Nakusikiliza MH: Zitto kabwe, nakumbuka kauli ya Kabudi kua sio kila alie bungeni ni mwanasiasa, ila wewe ni mbunge mwanasiasa mkomavu unaakili Sana, unalipenda taifa lako mie ni mwana ccm kindakindaki ila nakupongeza Sana katika hili
Zitto ni moja ya hazina ya nchi hii,Serikali itambue hilo,tena imuenzi,hii ni lulu ya nchi,watu kama hawa katika nchi zilizo endelea,wanaenziwa,nasema haya nikiwa mimi si mwanasiasa,na si mpenzi wa chama chochote,ni mzalendo tu wa taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
Imma kama unataka mafanikio yako binafsi,basi tizama makosa yako,bila ya kujipendelea,kwani ikiwa utajipendelea bila kutizama uhalisia,siku zote ukijipendele utatengeneza matatizo ama mapya au ya zamani kwa kuyarudia,na yatakuathiri wewe mwenyewe kizazi chako cha sasa au kijacho,uungwana na hekima na kutendeana haki,ni baraka M Mungu,narudia tena kwa kusema sina upendeleo,binaadamu sote hatuko sawa,aliyoyazungumza zitto,ni maneno yenye uzalendo,yaliyokosa chuki,na yana kila dalili ya kulitakia mema taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
Kama ulichosema kimetoka moyoni basi wewe ni mzalendo...maana tusijitetee kwa vyama vyetu wakati tunaiangusha nchi...ni ujinga...na muswada huu ni hatari kwa vizazi vijavyo..
ALLAH Akubariki na Akulinde jembe langu nakukubali sana maana wewe ni mbuge mfano Tanzania nzima badae tutasikia Mazwazwa tanaitisha waandishi wa habari ili kukuchafua na kuhoji uraia wako
Erasto majaliwa unaambiwa msajili anapewa mamlaka ya kukifta chama chochote kwa mawazo yake wakati katika nchi ambazo mswaada huo umekopiwa wao wana tribunal ambapo itakuwepo kamati ya kuchungza ili kujiridhisha na maazimio ya msajili juu ya chama husika na itaunga mkono au kushauri vinginevyo sasa naamin umeelewa
Wamechanganikiwa CCM hawapo kabisa na hivi sasa wanaumbuka hawana cha msingi wamegonga, Bundi limewaganda hawajuwi wapi pa kuingilia na wapiu pakutokea.
Mimi niseme tu tukikaa na CCM bila kuwa na wapinzani tutafanywa watumwa. Kila kitu kitakufa ikiwepo elimu, Afya, Viwanda, Kilimo nk. CCM wabunge wake ni Mazuzu kabisa. Wakishapata mishahara yao kila kitu ndiyooooooo.
@@mrambajulius7819 hilokweri hata mimi naungana na wewe kwamfano wanachokifanya kwa zito sio kwer anachosema zitto ni chakwer mh supika wa bunge asiweke fitina kwa zitto??
Mh. Zitto mbona unaonge vtu vng vya maana lkn Serikali ya CCM hata hawashituki???? Hakka Chumvi,,Khanga,,,Kofia,,na Tisheti wanazohongwa RAIA wenye uelewa mdogo vitatudidimiza
Taarifa ya nini?? Kuna watu wanaboa kwelikweli, why don't you wait for your chance/session. Alichokua akiongea hakiendani na taarifa ilokuwa itolewe immediately.
Mh zito zuberi kabwe wewe ndio rais wangu mimi unamaono mno sio kama ccm awapo wapo sana kama vile bashe ila kwa upande wa ccm ukiwa msema kweli unatulizwa
Wabunge Wa CCM wanataka kuwa mfukoni mwa Msajiri na mwenyekiti wao. Hivi Mnatunga Sheria Msajiri amfukuze kiongozi wa chama, au amkatae Mgombea au Mbunge, Je Rais akimtuma Msajili amuondoe mgombea ama Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona?
Kuna vitu vi 2 navihisi kwako Kama ni mtanzania basi hujakua bado au siyo mtanzania maana Kama ni mtanzania then hujui unakua ni mbururaaaa fuatilia history ya nchi wewe
Elia Nkya ww huna akili acha kujipendekeza vyeo vimeisha Lumumba yani kila kitu kujipendekeza nyinyi ndo mulikuwa munapongeza sheria ya kikokotoa cha wastaafu baadae mh.amefuta sheria hiyo munapongeza tena tumieni akili
Yaan kama unamkubali zitto kabwe acha majungu gonga like yako hapa
Hi serikali inamambo ya ajabu
Mbatia ,nape,bashe,katani ,zito mdee ,bulaya mungu awape nguvu zaid
Nakusikiliza MH: Zitto kabwe, nakumbuka kauli ya Kabudi kua sio kila alie bungeni ni mwanasiasa, ila wewe ni mbunge mwanasiasa mkomavu unaakili Sana, unalipenda taifa lako
mie ni mwana ccm kindakindaki ila nakupongeza Sana katika hili
Mungu amsaidie tuu!!
thebaqiyyatullahi Online TV Wewe ni mwendawazimu ndio maana unamwogopa mjinga
spika dungai anamkubali sana zito kabwa nandomaana keherehere mumoja anataka kutupotosha katikati ya mda nzuri akamugomeya big up sana spika.
Zitto ni moja ya hazina ya nchi hii,Serikali itambue hilo,tena imuenzi,hii ni lulu ya nchi,watu kama hawa katika nchi zilizo endelea,wanaenziwa,nasema haya nikiwa mimi si mwanasiasa,na si mpenzi wa chama chochote,ni mzalendo tu wa taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
Saad Mohammed mbona husemi ruzuku inavyoliwa
Imma kama unataka mafanikio yako binafsi,basi tizama makosa yako,bila ya kujipendelea,kwani ikiwa utajipendelea bila kutizama uhalisia,siku zote ukijipendele utatengeneza matatizo ama mapya au ya zamani kwa kuyarudia,na yatakuathiri wewe mwenyewe kizazi chako cha sasa au kijacho,uungwana na hekima na kutendeana haki,ni baraka M Mungu,narudia tena kwa kusema sina upendeleo,binaadamu sote hatuko sawa,aliyoyazungumza zitto,ni maneno yenye uzalendo,yaliyokosa chuki,na yana kila dalili ya kulitakia mema taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
Saad Mohammed wewe unajielewa huo ndo ukweli
AKILI KUBWA☝👏 ZZK hakika wew ni mbunge wa tanzania nzima..
Ushauri mzuri sana usiojali itikadi
Mimi ni mwana ccm Ila kwa mswada huu usiungi mkono kwasababu tunaonekana km atujiamini maana inaonekana vinalengwa vyama vya upinzani sasa siyo poa.
Nimekuheshimu,,Nzi akituria kaka anatengeneza asali
Ndauka Njello unadanganya wewe hana mwana Ccm mjinga
Kama ulichosema kimetoka moyoni basi wewe ni mzalendo...maana tusijitetee kwa vyama vyetu wakati tunaiangusha nchi...ni ujinga...na muswada huu ni hatari kwa vizazi vijavyo..
Kati ya vichwa makini ambavyo sijawahi kuvichoka hata siku moja ni hichi😎
Machine ya kigoma hiyoooo
Asante Zitto Kabwe
ALLAH Akubariki na Akulinde jembe langu nakukubali sana maana wewe ni mbuge mfano Tanzania nzima badae tutasikia Mazwazwa tanaitisha waandishi wa habari ili kukuchafua na kuhoji uraia wako
Hawawezi elewa kaka haya ni mambo yenye impact mbaya sana kwa Watz baadae!!!
Wasio kuelewa Zitto wenye erimu kama yangu ila wenye uwelewa wanakwelawa bilashaka
Saf sana
Erasto majaliwa unaambiwa msajili anapewa mamlaka ya kukifta chama chochote kwa mawazo yake wakati katika nchi ambazo mswaada huo umekopiwa wao wana tribunal ambapo itakuwepo kamati ya kuchungza ili kujiridhisha na maazimio ya msajili juu ya chama husika na itaunga mkono au kushauri vinginevyo sasa naamin umeelewa
Dar yani we jamaaa unaakili nyingi sana upo vizur
zitto ni kama mwalim kashasha abakie hivyohivyo kwenye uchambuzi siku wakimpa timu anaharibu kila kitu😂😂
Wamechanganikiwa CCM hawapo kabisa na hivi sasa wanaumbuka hawana cha msingi wamegonga, Bundi limewaganda hawajuwi wapi pa kuingilia na wapiu pakutokea.
Hakika ubarikiwe sn kwa mchango wenye akili
Zitto kabeba vyama vyote ♥️♥️♥️
Zito akili zako zinachaji sana na point zenye weredi wa hali ya juu sana asie kuerewa basi.
Mweshimiwa zito tumekuelewa sana
Point zto unazungumz lakn mm ninajiuliza iv bila upinzani kweli hii nchi ingekua nahali gan mnao ukataa upinzan mkapimwe mkojo
Mimi niseme tu tukikaa na CCM bila kuwa na wapinzani tutafanywa watumwa. Kila kitu kitakufa ikiwepo elimu, Afya, Viwanda, Kilimo nk. CCM wabunge wake ni Mazuzu kabisa. Wakishapata mishahara yao kila kitu ndiyooooooo.
ngalawekikohi ngalawekikohi Wewe hujui hata ulichochangia zaid ya kumsifia mhalifu zitto. Mbona na hamsemi namna wanavyokula ruzuku
ngalawekikohi ngalawekikohi Upo sahihi sana
Exactly
@@mrambajulius7819 hilokweri hata mimi naungana na wewe kwamfano wanachokifanya kwa zito sio kwer anachosema zitto ni chakwer mh supika wa bunge asiweke fitina kwa zitto??
Safi sana Speaker
bright person
Zitto anatisha bwana
Napenda kuwa opposition leader cos unakuwa na uhuru wa mawazo. Akili kubwa
elinaza sendoro aq1a1qqaaaaaqqa*
Zitto zitoo Zitoo
Nakukubali sana Mh. Zitto
Gerald Emmanuel Mh zito,mbowe,lissu kubnea mnyika msigwa na wengine kweli mnaona mbali can ndo maana hawawaelewi,asante
GOOD POINT ZITTO....
salute Mh. unatufundisha
Msajili wa ccm,upinzani mkimkubali mmekwisha
Shukran Zizu
DAH AMA KWELI UNAUSHARI NZURI MATEKELEZO TU
Mh. Zitto mbona unaonge vtu vng vya maana lkn Serikali ya CCM hata hawashituki???? Hakka Chumvi,,Khanga,,,Kofia,,na Tisheti wanazohongwa RAIA wenye uelewa mdogo vitatudidimiza
Nnchi bila vyama vyangi akuna maendeleo yoyote hivyo Kama hawatakuwepo bac tumekwisha
"..unapoweka sheria kuna jambo unataka kulitatua.." noted
Huyu anafaa kuwa rais
Zitto siyo mbunge wa kigoma tu bali watanzania nzima
Dawa ndo iyo ni kupita firishani
ccm wanajifanya kumtumiliya msajili wa vyama kuvifuta nyama kumbe chama chao ndiyo kinatakiwa kifutwe wananchi hawakitaki kifutwe hakifai hahahaha
Izi video kuna cku zitatazamwa tenaaa duuuh!!
jembe kigoma tupambanenie mueshimiwa unaweza kaka.
safi sana mh spika
Taarifa ya nini?? Kuna watu wanaboa kwelikweli, why don't you wait for your chance/session. Alichokua akiongea hakiendani na taarifa ilokuwa itolewe immediately.
Wabunge wa upinzani ni wazuri pia spika katulia vizuri sasa miongozo ya kijinga tupa kule
Kwaheli democracy na Tanzania
Aiseee huyu jamaa nimuha mwenzangu nishida
Ccm inaturudisha kwenye zama za Giza tunarudi miaka 60 nyuma
Excellent zitto kabwe
Million mbil
Akili nyingi
Kwanini mpaka waende mwembeyanga badala ya kubaki Hai ...
Utoto wa kiutu Uzima unaimaliza Tanzania.Wabunge wa Ccm mjitafakari mnaipeleka nchi pabaya
God bless you!..
Hutufai zito katika Jamii yetu
Wewe zito hutufai siku zote unazungumzia machafuko utufai
Bring school to people... too much mbumbumbu
Wanafikiri nchi ya kikundi cha watu special,
Zitto God bless you. you are so strong ,kip it up man of the people
Zitto mmoja ni wabunge 20 wa fisiem, na ninachokiamini wanamuelewa sana mh zitto lkn matumbo yao na chama chao ndio tatizo
hapo umeongea bro
Kwann tucmpe huyu mh kabwe nchi eti watanzania wenzangu,,,, gonga like tukubaliane
unajua kuchambua lakini tatizo lako unakua kama msaliti saa nyingine.
Tena usaliti wake ndo tunauona leo kwenye world Bank
Democracy ya kujipendekeza kwa wazungu
Ndio muache kutukana na kuropoka....
Mh zito zuberi kabwe wewe ndio rais wangu mimi unamaono mno sio kama ccm awapo wapo sana kama vile bashe ila kwa upande wa ccm ukiwa msema kweli unatulizwa
Sasa ivi hakuna uhulu kweri ivi zitto hakili unazo ,umesema tusilaumiane unamanisha unataka kwenda porini,unalijua hilo jambo likitokea utalimudu
Zitto ni mjinga, marekebisho yanasema vyama visituhusiwe kuwa na Ulinzi siyo chadema tuu. Ndio maana ya marekebisho
Imma Mlowe unaonekana ww ni mjinga zaidi na hujui ata kinachoongelewa
Mwache aendelee nimeisikia! Yaani Tutakutana Mwisho ili Mmpe Wakati mgumu 2020 kwa Sera Zake
Tutaburuzwa Kama mamburura komaeni jamani tunusulike
TANZANIA NINAKULILIA DAIMA UWE AMANI UKIHARIBIKA NITAKWENDA WAPI NA UZAO WANGU.
Kweli India ni wataalamu.. 😃
Nimelia,Machozi yamenitoka hakika.
Wabunge Wa CCM wanataka kuwa mfukoni mwa Msajiri na mwenyekiti wao. Hivi Mnatunga Sheria Msajiri amfukuze kiongozi wa chama, au amkatae Mgombea au Mbunge, Je Rais akimtuma Msajili amuondoe mgombea ama Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona?
na kuku bali ila wabunge wa ccm kazi yao ndio
Hili bunge linahitaji wazalendo.
Mbunge wa kihome hatariii sana gonga like hapa
Yan taarifa zingine
Yaan hii channel ni ya wasaliti
Hivi Rais akimtuma Msajili amuondoe Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona ?
Bashe
Ukishakuwa ccm akili zinahama
Hivi hii nchi inaenda wap kama hamna elimu ya urai
genius👊👊
hizo takwim uchwara
Akiliiii kubwaziiii!!!!! Maneno kuntuuu
Unaongea ujinga kusajili was haimanishi hutaki kufutwa
wewe ulikula mgebuka ukakuingia kwelikweli una akili nyingi sana
Tunamuomba mungu atuongezee Zittomwingine ili tuwlewe mengi
Wala Ruzuku za vyama safari hii mta iharisha! JPM hajawahi kufeli! kusoma Sayansi Raha
Tuvumiliane
Ccm bila police,na tume ya uchaguzi hamna kitu ni kama mkate bila chai kwa wapinzani
Ayo kasha nunuliwa nae, kuhujumu nchi, interview za Lema na Zitto hakosagi, ila facts zenye evidence za msiba hatokei, you are mad!
Hivi bunge haina vitu vya kujadili, mbona kama mnaleta vitu vya ajabu wakati kuna mambo makubw y kujadili jaman
lucas abunuas unaonekana hujui kabisa bunge linavyoenda
Mbona huongei mazuri?
Imma Mlowe akili yako kwny siasa ni ndogo sana bosi
Zito mtu makini
UONGO! kaka juu ya JARIBIO/MAJARIBIO
Kuna vitu vi 2 navihisi kwako Kama ni mtanzania basi hujakua bado au siyo mtanzania maana Kama ni mtanzania then hujui unakua ni mbururaaaa fuatilia history ya nchi wewe
msenge wewe unajua hujui chochote
@@emmanuelmnyonzi7177 mimi msenge lakini we ndo umezidi sasa,maana hata kujielewa naona hujielewi
@@emmanuelmnyonzi7177 na urudishe simu ya watu haraka,naona hata kuandika tu ni mtihani
nyie ni mashabiki uchwara kabisaa wa kisiasa hamjui hata uhalisia, pumbavu wewe
Spika upo vizur
Hawazi kuelewa wajinga hao
oyoooo wewe jembe
Parapanda italiaa parapanda
Acha porojo
Ainisha kitu kipi ktk huo mswaada ni kibovu ili na sisi tusioelewa huo mswaada tuchuje maneno yako
Nujaka Ambari unasilikizaga na nn ww
Joseph Mtui
Hakuna alichokiongea.
Yeye ni hadithi za zamani na kutabili.
Kweli we kilaza... kwa maelezo yote hayo hujasikia sehemu alizotaja vyenye nia uovu. Endelea kufikiri kwa kutumia makalio😆😆
@@TheLugiko 😁😁😁😁
Kaka zito,ubarikiwe sana kwa maneno ya akili
Tuondolee umbea mapinduzi nifikra zako potofu
Elia Nkya ww huna akili acha kujipendekeza vyeo vimeisha Lumumba yani kila kitu kujipendekeza nyinyi ndo mulikuwa munapongeza sheria ya kikokotoa cha wastaafu baadae mh.amefuta sheria hiyo munapongeza tena tumieni akili
Elia Nkya ww nichoko najuwa ww niccm fara ww sikia hoja zawatu makini