Zitto Kabwe Arudi Kigoma, Aongea Mazito: "Nimejiandaa Kuwa Rais wa Tanzania"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • ACT WAZALENDO Wanadhimisha miaka 10 toka kuanzishwa chama hicho na kupewa usajili rasmi mnamo Mei 05,2014. Mkutano huu wa hadhara unafanyika katika viwanja vya Mwami Ruyagwa Kigoma.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 58

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 9 місяців тому +3

    Hongereni ACT

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 9 місяців тому +4

    King of kigoma

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Not only kigoma, whole Tanzania 🇹🇿

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu5830 9 місяців тому +1

    Hongera kaka zinto

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 9 місяців тому

    Together front act wazalendo ❤

  • @AkidaRashid
    @AkidaRashid 7 місяців тому

    Nikweli

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 9 місяців тому +1

    Zito ni msaliti kote kote kasaliti chadema na amesaliti CUF yaani huyu ni fala kweli

  • @FrankMahero
    @FrankMahero 8 місяців тому

    Kweli mwamba

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 9 місяців тому +1

    Labda kama mlengo wa Dola ni kwako upewe pale mambo yakiwa magumu kwetu CCM!lakini hivi hivi ngumu sana!

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 9 місяців тому +1

    Huyu jamaa siasa zake ni kigoma tu

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 9 місяців тому +1

    Yuda

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Mbowe mtafuna milungi na mvuta bangi ,pia kin'gan'ga wa cheo cha umwenyekiti kwenye chama cha kikanda cha chadema ndo Yuda

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 9 місяців тому +1

    Ulipo Toka chadema pengo rako tunaliona

  • @PeterNyanka
    @PeterNyanka 5 місяців тому

    Unaongea vizuri zitto

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 9 місяців тому

    Kuna watu wanaamua kukurupuka ili mradi kuwafurahisha watu.

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 9 місяців тому

    Huwezi kuchaguliwa kuwa Rais hata wewe unajua Zitto

  • @amoslameck2601
    @amoslameck2601 9 місяців тому +1

    Mkutano huu umehudhuriwa na wanawake

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Ukiona mkutano wanaume wanaonekana mbele ujue huo ni batili, huu mkutano umekuwa verified bcz wanawake wamakaa mbela woote , Our next president of tz🇹🇿

  • @renatusmutabuzi7233
    @renatusmutabuzi7233 9 місяців тому

    Huyo akigombea anatumia pesa ya sisiem ni mzee wa Fulsa labda agombee urais wa kigoma

  • @mmassfashiondodomatz
    @mmassfashiondodomatz 9 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 9 місяців тому

    Huyu msaliti awe rais wa nchi gani!

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 8 місяців тому

    Mpumbavu huyu Yuda🙂🙂

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 9 місяців тому

    Hizo zote ni kura za CCM... Katika uchaguzi mkuu ujao...

  • @BinRashid-px4ub
    @BinRashid-px4ub 8 місяців тому

    XD
    6:25

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 9 місяців тому

    Huyu mtu hata Chadema au ccm waweke jiwe na huyu zito basi jiwe litashinda na hana wa kumlaumu kwani kajiuwa kisiasa yeye mwenyewe kwa usaliti wake

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Siku nikichagua chadema au cuf , namuomba mungu nife apo apo😅. Kura zangu zoote zitakua zinawekwa kwa CCM NA ACT WAZALENDO. Chadema hata imsimamishe Mungu siwezi kuipigia kura ever

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 6 місяців тому

      ​@@HamudaniSalumu wewe mpuuzi mkubwa kabisa

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq 9 місяців тому +1

    Mwamba huyo

  • @kajanksimon7432
    @kajanksimon7432 9 місяців тому

    kura yangu unayo baba

  • @amoslameck2601
    @amoslameck2601 9 місяців тому

    Nilihisi na imetokea kuwa hiyo alama yenye kiganja cha mkono hakiwezi kutolewa kwa sababa waliingia nacho kwa trik ya kuwa kinawakilisha nguzo tano za uisilam na akawa ndio kampen yao. ndio maana hawawezi kuitoa. kadi ya mwanza kabisa ilikuwa na alama ya nyota na mwezi kelele zikawa nyingi ndio wakaleta kiganja kwa kumanisha lengo lilelile.

    • @HamzaRashid-iq1yf
      @HamzaRashid-iq1yf 8 місяців тому

      Acha hisia tofauti wewe kila mtu ananembo yke

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 9 місяців тому

    Labda rais wa kigoma

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 9 місяців тому

    Ni haki yako kugombea, lakini urais hapana kaka

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Next president of Tanzania 🇹🇿

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 9 місяців тому

    Acheni chuki kwani mnataka rais akoje kila mtz mwenye sifa anahaki anagombea urais mbona hamsemi chadema ilialika samia na mbowe kaalikwa ikulu kwahiyo ni msaliti?

    • @HamudaniSalumu
      @HamudaniSalumu 9 місяців тому

      Izo comment ni za watu wa kaskazini , Sasa iv yule mtafuna mlungi wao Ambe ndo m/kt wa chadema kachunda Hadi uruma aisee,

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi7837 9 місяців тому +1

    Iskariote

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 9 місяців тому

    Zito ACHA uongo!!

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 9 місяців тому

    Huyu Ni Nani Kwenye Hii Nchi???

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq 9 місяців тому +1

    Mwamba huyo