ya mwaka I say 💝🥰💝💝 wanaomkubali madebe likes jaman..
Huwa nikimuona chanua na madebe nafurahia sana uwepo wao kiufupi nawapenda kupita kiasi❤️❤️❤️💋💋💋
Series Kali🔥Kaka Madebe Haujawahi Kutuangusha#Mkwaju🔥🔥🔥
Madebe hajawahi kukosea kwenye kazi zake 👏👏👏👏💎
Sinema nzuri sana ombi rangu msichelewe Sana kutuletea mwedelezo
Madebe ni mfalme katika tasnia ya movie mukubari mukatae👑
Kabisa
Mkwajuu umetufikia WAP like za mkwajuu👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️🙏
Huyu mwamba madebe big up sana. Napenda kaz zAko sana zinaelimisha sana 💪
Madebe nikuaminia sana kazi safi ...ningelikuwa skuli maneno Yako ningeyatumia kwa kuandisha insha
Madebe na mkewe mashaallah had raha ❤️😍 sio hawa wasanii wengin tabu tupu kwakweli 🤣🤣🤣
Nyimbo izi tunapataje kwa mfano
Nyimbo zote za movies zangu mzuri sana kaka
On different level.
Mob love from Lodwar, Kenya
The background song is on 🔥🔥
Ni thamthilia yenye mafunzo na busara kwa mwanzo wake tuu, Mungu Akuwezeshe kuendelea kuwa na hikma na busara ya kunufaisha jamii .
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakaatuh everyone ❤️ thank you so much madebe kwa hii bonge la movie iko amazing Tu Sana mungu akuzidishei uzidi kutufunza mengi👏👏 lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️👌
Amiin insha'allah
basi nichukue nafasi hii niwapongeze ndugu zangu kwa kazi nzuli mulio ifanya.
ki ukweli hii filamu imetengenzwa vizuli sana sana tena sana "high quality" filamu taamu sana.
Ujawahi niangusha MADEME good job jah bless you
Watching from Saudi mob love madebe keep it burning 🔥 😬
Shukran sana Madebe kwa kaz nzur na team yako
Kitu Moto 🔥🔥🔥🔥😂😂kweli mkwaju gonga like kama ulikuwa watazama MDA umefika au 🤣 bdo mkwaju uwanjani ,,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 together iko love madebe
Much love,from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗🤗
Ongela sana madebe❤ yaani filamu zko hazichoshi nazipenda kinoma walai
Mungu awajalie afya njema tuzidi kupata burudan na mafunzo kupitia vipawa alivyowapa team nzima 🔥🔥🔥🔥
Daaaaah madebe anajua Sana,bonge Moja la series
Kazi nzuri,,fun number one from Nairobi Kenya,much love
Nakubali Sana picha zako kaka zinafundisha Sana hongera Sana na mungu akuzidishie San Sana
Kazi zako nzuri sana from Paris
Aya mambo uwa yanatokea sana kwenye maisha ya mausiano
Kazi nzuri,nimemuona homeboy muuza genge
Yaani madebe ungekuwa hukawii sana bila kuachia movie saii ungekuwa talk of the town, kaz nzuri sana
Kuanziaa leo Father Mimi Niruhusu Tu Nikuitee @MadebeMkwaju🙏
Mana Hii Movie Hii Daah inatrend Mtandaon na kwamitaa Yote Bonge Moja la Kazi Baba Angu Shikamoo💓💓💓🎥📸
Hongera Madebe kwa kazi nzur
hongera sana madebe kwa kazi nzuri hakika unatufundisha mungu akubariki kwa kazi zako
Move nzur hongera madebe
Nakubali sana kazi zenye uhalisia wa asili ya KITANZANIA na AFRICA
Hongera madebe yaan mnajitaidi kutumia kiswahili fasaha kazi nzuri
Asnteni sana timu mzima Allah akupeni wepesi wa kila jambo
Filam hii kali episodes nzuri kbs, mengi yakujifunza kwa movie 🎥 hii: 👏🏼👏🏼👏🏼
Mkwaju hauboii... Asante ML
Mkwaju ni lazima iwe na dakika hamsini
Mambo ya 16 minutes acheni please
😂😂
Big up madebe na team yko
Kazi mzuri snaa 🎉
Chanuo mama...chemsha hio ndimu natangawizi🤣🤣🤣😍😍😍Mr madebe @m's madebe nawapenda sana
Una story nzuri sana maisha halisi tunayoishi kila siku
Kazi nzur sana MADEBE pamoja na TEAM YAKO 👏👏👏👏👏👏
AHSANTE
Madebe unajua ndugu yangu keep it up 💪💪💪💪
Jmn tuambien wimbo huo Nan kaimba kupanga sy kuchagua maumiv Sasa nitafanyaje sikutalajii kuziona mbivu Sasa nitatemaje Amina rab Amina tutaonana kiama
Kazi Safi sana team nzima
Ahsante sana kaka madebe kwa kutuburudisha na kutuelimisha mungu awabariki nyote
Big up to Madebe lindai
Madebe anaweza mapaka anaweza tena❤️❤️❤️
Nakubali sana kk mwalimu wangu mungu azidi kukupa marifa na ubunifu
Nakufatili san madebe najifunza vitu vingi san kupitia ww mungu akubalik san🙏🙏
Mashaallah kaka madebe move nzuri sana
Kazi nzuri sanaa
hongera sana madebe Allah.akuzidishie afya njema na kundi lako
Mimi nimkenya nafatilia sana kazi zenu ninzuri napenda kweli
Umetisha mkukwaju
Kawimbo kanani ako jmn pleas 🥺 ira ujumbe mzuri Big up
Big san mkubwa madebe love u from🇧🇮🇧🇮
Nimeisubili hiii san kwa mda ni nzuriiii
Jmn mbona chanuo wetu kapungua ivo. Alikuw anaumwa nin au? nakupend sn chanuo ♥️♥️♥️kak madebe jitahid chanuo wang arudishe kamwili kake bana. Nawapend mno kz zenu nikali mno👌👌👌🌹☘️👌
Ndio kwenye kuikalia hii sinema chini...Naamini itanifurahisha....254 👊
Nannjenu nkumonanga ii nne ngunapupa,,,shilombani apanjile jo ni nnyene majele,,,,Big up bro,,,,kazi nzur
Masha Allah umenifurahisha sana
hongeren kwa kaz nzuri😍
Shukrani xana. Love from Msawa Boy 🇧🇮
Madebe Allah akuhifadh Mana ni mbora kwet sis vijn unatusihi meng Sana kwa vitend
Movie nzuri San nawapenda nyie be watu
Lp media nikwel mnaleta kilicho bora very nice
Mtaalam daahh Mungu akuwezeshe uzidi songa
madebe jamani mm nishabiki wako kutoka mombasa naikubali sana mkwaju
Ujumbe mmoja matata sana nimependa kazi yako madebe
From kenya madebe unaweza kaka Big up bro good work kuja pia kenya support Young talented
Kali kuliko aka Lidai✊😎
Kazi iyendelee kaka mungu akusaidie
Kazuri❤️❤️❤️❤️❤️epsode ya pili pls
Wangapi tunamkubali madebe gonga like
Mswahili halali......najifunza mengi hapa......
Kaliiiiiii☑️
Kaz nzur sana kaka madebe pamoja na Tim nzma
Kazi nzuri mimi nimfatiliyaji wa kazi zako nikiwa drc mjini beni napenda sana kazi zako mimi kama mwingizaji napata elimu kukupitiya ume shimama kama mwalim kwangu ongera sana na imani kupitiya hii kazi labda nita baatika kukuona inshalah
Nice bro, idea nzuri xana
Nawakubali sana hamuna kazi mbovu
😂😂..mkwaju... nipo hapa lidai..mwamba..
Bonge la movie kazi nzuri sana kaka madebe lidai
Tunapata Kitu sana mzee
Nice movie
Inshaallah naimani ipo siku na mmi nitaigiza na huyu mwamba dahh Allah akulinde na mahasidi bro,hizi ndio muvi sasa madebe number 1 wengine wakalale