BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 чер 2024
  • #TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
    Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 26

  • @DullahKalanje
    @DullahKalanje 9 днів тому +3

    Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu

  • @user-on5cj4mj6s
    @user-on5cj4mj6s 9 днів тому +1

    Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 10 днів тому +1

    Shida

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 10 днів тому

    Mungu wangu duuu tutakoma

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 6 днів тому

    Du! Hatari

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r 12 днів тому +1

    Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 12 днів тому +3

    Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza

  • @zhaozlyoung
    @zhaozlyoung 12 днів тому

    ❤❤❤❤❤

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon 8 днів тому

    Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 6 днів тому

    Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 12 днів тому +1

    Serkali hiii!! "

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 11 днів тому

    Huyu jamaa akili kutwa sana

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 10 днів тому

    Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 10 днів тому

    Hii serikari itajifunza lini

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 10 днів тому

    Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 12 днів тому +1

    👍🇹🇿💪🔥

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 11 днів тому

    Pambana lissu tunakutegemea

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 7 днів тому

    Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?

  • @binismail2029
    @binismail2029 11 днів тому +1

    Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu

    • @amosdickson6318
      @amosdickson6318 10 днів тому

      Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo
      Acha ulevi huooo

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 9 днів тому

    Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 12 днів тому +1

    Hatar kubwa hii

    • @user-uh3eg5cj2r
      @user-uh3eg5cj2r 12 днів тому +1

      Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 11 днів тому

    Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 4 дні тому +1

    LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 9 днів тому

    Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje