ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
Вставка
- Опубліковано 17 кві 2018
- ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameambia serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.
Tupate taarifa kamili kutoka kwa Catherine Kahabi…..
Akichangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.
Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.
iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
kweli huyu jamaa nomaa xana anaongea point kama jina lake zito
jama zitto mungu akulinde
OMG! What is on Zitto's mind, he is so bright, #his brain is full of fact.
Zito kabwe ww nakukubali sana
daaaah 🙌🙌🙌🙌zitto we noma nimekuelewa
Wapige nondo. Safi sanaaa
Tunakuombea mbunge wetu... We loves u!!!!
Asante kk nondo nimeziona!!!
Pesa wanaiba wanayo 👏👏👏
daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂
Duuuh @zitto anabalaa ok
Duh
Ahsante Zito,Akili kubwa vs akili ndogo! Nafasi walizokalia zinawapwaya na hawataki kuonekana vilaza!Wape shule master!
Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana
Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.
Amen Amen. Mzee Lukuvi nenda kijiji cha buiko uko korogwe tanga kasikilize kilio cha wananchi . asante. Mungu akupe hekima. Amen.
Daa mungu atusaidie
Bro well grasped
Hongera sana zito kwa hoja yako nzur ikiambatana na mifano hai.
Sawa ztto👏👍
Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah
Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake
Pamoja sana
zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏
Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.
unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia
Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe
Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa
Nasra Hussein zito noma
one love broo zito
kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi
nawakubalii sanaaa aitheeee
Big-up kamanda Zitto piga nondo.
Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu
#Wewe..Zit0..Mungu..Akujalia..Sana..Maisha..Marefu..
Nakupenda sana zito
Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara
vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya
haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito
Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi
Eti tulieni niwapige nondo! Zitto bhana, wapige nondo baba
Wewe mbulula inaonekana hujakulia kwa wastaarabu kwani matusi ndo dili?.
Sasahvi vipy , je pesa haipo au mradi haujengwi,, mwambieni zitto aseme Tena,
Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto
zito kiboko yao
yohana haule Hawa ndo wabunge mzee
yohana haule kwann viongoz kama hawawasipewe nafac katika taifa ili watuletee mandeleo
Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?
Sema wachu sema wachu kigoma moja
nice
Zitto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜💜
2020 zito kura yangu unayoo
Respect
🙋
safi sana kaka angu
Really fact.
Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity
Seen
Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf
Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe
Mandamano pembeni, magufuli kashatoa amri huyu akamatwe
Heli Ernest
Pole kaka keke za chura hazimzuii fisi kunywa maji zito na kelele zake ni bure tuu kamahakuna mabadiliko kwa wasioona shida za watu.
zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba
Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna
Huamini au ?.
Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂...
nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌
K
I'm optimum.
"MNAFANYA SIASA, ILA UKWELI MNAUJUA" Duh #ZITTO ANAJUA KUWAKABA KOO.. #CAG
Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani
Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana
Hamna....hamna hela!!
Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu
Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa
Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.
Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.
Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli
Et muda muda,yaan wabunge wa CCM sijui wamelogwa
fact should speak itself
ZITO KWELIIII
oyeeeee awana pesa
Hawana hela hao siasa tu hizo.
Kama zipo hizo pesa ajira tafadhali tunahitaji.
Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!
Zitto, Zitto! Hydro-power haitumii maji quantitatively. Hydro ni non-consumptive user wa maji. Hydro inachuma energy na kuacaha maji yaendelee. Jengeni argument zenye shule!
CL T uo uchunguz umefanya ww kweny uo mrad au unakariri kila ktu hujui athari... ushaambiwa maj yamepungua unadhan ukiondoa izo lita zote kueka kweny bwawa la umeme utaathir shughul ngap za kibinadam.... Suala sio umeme suala n kufanya uchunguz kipind hiki na sio kufanya vtu kwa uchunguz wa enz za mwalim
Maji ni limited resource au unlimited? Kwanza jibu hapo.
Halafu umeambiwa toka 1974 mpaka leo kuna asilimia 40% zimepotea... Sijui mm sijasikia
Halafu kwann mara gas, mara stigler ?
Wewe ni mhandisi wa wapi? Umekalili si ndio ya kwenye vitabu eeeh??
Hhhhhh huyu nae kanichekesh , ukaseme nin ww mbele ya Kabwe , ijue nafas yko mda mwengine hhhhhhhh
zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn
Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan
Miguna miguna wa Tanzania
Hahaha, gd life has not come like dream
ukiishiwa nondo nakuretea zingine chezea Zitto nondo
Hatariiiii upinzani sihami Leo wala keshoooo
tulia niwapige nondooooooooo nyinyi ccm hovyooooooooooo sana kazi kupiga makofiiiiii fyuuuuuuuuuuu
" Don't Denny facts"
Ni kweli bomba linatumika kwa 6% tu?
Zitto hauko objective issue ni mradi ukamilike au kutokuwa na pesa na kama pesa hakuna tufanyaje?
Umesema Jambo kwel awe specific afu aseme kwa umoja Mana SS wote watanzania habar za kusema wanabomba inamaana anajiexclude
zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza
Wapinzani Tutawakumbuka sana
Hahahhaahha serikali bana yaaaan kila kiongozi anajitamba ana hela alafu badae analalamika pesa ya miradi jimboni kwake haikuja kabisa wengine zilikuja kidogooo
Uyo si ndio aliyempemsafirisha mke wake USA kwa ajili ya kujifungua ( tz hakuna hospitali ya maana, hakuna umeme) na hakutoa taarifa ya kutokuudhulia vipindi vya bunge?
Woyooooo zitooooo
Safi zito unasema kweli wahusika wamemute hahaha
Zitto umewapatia sana hao maboya
Hahaa! Kweli hizo nondo. Tena za moto. Likuvi kumbe wewe boga tu. Hamjumbuki bandari ya Bagamoyo nayo iliwashinda?
Kila siku sera ni zilezili, kujenga barabara, vituo vya afya, shule, maji, umeme, hizi sera zitatekelezwa lini? Jiulize ungekuwa unagombea nafasi ya uongozi ulaya au marekani ungeongea sera gani? mana kule hamna hizi sera.
Tanzania kuna park nyingi sana hainasababu ya kuzuia chanzo cha umeme acheni kutumika
Laiti Bunge lingekatazwa kuletaleta taarifa.
Huyu Zito Kabwe ni tatizo kubwa!!! Loh!!!!
Peter Bayo n kweli hao ccm ni watu wa kudanganyadanganya
Peter Bayo
Yeah, nitatizo maana anasemaj UKWELI? Angekausha tu!
Peter Bayo Tatizo nyie mnaokataa ukweli zito sio tobwe kama nyie mnojitia hamnazo na hilo zombie lenu Magufuri na Lukuvi na hivyo vyombo venu vya dola
Toka rini ccm wakasema kweli
Peter Bayo wewe ndio tatizo
Kama wangekua na hela wasingezuia hela za majanga mhh
Hii kauli ya bwn LUKUVI ni kinyume na ile iliyotolewa kipindi kile walivyotaka kuzalisha umeme kwenye mto malagalasi huko Kigoma Nakumbuka kuna wazir alisema pale kuna VYURA aina yake ambao ni kivutio cha watalii. Hadi Leo kule kwa akina zitto KIGOMA hawana umeme wa kujitosheleza...!!!
Hahaaaaha hawana pesa,, tatizo lao ni akil ndogo sasa wakikutana na akili kubwa wanadata kabisa!!!
Mick Skills TV hawana pesa kina nani sasa!! Weee mrundi nini? Sema hatuna pesa haya ni mambo ya nchi na nchi ni ya watanzania wote bila kujali chama dini wala kabila. Sasa unaposema hawana pesa wewe mnyarwanda nini?
ushauri wangu wa Tangazo la hiyo app, mumelezea mtu download hiyo app, Lakin munapaswa kumwelekeza mtu sehemu ya kuingia na kupakua hiyo app, musiji elezee nyie, elezea user, wangapi wanajua google play store????? Onesha jinsi ya kuingia google play store na jinsi ya ku pakua
Zitto siku zote hutaki maendeleo ya Tz. Bahati yetu wenye uchawi wao walikufa nao. Tungepata tabu sana.
Hata Mimi suelewi mpango wa gas umeishia wapi?? Na unajengwa mwingine .
Mungu amemuumbua
Zitto wewe na Mimi ndio hazina ya nchi hii ya Tanzania
Asante zitto
Kwa nn awa viongozi wanaogopa kusema ukweli na pia wanachukia kuambiwa ukweli kwa namna hii tutapona vipi jaman
Kwel
NASSARI vp huko uliko unaenda lini marekani
Mh!