UGUMU WA MAISHA WAWALIZA WATU PEMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 154

  • @user-uc2ex4wr3h
    @user-uc2ex4wr3h 5 місяців тому +1

    mwenyezi mungu wasaidie wazee wetu wabadilishiye maisha yao ishaallha kwa rehma zako usitutupe waja wako tunasubir rehma zako amini 🤲

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z 6 місяців тому +6

    Subuhannaallah, maisha ya mpemba ni magumu sana watu familia zinaishi km wakimbizi waliotelekezwa na serekali yao na kosa lao kubwa ni siasa za kibakuguzi zilizota miziz zanzibar kupata kaz zanzibar ni ngumu kama sio mwanachama wa chama fulani ,watu wanakula kasa sio kw ulafi hapana ni njaa tu ikifika kipindi cha uchaguzi utaona vifaru na magari ya kivita na jeshi km kuna vita mitaani au ndio jibu la mapinduzi daima wkt watu wanatubu kw ugumu wa maisha

    • @feyxalbarry4595
      @feyxalbarry4595 6 місяців тому

      Astaghafirullah usikufuru mungu ,hicho kijiji Cha Tanga mjimbini chaajabu wakaazi wa hapo ndio wavuvi ambao wanauza dagaa na samaki maeneo mengine ni jambo la kustaajabu sana na istoshe maisha haya si kijiji Cha Tanga tu vijiji vingi sana Zanzibar pamoja na bara hayo ndio maisha si wao tu

    • @feyxalbarry4595
      @feyxalbarry4595 6 місяців тому

      Kuna watu mijini wanashinda njaa

    • @SleepyBabyPenguin-oh7fb
      @SleepyBabyPenguin-oh7fb 5 місяців тому

      Inshalllah ALLAH atawafanyia wepesi, kwn yeye ndie mueza wa kla jambo

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Місяць тому

    Subira, mama yangu, hii ni punje moja tu ya suke ya mahindi, Mungu akipenda☝☝🤲🏼🤲🏼☝☝

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 5 місяців тому +2

    Miaka 60 ya mapinduzi viongozi wakijisifu kua Zanzibar uchumi umekua wakubwa wanakula Raha na wapendwa wao Allah anakuoneni hayo yote yametokea kwa Sera chafu za CCM

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 6 місяців тому +7

    Wallah viongozi ALLAH anawaona kuwajali wafanyabiashara kuliko wanyonge lkn wallah tutafunga inshallah nguvu za ALLAH nyinyi fungeni kuleni na cc tutafunga tutakunywa inshallah

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 5 місяців тому +1

    Allah awajalie wepesi katika kila jambo ammen Allah awahifadhi Allah awajalie wepesi awape subira awajalie baraqa za zirki Kwa wepesi اللهم آمين آمين آمين يارب العالمين

  • @halimaomarmbarouk4017
    @halimaomarmbarouk4017 6 місяців тому +4

    Subhanallah Allah awafanyie wepesi wenzetu manaake maisha ni magumu kote lkn kwengine kumezidi

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 6 місяців тому

      Mtihan sana

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 6 місяців тому +2

      Subhanallah 😢😢😢 lnnalilih lillah wainnaillayhi raji'uun 😢 pemba kulikuwa na neema wallah 😢 tupunguze maaas

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 6 місяців тому

      ​@@Muslim-gs6rntufafanulie maasi ya wale watu ili wajirekebishe nayo

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 6 місяців тому

      Watu wanapitia magumu hapa duniani, YAA RABI tujaalie nusra kutoka kwako kwani maisha ya ufakiri tunasulubika wazee na watoto wetu,Wallah sura za hawa waumini zinaonyesha wazi wanahitaji misaada ya haraka,zinaonesha kuteseka na kuchoka YAA RABI washushie rehma na neema zitokazo kwako kama ulivyowashushia waliopita kabla yao

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 6 місяців тому

      Enyi watawala tunawaomba ikifika siku za uchaguzi mara hii musituleteeni tena majeshi yenu yakituadhibu tuachieni tupambane na njaa na shida nyingi zilizotufunika haya munayoyaona yanatutosha kuwa bakora kali yenye kuumiza,tunasulubika na tunaumia sana basi haina haja yakutuongezea mfadhaiko,watawala imekuwa ni kawaida ya majeshi yenu kujifundishia shebaha kwa miili ya wapemba na nyinyi mukiwa mumeridhika kwa kisingizio eti niwakorofi kumbe ukorofi wao ni kutokusapoti upande wenu,imekuwa nikawaida kila uchaguzi Pemba waachwe vizuka na mayatima,,,Mungu yupo Mungu anawaona na iko siku.....

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 5 місяців тому +1

    Subhanallah poleni sana Yarrab wafungulie waja wako riziki.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 6 місяців тому +5

    SubhanAllah 😭 awafanyie wepesi

  • @halimaomarmbarouk4017
    @halimaomarmbarouk4017 6 місяців тому +4

    Wenye nacho Allah awape nguvu mufike na Kijiji hicho inshaallah

  • @omaryahya337
    @omaryahya337 5 місяців тому +2

    Allah atufanyie wepesi kila penye uzito

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w 5 місяців тому +1

    Subuhanallah Laila hailallah😢

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 5 місяців тому

    Allah Mimi na mtetea Allah hawez kutusabababishia huu umaskini kiukweli hii hali ya umaskini inaletwa na binadamu wenzetu na wana azabu Kali sana mbele ya Allah

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 5 місяців тому

    Allah yupamoja na nyinyi na atawasmamia Kwa hili na jengine In Sha Allah

  • @youmemeyou2976
    @youmemeyou2976 5 місяців тому

    Walio wengi piga uwe awe kiongozi . Allah aninusuru familia yangu inatosha .

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 5 місяців тому

    kwa muonekano tu kijiji kina hali mbaya sana kwa ajili ya ramadhani ndio lakini hebu tupanue wigo katika hali tofauti kidogo katika maisha yao ya kila siku Binafsi nawaza kama ingekuwa inafaa kuwajengea uwezo kwanza kwa kile walichonacho katika shughuli zao za kiuchumi za kila siku na kufanya ubunifu kwa kuwapatia maarifa mapya ya shughuli za kuchumi kama vile kuwapatia ujuzi mbalimbali.
    Muislam usiridhike tu kwa kuwa wewe unatekeleza ibada zote kwa ukamilifu na kusahau ibada muhimu ya kutoa ni wakati sasa waislam kujitahidi kuingiza mafunzo ya dini yetu kwenye vitendo
    Allah awafanyie wepesi

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 5 місяців тому

    Allahu Akbar tz yetu kama amna serikal😢 yailah wanusuru waja wako hawa na hari zao duni in sha Allah

  • @suleimankhalid5978
    @suleimankhalid5978 5 місяців тому

    Pongezi zako sheikh rashid Allah atakulipa

  • @HassanHassan-sn5cj
    @HassanHassan-sn5cj 6 місяців тому +1

    Yaani kama mwinyi hakujiuzulu uongozi huo aloupata kwa wizi analo la kujibu Qiyamani !!
    In sha Allah kwa rahma za Allah nitafika ktk hicho kijini Allah akitia taifiyq!!

    • @afropanorama4730
      @afropanorama4730 6 місяців тому

      sasa uyo mwinyi anahusika nini na ugumu wa maisha,dunia nzima hakuna maisha mepesi

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj 6 місяців тому

      @@afropanorama4730 Anahusika au viongozi wanahusika kwa kila hali.na wanafanywa hivyo maksudi Zanzibar sio kisiwa cha njaa ila mfumo Zanzibar ni tajiri ila mfumo Zanzibar niyakwanza Afrikaans kwa kila kitu ila mfumo ilikua kimbilio kwa bidhaa na mambo mengi ya kijamii ila mfumo naomba sana uuelewe huo mfumo unaowatesa wtz kwa ujumla ukifanya uchunguzi utagundua!!

    • @abduawesu9165
      @abduawesu9165 6 місяців тому

      Allah akufanyie wepes watu wanatekwtea kwa njaa

  • @user-qn4pu1dj9l
    @user-qn4pu1dj9l 5 місяців тому

    Inshallah mungu ndie muenza

  • @hassansidibe5208
    @hassansidibe5208 5 місяців тому +1

    😢😢😢 Allahu Akbar mbona waislamu wasi toe msaada kwa Hawa waislamu wenzetu,

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 6 місяців тому

    Tunamuomba Allah atuwezeshe ili tuweze kushirikiana na kusaidiana kwa pale tunapo hitajika kusaidia amiin

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 5 місяців тому +1

    😭😭😭matajiri wanasaidia walonacho wasonacho tupo na Allah

    • @user-fk6mt5ib6g
      @user-fk6mt5ib6g 5 місяців тому

      Allah hawezi kusaidia lolote kwa mwamini wake isipokuwa ahadi za uongo wa ahera. Archana na Allah mtafute masuluhisho ya matatizo yenu kwa akili mliyonayo.

  • @alishaksi4639
    @alishaksi4639 6 місяців тому +4

    Katika maisha tunamitihan ewee mola wetu tusamehe makosa yetu

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm 6 місяців тому +4

    Kiongozi wa nchi ni Mas ulu mbele ya Allah Mwinyi kusanya pesa zako utumie wanachi wanalalamika hata chai kwao haipatikani ww umekataa tu kwenye kiti hujui kama wtu wanashida wala nini

    • @MulhatOmar-dx7ry
      @MulhatOmar-dx7ry 5 місяців тому

      Sio viongoz hata sisi tunaoohgozwa tunao uwezo wa kusaideana Kwa sababu wapo wenye uwezo

  • @user-nc6dk7eo7t
    @user-nc6dk7eo7t 5 місяців тому

    Sub Hana Allah

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 6 місяців тому +2

    dah yani kiongozi wa nchi unajukumu kubwa sana mbel ya allah hy ni mas`uliya mtihani mkubwa cn matajiri jitokezeni

  • @KHALFANSHELA
    @KHALFANSHELA 5 місяців тому

    IMANI YANGU NI KWAMBA VIPO VIJIJI AMBAVYO VINA HALI NGUMU ZAIDI YA KIJIJI HICHO MAANA WENGINE HAWANA HATA WATU AU VYOMBO VYA KUWEZA KUTANGAZA SHIDA ZAO ILA KIUKWELI PEMBA MAISHA YAMEKUA MAGUMU KUPITILIZA HASA VIJIJINI ALLAH AWASAIDIE WENZETU INSHALLAH

  • @pilifarhani6049
    @pilifarhani6049 5 місяців тому

    Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 5 місяців тому

    Hichi Kijiji kipo Pemba sehemu gani nataka nikatafute mke inshallah

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 6 місяців тому

    Laa haula wala quwwati ila billah
    Yuko pamoja InshaAllah ALLAH atuwezeshe InshaAllah

  • @yurasa2551
    @yurasa2551 5 місяців тому

    Pemba kwetu ishaallah mungu ataleta wepesi wetu

  • @PoliteKind-df8kw
    @PoliteKind-df8kw 5 місяців тому

    Allah ndo mtoaj na Allah ndo Kila kitu.inshaallah atakufanyia wepes kwenye Swaumu zetu

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 5 місяців тому

    Subhanallah😢😢

  • @user-nn5es2it8t
    @user-nn5es2it8t 5 місяців тому

    hakika ya matajiri wana maswali kwa mungu

  • @user-el3fh4dw5e
    @user-el3fh4dw5e 5 місяців тому

    Subhanallah walhamdulillah Allah awape subra baadal yusri yusraah

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 5 місяців тому

    Sahihi ni kazi yake Allah s.w kabisa😢

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +10

    Khalafu baas kutwaa kuwasifu hao viongozi km mitume na ukitaka umfaid huyo kiongozi subir afe utasema malaika

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +3

      @@Sheba4651 😅😅Khatari nacheka km mazuri vile kumbe yakuhuzunisha

    • @user-cc5bo6cn4p
      @user-cc5bo6cn4p 5 місяців тому +1

      Hapana pemba hawana tabia hio zaid ya walio pandikizwa

    • @abdulazizimohamed3093
      @abdulazizimohamed3093 5 місяців тому

      Kweli kimuonekano wa hayo mazingira hali ngumu sana Allah awafanyie wepesi katika ridhikk zao

  • @hassansidibe5208
    @hassansidibe5208 5 місяців тому

    Wana siasa na matajiri ulimwengu mzima wata ulizwa siku ya kiama,mbona wenzetu uarabuni Wana kosea kuu kosea kuu saidia waislamu wenzao ile wako mbele na mambo ya Dunia...

  • @aliabdallahali6995
    @aliabdallahali6995 5 місяців тому

    In sha allah M/mungu atawafanyia wepesi in sha allah

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 6 місяців тому +1

    Ccm oyee tunataka nchi yetu Sasa tumechoka tafrani hii tafrani hii

  • @user-zs4xz1vv4o
    @user-zs4xz1vv4o 6 місяців тому

    Allaah atafanyia wepes pamoja nasisi Imsha Allah

  • @ramadhaninassoro7773
    @ramadhaninassoro7773 5 місяців тому

    Na waamrishe watu wako kusali, na uendelee mwenyewe kwa hayo. Sisi hatukuombi wewe riziki, bali Sisi ndio tunakuruzuku. Na mwisho mwema ni kwa mchamngu.

  • @dullymcha1038
    @dullymcha1038 6 місяців тому +1

    Subhanallah

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 6 місяців тому

    Subbuhanallah. Allah awahifadhi ndugu zetu

  • @fatumamaro8726
    @fatumamaro8726 6 місяців тому +1

    Mambo ya kuskitisha 😢😢 mwenyezmungu awafanyie wepesi

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 місяців тому +1

    Zanzibar imeshafanyika miafaka yote, suluhisho la Zanzibar ni kuongoza visiwa kimamlaka, Pemba iwe na Serikali yake. Haiwezekani mambo ya Pemba yamuuliwe Unguja wakati hiyo Unguja yenyewe inaamuliwa mambo yake na Tanganyika. Kwangu mimi sio SAHIHI chama tawala Pemba iwe CCM, ni lazima chama kinachokubalika Pemba ndio kiunde Serikali. Wapemba jengeni Pemba yenu acheni kuhamia kwa wengine. Hakuna ataetoka kwao akaja kujenga kwenu!

  • @salmasule1427
    @salmasule1427 5 місяців тому

    Viongozi haya yote mtakwenda kuulizwa mwisho wa siku😢

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 6 місяців тому

    Subhan aallah wallah mung anawaon viongoz jaman machoz yanitok

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 6 місяців тому

    Kz ya viongozi ni kujikushanyia vipato wao sio kuwajalii wanyonge, Allah akufanyieni wepesi

  • @MaadhiAbduRutajwaa
    @MaadhiAbduRutajwaa 6 місяців тому +1

    Walisheni masikini Ni Agizo la Uislam. Pia kuwapa uwezo ktk kilimo hasa cha umwagiliaji na uvuvi kwa mkakati maalum. Pamoja kuwasaidia ni muhimu kuwapa uwezo wa kujitegemea pia ili wawe imara wengi wao

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 6 місяців тому +1

    Wanojiita wakubwa wanamajumba mia miya na magari yasoisabika na masherehe yasokwisha kufakamia pesa za wazanzibari inauma sana 😢

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 6 місяців тому

    Subra In Sha Allah

  • @user-xx8dh2bp3b
    @user-xx8dh2bp3b 5 місяців тому

    Serikali ya Zanzibar hiyo.
    Na Mungano ila tunapita tu kwa uwezo wa ALLAH atalipa

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara436 5 місяців тому

    Mungu atafanya wepec ishallah

  • @user-ls6vj5fz1f
    @user-ls6vj5fz1f 6 місяців тому

    Subhaana Allah subhaana Allah

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd 6 місяців тому

    Allah awafanyie wepes inshaa allah

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 6 місяців тому

    Allah kareem

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 6 місяців тому +3

    Yamekithiri maasi mpaka neema zimekwisha

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 6 місяців тому

      😢😢😢😢kabisa hata tusiwalaumu serikal au viongoz 😢 viongoz wanatoa lakini wapokeaji ni dhaifu wanajar familia zao tu hasa pemba wanainyima kila kitu😢

  • @suleimankhalid5978
    @suleimankhalid5978 5 місяців тому

    Wakiambiwa watavimba wapige watu au wakifungie kituo

  • @Ashahabibu-yr1rn
    @Ashahabibu-yr1rn 5 місяців тому

    Tatizo uongozi mbovu ,lakini kiwalisia pemba ni nusu wilaya ,,kwamba serikali ingeweza kabisa kugawa chakula kwa kila kaya sababu ni wachache sana

  • @user-ls6vj5fz1f
    @user-ls6vj5fz1f 6 місяців тому

    Subhaana Allah

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 6 місяців тому +1

    Me asaa nashangaa Yani viongozi xjuw wapo kwa ajili gani mi ccm mishetani imelanika wallah Iko razj wauwe watu kw madaraka watu maisha magumu wanajenga viwanja eti ujinga mtupu wallah hasira kwa kweli kisiwa kidogo wanashidwa ata kusaidia watu

  • @user-ii7jq2kd4s
    @user-ii7jq2kd4s 6 місяців тому

    Allah awafanyie wepes waja wake

  • @suleimanabeid4945
    @suleimanabeid4945 6 місяців тому

    Allah akbar amungu awaongoze inshallah

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 5 місяців тому

    Mwambie BAHRESA asaidie hapo.Diamond upo wapi?sio kuhonga magari tu

  • @KHALFANSHELA
    @KHALFANSHELA 5 місяців тому

    🙏

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 5 місяців тому

    Yallah tusaidie wasaidie wajawako

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 6 місяців тому

    Allah ndio wakuobwa na sio wanaadamu wenzetu.

  • @FatmaSalim-do2jk
    @FatmaSalim-do2jk 6 місяців тому

    Inshaallha

  • @allymohammedothman6593
    @allymohammedothman6593 5 місяців тому

    Ccm oyeeeeeeeeee!!!!???? Innalillahi wa innailaihi rajiun Allah Allah awaangamize ma ccm wote hususan viongozi hivi huu ni uongozi gani usojali watu wake hivi hayo madaraka mnayoyang'ang'ania huwa ni kwa ajili ipi? Ila kama ili uingie madarakani mpaka uwaue watu waliokua wameshakufa kwa dhiki basi huna utofauti na wakoloni dahh kwakweli inasikitisha sana..uongozi ni kipaji ila pia na moyo unahitajika

  • @AbdallahFaki-rd5qd
    @AbdallahFaki-rd5qd 6 місяців тому

    Allah amfanyiye wwepes

  • @user-me5jv4fq4c
    @user-me5jv4fq4c 5 місяців тому

    Inasikitisha sana

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 5 місяців тому

    Mama samia najua unayaona you. Naomba pesa unazowapa wachezaj kwa magoli ya mama yapelekwe kwa wasiojiweza

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 6 місяців тому

    Jmn africa yaenda ivi maisha gani haya na watu wasema africa ina kila kitu kweli

  • @ussiamini2868
    @ussiamini2868 6 місяців тому +1

    Haa jamani matajiri mutaenda kutowa wapii au kwenye mipira2

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 місяців тому +2

      Tatizo wengi vichumo vyao ni vya haraam

  • @suhailmasoud7891
    @suhailmasoud7891 5 місяців тому

    Mayatima pemba wamejaa vizuka kibao tunaish kwa uwezo wa allah 'ndugu zangu itembeleen pemba mzima sio vijiji hivyo tu

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 5 місяців тому

    Rabbiy wape wepesi wazeee wetu

  • @ShehaHassan-ev7st
    @ShehaHassan-ev7st 6 місяців тому

    Kazi zao viongizi ni kusifiwa ktk baadhi ya vyombo vya hbar 2 tena wanasfiwa ujinga 2 kwa ajili ya maslahi yao wkt wananchi wanyonge wanaumia yani dah yanauma tena yanauma sana lkn ah sw YAJAYO YANAFURAHISHA.

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 5 місяців тому

    UTAJIULIZA MENGI,,,,, HILO JIMBO LINA MBUNGE ,LINA MUWAKILISHI LINA SHEHA KUNA KIONGIOZI WA MKOA NA SERKALI KUU HIVI TUSEME HILO SUALA HAWALIJUWI HII NI HATARI KWA HALI HII TULIOFIKIA,HAKIKA INASIKITISHA,

  • @saidymohammad2921
    @saidymohammad2921 5 місяців тому

    7:17

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 6 місяців тому +1

    Kijiji hicho cha tanga kikowapi kisiwani pemba? Tafadhali mkiripoti taarifa km hizi toweni anuani yasehemu husika kwa uwazi kabisa kama vile mkoa wilaya nakata! Allah atubariki wote

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 6 місяців тому

      Ndio pemba number zipo hapo

    • @josegambi7149
      @josegambi7149 6 місяців тому

      Si bora msifunge. Na nyie wakristo na waislamu mlo na uwezo wasaidieni hizo Kaya na huo ndo utumishi

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 5 місяців тому

      ​@@nailaomar4810Namba sio za kijiji,watu wanataka anuani ili mtu aweze kukifikia mwenywe .
      Km unajua ni sehemu gani Pemba plz tuambie

  • @user-cl9zh8zs5e
    @user-cl9zh8zs5e 6 місяців тому

    Hii pia Aipate Samia nampendelea kheri atoe msaada

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 5 місяців тому

    Allah atutie nguvu matakwa ya mola hayana makosa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 місяців тому +1

    Sio nyie Tu watu wengi hata huko mjini ngambu kote hali mbaya njaa kali

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 5 місяців тому

    Serikali Ina jukumu kuangalia Wananchi wake

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 5 місяців тому

    Microphone na chakula sio unaleta microphone tupu tu. poleni sana. wazungu na waarabu wananawiri mwafrika mlala hoi

    • @user-fk6mt5ib6g
      @user-fk6mt5ib6g 5 місяців тому

      Hii dini na Allah wake hawana maana kabisa, kiufupi Allah hujificha wakati wa shida

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 6 місяців тому

    Nyinyi Munaongoza Watu wafanyie uadilifu Wewe unakula unatupa unao waomgoza unafutari maji wewe unakula Kwa kufanya fujo Jamani wasaidieni Hawa Maskini za Mungu mutakwenda kujibu siku ya kiama si mbali mutajuta kwa muliyoyafanya

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 5 місяців тому

    Ndio Mapunduzi Daims,wale waarabu waliifanya pemba ni pepo ya dunia,pesa ilikuwa sio shida.

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l 6 місяців тому

    Jamani matajiri pia mupo toeni kwa ajili ya Allah munayo maduka makubwa musilaumu viongozi tu dhawabu tunataka sote

  • @aliy3303
    @aliy3303 5 місяців тому

    Ushauri wangu Raisi afutari na masikini zanzibar nzima kila cku abadili kijiji kama vile anavyoenda kusali taraweeh .. ajue hali na ugumu wa raia wake hassa ktk mwezi huu wa ramadhan ..fanya hivyo Raisi utapata mazingatio

  • @mvitahamad2126
    @mvitahamad2126 6 місяців тому

    Mungu awafanyie wepes wazee wetu 😢😢

  • @sabrinamwidadi8301
    @sabrinamwidadi8301 5 місяців тому

    😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪ya Allhhhha

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 6 місяців тому

    Ila nyy alfatahi.mnajitolea kweli lkn mbona .hamumbii serekali nyy mnaisifu sn .tuwaelewe vp.??

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 6 місяців тому +1

    Sio kijiji hicho pekee, vijiji vipo vingi hali zao ni ngumu mno. Wapo walio na ukosefu wa maji, wapo walio na ukosefu wa mahitaji maalum km barabara, umeme na ukija katika mlo mtu anashindwa kupata mlo kamili kwa siku. Bidhaa kama vyakula zimepanda bei, fedha yenyewe hakuna, ukikuta umeipata kesho yake hunayo tena.
    Wito kwa walio jaaliwa na mali toeni mali zenu kwa kujitakasa na kwa manufaa ya dunia yako na akhera yako,
    Serikali punguzeni utitiri wa kodi katika bidhaa muhimu ya vyakula.n.k

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 6 місяців тому

    Lengo lao wawauwe hao wapemba lakin Mungu yupamoja,

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 6 місяців тому

      😂😂😂 astghafirullah shida wapokeaji misaaada 😢 wawadhurum 😢 sana watu na viongozi wanatoa sana😢

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 5 місяців тому +1

      ​@@Muslim-gs6rnUmeongea point hapo kuna biashara ya watu.

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 6 місяців тому

    Hatari nchi ina watu wachache wanalia njaa

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 6 місяців тому

    Wakubwa watchi wanahonga vimada pesa za wananchi

  • @habibiddy8096
    @habibiddy8096 5 місяців тому

    Kisha wenye uwezo na wasiofunga ndio hupewa mialiko

  • @hamilhasnuu9330
    @hamilhasnuu9330 6 місяців тому

    Viongoz maisha ni magumu jamn jitahid Hela hakuna jaman vaeni uhusika